MASHAALLAH, hakuna binadamu asiyekuwa na kasoro lakini ALHAMDULLILAH amejitahidi Allah alivyomuwezesha tumejifunza mengi ALHAMDULLILAH alichokosea Allah amsamehe
Alhamdulillah. Allah akusamehe makosa yako na akulipe kila la kher, sheikh wangu mpendwa namba 1. Tuunashkuru pia kwa kutuachia dhahabu ambae ni mwanao
@@ALIKHAMIS-un4fv sio salafi mjomba maana hakuwa na mambo yakubishana yeye ilikuwa anatowa daawa na sifa ya salafi ni kushindana mambo ya hoja weeee adi kazi ya mtume kzi ya kumtangazia ALLAH kwa wasio mjuwa na kulingania wasiomuabudu ALLAH kwa salafi haipo wao mambo ya hoja tuuu kwa shekh nassoro hakuwa mtu wa ivi yeye ni daawa tuu na kuufundisha umma misingi ya dini bx
Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala atakua si muislam, na yoyote anaemshirikisha Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo pia atakua sio muislam
Hata MI nisha fundishwa na nina hakika wengi tumesha kaa mbele ya ma ustadh wa bid'a. Ila kwa kudra za Allah akatufunulia elimu zaidi yaku tofautisha Kati ya hawa washirikana na watu wa Sunna
Kaka usichoke kurusha video za sheik wetu marehem Nassor bachu Allah akulipe kila la kheri na nichukue na fursa hii kumuombea dua sheik Nassor bachu Allah amlaze mahali pema peponi (amin)
Allah anafanya mambo yake kwa mipango alimuondoa Nassor Bachu akamleta Muhammad Nassor Bachu nae huyo amefuata nyenendo za baba yake Allah amuhifadhi na amueke anapo stahiki sheikh Bachu.
Shia so muuslamu, Wao hawamuamini ALLAH ambaye tunamuamini sisi, ALLAH ambaye Mtume wake wa mwisho Ni Muhammad na khalifa baada ya Mtume huyu Ni Abubakar. Bali wao wanaamini maimamu wao 12, wanasifa za kiungu, na Kujua ghaibu n.k Hakika kwa hayo na mengi, wao so waislamu. Bali wanadai ya kuwa ni waislamu ...na madai pasina uhakika si lolote so chochote
Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala si muislam, na yoyote anemshirikishwa Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo sio muislam
Kwani nikulize wewe Muhammad bin bachu Una sumbuka naninii? Pia ikiwa ushaudhihirishiaa UMMA kwamba hii ndio batili na ipi ndio HAKKI usibabike na hao wanao watoa watu na kuwakufurisha watu. #Usibabike#
ALLAH amtilie nuru kaburini mwake sheikh wetu wa ki sunnah , na amlipe pepo ya juu kabisa amiin
MASHAALLAH, hakuna binadamu asiyekuwa na kasoro lakini ALHAMDULLILAH amejitahidi Allah alivyomuwezesha tumejifunza mengi ALHAMDULLILAH alichokosea Allah amsamehe
Allah Amrehem Sheikh Nassor Bachu, Allahumma Amin ya Rabb 🤲
Amin
Allah akurehemu shekhe nassor bachu 😪😪😪😪
Alhamdulillah. Allah akusamehe makosa yako na akulipe kila la kher, sheikh wangu mpendwa namba 1. Tuunashkuru pia kwa kutuachia dhahabu ambae ni mwanao
ALLAH amuhifadhi amrehemu sheikh wetu.
Tulipoteza sheikh mkubwa sanaa ..nmejifunza mingi sheikh wangu ..Allah akurehemu sheikha nassor bachu
Allah amrehemu na amsamehe sheikh wetu .
Allah amrehem shekhe wetu kipenz salafi wa Zanzibar
Ameen Yarab
Xio xalafi Sunna
@@hamicpina1151ni salafi sheikh nassor
@@ALIKHAMIS-un4fv sio salafi mjomba maana hakuwa na mambo yakubishana yeye ilikuwa anatowa daawa na sifa ya salafi ni kushindana mambo ya hoja weeee adi kazi ya mtume kzi ya kumtangazia ALLAH kwa wasio mjuwa na kulingania wasiomuabudu ALLAH kwa salafi haipo wao mambo ya hoja tuuu kwa shekh nassoro hakuwa mtu wa ivi yeye ni daawa tuu na kuufundisha umma misingi ya dini bx
Allah akuweke salama ulipo ustadh al marhum Bachu.
Allah amjaalie kila la kheir huko akhera alipo
Sijaona kama sheikh nassor bachu east Africa...eee mola mrahamu sheikh wetu
Ya Rabbi murehemu sheikh wetu na wanachooni wetu wote.
Amin
Amin
Amin
Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala atakua si muislam, na yoyote anaemshirikisha Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo pia atakua sio muislam
Hata MI nisha fundishwa na nina hakika wengi tumesha kaa mbele ya ma ustadh wa bid'a. Ila kwa kudra za Allah akatufunulia elimu zaidi yaku tofautisha Kati ya hawa washirikana na watu wa Sunna
Mungu amrehemu Sheikh wetu
Allahumma ghufirlahu warhamhu filnannah
MashaaAllah alikuwa shujaa sheikh nassor Allah amrahamu
Allah amrehemu .Allahuma thabit'hu bi qauli tthabit
Kaka usichoke kurusha video za sheik wetu marehem Nassor bachu Allah akulipe kila la kheri na nichukue na fursa hii kumuombea dua sheik Nassor bachu Allah amlaze mahali pema peponi (amin)
ALLAH AMREHEMU SHEIKH NASOR BUCH
Hakuna alieweza kuwazungumza vizuri mashia km shekh qasim allah amuhifadhi
Sababu wewe ndivyo ulivyokaririshwa
@@vitalcool9266 hapna huo ndo ukweli hao wengine wote KAZI Yao ni matusi tu
We nawe una matatizo
Wewe umeanza kusikika mada za mashia kwa qasimu lkn kuna kina sheikh Saalim barahiyani wamezungumzia sana kuhusu mashia
@@khalidmussa3769 barahiyan nae ni shekh 🤣
Mtumaji. ALLAH AKULIPE KILA KHERI
Mungu amrahamu shekhe Nassor na amjaalie kizazi chake kuwa katika kundi la wafuasi (Shia) wa Mtume s.a.w na ahlulbayt na swahaba zao wema. Amin
Nyinyi mashia ni makafiri
Kumbe kikundi loh!!!!
Allah amraham sheikh bachu
Amiin mzee mwenye busara zake ila huyo mtoto kisunzi😄😄
@@rehemasalim4590 umeonaee yani anabusara japo tulikua wadogo akifariki ila clip zake zipo kwa sasa TH-cam tunamfatilia
@@omaar5693 😀😀😀😀
Allh amrehemu shkh nasoro bacho na amsamehe
Aamin
Allah amrehemu akhera aliko
Rahmahullah Sheikhe Nasoro Bachu
Allah amsamehe na ampe rehma zake , lakini weka mpaka mwisho ili tufaidike
ALLAH AKULIPE KHERI KILA ULIPOPATIA.NA AKUSAMEHE ULIPOKOSEA KWA JUHDI YAKO.
Aaamin
Allahumma Amin ya Rabb 🤲
Alla akurehemu akusamehe dhambi zako
Allah amrehemu sheikh
Shukran
Assalamu Alaikum. Sheikh Muhammad, tunaomba utuwekee duruus za Tamaamul Minnah zilizofundishwa na Sheikh Bachu Allah amrehemu, ili tuweze kustafidi kielimu, baarakallahu feekum.
Mashaallah mungu amrehem
Ameen
Amiin
Assalamu Alaikum. sheikh naomba uiweke yote na sheikh ukipata nafas hebu tuelezee na kusihana madhehebu ya salafii.Allah amrehemu sheikh wetu nassor bachu
Huyu sheikh Allah angempa pumzi paka SAS hv kwa uwezo wa Allah tungefaidika Sana ila Allah ndo mjuzi zaid ya hilo
Allah anafanya mambo yake kwa mipango alimuondoa Nassor Bachu akamleta Muhammad Nassor Bachu nae huyo amefuata nyenendo za baba yake Allah amuhifadhi na amueke anapo stahiki sheikh Bachu.
Shia ni muslamu au ni nani.naomba ijibu?allah atulinde waisalmu wite duniani atupe mwisho mwema.
Shia so muuslamu,
Wao hawamuamini ALLAH ambaye tunamuamini sisi, ALLAH ambaye Mtume wake wa mwisho Ni Muhammad na khalifa baada ya Mtume huyu Ni Abubakar.
Bali wao wanaamini maimamu wao 12, wanasifa za kiungu, na Kujua ghaibu n.k
Hakika kwa hayo na mengi, wao so waislamu. Bali wanadai ya kuwa ni waislamu ...na madai pasina uhakika si lolote so chochote
Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala si muislam, na yoyote anemshirikishwa Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo sio muislam
@@rashidyusuphmwatebela8802 sahih.
Shia ni kafiri
Allahmdullilah ala manhaj Sarafi
Kwani nikulize wewe Muhammad bin bachu Una sumbuka naninii?
Pia ikiwa ushaudhihirishiaa UMMA kwamba hii ndio batili na ipi ndio HAKKI usibabike na hao wanao watoa watu na kuwakufurisha watu.
#Usibabike#
Nani ana mzushia ushia shekhe wetu
Ni babako huyu sheikh muhammad
Tunahitaji muendelezo
Tupeni muendelezo
ushia ndio ukweli
Mashia ni waislam halisi wa nyumbani kwa mtume
Mashia ni waislam halisi
Hajanikinaisha kabsa yannnnnn
Shekh muhammad bachu nakuuliza nasikia chichi amebadilika amekua shia hivi ni kweli
Nguruwe za mashia ni makafiri wa waazi
Acha kupotosha waitu wee hujui chochote unasababusha waislam kuuwana huna ilmui
Bachu kafiri huyu anayetukana masheikh
Inshaallwaa...ushia utashinda....hahaha
Khanithi mkubwa