Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliomsubiri njiani akilekea Mako makuu ya Nchi Jijini Dodoma .
Safi sana Mheshimiwa rais, penye ukweli sema ukweli baba. Wengine wanafanya kazi ya wizi, vibaka na shughuli za uvunjifu wa amani wanategemea ukipata watumie fursa hiyo kuonekana hawana makosa. Wakati wa kubembelezana haupo tena. Piga kazi
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Yan Uyo Salange Mjinga Kwel Kaambiwa Una Shida Gan Yeye Kajitetea Baada Akubal . Mweshimiwa Ujue Alikua Anataka Amwachie Mpunga Mrefu tu . Lakin Sio Mbaya Kajisemea Ukwel
Mkuu leo suti iko wap??? Hahahahaaa ahhh natania tu. Kiukweli mimi huwa nafurahi sana punde tu napokuona. Huwa najisikia raha sana. Comando uko juu milele.
Hongera,Mh,Rais kwa kuwasikiliza wapiga kila wako, yaani nafikiria ukomo wa uongozi wako ifikapo 2025 Rais ajae atafuata nyayo Zako? Mungu atujulie atupe uzima tuifke 2025.
Naomba like zenu mm ni mtu wa mwanzo kukoment Leo magufuli ni mchapakazi sana anaeamini hili agonge like hapa chini 🙏
Abdulihafidh Ali saanatu
HAPO SAWA MHESHIMIWA RAIS
Kam unamkubar jpm gong like za nguvu
Asante sana mheshimiwa baba yetu mpendwa
AMRI JESHI WA MAJESHI
Safi sana Mheshimiwa rais, penye ukweli sema ukweli baba. Wengine wanafanya kazi ya wizi, vibaka na shughuli za uvunjifu wa amani wanategemea ukipata watumie fursa hiyo kuonekana hawana makosa.
Wakati wa kubembelezana haupo tena.
Piga kazi
Ndani ya kombat president
Salute kwako mkuu...
Mungu.akujalie.rais.wetu.tunaona.kz.nzur.taifa.lako.laenda.mbele.uchumi..saf.sana
Hapa kazi tu. Piga kazi baba JPM
Wananchi bwana UKIWA UNAONGOPA WANAKUZOMEA 😀😀hawataki UJINGA
mzee wa zeke halilali
asante sana rais wetu mpendwa Magufuli mtetezi wa wanyonge
Hapa kiukweli umenimaliza MH:RAISI MAGUFULI WEWE NI RAISI WA PEKEE USIONDOKE MADARAKANI WALA HAKUNA HAJA YA UCHAGUZI.
Mzee KAVAA COMBAT SASA TAREHE 24 wewe jifanye MBUBU UANDAMANE KISA ZITO KAKWAMBIA AU MBOWE
🤭🤭
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Kila lakheri Mungu akutangulie safari hiyo
JPM
NAKUPONGEZA SANA
HUKUUMBWA KUWA MNAFIKI KWA WALE UNAOWAONGOZA
KATIKA ZIARA ZAKO
USIKOSEEE KWENDA KIJIJINI MZAKWE
TUMEZURUMIWA KIJIJI CHETU.
Yan Uyo Salange Mjinga Kwel Kaambiwa Una Shida Gan Yeye Kajitetea Baada Akubal . Mweshimiwa Ujue Alikua Anataka Amwachie Mpunga Mrefu tu . Lakin Sio Mbaya Kajisemea Ukwel
Hapo ndiyo huwa nakukubari ukiona Bei juu kalime yakwako
Afande C.I.C U Get our saLute
Mkuu leo suti iko wap??? Hahahahaaa ahhh natania tu. Kiukweli mimi huwa nafurahi sana punde tu napokuona. Huwa najisikia raha sana. Comando uko juu milele.
Mica Mathew huyu niamir jeshi mkuu.
Piga kazi baba
Hongera,Mh,Rais kwa kuwasikiliza wapiga kila wako, yaani nafikiria ukomo wa uongozi wako ifikapo 2025 Rais ajae atafuata nyayo Zako? Mungu atujulie atupe uzima tuifke 2025.
NAAMINI UNA UWEZO WA KUIREKEBISHA ZANZIBAR MIEZI SITAA TU. MAENDELEO MAZITO YATAKUWA YASHAPATIKANWA.
Piga Kazi Mkuu Tupo Nyuma yako
BABA KILA UNAKO KWENDA WATU WANAPENDA KUZUNGUMZA NA WEWE MBARALI TULIKOSA NAFASI HII NJOO TENA BABA KIFUKU KIMESOGEA MAMBO NI MENGI
shetani ashindwee na alegee haswaa
Madebe yakiisha utapiga nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa anayeona wapiga debe ni wazururaji wezi nipe like.
Raïsi anaye tosha haya ku mafrika kabisa
Huyu jamaa anafaaa miaka 1000
Mungu akutangulie