ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ZANZIBAR CITY 2024 (DRONE)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 เม.ย. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mashalllah zanzibar nzuri kumbe tutakuja kutembea inshallaah
Mashaallah iko vizur zenj
Nimeliona basi la uwanja wa ndege ❤
Mjin umechoka na watu wake wamechoka
Mashaallah unguja imekua zahma nyingi ule utuluvu wa zamani haupo tena
Ni mji mzuri sana but still hard job need to be done,hizi barabara bado nyembamba,nafikiri wakiondoa hizo garden nakuzitanua hizi barabara Zanzibar itakuwa safi sana,,may Allah bless Tanzania to the best
ASALAM ALIEKUM 1 WISH WAS IN ZANZIBAR🎉🎉🎉❤❤❤
Zanzibar kunavutia ,,,,Masha Allah
Nice county
Mie natamani nione sehemu za ndani migomban mpka jangombe😅
Hichi kisiwa selikari isipo jiandaa na ongezeko holela la magari itafikia wakati kisiwa kitazidiwa.. Waeke kipaimbele kwenye kuboresha public transportation... Bila ya hivyo kitawakuta kinachowakuta Dubai now
days.
Fujo tupu
Video hii ukiwa nje ya Zanzibar inakutamanisha kwenu
Nitakuja kuoa mwarabu wa Pemba in Sha Allah. 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Kwani pemba kuna waarabu
@@ramadhanrashid1011😅😅😅😅swali zuri