Simba yaifumua Al Hila 4-1, Morrison apiga mawili, akera - Simba Super Cup 27/01/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ม.ค. 2021
- Simba wameanza kwa kasi michuano ya Simba Super Cup wakiwachapa Al Hilal ya Sudan mabao 4-1 katika mchezo wa kwanza. Magoli yamefungwa na Rally Bwalya, Perfect Chikwende na Bernard Morrison aliyefunga mawili.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz - กีฬา
Jaman inatakiwa i trend hiii game like hapa kama unataman iwe trending simba super cup
Haipit wiki hii
@@emmanueldarema1353 itapendezaaa
Kma hii ndo uliyekuwa unaisubiri gonga like hpa wanasimba
Ximba ix like a new persia
Hajimanara
Haji manara
Simba raha sana 🤸🔥🔥🤗
Bwalya namuona yule alikuwa xx karudi kwenye kiwango amekuwa na consistency nzuri xana well done bwalya
Naomba like zenu ,Mabingwa wa Nchi Simbaaa Sc
Likes unataka upeleke wapi
Hii ndio simba tunayoitaka msimu ujao inshaallah
Tadeo kafny broke nyng ila hakuna anaemsifu,defensive players wanasahaulika san
Nikweli Tadeo jana nimemuelewa sana amepambana sana
Yap Tadeo n mtu sanaaa
Me ndo alikuwa bora sana.. Akicheza HV cku zote mkude ajiangalie sana
@@mrishoyusuph9532 tackling zote zilikuwa na usahihi wa 100%
@@mahengomahengo8191 Anatisha. Maana anafika kwa wakati kwenye matukio ya hatari. Simba tumepata chuma kweli kweli.
Aliyemleta Lary Bwarya Mungu ambariki sana
Hakika.
Amen na azidi kuonyesha kiwango zaidi na zaidi
Mmmmm
@@kimpalambapj yohan mwaigag naomba ulafik
Simba raha jamaniiii 🔥🔥🔥🔥🔥♥️
Simba tamu
Mi mshabiki sana wa yanga lakin tuondoe unafiki Kwenye soka kwa huyu benard Morrison yupo vizuri sanaaaaaaaaa
Sanaaa anajua jamaa
Morrison baada ya kuona pasi alotoa kwa Miraji haikwenda sawa alikata tamaa na kurusha mikono ishara ya kulaumu😀
Ila baada ya hapo kilichotokea ni furaha tu maana akafunga bonge la goli💪🙌
We
Simba sports club big time Africa 👊🇹🇿❤️🦁
.bwalya ni Moto
Hii ndio simba yanga mtateseka sana na bado
bm3gh all da best
Kwa SIMBA hii hata ije timu yoyote kutoka Ulaya Tutaifunga Tu 😂😂
Asante Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwa burudani nzuri ya Soka ⚽
Onea timu za nje Kwa sababu ya nyauuuu. Kibongobongo hamna kitu.
Kwakweli. Simba. Ina. Tisha. Mwaka huu
Kweli ina tisha
@@musajosephjoseph3514 utoporo Fc 🐸 🐸 unateseka 😂
@@razaroramazanidaud6368 Tena Sanaa 👊
This is simba
Bm3 😍
Simba mungu atujarie ty
Combination ya morison na mugalu ni kisanga
Vipi akiwepo Ninja na makapu,,😂😂😂
Simba nguvu moja
Simba kumenoga watu wangu
Naipenda Sana Simba ndotumu yangu hakuna kwampira niliouona kwamkapa hata aje malaika mtoa roho hatoki salama namaanisha ataaje ibilixi shetani hatoki salama kwamkapa
Afanalekiiiiii another level
Hata Tp mazembe na yeye anatakiwa ale kama hizi
Baraka mpenja.....Match hii wapiiii si tulikubaliana za simba utatangaza wewee
Hahaha
Simba raha mustarehe
Nimeipenda
Simba mungu ana waon
Kwanyii hao jamaa mungu hawaoni mbona simba
Niliisubili sna hii
Asie kumbuka Simba ya kipindi hicho afe
Simba mbele mbele goli 3 tuu leo👌👌 ili tusiwazalilishe sana asvita 💃💃😋
Mambo
Always Red is danger #Simbanguvumoja#💪💪, What are goals for BM3 😂😂
Uyo Kocha mpya wa Simba nimempenda Hana ubaguzi kwa wachezaji anafanyasub
Hakuna kocha anayepita simba na akawa mbaguzi...ni vile tuu wachezaji wetu hawajitumi
Tulikua tunataka simba kama hii
Kwa simba hii hsta ije bayani munich itspigwa tu
Yaaani unajitekenya mewenyew kisha unacheka mwenyewe,,😿🙀
@@ayubumuhanga4438 jitekenye na wewe kama unaweza kinachotakiwa ni kufrahi cjui kama utaweza kujifrahisha kwa kujitekenya kwapani na kucheka
@@sniperbogo6210 nyie mbumbumbu ndio mnaweza peke yenu kujitekenya na kucheka,, mmekosa mapinduzi,, viongoz wenu wanawafariji na nyau cup,, aliewashaur mctuarike ujue kawaza sana, tungebeba hicho kibakuli chenu,, wameona wawafariji mashabiki kwa kupanga matokeo.. 🙀🙀🙀😿😂😂😂
@@ayubumuhanga4438 huna jipya hili kombe nyiny sio saiz yenu maana hili wanacheza mabingwa tu
Namkubali Sana kocha ye Hana maneno mengi Ni makofi tu 😂😂😂
😀😀😀😀✌🇹🇿
Nani kamuona Dogo mtunza Mipira Akicheka Nakushika Kichwa Baada Ya Kibusha Morrison 🔥 Alipo weka Mpira Kwene Bkta
Simba lahaaa saaaaana
Apo konde boy hayupo sa ingekuwaje
kituko alichokifanya morrison, yanga hawatakuja kusahau, nimependa pasi aliyotoa miraji othman kumpa morrison
simba Vs yang kucheza lini
Mungu akubariki chama
KAMA IMEKUBIDI KUITAZAMA HII SIMBA KUPUNGUZA MAUMIVU YA KUTOLEWA NA YANGA GONGA LIKE HAPA
Asante sana
Vpi mpaka alitumika au Simba ni brand kubwa sasa
Kwa simba hii ata aje manchester United anakula zake anaondoka wachezaj bora sana hawa
Mfano sisi yanga tunataka kuincia kwenye aya mashindano tunafanyaje fanyaje adi tujoin
NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI KUUPATA UTAJILI Sehemu ya 23: ZAKIA MWENDELEZO.
th-cam.com/video/9CCePc5-JSU/w-d-xo.html
Lazima muende hatua ya makundi 🤣🤣🤣
Yanga inabidi msubili miaka 10 ya ubingwa wa simba ndo mtaingia kwenye haya mashindano
Sawa mtani usijali mwakn naww upo
CEO alisema mashindano yajayo nanyi mtashiriki
Noma
Jameni kushabekia simba raha
Nice
Yaan Kuna watu WENGINE wanampenda dunia mpk wanakufuru mungu nipe mwisho mwema mm na kizazii changu
Kauli za maskini mpumbavu mufa maji mbwa 🐶🐕🐕 ww
@@afterfull-time1348 ungemjibu kulingana na comment yake kiungwana zaidi
@@yohanacharles5758 huo n upmbav na izo kauli zinapatkana baada ya adui kukushinda kwa kila mbinu ndo unamkumbka Mungu acheni kuhusisha Muumba kweny vitu vyq kifara ivo furaha n sehemu ya maisha ya mwanadamu unawezaje tia koment za kishoga kias hicho na huyo n mwana UTOPOLO
Hivi hii ni SIMBA ile ile?au niwatu wanatafuta namba za kudumu kwa kocha mpya.maana sio kwa PIRA BIRIANI hili nilililo liona nitamu saanaaaaaa
Hiii simba sijui aanz3e nan na abakiiii nan benchi
speaking from the interior of my heart,, apart from disrespect and indiscpline cases ur the best MORISON
Ooya nimpenda
Fantastic day
Vipi Simba
I love you Lion
Simba raha jamani
Jaman Simba hatal
SanaSanaa morrison
Hiyo ndio simba
Simba yetu mi nzuli xana
Kazi nzuri azam media
Hongelen
simba sio poa
Atachaje kuwakera
Move
PAMOJA NA KUA BWALYA KAUPGA MWINGIII..LKN MAN OF THE MATCH N MORRISON GORI TATU KAHUSIKA UYU MTU RICHA YA DAKKA CHACHE ALZO CHEZA😀✊
Uliangalia mechi kwel au umetazama now hii HL ndo unakoment ivo
@@afterfull-time1348 kivyovyote vile man of the match n Morrison ndo kaua mchezo bwalya pamoja NA kaz yote aloifanya kahusika kwenye gor moja tu dakka zote lkn Morrison dakk chache gor mbil NA assist😀😀
@@oscarjohn477 Acha upimbi mchezaji bora sio lazima awe amefunga goli au magoli kinachoangaliwa ni ubora wake aliouonesha mwanzo hadi mwisho wa dk 90
@@mrpeter4828 pia mtu kuamua mechi inaweza kumpa Man of the match
@@mrpeter4828 Mara sjui pimbi yametokea WAP kwa taarifa yako nna urefu wa 178cm ASA jjbu mwenyew pimb n yup APA..anyway inaonekana n mgen kwenye soccer ndomana hujanielewa takujb kwa mfano rahisi *RASHFORD ALCHUKUA MAN OF THE MATCH MECH NA RB SALZBURG HAKUCHEZA IZO DAKK 90 UNAZO ZTAJA ALOTEA SUB LKN KWASABABU TU YE NDO ALIUA MCHEZO TENA KWA DAKKA CHACHE ALZOPATA* UNAWEZA PIGA PAS NYNG VYENGA KBAO LKN MCHEZO WA MPIRA N WA MAGORIIIIII😀😀😀😀 N ISHIE APO UKISIPO ELEWA BAS ACHANA NA MPIRA KAFANYE VTU VNGNE UKU UNAJPOTEZEA MDAAA😀✊
Mmmmmmmh simb nguvu moja
taifasitaa
GOMES ana systems nyingi sana, Hii Mechi ndo Hunipa Hope ya Kujakuichakaza AS VITA hapa kwa Mkapa...5 Bila Naziona SIMBA kuichakaza AS VITA
timuyataifa sitaa
Simba
Yani raha ninayo ipata kila nkiangalia mechi za simba hakuna mahara popote ninapo weza kuzipata yani hii ni zaidi ya rahaaaa
Vizuri
Zoran yupi coach wa alhilal
💞♥️
Simba vs azam
Daudi joseph
Naweza kusema pacome ni morison alie na nidhamu
Ni kwli ndogi anawapa simba wanachotaka, amani kwake
Nyombo za machalii watundu
Hatuna haja naye
Mambo
Simb mnyama
Na sisi yanga tunaruhusiwa kucomment hapa
Nenden mkakoment mapinduz cup. Nyani nyinyi
@@afterfull-time1348 Duuuu 😂😂😂😂😂
Tupo pamj watan
Hii Ni hatar
Cmba baba lao
M
azam pandisheni bei ya vifurushii hiii piraa biriani sio ya kuangaliwa kwa kifurushi sawa na UTOPOLOO.
mabanda umiza tuongeze kiingilio pja hii inafaa kuangaliwa kwa bei juu
😀😀😄😄
Hhhhhhhhhhhhhh
😂😂😂😂😂
SSC for real.
Mo
Kwel
Uyo Kipa Wa Sudan Shkamoo
Shoo zawsafi
Kenedy
Mnyamaa
MICHELINI scoll
saf
Vo