Tazama hekaheka za mechi ya nusu fai9nali ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC dhidi ya Azam FC. Yanga imeshinda mabao 2-0 na yamefungwa na Stephane Aziz Ki na Clement Mzize
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
mpira wenyewe jana ulikuwa rafu nyingi ,kiufupi haukuwa na radha hata kidogo ndio maana naona hata highlight ni fupi , na pia mwishon ndio matokeo yalitokea
HHHHHHHHH hata waweke dakika 1, wakubali kwamba YANGA ni Team bora kwa Azam akunashida yoyote, tuna subili Final tuu hapa na kombe una linyanyuwa, viva Yanga
Pamoja na kubebwa kote bado tunapigwa😢😢,,huyu kocha no tatizo kaja na formation ambayo hata haimatch wachezaji aliowapanga😢😢😢😢 anakera sana,,nini shida iko na Kipre Junior ?? Afu na ndala mkamtoa kwa mkopo 😢😢😢
Tuwaambie ukweli2 mkihusisha TV na mambo ya mpira mnafeli sasa highlight fupi hivi sio poa kabisa matukio makubwa yanayosimuliwa ni meng zaidi hata robo yake hamjaonesha sio poa
HIGHLIGHTS DAKIKA TANO ??? Kwa huu uhuni aje muwekezaji mwengine aonyeshe mechi za ligi kuu mnadhani wanayanga tutaendelea kulipia azam tv ? Baadae haijengwi baadae bali inajengwa leo, ni swala la muda tu, it will already be too late to aplogize.
Kama unairudia hii mechi kama mimi like hapa mwananchiii 💛💛💚💚Yangaa rahaa💛💛💚
the tanzanian league is growing every year ...with more good facilities like the mkwakwami stadium ..sending love from Botswana
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Hi upo wap
Huyu msize ni top talent....na nna Imani chini ya Kocha Gamondi ataimarika kama ataendelea kumpa muda wa mechi....Watching from Msa,Kenya
Azam tunaomba msitufanyie hivyo wateja wenu highlights dakika 5 kweli????
Yanga bingwa💛💚💛💚 alafu huyu Diarra na Fei mmenifany nicheke😅😅 Alaf hizo jezi za Azam nzuri😊 Yanga bingwa 💛💚💪🙏
Ila huyu Max Nzengeli ana kitu. Atafika mbali
Hata kama, ndo dk 5 jaman tangu lini ikawa hivyo 😂😂😂
Hatujapendezwa na hichi kitu highlights dk 5 tangu lini hatuja penda kwa kweli mpira ni burudani sio chuki
Wasenge Hawa huwajuag mfyuuuiiiiiiiiii ingekuwa wameshindwa wao ungeona highlights 30
Wangeshinda wao sekund tyu ishawekwa
Hahahhah😂 daaah bongo sihami
kweli lkn dah wametuonea
mpira wenyewe jana ulikuwa rafu nyingi ,kiufupi haukuwa na radha hata kidogo ndio maana naona hata highlight ni fupi , na pia mwishon ndio matokeo yalitokea
💚💚💚💛💛💛young hii ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥much love team languuu💚💚💚💚
We need TV3 to show NBC premier league now.
Manshaallah kwa woteee ila mzize unazidi kuiva 🙌🙌👏👏👏
Yanga mbingwa 2023/2024;
Uyu Aziz K au Messi et jaman💚💛🖤👊👊💪💪
Yan highlights dakika 5 hata ulaya sijawahi kuona 😢😢😢
Camera mbona hazimuonyeshi Karia
HHHHHHHHH hata waweke dakika 1, wakubali kwamba YANGA ni Team bora kwa Azam akunashida yoyote, tuna subili Final tuu hapa na kombe una linyanyuwa, viva Yanga
DSTV ANZENI KUONYESHA MECHI ZA BONGO AWA WASENGE SANA TUMEWAKANDA 😂😂😂😂
Azam tv mnaringa sana siku izi ighlights dakika 5 tu
🎉
nyie hata muweke highlights dk2 ila msimu huu kipigo kipo pale pale na azam fc ndo kashaolewa na yanga 😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nyie Azam mnatuwekeaje highlights dakika 5😮😮😮nyie vipiii!!?
😂nimekuja hapa kwa Ajili ya shuti la mzize tu ,,lililogonga posti..
Dogo kumbe anajua kupiga mashoti kiasi kile
Sisi ndo yanga💚💚💚💚😊💛💛💛
Sisi ndo ya_ngaa
CLUB YA TAIFA 🔰
Azam mbwa nyie maniner zenu sasa nn hiki mmefanya tangu lin mkaweka highlights dakika 5 mbona mnaonesha chuki za wazi
Mushaishiwa hela video ya dakika 5 kweli duh acheni kuwa munapost
Mkifungwa nyie ndo highlights zinakua fupi 😅 5mins
Na hiyo ndio maana halis ya tim kubwa madunduka msitukimbie
Yanga ya motto
❤❤❤
Mnawekaje highlight dk 5, mira sio uadui
Futeni Mtuwekee Ndefu nawatumia 10,000
Du Azam na nyie bado mko preseason ka video mmekakata kata mpaka hakavutii
Yeah as ndo young African
Lambalamba mngeshinda nyie mngeweka dakika 30, wauza koni acheni wivu😅😅😅
Azam sjui wakoje nyisubirin highlight yasimba kesho inaweza kuwa hata dakik 20 ila yamabingwa wanakatakata ili kukomoa tu
Azam na nyie ninunue kamera za kisasa bana
Highlights dk 5 ..kwell azam mmeumiaa kwa matokeoo
Mngeshinda highlights ingekua dakika 30
Yaan tv3 wanawek highlights ya ndondo cup dakik 23 ..nyie azam mnaek highlights y mech kubwa dakik 5
Poor azam
Kwahiyo hiyo highlight ndommeiweka mlikuwa wapi au wivu tu kisa tumewabonda komkaon uviv mpk kuiwek
Jifunzeni kuedit bwanaaaaa.....unaonyesha faulo badala ya kuonyesha magoli yanavyo tafutwa🤣🤣🤣🤣🤣
Tunataka full match mbona hamuweki acheni roho mbaya 😂😂
Azam mnafeli san highlights dakik 5 znafaida gan sas wkat mech ina matukio meng
sure wanazingua an
Ila Azam Fc🤔 Ila tuendelee tu ipo siku tutakuwa imara.💪
Atujapenda highlights dk😢5
Hii ni dharau highlight gani hii?
Sijawah ona upuuzi kama huu na tutawafunga sana🤣🤣🤣 hata mkigoma kuweka izo dkk30
Pamoja na kubebwa kote bado tunapigwa😢😢,,huyu kocha no tatizo kaja na formation ambayo hata haimatch wachezaji aliowapanga😢😢😢😢 anakera sana,,nini shida iko na Kipre Junior ?? Afu na ndala mkamtoa kwa mkopo 😢😢😢
Hata simba atapigwa sio azam tu
Daah sasa hiki ni nini si bora mngeacha 😏
Why 5 minutes?
Wamebana wameachia😂😂😂
highlight dk 5 kweli😂😂😂
Kwa CAMERA HIZI AFADHALI HATA ZA BONGO MOVIE
Hawa last born hawawezi toboa kwa Yanga, wawe wanajifariji kwa majirani tu!
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😄kwa makolo
Kweli highlights dk 5 Azam sio kabisa kwanini msiweke hata dk 25 au 30 mnachuku binafsi na yanga kima nyie
Azamu hapa nayo hamja tenda haki, ama mnge acha kutoeni
Azam sometimes kama wasenge sasa hii ni Highlight au Lowlight 😂😂
Highlight dakka 5😂😂mmetisha azam🙌🏾
Azam Tv mmeendele Kwapicha angavu namuonekano mzuri
Tuwaambie ukweli2 mkihusisha TV na mambo ya mpira mnafeli sasa highlight fupi hivi sio poa kabisa matukio makubwa yanayosimuliwa ni meng zaidi hata robo yake hamjaonesha sio poa
Highlights mbovu au kisa Yanga waliupiga mwingi
Duur daki 5
Azam kocha hamnafei ilibidi abadilishwe kipa makosa mengisema yangayenyewe nayo ilikuwa mbovu zibeni ufakabla---
Yani mtufunge na TV yetu mtupangie tafuteni yenu
Hahahahaaaaaa
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😊😅😅
#aboi_4rm_makambako sidibeee mbombo
Highlights dakika 5 acheni roho mbaya
Dk 5 hiii Kali😀😀
Mbona azam wanawivu ivo yani dakika 5 😢😢😢😢
kati ya skudu na andazi munachaguwa nini?
Nachagua south Africa
Nakuchagua wey na komwe lako
@@wardashabani usiwe na makasiriko halafu pia hujaambiwa kuwa ni lazim kujibu
Mkeo
@@kipetelo9897 njoo uchukuwe uyo mke wangu ila ukiondoka utaondoka ukiwa na mimba
Highlights Gani hii fupi hata Skudu hajaonekana kuumia
Yaani Mimi nilitamani kuona tukio la skudu akiumia ilikuwaje
Highlights 5mnts?!maanina zenu
Highlights dakika 5 mnazingua
Hii sio highlights bhana
Azam media mmeanza zingua, Highlight mnaweka dakika 5 kweli?
Kwanini mechi inakua fupi jamani😢
hii nimependa dk 15 had 20 hinghlit sio kweli
Safi
Bora msiwe mnaweka hizi highlights kama dk zenyewe ni chache
Yaani highlights fupi hiv,mmaamae
Highlight mbovu
Daah hamjatufanyia poah dk 5
Yani highlight dakk 5😢😢
Wangeshida wasinge weka fupii waseeeeeng
Azam mbona mnachuki hivyo sababu mefungwa au higlight dk 5 mngeshinda nyie mngefanya hivyo
DK 5 daaaaargh,
Duuh hii sio burudan kwa woote n dk tano mmechoka
Hii ni highlight au ufara tu msingepost rubish
Ni nzur🔥
Hivi izi jezi za azam nyie mmezielewa au??
HIGHLIGHTS DAKIKA TANO ??? Kwa huu uhuni aje muwekezaji mwengine aonyeshe mechi za ligi kuu mnadhani wanayanga tutaendelea kulipia azam tv ?
Baadae haijengwi baadae bali inajengwa leo, ni swala la muda tu, it will already be too late to aplogize.
wakishindwa wawape dstv bhnaa
Azam acheni roho Mbaya ndio kitu Gani ichi
Feesali atajutasana, kwanini kahama yanga.
Nyie sasaiv mnaichukia yanga hailiti gani dakika 5 mmbwa nyie
Jmn dk 5 kwel hamfany powa
Kabombe afanye mazoezi ya kutangaza aise kisauti kama mtoto alafu haijakaa kitangazaji
Azam TV mnazingua yan highlights gan ya dk5 acheni chuki za wazi makuku nyie,,,,
Azam huu wivu mmeanza lini dakk5 hoi😄😄😄😄😄😄
Nyie Azam vipi ndio muweke highlights dk 5 poor you.