Tazama moto wa Bernard Morrison alipoichezea Team Samatta dhidi ya Team Kiba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • MORRISON SHOW: Hii ni sehemu ya burudani aliyoitoa kiungo Bernard Morrison kwenye mchezo ya #SamakibaFoundation iliyopigwa leo kwenye Dimba la Mkapa, Dar es Salaam.
    FT: Team Kiba 3-1 Team Samatta.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

ความคิดเห็น • 164

  • @brobabuu3973
    @brobabuu3973 4 ปีที่แล้ว +5

    Kwa yeyote anayesoma hii..
    nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.! Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!

  • @phoibembwambo981
    @phoibembwambo981 4 ปีที่แล้ว +5

    Morison ni mchezaji mzuriii mnooo

  • @justineclever8194
    @justineclever8194 4 ปีที่แล้ว +3

    Tuwe wazi hapa bongo kuna mtu anacheza mpira zaidi ya Morrison tusubr next seasonal upande wa pili mjiandae pasi 3000 kwa saaa Na una cham una mix son una kahatason una bicoson 😀😀😀😀😀😀😀

  • @juniorleonard9140
    @juniorleonard9140 4 ปีที่แล้ว +3

    jamaa ana kipaji cha kipekee msumu ujao vikombe vinne msimbazi uku bm33 apa bocco au kagere kule luis apa kati fraga na tshishimbi kule manula apo wawa uyu kennedy mara papu MH

  • @allymgeni9898
    @allymgeni9898 4 ปีที่แล้ว +5

    Morrison chama miqsone kahata yanga bora msiingize timu uwanjani

  • @josephstephen2047
    @josephstephen2047 4 ปีที่แล้ว +5

    Pamoja na mambo yake binafsi aliyonayo huyu jamaa Benard Morrison ni fundi kweli kweli yaani konk konk konk master

  • @mukaplatnumz2313
    @mukaplatnumz2313 4 ปีที่แล้ว +4

    BENARD MORRISON ATARI SANA TUNAMKARIBISHA SIMBA NAMIKONO MIWILI👏👏

  • @abuusamwel7286
    @abuusamwel7286 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamaaaa anajua bana

  • @hugfiyvhj
    @hugfiyvhj 4 ปีที่แล้ว +2

    I'm from Australia but I like this guy

  • @japhethgeriad4519
    @japhethgeriad4519 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mwamba anajua 😅😅😅😅😅😅👇daaaah

  • @hassansaid9925
    @hassansaid9925 4 ปีที่แล้ว +4

    Hulu kiumbe tuache Marengo tango mengine yote ila ni mtu hatari sanaaaaa

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 ปีที่แล้ว +3

    Morson man of the match

    • @bulaasiywez7014
      @bulaasiywez7014 4 ปีที่แล้ว

      Hana chochote wanamkuza tu morison

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 ปีที่แล้ว +2

    Ndevu za karantin sasa zimefika sehem sahihi

  • @christophermgoli1236
    @christophermgoli1236 4 ปีที่แล้ว +1

    Safiiii

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 4 ปีที่แล้ว +2

    Kijamaa kinajua. Morison hapa Mikson chama huku Mzee wa kijiko wataisoma.

  • @bernardchibwana9411
    @bernardchibwana9411 4 ปีที่แล้ว +1

    Yangaaaaaa poleni sanaaa, hamna namna inabidi mkubali tuu!!

  • @suleymanabdallah32
    @suleymanabdallah32 4 ปีที่แล้ว +1

    Daa kwel morson anawezaa

  • @leonardmadinda1439
    @leonardmadinda1439 4 ปีที่แล้ว +4

    mbn kama jamaa anafuraha xana😂😂😂😂

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 4 ปีที่แล้ว +1

    Morrison,chama ....kahata guu la aiscrim ahiiii ahiii,nickson....boko anamalizaaaaaaaa .....#Morrison

  • @youngxwdvizo417
    @youngxwdvizo417 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana morson

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +3

    Morison anajuwa mpira jmn sema kule utoporo Fc 😂 😂 Kuna njaa

  • @Mswanotv
    @Mswanotv 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa Ana uwezo kweli

  • @mornstar7991
    @mornstar7991 4 ปีที่แล้ว +2

    Sema morrison anajua futbol

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 4 ปีที่แล้ว +3

    Uyu mwamba anajua san tuache unafki

  • @boniphaicepumpuni4409
    @boniphaicepumpuni4409 4 ปีที่แล้ว +1

    Morxon jaman

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 4 ปีที่แล้ว +1

    Alivyokuwa Yanga simba mlisema morison hana nafasi yakucheza simba anakiwango cha kawaida leo kaja simba anajua aisee mashabiki wa simba acheni umalaya wa ujuaji huyo dogo anacheza kama wachezaji wengine.Lakini mshamba wa mapenzi akiona mwanamke anamatako makubwa anafikili anajua mapenzi kaeni nae mtamfukuza mechi ya kwanza tu.Kama huku mmemlubuni basi atalubuniwa na mtalia zaidi..Mtu mbaya huwa hawi mzuri wala Shetani awezi kuwa mtakatifu.

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 4 ปีที่แล้ว +2

      😂😂mbona hata nyie kwa sasa mnasema niwakawaida wakati alipokuwa kwenu sifa Kama zote mpira ni Kama siasa broo akiwa sehemu furani unaponda akija kwako unasifia na akileta ujuwaji wake anasugua benchi simba ni timu kubwa walikuwepo wazuri zaidi yake waliondoka wakaiacha simba naikaendelea kufanya vizuri so tulieni hivyohivyo dawa iwaingie mwenye pesa si mwenzako 😂

    • @loiaminiel9468
      @loiaminiel9468 4 ปีที่แล้ว

      Waeleze bwana😆😆

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 4 ปีที่แล้ว +3

    Sina shaka Morison sasa ataonyesha uwezo wake maana amepata timu inayo jua mpira huko kwingine alipotea njia.

  • @jerikopeter1440
    @jerikopeter1440 4 ปีที่แล้ว +2

    Morison mashine

  • @frankd1156
    @frankd1156 4 ปีที่แล้ว +2

    sisimizi anataka kupigwa na gobore..hahaha

  • @sammabula7359
    @sammabula7359 4 ปีที่แล้ว +1

    1. Okocha 2. Gaucho 3. Morrison

  • @ombensulehman5075
    @ombensulehman5075 3 ปีที่แล้ว

    Noma Sana mm

  • @josiahmeivukie3246
    @josiahmeivukie3246 4 ปีที่แล้ว +2

    Mm nasematuu huku morison kule miquusson

  • @manofpeople4648
    @manofpeople4648 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa nouma sana tutaona meng

  • @ngendakibwingo2447
    @ngendakibwingo2447 4 ปีที่แล้ว +1

    Naona waliokuwa wanasema chama kazid xahv wamehamia huku mikiaa bhna kesi haijaixha tutawafundxha mpambane na underdog huko

  • @stephenhaule9051
    @stephenhaule9051 4 ปีที่แล้ว

    Next season hatocheza in Tanzania

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 ปีที่แล้ว +2

    Morison habar ya mjin

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu refa alikua amevaa miwani ya mbao bila shaka

  • @mohamedshabani9255
    @mohamedshabani9255 4 ปีที่แล้ว

    Hahahah nomaa saana

  • @zawadimusa4371
    @zawadimusa4371 4 ปีที่แล้ว

    MIMI NAPENDA KULA UGLI HAPA TANZANIA

  • @yustinakibua4058
    @yustinakibua4058 4 ปีที่แล้ว +2

    Mbwembwe za morson uwanjani

  • @hidayaking3383
    @hidayaking3383 4 ปีที่แล้ว +1

    Yeebaba

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 4 ปีที่แล้ว +4

    Tutamsafisha kama wale wanasiasa

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 4 ปีที่แล้ว +1

      Kama wale mafisadi eti walimuosha akawa msafi nouma

    • @linajames2653
      @linajames2653 4 ปีที่แล้ว +3

      Au Bokosoni,kahata soni,Manila soni,hahaaaa sipati picha iyo Sikh ya clab bingwa Afrika,niksoni Chama soni,

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 4 ปีที่แล้ว +1

      @@linajames2653 mia maandalizi ya klabu bingwaa yameiva hayo

  • @erickderick608
    @erickderick608 4 ปีที่แล้ว +2

    Waandishi wa kibongo ndiyo wanachangia kuharibu wachezaji, sasa hapo moto wake uko wapi mbona anaruka ruka tu

    • @husseinmillinga1920
      @husseinmillinga1920 4 ปีที่แล้ว

      Yangaaa leo amekuwa akiruka ruka eti

    • @hassansalum5362
      @hassansalum5362 4 ปีที่แล้ว +1

      Wewe huoni mavitu ayoo mpaka watu wanajifunga wenyewe

    • @nawihadj6674
      @nawihadj6674 4 ปีที่แล้ว +1

      Hahaahahaaahja unajikutaa kipofuu eeeh

    • @omarimukungwa2510
      @omarimukungwa2510 4 ปีที่แล้ว +1

      Mpanda juu ya mpila leo unamuona analukaluka tu 😃😃😃😃😃😆😆

    • @husenimchollo1210
      @husenimchollo1210 4 ปีที่แล้ว

      Usitufokee

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 4 ปีที่แล้ว +1

    Mpira anajua

  • @jamesngonyan1670
    @jamesngonyan1670 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashabiki wa simba kama mwanamke mjamzito Mara Morrison mpanda mpira tu hakuna kitu leo wanasema Morrison hatariii yaan kama wajawazito vile

    • @husseinmillinga1920
      @husseinmillinga1920 4 ปีที่แล้ว

      Nyinyi Sasa sikama mashoga mlisema ni fundi wakati sisi tukisema mpanda mpira so nanyi mnasema hajuiq

    • @jamesngonyan1670
      @jamesngonyan1670 4 ปีที่แล้ว

      @@husseinmillinga1920 mnajifanya mnahela Bado mnachukua wachezaj lipuli kama mnahela kachukuen mchezaj as vita au nenden uarabuni mkanunue wachezaj cyo mnagombanea wachezaj lipuli na kmc mnahela za mawazo

    • @jamesngonyan1670
      @jamesngonyan1670 4 ปีที่แล้ว

      @@mussamakochela2206 ametoka yondan Abdul ngasa hao wameisaidia sn Tim cyo huyo mchez wa show game iliona wap mchez anakosa penalty 2 ktk game moja?

    • @husseinmillinga1920
      @husseinmillinga1920 4 ปีที่แล้ว

      @@jamesngonyan1670 tunaanza na nyinyi kwanza huko tutaenda tukikua kiuchumi

    • @jamesngonyan1670
      @jamesngonyan1670 4 ปีที่แล้ว

      @@husseinmillinga1920 bwalya anawapa hi

  • @bernardchibwana9411
    @bernardchibwana9411 4 ปีที่แล้ว +2

    Akiamua kuchexa mpira akaacha ujinga wake atafika mbali

    • @omaryhiguain851
      @omaryhiguain851 4 ปีที่แล้ว

      Uyu jamaa vituko anafanya hata kazi pia anafanya yuko vizur sana

  • @nyingos
    @nyingos 4 ปีที่แล้ว

    Anaharibu mpira kwa mbwembwe zake, akileta Mbwembwe Simba atasugua Benchi.

  • @jayboyofficial6415
    @jayboyofficial6415 3 ปีที่แล้ว

    Good

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 4 ปีที่แล้ว +3

    Ngassa na huyu mle mle tuu sema haka kachizi kidogo

  • @sabaschiwangu371
    @sabaschiwangu371 ปีที่แล้ว

    Napa Ali Kulwa fit, mwembamba fulani,mwepesi, ila umri nao unaenda, kapata mwili siku hizi, majeruhi kwa sana, ndio maana hizi raha atupi tena

  • @mussakibo2485
    @mussakibo2485 4 ปีที่แล้ว +1

    Kumekuchaaaaa

  • @allyflavour8005
    @allyflavour8005 4 ปีที่แล้ว

    Akija Simba atacheza mpila maana kila mtu anajua pare pesa ipo kazi itakuwa kwaketu

  • @richardjuma7708
    @richardjuma7708 4 ปีที่แล้ว +1

    Morrison habari nyingine

  • @PangaClassicTv
    @PangaClassicTv 4 ปีที่แล้ว

    #Pangaclassictv #Mishashonlinetv #Rogathpangaonlinetv

  • @davidmukebezi6694
    @davidmukebezi6694 4 ปีที่แล้ว +2

    Benard Morrison membe

  • @IndexTechnology
    @IndexTechnology 4 ปีที่แล้ว +2

    Aiiii yanga mtaambia nini mashabiki wenu

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 4 ปีที่แล้ว +3

    Wanayanga mpo kweli sasa toeni hela mnataka vizuli alafu hela hamna utopolo nyie

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 4 ปีที่แล้ว +2

    Kuna watu wamekasirika hapa,Kuna watu wamenuna 🤣🤣 🤣🤣 🤣🤣 🤣🤣 🤣

  • @wasaficomedytvamour5977
    @wasaficomedytvamour5977 4 ปีที่แล้ว +1

    Kakutana na ambao hawajui kucheza ndio mana mnamuona champion

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 4 ปีที่แล้ว

    BM33 hahaahahahhahhah kule Miqusone hapa chama mmmh=Barcelona in Africa

  • @shaibuselemani2135
    @shaibuselemani2135 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndomana chura wanaumia huyu mtu ni hatari kwakweli

  • @anitharichard4892
    @anitharichard4892 4 ปีที่แล้ว +2

    Morisson karb msimbazi baba

  • @saidsinani8765
    @saidsinani8765 4 ปีที่แล้ว +1

    Mm

  • @shadrackmakombe991
    @shadrackmakombe991 4 ปีที่แล้ว

    Aey

  • @halfanmsafir8517
    @halfanmsafir8517 4 ปีที่แล้ว +3

    Simba tutafeli pakubwa tu kumsajili huyu morison na uongozi kama munaona mbali huyu sio mchezaji wakutuletea ushindi ila kama munasajili wachezaji wakufurahisha jukwaa basi msajilini

    • @videozaaj1069
      @videozaaj1069 4 ปีที่แล้ว +2

      Hayo ni mawazo yako

    • @ismailabdala5268
      @ismailabdala5268 4 ปีที่แล้ว +1

      Mpira stareh acha ufala we izo mbwe mbwe ndo zinotkiwa aswa izo

    • @Officalnaph
      @Officalnaph 4 ปีที่แล้ว

      wewe una akili kweli kumpata mtu kama morison ni ngumu sana kwenye mpira wetu kwa sababu ana kila kitu jamaa....SIMBA TUTAMUELEZA JAMBO MOJA TU APUNGUZE MBWEMBWE BASI

    • @emanuelkalay8378
      @emanuelkalay8378 4 ปีที่แล้ว

      Sasa Kama hajakaba na pasi imefika ,utaka usifurahi nn maana ya mchezo wa mpira? Kama siyo burudani yenyewe.Kufunga ni sehemu nyingine ya furaha.

    • @benbranco3688
      @benbranco3688 3 ปีที่แล้ว

      vipi kauli yako mpka sasa

  • @sijalikifunyo912
    @sijalikifunyo912 4 ปีที่แล้ว

    Jamaa Fundi

    • @inocentfrank8184
      @inocentfrank8184 4 ปีที่แล้ว

      Mbona alivyokuwa Yanga mlikuwa mnamtukana binadam bwana....

  • @isackmaige2112
    @isackmaige2112 4 ปีที่แล้ว

    Morson noma

  • @amosndimbo2944
    @amosndimbo2944 4 ปีที่แล้ว +2

    K

  • @armanthabiti2169
    @armanthabiti2169 4 ปีที่แล้ว

    Guseni link th-cam.com/video/TAGs5lG-Jzg/w-d-xo.html Wanasimba wito Yanga utopolo Guseni link th-cam.com/video/TAGs5lG-Jzg/w-d-xo.html kinjonge

  • @widemwamulima9782
    @widemwamulima9782 3 ปีที่แล้ว

    Nyimbo mpya y'a birinasi

  • @barakavlogs913
    @barakavlogs913 4 ปีที่แล้ว

    Dah morrison utapigwa vi juju na vipapi mwaka huu du sio kwa ku saliti uko.😂😂😂😂

  • @ben-ally.jr.7611
    @ben-ally.jr.7611 3 ปีที่แล้ว

    🎤

  • @issasalim7688
    @issasalim7688 4 ปีที่แล้ว +3

    Nahamia Simba Na jua ni UHURU wangu

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 4 ปีที่แล้ว

      Issa salim karibu mkuu achana hao wanaosajilia kwa midomo baada ya karatasi

    • @ibrahimally5868
      @ibrahimally5868 4 ปีที่แล้ว

      Karibu sana chama la wana

  • @yusuphmedson8806
    @yusuphmedson8806 4 ปีที่แล้ว

    Utopolo uwo

  • @mryansoo4217
    @mryansoo4217 4 ปีที่แล้ว +2

    mimi nishasema mapema naamia simba msimu huu sitaki pressure

  • @christianmichael4815
    @christianmichael4815 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukija simba atutaki mbwembwe zako izo

  • @lushilemmanuel4588
    @lushilemmanuel4588 4 ปีที่แล้ว

    Si uto wanasema huku ni timu ya kulelea wazee, tunasubiri tuone

  • @JMMM686
    @JMMM686 4 ปีที่แล้ว +3

    Linachezea AKILI za watu

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 4 ปีที่แล้ว

      Jsm mm na ww chezea akil za wanyama

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 ปีที่แล้ว +1

    Unajua

  • @mwana1tv810
    @mwana1tv810 3 ปีที่แล้ว

    M pila wanawake

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 ปีที่แล้ว +1

    Morison ni bonge la player hana muda mrefu mtamskia yupo mbele

  • @ellymanjunju5074
    @ellymanjunju5074 4 ปีที่แล้ว +2

    Kama manyani vile

    • @edenbaraka7533
      @edenbaraka7533 4 ปีที่แล้ว

      Elly manjunju na ww 2mbil

    • @otmarykiowi4132
      @otmarykiowi4132 4 ปีที่แล้ว

      Nawewe tutakufukuza nchini unaleta ubaguzi

  • @jeovangisc7957
    @jeovangisc7957 4 ปีที่แล้ว

    Anapiga Mpira mno

  • @daudmussa3330
    @daudmussa3330 3 ปีที่แล้ว

    Stephano

  • @pascalinocent9770
    @pascalinocent9770 3 ปีที่แล้ว

    Mogogo

  • @vunjambavu6966
    @vunjambavu6966 4 ปีที่แล้ว

    Nani (Official lyrics video)👇👇👇
    th-cam.com/video/9AfoC1NaQX0/w-d-xo.html

  • @baikokokangamoko
    @baikokokangamoko 4 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣

  • @thabityisma106
    @thabityisma106 4 ปีที่แล้ว

    Hhh

  • @richlymo
    @richlymo 4 ปีที่แล้ว

    Eeeeee

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyo Morrison anaenda kukaa bench tu

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 4 ปีที่แล้ว

      Unateseka?

    • @starplacetv459
      @starplacetv459 4 ปีที่แล้ว

      Ana namba yake Tatar poleee

    • @charlesjohnmushi6817
      @charlesjohnmushi6817 4 ปีที่แล้ว

      Naona mmejiaminisha mmemsajili subirini maamuzi yatolewe kesho Jumatatu

    • @linajames2653
      @linajames2653 4 ปีที่แล้ว

      Hawezi kukaa benchi,,huyu jamaaa ni FUNDI,ila namshauri awe siriasi,na mpira,akishafunga magoli mengi timuyake ndo atuwekee burudani na madoido yake,karibu Simba bro,umekutana na watu wanaojua mpira

    • @alexdismas3534
      @alexdismas3534 4 ปีที่แล้ว

      Huku morisoni kule mickson kahata chama kanda! Jamani kwani hiyo club bingwa lini? Tunaitaka mjue.

  • @asmamohamedidi585
    @asmamohamedidi585 4 ปีที่แล้ว

    Munatakiwa muwangalie gm maana kama alikuwa wa kiba kwann aikimbie naende upande mwengine inamaana hajiamini timu gan?i asheze

    • @anitharichard4892
      @anitharichard4892 4 ปีที่แล้ว +1

      Ww nae hujui huyo anachezea samata Wa Simba kasha sajiriwa simba

    • @shaibuselemani2135
      @shaibuselemani2135 4 ปีที่แล้ว

      Kamfata manara na matola

    • @eddy4998
      @eddy4998 4 ปีที่แล้ว

      Ali kiba team yanga na samata team Simba ungetaka akachezee wp

  • @omarryhamdani981
    @omarryhamdani981 3 ปีที่แล้ว

    rama

  • @mussaali2440
    @mussaali2440 4 ปีที่แล้ว

    3l

  • @apollinwilliam4328
    @apollinwilliam4328 3 ปีที่แล้ว

    Zuchu

  • @citytrends2100
    @citytrends2100 4 ปีที่แล้ว

    Mbwembwe za Morrison na manara uzinduzi jezi mpya za simba
    th-cam.com/video/aYSpqxuxPnY/w-d-xo.html

  • @innonyange6482
    @innonyange6482 4 ปีที่แล้ว

    TAMTHILIA YA ROZINA
    Binti wa Kazi za ndani, anarithishwa mikoba na bibi yake ya kichawi.
    Usikose kutazama kila wiki Tamthilia yako hii pendwa ya Rozina.
    th-cam.com/video/xlYDiajufk8/w-d-xo.html

  • @amospetro3828
    @amospetro3828 4 ปีที่แล้ว

    Simba wanasikiliza akili za hajira manara atawapoteza

  • @MightyLumber
    @MightyLumber 4 ปีที่แล้ว

    Watanzania tunakariri sana maisha, yaani mpaka utangazaji pia? Huyu Morrison ni wa kawaida sana, hamna cha hajabu akifanyacho!

    • @omaryhiguain851
      @omaryhiguain851 4 ปีที่แล้ว

      Ujui soka ww

    • @Joekwid960
      @Joekwid960 4 ปีที่แล้ว

      Wanayanga bana 😂😂😂😂😂

    • @Joekwid960
      @Joekwid960 4 ปีที่แล้ว

      Kweli Utopolo ni Utopolo tu

    • @dutchsafari7562
      @dutchsafari7562 4 ปีที่แล้ว

      Hahahaha ebu futa ulichoandika

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 4 ปีที่แล้ว

      😂😂fikria upya mmepokonywa tonge mdomoni

  • @minaside6717
    @minaside6717 4 ปีที่แล้ว +2

    Anajua mpira lakin hivyo vituko vyake vinaharibu sifa zake zote

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 ปีที่แล้ว +1

    😁😁😁😁😁😁😁😁Senzo aende tuuu kwa kwel haitustuii hii burudan itaendelea November😁😁😁😁