Yanga 2-2 Azam | Highlights | NBC Premier League 06/09/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Derby ya Dar es Salaam kati ya Yanga vs Azam FC imemalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, katika mechi kali na tamu ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague
Magoli ya Azam FC yametoka kwa Daniel Amoah dakika ya 25, na malickou Ndoye dakika ya 65 wakati Yanga ikijipatia magoli yote mawili kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 57 na 77.
Katika mechi hiyo pia Yanga imepoteza nafasi ya goli kwa kukosa penati dakika ya 69.
Fey toto come up from the bench in second half but show up the finest on the pitch... he’s our super hero Zanzibar one ☝️ keep fighting and pray always you’re my best player in Tz of all time ....mungu anatosha...
Asante saaana Mungu kwa point hii Moja
Mm
timu Yangu ya yanga tatizo kwa sasa ni mabeki na golikipa pia hayupo sawa sikuizi turekebishe defence na goalkeeping... tutatisha zaidi.
Achen maneno leo mdaka mishale hafai tena😆😆😆😆
job anachezesha namba 2 ya nn na bangala kw nn asicheze 6
Mh Jana ilikuwa sikuya plesha kwa timzotembili ila zaidisaana plesha za mashabiki wa sisiyanga ilikuwa juusaana ila yotekwayote tunamshukulu mungu kwa kuwapa nguvu wachezajiwetu na kumpa chansi mchezajiwetu feitoto ndo meni of mechi
Inquiring
Yanga on fire 🔥🔥🔥🔥
Arajiga ndo shujaa wa mechi hii🇹🇿👍👍👍
Kwani arajiga amefanya nini
feisal ni balaa najivunia mno kuwa katika sehemu yetu WanaNchi ....... YANGAAAAAAAAAAA
Hongera sana fundi wa mpira africa fei toto
Goal keeping is not the problem The defence needs to improve Nyie mnaolalamika penalty ya mchongo mbona hamlalamiki mchezaji wa Azam aliyestahili red card na hakupewa Hatahivyo hiyo penalty haikuwa bao
Yanga the best just improve defence.line.and gal keeping is still.poor!
Ni kweli mchungaji umeliongea hilo sana wanahitaji maombi
Refa hafai afungiwe
MashaAllah Fey totoooooooo
Namna iyooo yanga
Azam Wanajifanya Kukamia Kwenye Mechi Kama Hzii Nyingine Wanakuwa Wakawaida Tu
Hongera sana Yanga hongera sana Faitoto kijana wa mikwaju mizito mizito yenye power ya SATAN 2
Azam wachezaji wenu wanaonekana washari washari na kuhamaki sana
Hii mechi ilikuwa bora sana
Nikiwa namanisha hiki ninacho sema Mungu Nakushuru hata kwa point 1 💚💛💚💛💚💛
Yangaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️
Yaani apo Feitoto ndio Mtuma risasi... Wengine wanapata chance ya kushinda Lakin wanapiga light shoot, wajifunze kwa feisal
We umeshajifunza???
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kushoto kama hautojli
Hello
Jazaak Allahu Khayr
Huyo mdaka lisasi atadaka lisasi zote ila sio za feiy, wala sisasi za wananchi
Jifunze hukmu ya quran tukufu gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali
Vizur sana
Feisal vs azam dogo kaamua mech
Kazi gum
Igem yanga kama sio ulumaa ya refa basi tulikua tuna potez shujaa wa mchezo feisal
Nassrudine Nabi MAN OF THE MATCH again....huyu KOCHA ni balaa Kwa kusoma Mchezo'...!
nikweli lkn mm ananikera kitu kimoja job kumueka namba 2 kw nn asicheze bangala namba 6 game tuff kwnn kuna wachezaji anawaweka nje
@@ratybkheir3049 anakukera lkn huelewi KITAALAM, ..huu sio wakati wa kujaribu au kumchezesha mchezaji mmoja, tunapoelekea kugumu lazma kikosi kiwe kipana na cha ukweli..!
😅😅 kipa wa azam baada ya goli la pili, anafikiria imetelezaje anahisi ndoto
Derby gani jaman haina mashabiki aibu sana kuita hii Derby jaman
fei noma
Mmejitahidi kikosi kimeingizwa wachezaji 5 wapya na bado mmefungana 2. Kwa 2
Huyu refa mechi zake nyingi ni za yanga ndio maana anachezesha kiushabiki
Yan refa mshamba sana ila muache kifungo kinakaribia na yy
Wakati mwingine msheli nae apewe nafasi ili diara asibweteke
Huu wimbo wa waamuzi uliimbwa tangu 2-1 za Mayele na utaimbwa Hadi ligi itapomalizika. Unajua kwa nini uwezo wa Yanga Ni mithili kimbunga kizito sana hivyo lazima utaimba.
Team yakawaida saana iyo jidanganye Ivo ivo
@@leeabd9057 ...unadhani MAKOLO wakicheza na Azam itakuaje, hii game ya WANAUME, ..!
Jifunze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojli
Kama ingewezekan muwe mnatuekea mechi nzima wengne tunahtaj
Feisal atauwa watu jaman
Fei toto hata msimu ulioisha nilidhani wangempa mchezaji bora wa ligi, sjui walitumia vigezo gn kumpa yanick 🤔
Yes
Mbili sufuri katika score bo bo boo😂
Refa amewabeba sana Yanga. Vinginevyo wangepigwa hata Tano
Kwahio mnategemea Yanga washinde kwa ajili yenuu
nafikiri alipoteleza Refa ni ile penati walionyimwa azam lakini penati ya yanga ilikua sawa pia sababu yule mchezaji wa azam hakucheza mpira alicheza miguu ya Morrison lakini kwa ujumla wake Refa kajitahidi sana...mapungufu madogo madogo ni ya kibinadamu...
@@abubakarnabahani4994 sama ile faulo yaazam maah haikua penat ile ilikia faul sema refa akapeta
Makolo kwani wanasemaje eee
@@bnttv8955 mi ni mwananchi ila tumebebwa bro
Vhamanxii. Hakuna. Tajirii
Lifutwe Hilo goli namalefali wafungiwe kwanza
nabi tabia hii ya job kumueka mamba 2 bangala umueka chini tutakosa matokeo kikweli
Kabisa
Feisal totoooooooooooooo🤴🤴🤴☀️☀️☀️☀️🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🥇🥇🥇⚽⚽⚽
Asante referee wa Mchongo
Ya leo hainogi
Hii live😎
Mechi dum🎉🎉🎉
Myangazaji ni Utopolo 🐸!
Hawaa. Makoloo. Wanaonyesha. Hawjirleewii. Timu. Laaoo. Bovuuu. Wanajipendekeza. Kwa. Lambalamba
🤣🤣🤣🤣
Watajua hawajui
Wameumia sana
Nyie vidaa vya yanga mnouzaga sura mtandaoni vip leo refa mbona hamumsemi Au ndio haki mnoitakaga hii ?? Mwamnyeto kaucheza Mpira AU miguu ya Dube ? Je refa huyu wa leo Mpira unatoka nje bado mchezaji wa yanga anaucheza anamuacha tu huyu ni wa karia au Gsm ? Ndio maama yule kocha aliwaita manyani mnabweka hovyo kunguni nyie
Kuna wa2 wa timu fln wameumia ata cjui wameumia nn😃😃
Daima mbele nyuma mwiko
Feisal amebarikiwa utu na utulivu
Video mmeikata vibaya
Kumbe komenti Ni kucheka toa points
Fei we sio mzur utaua
Mm napenda mechi iwe iv yatia lha sio simba akicheza na young anakua mwepesi kama nn Young anaenda kuchukua ubingwa wake tena nafasi ya pili Azam kwenye nafasi ya tatu ndio sijajua kati ya Sindida hau simba lkn ya kwanza young yapili azam
Yanga inashinda kwa sababu ya presha ya washabiki kwa marefa yanga bila marefa si chochote ndoo maana inashindwa kimataifa
Refa ni mjinga sanaaaa
Feitoto anafaa achez mpira za england
Unazani england wanacheza kma kmc au sio😂😂😂
@@atiqaly6567 ANAWEZA FEISAL
@@nurdin.mndeme3447 Labda England ya Buza kwa mpalange
Azam wanatakiwa kwenda kushtaki kwa hiki kilichofaki kwenye huu mchezo
Hii Haina marefaree ni upuuzi tutafute shule za nje ya nchi tukafundishe marefaree ila siyo Hawa marefaree wa upe
Fei toto hajawahi kusahau viatu na vinamtosha vizurii... Havijawahi kumbana 🤣😅😂
🤣🤣🤣 mpenja tena
@@lidyamgaya3877 😆😆😆😆yan anachambua hatar
Mbona Sauti Hamna
Mje mtuambie madada wa yanga mnotakaga haki je ndio hii haki yenyewe ??
Mbona dude hakupewa penat
Azam timu vipaji sio masiala mwananchi chamazi lazima atuboke
Dadek imekula.besela we dube.
Acha izo
Tim ya wanafiki wala hawaitaji haki leo subir wafungwe wao utasikia neno haki matusi kwa karia leo wanafiki wapo kimya haaaahaahaaaa
Kuanzia leo huyu Azizi Ki kufananishwa na Chama naomba iishe kabisaaa , maana huyu jamaa ni wa kawaida sana , effect ya jina lake hasaaaa halionekani , basi tu
Ulimi km nyoka😆😆😆😆😆
🤟👊💘🥀
Hamuwezi kukosa matokeo wakati yanga ina mkataba na Tff juu ya ubingwa
Weeee fei toto wewe ipo siku utakuja kuua bwana mdogo
Azam komaenj
azamfc damu damu
Utopolo mmeona refa wenu anachezesha boll nje ya uwanja haaaahaahaaaa hiyo ndio haki mnoidaigi kweli nyie hamna akili kama alivyosema msemaji wenu.
Beba beba maji shingoni
Jamaa anaitwa Sha’baan jina nzuri la kiislamu lakini amechora Tattoo
ni mgalatia huyo
@@aliyussuf5417 Mgalatia ni nini?
Mbona dymond amechora na hamjasema,tena anawapa futari
Bila Referee hii mechi Yanga alikua anakufa goal 4
Bado kuna Fans wa Yanga wanajipiga kifua kujidai eti Azam ni vibonde kwao
Hawamashabiki waliorusha vitu oya inchakalii walichukuliwaje nabodii husks??
53 see
Referee na timu yako hovyoo kabisa, mpira uliosababisha goli kwa Azam ulikuwa umetoka, Dube alifanyiwa foul ndani ya 14 lakini ukajifanya hukuona, huku kubebabebana mpaka lini? Acha timu ipambane yenyewe siyo kubebabeba. Agayaaaaaaaaaaaaaaa
O
Feitotoooooo!
Sasa mnatangaza nyie waadilifu mnataka haki mbona mnanyamazia huu utumbo wa refa pazeni sauti tuwasikie mnapinga dhulma nyie utopolo pazeni saut Tff wamuondoe yule refa si mnataka haki haaahaaahaaa wanafiki nyie
🤣🤣🤣🤣🤣
Tazama kilichomkuta mpaka rangi baada ya kukutwa na mke Wa mtu
th-cam.com/video/vo3UPcboT6M/w-d-xo.html
ZIJUE NJIA 5 ZA KUPITA KWENYE INTERVIUW(USAHILI)BILA KUPATA SHIDA th-cam.com/video/EV4-ozU29Ug/w-d-xo.html
Azam receive all the love from Kenya. Lakini iyo penalty mlionewa
😅😅 kipa wa azam baada ya goli la pili, anafikiria imetelezaje anahisi ndoto
Azam mungu atawalipia mmezurumiwa mlikuwa mshinde magoli matatu bila lakini refa wamchongo wayanga kafanya iwe hivyo nihaki mfulahie sale hiyo maana mlikuwa hatoboi pale
unateseka ukiwa wapi ? kwani huna macho yanga kachezewa rafu nyingi sana hata ndani ya box pia lakinii Refa kamezea mbona wewe ni mbinafsi ! usimba unatokota ndani yako Pasuka basi kwa hasira.
Ukome c wangeshinda au ya mi7jiza jadilini yenu na kocha wenu wa mchongo
@@abubakarnabahani4994 unajuaje huyo alokoment km ni simba....punguza jazba mmebebwa bwanaaaa
Abubakar Nabahani 😂 ng0ja ncheke kwnza .......ww ukubal ukatae mumebebwa na lile g0li lakwnza nilamch0ng0 huuuu niukwel usi0pingika
Mpeni na feisali maana saivi anauwezo sio wakawaida tayari Ni brand dukan🔥🔥🔥🔥
Refa wa leo asipo chukuliwa hatua basi tz haitapiga hatua ktk soccer cross imepigwa Moira ulikuwa umekwisha Toka akaibeba yanga pili akawanyima azam penalty ya wazi lkn akawapa yanga penalty ya mchongo kwa hali hii hatufiki popote
Korona mnaona ya wenzenu tu,ya kwenu mnayaficha
Ndio maana mirefa ya bongo mingi inazeekea hapahapa
@@masoudadam4689 hahaa! Ulitaka wazeekee kwenu?
Refa kapendelea kabx angeach mtu akapigw 3 tf1
kumbe uliona nilijua nimeona peke yangu. upo sahihi
Yani hili goli la pili kipa wa azam ataliota
Main Of The Match ⚽️ ~ Feisal Salum 6 , Zanzibar 🌴 Finest 🔥🔥
Main of the match arajiga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍
Makoloo. Walizani. Tutapigwa. Pumbaavuuuui. Zennuuui
@@daudkhatib4678 Leo hatimae mmefurahia sare
Man of the match Ni Arajiga kutoka Manyara
Kwani makolo wanasemaje eee?
Fei umeonyesha kiwango kikubwa young african mko vizuri pamoja na challenge ilioonyeshw na azam
Sasa makolo wameumia kwann? Mbona wenyewe tareh 13 walishindwa kutufunga? Jamn yanga haitofungwa tena hilo msahau🤣🤣 Feisal shkamooo🙌🙌🙌
🤣🤣🤣 kaz wanayo, man ubayawetu hatunamtu maalumu wakufunga, ss ukikaa vbaya hatakipa anafunga, daima mbelee💚💪
Amida Abalii
Bado nasubili majibu angu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@lidyamgaya3877 Nyuma mwikoooooooo🔥🔥🔥🤣🤣🤣
@@enockabumba7513 Heee upogo kumbe
Laiti Kama azam wangecheza kama hii mech kwenye mechi zao nyingine wengikuwa wapo juu sana ila wakicheza na yanga tu ndo wanakuwa ivyo