Mambo 3 yanayogombaniwa na wenzi ndani ya mahusiano au ndoa | Uponyaji wa Familia | Deo Sukambi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Deo Sukambi,
Karibu katika uzinduzi wa kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU MALEZI (Jumamosi tarehe 21 Oktoba 2023), Usisahau kujisajili kuhudhuria events.deosuka...
Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ sukambideo
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.co...
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Asante Sana Mtumishi.Nakufuatilia Sana Mafundisho Yako.Kwa Kweli Naelimika.Mungu Akubariki
Wow masomo ni mazuri sana .nakusikiliza kutoka zambia
Nikusikiliza asanteee pamoja sana
Somo la Leo nimekuelewa Sana! Yaani umeeleweka Sana! Na hili somo linatusaidia Sana kwa kweli Mungu akubariki Sana!
Mimi naitwa Dominic niko Mbinga Tanzania nakusikiliza nakupata vizuri nabarikiwa sana mafundisho yako
😂😂😂😂😂😂😂
Aisee nimecheka sana nipo Oman nakusikiliza 😂😂😂😂
Kitabu hicho ni bei gàni na mikoani kinatufikiaje kwa bei gani?
1m jaqueline nakupata nipo goba
😂😂😂ukweli mtu yani nakupemda hadi basi mie nimubirundi nagufatilia nikiwa dubai❤❤❤
Asante sana nakupenda pia
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Mwànza kitabu kinafika kwa bei gani?
Leo inabidi ni comment 😅😅😅😅
😅😅😅😅
Asante sana mchunganji Kwa kipindi hiki. Emotional abuse ipo mchunganji, I'd like you uzungumzie narcissistic personality disorder na madhara yake Kwa mahusiano.
This is a serious problem Pastor tusaidie
😂 Ubarikiwe mtumishi, somo limeniweka huru,umenifungua sana ufahamu wangu.Asante sana
Amen amen
Hahah yaani Pastor the way u present this topic i LOVE IT. .MUNGU AKUBARIKI SANA , Watching from 🇺🇸 USA!
Thank you Navo
Let me sit back and relax.,,,kumbe hata kipato na uhuru wa kiuchumi siyo big deal.
Moyo wangu tulia.😅
Hicho kinaleta maana
Nimejifunza mengi kaka asante sana from sweden
Twangojea hayo
Twangojea hayo
Nakupata vizuri nikiwa South Africa uku mtumishu wa Mungu ni Joseph cyprian
I'm john nakufatilia kutoka Missouri US
Thanks alot pastor for cancelling us and good advice.. God bless you
Thank you too
Sure 😂😂 broo point namba 2 wanawake wengi kujikuta tukiwa single alafafu nje tunaonekana tuko kwa ndoa daaah inauma wanawake tunapenda careful lakin ndo aiwezekan asilimia ya weng wanaume wakishaoa care inakwisha sasa ifike muda enjoy tujifunze kujipenda wenyew furaha ya kwanza ni wew mwenyew then mwengine afate
Wapi vitabu vyako vinapatikana plz
Piga 0786903727
Natoka tanga mumewangu anamchepuko na anadai hayuko nae lkini bado yukonae nafanyaje
Ubarikiwe Mchungaji somo tamu sanaaaaaa💃💃💃
Asante sana
Nakusikiliza tokea Arusha Tzd
Hasante sana mimi nimekuelewa vizuri
Umeniinua san Mungu akupe maarifa zaidi utuponye
Hakika umenikosha
😂😂Mwalimu yan mimi it's okay
From Tanzania ..it is very perfect
nkupta mchungaji,nipo wrudstarn iraq,naitwa Blandina
Dah! Najisikia kupona
Asante sana
Na ubarikiwe sana.
❤❤❤kwel kabisa 😅
Nimekuelewa,
Video zako zina Kelele kwa nyuma. From Italy
Sio mbona tunaelewa vizur
Asante sana somo zuri
Ni kweli kabisa
thanks
Very true
Mr Deo una speech nzur ila hii imefunika.umeongea uhalisia wa maisha kando ya hayo tunadanganyana tu!!
Take your time husbands,wives-dont rush each other.
Yaan umenikosha cn!!!
Be blessed men--!
Asante sana kwa kunifuatilia, endelea kujifunza