Acha ujinga wako we mwenyew uliabudu jumapila wamwabuduo wa kweli watamwabudu ktk roho na kweli Kila ck ni ya mungu yesu alisema mi ndo bwana wa sabato we BK ktk ck na ujinga wako
Mtu haukumiwa kwa siku ya kusali au kwa vyakula alavyo hukumu ya mtu ni matendo Yako. Mchungaji acha kuwapotosha watu wewe wahubirie habari za ufalme wa mbingu utokanao na matendo mema na upendo wa Yesu
Soma kalenda ilianzia wapi NA ndani ya kalenda siku tano zilitolewamo KWA siku ya jumamosi au jumapili sio siku sahihi sa kuabudu jamani someni mfahamu nchi NA Dunia KWA ujumla
BuMBAVU ZAKO WEWE HATUABUDU SIKU TUNAMWABUDU MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI PIA NYIE MNAOMSIKILIZA HAWA MANABII FEKI POLENI MPINGENI SHETANI NAE ATAWAKIMBIA
Acha ujinga wako we mwenyew uliabudu jumapila wamwabuduo wa kweli watamwabudu ktk roho na kweli Kila ck ni ya mungu yesu alisema mi ndo bwana wa sabato we BK ktk ck na ujinga wako
Yaani wewe Mungu akusaidie😊
WANAOABUDU JUMAMOSI WANAMAAJABU GANI, HAWANA HATA UWEPO WA MUNGU, HAWAWEZI KUKEMEA HATA MAFUA.
Mungu mpaka kamtumia huyu kazi kweli ,kaongea kama utani ila ndio ilivyo
Siyo katumwa.ila wewe ndio husomi biblia soma ujue dini yako inatakaje.wewe subiri usomewe tu uitikie Amin amen mpaka unavuliwa nguo bado wasema amen
Kashapata maji meupe
Mtu haukumiwa kwa siku ya kusali au kwa vyakula alavyo hukumu ya mtu ni matendo Yako. Mchungaji acha kuwapotosha watu wewe wahubirie habari za ufalme wa mbingu utokanao na matendo mema na upendo wa Yesu
Walokole wakisha ona wananena kwa lugha wanaponya watu wanaupako Basi Wana verify tayari jumapili ni siku ya MUNGU kwa ibada wanakataa sabato kabsaa
Jumapili I like tea na wakatoliki hao ndio walibadilisha lakini ukweli kila siku ni siku ya ibada
Uongo siku ya pasaka sio siku ya yesu kufa pasaka ilikuwapo kabla yesu kufa
Soma kalenda ilianzia wapi NA ndani ya kalenda siku tano zilitolewamo KWA siku ya jumamosi au jumapili sio siku sahihi sa kuabudu jamani someni mfahamu nchi NA Dunia KWA ujumla
Hueleweki sasa hivi, fundisha ukijuacho ili ufuatwe.
Huo ndio ukwel sabato n jumamos
Pole yako mtoa fundisho. Endelea hivyo hivyo ulivyo🤣😅🤣
Huyu anawachamba wakatoliki
BuMBAVU ZAKO WEWE HATUABUDU SIKU TUNAMWABUDU MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI PIA NYIE MNAOMSIKILIZA HAWA MANABII FEKI POLENI MPINGENI SHETANI NAE ATAWAKIMBIA
KUNA THAWABU GANI KTK KUABUDU SIKU FULANI KULIKO SIKU NYINGINE YOYOTE ILE @ UNYAKUO TV?
Kweli....JAMANI MAMBO YA SIKU 😂😂😂 WAPENDWA TUABUDUNI KATIKA ROHO NA KWELI NA SIYO SIKU.
KAMA SISI NI WAKRISTO BASI TUIISHI IMANI ALIYOTUACHIA KRISTO...TUACHE MATABAKA KATI YETU SISI WOTE TUNAUJENGA MWILI WA YESU KRISTO.
NDUGU ZANGU...TUKIMUELEWA VIZURI YESU KRISTO SIDHANI KAMA KUTAKUWA NA MAMBO KAMA HAYOO😢MIMI NAAMINI HIVYO.
Huyu anatakiwa apingwe kwa nguvu zote kutoka 12:16
Ukweli unasemwa wazi wazi