MZEE MAGOMA Apandisha mashetani baada ya KUSHINDWA KESI TENA/ Auwasha Moto NAENDA FIFA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Amtowe nani kwenye Reli fala huyo magoma Chizy waheed njaa kali.
Watu wa namna hii wapo kila Mahali.
Kama Rungu linakuja linaanzia kwako Mzee wangu😂😂😂
Kwendra kule nenda sasa mbona maneno mengi?
Umeshakwama mzee magoma
Mzee unafilisika akili na kiuchumi ila asiefunzwa na mzazi ufunzwa na dunia ko subilia uone
Ww kijana wa hovyooo kbsa, acha muhemuko kijana tafakar vizuri,, hakna kitu kinachtokea bila sababu,jingaaa ww
@@maarifatv4160 Wewe na akili zako unamuona huyu mzee yuko sawa!?Mzee njaa inamtesa !!wewe umejibu kuleta usimba hapa!!SUBIRIENI MUONE MZEE ANAKOKWENDA!!SHIDA MNAMUACHA MFUATENI MUE PAMOJA
Huyu Mzee Yupo Tayari Kuuza Ng'ombe Kwa Kesi Ya Kuku.🤣😱😱😱
Karibu ufe
Hivi mwenye Mzazi wake siaongee nae huyu
Ulitaka azizi aondoke?
Nenda kalime , kwani wewe nani
Waandishi wa siku hizi 😂😂😂😂😂
Tukiwa na watu kama hawa wenye akili sio watu njaaa
Chizi kweli. Wewe una haki ya kufungua kesi ukijibiwa waliokujibu wamekosea wafungiwe na CAS
Waacheni waende wahuni wakubwa hawa . Hawa ni matapeli wa mjini na dili lao limebumbuluka. Lengo lao ilikuwa wabembelezwe kwa maokoto sasa wamekutana na watoto wa mjini na wamemtolea nje.
Huyu mzee hayuko sawa anachanganya mchrli
Tutafute Hela tusipate aibu uzeeni kama huyu mzeee kinachosumbua ni hela
Mtu mmoja mjinga tu
Ama kweli huyu ni mgonjwa wa akili!!
Saf san mzee wet
Huyu ni pasua kichwa
Nenda fifa mzee ndo watajua
Ulishindwa kuutumia vyema ujana wako sasa umekwama uzeeni unahaha kacheze unakochezaga msengelema mmomoja
Umeyatimba Mzee Magoma
NJAA KAAALII!!
Cjajua kama hawa waandishi wana uweled unapomuuliza tathmin magoma yy nikocha au mwanachama?
Watoto mkemeeni baba yenu.
SERIKALI IINGILIE KATI,ANATAKA TANZANIA IFUNGIWE KAMA NCHI
Kama unajeuri hiyo kashitaki wewe msengelema mmoja unataka ukae mezank na nani hiyo meza kakae mwenyewe yanga haiwezi kukakaa na mtu ambae anausingizi hajanawa hata uso
Nenda ofisini pale yanga kaite waandishi wa habari mbona unaongelea porini huko mzee wangu...
Watoto wa hawa wazee wawatunze wazee wao , njaa mbaya sana
Yamewafika shingo😂😂😂😂😂😂😂
We semaa mpaka litakukuta jambo hao unaowaelezea hakuna wa kukusaidia kama mahakama wameisha toa uamuzi hunalakufanya we huwajui vizuri mawakili ngoja wakutie pacha utie akili
Sisi Wana Yanga tuko nyuma yako mzee,hadi wakupe timu,kama bwai bwai
Kichaa uanza polepole kama hivi😂
😂😂
Mzee nenda kalime mbaazi
Huyu Mzee kurjuan imemrudia mwenyewe😂😂😂bado hajasema
Hawa wazee ni wachawi 😂😂😂😂
mzungumze na nani ninyi njaa kali?
HIVI waandishi mnakuwa na ELIMU GANI MAANA MASWALI YENU HAYAENDANI NA HATA MTU ALIYE NA ELIMU YA NGAZI YA CHETI ?
Kwaiyo magoma kinachokuuma ni kubaki au
Magomaa huna nguvu huna hela huna akili ukizeeka maarifa yanapungua kafungue kilinge maisha yaende usitumwe kibwege
Ili zee njaa itamponza
We mzee unafikiri kila mwanachama akija na madai yake kitakuwa nini??
Tutakusaidia kukulipia mwanasheria mwengine ili wasaidiane wenzako wana wanasheria 6 tunaomba jibu kutoka kwako
Mkae na nani? ile million 70 iwe ni million 140
Kweli njaa haina baunsa Kama uselemara umekushinda kalime
Tatizo munanuka mdomo akuna mutakaeongea nae
Nani akae azungumze na wehu!, bado kesi moja ya kugushi!.
Cas hivi anaenda mchezaji ambae anachezea yanga na magoma nimchezaji
Kurjuan imeshakuramba kalipe milioni 75
Ww mzee unamtihani ww kwenye maasha yako
Huyu bora afungwe jela japo mwezi tu
Uyu baba nimjasiri
Mzee chizi huyo
MWAIPOPO UNAONGELEA MGONGONI MWA MWENZIO TUTAWANYOOSHA😂😂😂
njaa mbaya sana angalia wazee wanaoidai yanga walivyo ahaaa,hatari wamechezea ujana uzeeni wanasumbua watu
Wanaohoji akili ndogo sana kuhoji mambo ya msingi
Wew mzee unataka kupotee acha hio kitu
Nyie bado mnajitia mnajua asa acha mfundishwe nn maana ya taasisi saiv mnajishusha akat timu ishatumia hela ngoja mfunzwe
Hivi magoma unataka nini hasa 😂
Kafie mbele
Huyu mzee amelewa hana jipya
Akapigengomatu
Hamna kukaa mezan nyie nenden FIFA rudishen kwanza gharama...Eti leo tukae million 70 si kitoto na hawa wawe funzo
Mzee mwaipopo anaonekana hii kesi inampalia, hayupo sawa
Uyu Mzee ana gongwa sana
😂😂😂bado Kuna kesi nyingine inakusubir
Kule fifa utaenda kushikwa Tako ngoja uwone boya
FIFA HAIPOKEI KESI TOKA KWA MTU AMBAYE SIO MWANACHAMA WA FIFA
Sisi wana yanga tuko nyuma yako mzee magoma,wana yanga wote tunakusapoti
😂😂
Mzee acha kutujaza mashabiki kwenye mfumo ww pambana na kesi upewe timu mengne aya tuachieni timu yetu atutakuelewa
Haaaaaaaaaw😅😅😅😅😅😅
Mzee anakula skanka sana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hapa sielewi mzee magoma lengo lako nini?unqdai unaipenda yanga huku unasema yanga wafungiwe tena unaongea kw furaha kabsa mze omba tu msamqha yaishe tu
Huyu mzee kumaq
Mzee unapotea lugha ya kisheria ngumu, tafuta mwanasheria aliyenyooka akusaidie
WEWE MWENYEWE UNAUJUWA VYEMA UPUNBAVU WAKO GOGO LIMEKUGANDA HUCHOMOI
UTALIPA MILIONI 75 JIELEWE WEWE MZEE OMBA RADHI HAO WAANDISHI MEISHO WAO NI MLANGONI NDANI KWAKO WEWE MWENYEWE UNAUJUWA VYEMA MPUNBAVU AMKA BADO MUDA UNAO BUSARA INAHITAJIKA
Tukifungiwa yanga wewe uhame TANZANIA mbwa ,kumbe unatutishia kumbe we Mzee hutujui eti jaribu uone.mjukuu wa mwanamalundi
Wapumbavu ninyi wazee
Hawa wazee mazuzu kumbe
HUYU MZEE MPELEKENI FIFA AFUNGIWE MILELE
Utafungwa wewe mzee na mwenzio. Yanga ni kubwa kuliko ninyi
Waandishi wa siku hzi hata kuhoji mtu mtihani wanashindwa uliza maswali facts
MZEE ANATAFUTA MWISHO MBAYA!
wee magoma ni.taahira una ugonjwa wa akili
Utalia sikumoja magoma
Hv huyu mzeee anajielewa kwel
Wajinga pia wanazeeka
Umasikini unakusumbua wewe ni mtoto mdogo kuliko yanga sasa kama unataka kushindana na taasisi kubwa kama yanga endelea kupambana ukichoka utaweka makalio yako chini
Hata wajinga wanazeeka
wewe chonga mdomo tu, njaa itakupeleka pabaya wee mzee hiyo ni yanga ya.wasomi hakuna mbumbumbu kama wewe.
Ninyi mnaomhoji huyu mnampa kichwa. Hana lolote.
Kisutu kashindwa. Mahakama Kuu kashindwa, Mahakama ya Rufaa atashindwa na FIFA atashindwa na Mkutano Mkuu, atafukuzwa Uanachama.
Umetuchosha wewe.
Mzee magoma upo sahihi
Mbona hujafika FIFA hadi sasa hivi magoma ni mbwa tu
Mzeee mm Niko na wewe nenda fifa kule hakuna rushwa,hz mahakama zote ni rushwa tupu
Mwandishi anaoji utumbo,unaoji unazi