YESU DINI YAKE IPI? KIJANA ASILIMU MBELE YA WALIMU WAKE LIVE.... Sheikh yahya Issa &Dr Odare
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2018
- MDAHALO JE IPI DINI YA MITUME?
ASKOFU MWANGI LEO NITAWATHIBITISHIA UKRISTO DINI YA KWELI.
SWALI;
WAPI ANDIKO UKRISTO DINI?
ASKOFU MWANGI UKRISTO NIKUMUAMINI YESU NA KUWA ALIMWAGA DAMU YAKE KWAAJLI YETU.
DR GERISHON UKRISTO NI UPAGANI, NA HIYO JINA IMELETWA NA WAABIDIO WA SANAMU WA ANTOKIA.
SWALI;
MUSA ALIKUA DINI GANI?
ASKOFU MWANGI MUSA HATUWEZI SEMA ANA DINI.
SWALI;
YESU ALIKUA DINI GANI?
ASKOFU MWANGI YESU HANA DINI.
SWALI KAMA YESU HANA DINI NYINYI MLITOWA WAPI DINI?
ASKOFU EBU PLZ TUWACHE MAMBO YA DINI, SISI TUMEJENGWA JUU YA IMANI TU WALA SIO DINI.
PASTOR GERISHON SISI WAMESAYA HATUNA DINI NA KUKOSA DINI HAITUFANYI KUWA MAKAFIRI.
PASTOR GERISHON YESU HATAMBUI KANISA ALIKUA AKIABUDU MILIMANI.
ASKOFU MWANGI JE UNAKUBALIANA NA PASTOR GERISHON KUWA YESU WAKATI YAKE KULIKUA HAKUNA JENGO KANISA?
ASKOFU MWANGI NDIO KWA MJIBU WA VITABU YESU HAJAWAHI INGIA KANISA.
SWALI;
MBONA YESU ALIKUA ANAINGIA MSIKITINI NA NYINYI MNAPINGA?
ASKOFU MWANGI YESU ALIKUA AKIINGIA MSIKITI HAO MFARISAYO WANAMPIGA.
PASTOR GERISHON YESU ALIKUA AKIINGIA KWA SINAGIGI KUNATOKEA VIRUGU MECHII KWASABABU SIO WATU WA MUNGU.
ILI UPATE RAHA USIKOSE KUTIZAMA VIDIO HII.
LIKE NA SHARE KWAAJLI YA ALLAH.
Sheikh yahya Allah akuvuke vazi la afya na akupe maisha marefu Na Akhera akulipe janatul firdaus pamoja na mtume s,aw. Kama unamkubali sheikh yahya piga like hapa.
Allahuma Amin
Even me I love sheikh yahya walai God bless.him
Aamiin
Muhamad ndie kaleta wislam, inakuwaje mussa awe muislam????
Shekhe upo vzul sana Yahaya
Uislam nidin kubwa tena
Ya mwenyez mungu
Naam 👍👍
Alhamdulillah proud 2 be a Muslim
Sorry to be off topic but does anyone know of a trick to log back into an instagram account?
I was stupid lost the login password. I would appreciate any tricks you can offer me.
Allah karimu.mngu akulinde shekh wngu
Alahmdulillah kwa kuzaliwa kuwa musilam
Akufunulie maandiko ya Qur,an hongera sana
I love Allah
I love Muhammad (s.a.w)
I love Qur'an
I love Islam
I love Muslims, I proud to be Muslim الحمد لله
U can say that again
Innalillahi wainnailahi rojiun.msiba kweli
@@sheemaryam why not??
@@ElizaNjeri-zn2nb msiba gani kuupenda uislam au upi umemaanisha
Mashallah shekhe allah akuzidishie kipaji zaidi wakristo pole sana asikofu wen anapiga Kelele tu utasema kameza memoricad
Mashaallah! I realy appreciate u highly 4 doing dz Dawah as leisure. I urge u to keep going ahead en neva give up esp. with dz bishops,congrats sheikh Yahaya حفظك الله
Alihamdulillah nashukuru kuzaliwa katika nehema hii ya uslam
Mungu akuzidishie neema inshallah
@@mwanaidiramadhan3919 Amiin🙏
@@mwanaidiramadhan3919 amiin
Nawaombea kwa ALLAH awafungue namjue dini yakweli
MashaAllah kipindi kizuri ningeshauri mkaboresha mfumo Wa sauti upo chini
They wll never believe until they get back to death, I am proudly to be Muslim.
Mashallah, mungu akulipe kila l khery shekh Yahya
Mimi nasema shekhe yahya endelea kuwa mpole ivyoivyo ili uwanase ndege tunduni kwani nimtu mwenye hekima sana Allah akulinde daima
Amiin
Alhamdulilah nimezaliwa uislamu
ALHAMDULILLAH
ALLAH AIHUDUMIE HII REDIO KWANI NI WENGI TUNA FAIDIKA SHEIKH TUWAOMBEE DUA WAKRISTO ALLAH AWAZINDUE KATIKA KWELI NA ALLAH ATAWAFAHAMISHA MIMI NAWAPATA TZ
Mashaallah ya shekh din ya kwel.ni ya kislam honger san kijan kwakujua din ya haq niip mbel ya mwenzimung allah akulipe.kher fiduniy waliakher kamal inshaallah
Karibu sana ktk dini ya Allah ewe kijana uliyosilimu. Allah akuongoze uijue dini ya haqi
Mash allah my brother ,may Allah make it easy for them to see
Amin
Asc sheikh, mungu akuzidishiye imani, na akupe subra kwa kuendeleza kalima ya mwenyezi mungu baarakallahu fiik.
sheikh nakushuru jinsi unavyo introduces wenzako kwa debate .. InshaAllah Allah akupe Jannatul firdos
Allah awalipekher mashekhe wetu kwakazi mnayo ifanya
Sheikh YAHYA Kazi Unayoifanya Mwenyezi Mungu Akuwekee Katika Mizani Yako Ya Kheri IN SHA ALLAH.
Mungu akuongoze sehemu iliyo sahihi
Din ya haki ni wisilamu namushukuru allah subhana wataghala niko mwisilam
Maa shaa Allah mdahala umeenda kirafiki kabisa. Karibu kaka yetu ktk dini ya kiisilam, Dini ya haq. Allah akuhuishe akufishe na akufufue hali ya kua ni muisilam, Amiin.
Dah shekh nilikua nasubiria sana jibu la kuhusu shahada kwa mitume waliopita kabla ya Muhammad (S A W)🙏ila hukulitoa naomba unielimishe
Tatizo hawana hoja ao dini hawana ni makafir. Shekh yahya Allah atakupa malipo yako amin
namshukulu mungu kuzaliwa kwenye ukiristo,na naomba nife nikiwa kwenye ukiristo,maana sioni wakunipenda zaidi ya yesukiristoo
Ubarikiwe
Rechel Mtemekelr. ameni ubarkiwe mtemekelr
Rechel Mtemekelr tuwa same he bure watu hawa maana awajui wanacho kisema
amina wapedwa
Ndugu yangu yesu hakupendi usijipe moyo na kasema watu hawa huniabudu bureee. Pia katumwa kwa waizraili tu na nyie wamataifa anakuchukieni kakuiteni Mbwa. Weye mbwa kwa yesu. Pia yesu kasema ni mnyenyekevu tumfuate. Anaemfuata anaakili asiemfuata mpumbavu. Sasa yesu kaingia msikitini je kwanini unaingia kanisani?
Kijana mungu akuongoze duniani na akhera kwa kuujua ukweli akunulie maandiko uyajue nakuombea kila cku
Allahuma Amin, tayari yuko Madrasa
Amiin
Ameen
Ivi ndio nime amini kuwa ukristo nijina sio dini🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Sheikh yahya ManshaAllah yaani ile suali uliuliza muhimu saxa. Imagine hadi saizi mm nangoja andiko inasema ukristo diini waache kutapatapa n kuongea lugha haileweki. Askofu alikiri kwmb yesu n musa hawakua n diini n hvo ndio anakujua kikuwli. Alf hyu mwngine anasema hatuna diini
Mola akuzidishie maisha marefu shekhe
Hongera sheikh yahya Allah akupe umri mrefu akuzidishie elimu, kwa kweli hao waskofu wapo na imani potovu hawajielewi wapo Nje ya mada, najivunia kua muisilamu neema kubwa walahi.
Allah akupe iman thabit kwenye moyo wako karibu ktk dini ya haki
Allahuma Amin, tayari yuko Madrasa
Mchungaji.uko.sawa.kabisa.imani.nndio.kilakitu
Din ya hakkh pekee Islamic
..ALHAMDHULILLAH....MASHALLAH kazi nnzuri na alie slim Allah amfanyie wepesi katka dini njia hii yahakh INSHALLAH karibu sana ya ibrahm aleih salam
Mashasllah Allah akupe umri mrefu Na malipo yako ukayakute mbele ya Allah sheikh Yahya
Assalaam alaykum warahmatulillah wabarakatuh nafrahia saana sheikh yahya Issa na Yusuf wambogo na suleimani mazinge na msomaji mzuuuur saana Saidi mwaligi Allah awape pepo kabra hamjafa Insha Allah kutokana na kazi mnazo zifanya Mimi Niko omani muskat nafrahia saana mhadhala yenu Allah awape nguvu zaidi ili hao maaskofu waweze kua waislam bi idhi llah
Waalykum Salam WarahmatuLLAH Wabarakatuh Alhabib,Allahuma Amin shukran kwa dua.
Napenda sana mahubiri yenu. Naomba niwakaribishe Tanzania. Ntakupa wageni wangu. Tuendeleza kisomo
I realy liked da venue bcz it is cool 4 dem 2 understand dem clearly en ur method z realy best so Sheikh Yahya may Allah (sw) ease 4 u Dawaah.
Mashaallaah nashukur kijana Allah akujaalie nkeri
Yesu ndio njia na kweli na uzima
Assalamu alekum shk yahya nakuomba umualike na Alhabib mazinge muwe pamoja katika hii mijadala
Mashallah shehe Yahaya Mwenyezi Mungu akuongoze
Maaaashallah
Bishop uke wenza mzuri sana natamani niolewe na mwenye ako na Bibi
Ya salam nakuambia katika hilo hata madada zetu wamefeli mtihani Rabii awape moyo kama wako.
hviii haya mambo mpaka lini?mtabishana hd kiama kifke nanitacimama mbele yakit chaenz nakusema mm nikua dini flani kila mtu ashike alichonacho haikutetei dini bali matendo yako pole san waislam
@@salmatz1tz731 unamaanisha nini sielewi
@@kenyadawahtv90 naitaji kujua namna yakujibu hoja na kujenga hoja kama ww ,naomba msaada wako
@@salmatz1tz731 hunaelim bibi
Mashallah tabarakallah Nimetokwa na machozi hongera kaka Allah akuongoze hil na jengine na awaongoze waliokua bado hawajaukubali uislam Alhamdulillah alaa niimatil-islam si ujanja wetu bal nimapenzi yake Allah subhanawwataala Allah atujaalie tufe hali yakua ni waislam Ammin ammin ammin
Hawa makafiri tatizo wanakuwa wakaidi na ukweli washaujua. Jamani yesu si mungu, mungu hawezi kuwa mtu kama weye. Namshukuru Allah kwa kunijaalia kuzaliwa katika neema ya uislamu
Amiin.amiin.yarabulcalaamin
Jazakah Allah sheikh Mungu akupe umri uzidi kuelimisha
Jamani mie nimecheka sana kwa kweli hivipindi nivizuri na amazing wallah nawapenda bure
Mashallah jazaka Allah kheir
Allahuma Amin
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
Inshallah Allah atawaongoza kwenye njia ya haki. Msichoke kuwafahamisha iko siku watafahamu ukweli wa dini ya khaki.
masha Allah! Allah akubariki sheikh.
Wellcome sister
Insh'allah Mwenyezi Mungu nimkubwa jameni makanisa elfu na muskiti moja awaone mshangao kunasiku watakubali ukweli
Yaani hawa watu hawana akili kiufupi iyo dini yao iko kibiashara zaidi so ukristo ni duni yakibiashara so nawaonea huruma wale wafuasi wao, naomba mungu awajalie waujue ukweli na mungu awajalie kila lakher nakuaepushia kila lashari mashekhe zetu Amin
Kwel
Njia salama islamiki kijana yupo sahihi
Subhanaallah Allah swt tu ndie Mola wa kweli Alhamdulillah biniimal Islam
Alhmndulilah thuma Alhmndulilah
barakallahu lak ya sheik yahyah...may Allah continue to give you life so wasilimu wengi nasi usitusahau kwa dua..🙏🙏🙏
Wote watumishi wa mungu ila Sasa Apo kwenye din sio kwenda mbinguni matendo yako ndio yatakayo kupeleka na atakae fumilia mpaka mwisho
Nilisikiliza shehk mmoja akisema alienda Congo akaulizwa na wanajeshi wa huko kuuwa ni alali akasema ni alali naomba msilam anipe andiko linalo ruhusu
Mashallha Shekhe Yahaya
Mashallah sheikh wangu
Shekh yahya inshallah Mungu anijalie nikuone nanihudhurie mjadala wako
MashaAllah sheyk yahya Allah akuhifadhi
Mwenyezi mungu awajaze na awaoneshe njia wenzetu inshallah
mashaallah Allah bariik my brothers
mashaAllah
Kazi KUBWA unaifanya Sheikh mungu akujaalie
Mungu akubariki sana kijana ,Allahakbar.
Ma shaa Allah
MASHA ALLAH
Sheikh Yahya Allah akupe umri mrefu uzidi kuutetea na kuunyanyua uislamu na iwe sababu ya kuingia peponi.
❤❤❤❤❤,.
Masha Allah
masha llah allah awaogoze masheikhi wetu ila huyu mwegine ameogea lugha gani ama ndio maombi ya dini yake yarabi
Nakukubali San shekh yahya Allah akuzdishie kher ktk kaz unoifanya unatufurahosha waislam kwn unaongea kwa point nzur
Yesu hakua mfia dini, Bali alikufa msalabani kwa ajili ya waliopotea kama waislamu
Kuruhani ni samary ya biblia pinga usipinge mungu hana dini, dini yake ni moyo wako ukiwa safi, na ukitenda mema kwa jirani yako nakusihi warabu walikuletea kuruhani ili wakupoteze? Kwanini kitu chochote kilicho kitakatifu kisiletwe na mwafrika kila kitu mzungu au mwarabu?
Pole umepotea
@@janetjackson9586 yes
@@janetjackson9586 hakuna kitabu cha waislam kinachoitwa jina hilo na wala hakuna kitabu cha mungu kinaitwa bibilia
@@janetjackson9586 tuamin vp yes aliwekwa msalaban kwajili ya dhambi zetu ama kila mtu atakuga kwa dhambi yake ?
nashkulu mungu kwa kuniletea izi clip yan nimekuta imekuja tu na naona kuna faida kubwa sana.islamic is the real religion
Nashukuru kuwa mwisilam Alhmdhuliallh
Alhmndulilah thuma Alhmndulilah
sis tunachojua yesu nijia yakwal nauzima mtu hij kwa baba kupata kwa yesu amina
Mashaallah
Huyu mchungaji hajielew hata ,,,,hata anachokiongea hakijui,,,,,, namshukur Allah kwa kua muislam..
Mm nkisoma hizi community za hawa wakiristo wallah usikia kichevuchevu
MASHA ALLAH...
Masha Allah, Allahu Akbar,
MashaAllah..TaqbaAllah
Uislam raha walah... Mungu atuzidishie imani
Allahu Akbar Kabira Walhamdulillahi Kathira Allah akupe umri mrefu na akupe afya njema ili uzidi kuitangaza dini ya haki.
Kwakweli maajabu makubwa! Kwamba hata viongozi waao hawana wanachojua, wamejikaririsha uongo mtupu! Msiba huu
Hakika uislamu ni njia ya haki. Amin
Mashallah
Ma sha Allah
Shekh hutaki mke mashalah 😂😂😂😂mi nimekupenda kwa uislam
ACHA UJINGA
nimechekaaa wallahi unatoa Kibano mpaka mtu anavurungwa Povu linamwisha mchungaji kapatikana yesu Hana dini
Naam ana ushuhuda mwingi zaidi ya ushahidi ndio maana najaribu kimiweka sawa ili aeleweke na watazamaji.
Ajatoa andiko shekh
Takbir waislam
ALLAHU AKBAR
Allahu Akbar
Allah akulipekher ustadhi
Shekhe yahay maashaalla h Taibe nungu akuondolee husda
Happy to be born Muslim , kutoka Ibrahim mpaka yesu dini zao gani ...
Takbir
Wewe unaeuliza shahada Kila mtume anaulinganiaji wake umuelekee mungu safali ya kwenda kwa mungu
Uyu bishop fala kweli
Yaani nimecheka hadi basi
Allah Akbar
ALLAH WAKBAR!!
Hajui chochote haelewi hata Kama Yesu alikua na dini wala hajui Kama Musa alikua na dini Kweli MUNGU amsamehe hajui hata amri zilitolewa za nini
ProudMuslim
مشا الله
Nashukuru kuwa mkiristo
towa andko wapi kwenyebibilia imeandikwa kuwa ukiristo ni dini? sema unashukuru kuwa kafiri dinihuna
Takbiiiii Allah wakbarii
Allah awaoneshe njia sahihi