Kwa kweli inasikitisha sana kuona Mange kimambi anavyowachafua wenzake na kuwadhalilisha na kuwaumiza hivyo mitandaoni kwa ajili ya kupata pesa tu, Na watanzania wanaolipia huo umbeya mie huwa nawaona hawana akili kabisa, kwasababu mtu akishajuwa kuhusu mtu mwengine kadhalilishwa sasa yeye anapata faida gani? Watu waangalie kuna Mungu pia anawaona wanavyosapoti huo ujinga na udhalilishaji wa Mange Kimambi ,siyo poa kabisa na ni dhambi kubwa sana anayoyafanya Mange, ajuwe malipo ni hapa duniani kama siyo kwake ni kwa kizazi chake, Na mwezi Mtukufu wa Ramadhani upo karibu halafu watu wanalipia app ya Mange kimambi kuangalia ujinga na udhalilishaji wa watu wengine, Tujirudi kwa Mungu na tuombe toba sana lakini tusisapoti udhalilishaji wa Mange kimambi na kuwaumiza watu wengine.
Hio ni wivu tu. Alipokuwa anaposti Instagram kilakitu kabla hajafungua apple mlikuwa mnafurahi juu nibure. Sasa kajiongeza roho inakuuma. Acha watu wajiunge kwa raha zao pesa yao wenyewe....hivi unajua hiyo comment yako imemuingizia pesa sky. Na hapo umetumia bando kuingia TH-cam. Hiyo ni pesa pia. Hata wewe nikwa raha zako😅
Ao wanao dhalilishwa wamefanya matukio ya halali mbele za Allah au wamefanya dhambi na je ikiwa kuwadhalilisha ao kunaweza kuwafunza wakaacha kuna ubaya gani mpaka m2 anajirikodi anafanywa ujue anajua nn anacho kifanya mm sijaona kosa la Mange apo
Mange anafanya kama TMZ hawa jamaa unawauzia habari wanakupa hela ila wao hupata faida zaidi ya wewe na mbaya sababu hao watu maarufu wetu bado hawaishi vile wanatakiwa wawe ndo maaana mange anazidi kunufaika nao kila siku
ajinga alie shot video alafu ana faida nayo faida anapata mtu mwengine na sio alielipia we mbona unalipa kodi bongo na ufaidiki na chochote ata elimu nzuli wewe na kizazi chako amna 😂😂
Mmesahau huyu dada muhongo muhongo sana mmemsahau alikuwa broke akajifanya bado yupo on top muhongo muhongo sana yani hizo pesa anadanganya sana utakuta ameedit
🤣🤣🤣kwan huyo gigi angenyamza angepungukiwa nini? mange amepost sababu ya gigi kutukana had watoto wake ,sasa kama hutaki si uache alijaribu kumpa kaz kaz haitaki pyee basi aendelee kuuza kisimi chake
@@user-wd2bc7bf5x Wewe unafaidi cheko , Mange anaigiza pesa za uzulmati ya haki za wengine kwa kuwadhalilisha. Gigi ana haki kufanya anacho taka kukubali ao kukataa. Pingeni unyanyasaji wa mitandaoni. Ipo siku Mange atalipwa.
Watz mmh mtu ana maisha duniiii lkn pesa yake anaenda kulipia app,huu ni ujinga usiomithilika dah..poleni mnao mueka mjini mange,na huku maisha yenu ya dhiki mtaamka lini wabongo??mkiacha kulipia hio app mange ataugua nawambia😂
Kakuweza mshenzi mashuzi hata ukiweka hizo picha gig hajali kwani wewe hufanyi wewe si mjanja wewe weka zaid ya hiyo pia wewe kimambi akamatwe kwanini anatima picha za utupu kama hizi
Me nilichoelewa Hapa NI kwamba Hawa wameelewana na Hio video wameposti Kwa makubaliano Gigy hawazi kitu zaidi NI Hela Tu Hana chakuloteza na Hata hao Basata wanapaswa kua Makini watu wanafanya ujinga Alafu wanatengeneza Tension Makusudi kabisa ili wapate Hela .. Kwa akili Tu ya kawaida Unazani Gigy kazalirika kitugani ..? Zaidi kaongezewa umaarufu Tu Labda Kwa Mtoto wake ndo atakua anataniwa Shuleni ... Ila Gigy Daaah Tukumbuke Hapa Duniani tunaita Tu.... Tuzisafishe Njia zetu. Wakati Tupo hai ...
Zari mwenye ni mgonjwa vilevile utatokaje na vitoto vidogo na kuvivulia nguo kama yeye si mgonjwa😂😂😂😂 uyo zari wenu yeye ni kubwa jingaaaa tena jinga kweli kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio ukitaka kujua jinsi gani watanzania walivyo wajinga kichwani . Ndio maana watu hawana maendeleo. Hizo video ukiangalia zinakusaidia nini? Zaidi ya kuchafua Nafsi yako yenye thamani. Nonsense 🙄🙄
Mange anadhalilisha watu na analijua hilo,ata malaya sugu katika bibilia alisamehewa na akafanywa kiumbe kipya,,that is being' evil kuanika uchi wa mwenzie jamani,its bad i iseee
Trust me dirty money will always come back to haunt you, kwa njia moja ama nyengine huyu dada atakuja dhalilika sana na mwisho wake hautakua mwema sababu KARMA is real! Ni suala la muda tu. Mwache afurahie kabla ya masaibu kumkuta na kummaliza vibaya.
Nani alidhani mtu kama Puff daddy atajaguswa?Mwisho wa siku atafilisika na kuishia korokoroni.You are right karma is real,what you put out there is exactly what you will receive in return.
Juu ni mange anawatuma kujirecordi mavideo Yao ya ngono???… mbona wasifanye mambo Yao kimya…. Mtu anavua Nguo anaweka camera kujirecordi si ujinga huo🤔🤔mange hana makosa anatengeneza hela kupitia ujinga wa watu!!!
Aseeee. !Nimegundua watu wanapenda ujinga na kuugharamiaa😂😂😂
Ni kwa sababu wanekosa la kufanya hii ni khasara kubwa kwa jamii ya watanzania.
SUBAHANALLAH 😭 INARILLAH WAINA ILAHY RAJIUN 💔
Aingize tu pesa Ila akumbuke Kuna kufa na Kuna hukumu uko kwa mungu alhamdulillah mimi sijaona ujinga wowote nashukuru zambi zingine zinaniepuka
Kwa kweli inasikitisha sana kuona Mange kimambi anavyowachafua wenzake na kuwadhalilisha na kuwaumiza hivyo mitandaoni kwa ajili ya kupata pesa tu, Na watanzania wanaolipia huo umbeya mie huwa nawaona hawana akili kabisa, kwasababu mtu akishajuwa kuhusu mtu mwengine kadhalilishwa sasa yeye anapata faida gani? Watu waangalie kuna Mungu pia anawaona wanavyosapoti huo ujinga na udhalilishaji wa Mange Kimambi ,siyo poa kabisa na ni dhambi kubwa sana anayoyafanya Mange, ajuwe malipo ni hapa duniani kama siyo kwake ni kwa kizazi chake, Na mwezi Mtukufu wa Ramadhani upo karibu halafu watu wanalipia app ya Mange kimambi kuangalia ujinga na udhalilishaji wa watu wengine, Tujirudi kwa Mungu na tuombe toba sana lakini tusisapoti udhalilishaji wa Mange kimambi na kuwaumiza watu wengine.
Hio ni wivu tu. Alipokuwa anaposti Instagram kilakitu kabla hajafungua apple mlikuwa mnafurahi juu nibure. Sasa kajiongeza roho inakuuma. Acha watu wajiunge kwa raha zao pesa yao wenyewe....hivi unajua hiyo comment yako imemuingizia pesa sky. Na hapo umetumia bando kuingia TH-cam. Hiyo ni pesa pia. Hata wewe nikwa raha zako😅
Ao wanao dhalilishwa wamefanya matukio ya halali mbele za Allah au wamefanya dhambi na je ikiwa kuwadhalilisha ao kunaweza kuwafunza wakaacha kuna ubaya gani mpaka m2 anajirikodi anafanywa ujue anajua nn anacho kifanya mm sijaona kosa la Mange apo
Msikilize gigy kabla ya kumlaumu mange
oya biashara
Ni michezo wanajuana ,kwnn warecord wakati wanafanya mambo Yao na nan ananitumia mangi ? Nan anatega simu
Ukitaka usichafue hali ya hewa acha kabisa kujirikodi ukiwa uchi shida uanzia apo
Ukwer ndio huu
One day atajua maisha ni muhimu zaidi
Aminini,, ipo siku huyu mdada atadhalilishwa na yy.... İpo siku
It’s easy don’t take videos while having s*x
Is it the first time?
Wasanii wanajidhalilisha wenyewe tuu. Huyu dada yeye anawatumia tuu na ujinga wao
Kabisa😂 agalia pesa
Mtu anaona Sawa sababu sio dadake
Mange anafanya kama TMZ hawa jamaa unawauzia habari wanakupa hela ila wao hupata faida zaidi ya wewe na mbaya sababu hao watu maarufu wetu bado hawaishi vile wanatakiwa wawe ndo maaana mange anazidi kunufaika nao kila siku
Wanjiga ndio wameenda hasara, mange kafaidika na wengine maskini pengine hata hawana lolote
ajinga alie shot video alafu ana faida nayo faida anapata mtu mwengine na sio alielipia we mbona unalipa kodi bongo na ufaidiki na chochote ata elimu nzuli wewe na kizazi chako amna 😂😂
Dah! Gigy ajiongeze hapo
Mmesahau huyu dada muhongo muhongo sana mmemsahau alikuwa broke akajifanya bado yupo on top muhongo muhongo sana yani hizo pesa anadanganya sana utakuta ameedit
Hivi hamjui Hiyo Editing..unaweza Fanya Editing
Psycho ndivyo walivyo
Sikupingi ndugu yangu, huyu mshamba psycho kwel anaezakua kwel ka-edit ili amtoboe mwenzake moyo.
@@mattjr4206 sure ka Edit
Yani huyu mange cmpendi wallahy atadhalilika one day
Pesa chafu hizo
Unapata pesa kwa kudhalilisha wenzako
Na watu wanampigia mikono.
Ni huzuni. Cyber bullying inauwa watu.
Wajinga wanamfatilia mimi siwezi hata kidogo.
🤣🤣🤣kwan huyo gigi angenyamza angepungukiwa nini? mange amepost sababu ya gigi kutukana had watoto wake ,sasa kama hutaki si uache alijaribu kumpa kaz kaz haitaki pyee basi aendelee kuuza kisimi chake
@@user-wd2bc7bf5x Wewe unafaidi cheko , Mange anaigiza pesa za uzulmati ya haki za wengine kwa kuwadhalilisha.
Gigi ana haki kufanya anacho taka kukubali ao kukataa.
Pingeni unyanyasaji wa mitandaoni.
Ipo siku Mange atalipwa.
@@achawanunetv1167 Wewe tu hapo ulipo una yako yasirini yakijulikana hata baadhi ya familia yako inaweza kuku kana
@@achawanunetv1167 siku ikitokea kwa dadaako au mamaako ,au mkeo au ndugu yako au baba yako ndo utajua uchungu wake
Na wakati huo sky na ww unampa air time kuwasanua wengine 😂
😂 kwel, japo sky anaangalia tu tonge lake kama kawaida
kazi yake ya kudharirisha wa2 itamuua siku moja....period
Wa tz tunapenda ujinga kuliko mambo yenye manufaa
Na weww unapenda maana unamuongelea sana 😂
Ila mange mmmh ni shida sana
Watazania niwajiga sana Awana akili 😂
Usiseme watanzania Kwa jumla! Sema baadhi ya watanzania wanoangalia huo uchafu wa mange
Kwani ww ni mtu wa Pakistan 😊😊
Hapo nani ndio wanjiga, ni wenyewe kuangalia hiyo app
Kabisa yani 😂😂😂😂 mm sijawawi kuingia kwa hio app
@@ROSEROBERTROBART sema hujui kulipia wala kuifungua, wacha kujifanya mjanja, tunajua ulijaribu ukashindwa
@@shakila3982watu si wajinga ww endelea kumtajirisha mange huku unakufa njaa kwa mambo ya kijinga ambapo hata Mungu hako radhi nayo
@@shakila3982😂😂😂 nilielekeze na mimi nikaingie
Kwa haraka haraka hapa ni $ 52 elufu za kima $$$ nyie hio nidipositi nzuri sana ya house hapa USA.
Wabongo n connection htr
Watu wanaodhalilisha watu mwisho wao huwa unakuwa mbaya maana Mungu atawahukumu kwa matendo waliyofanya na malipo ni hapa hapa duniani
Muje na kwangu wambea❤
Watanzania wange mpotezea hangefunga hiyo app😅
Hivi huwa wanalazimishwa kujirikodi wakat wana naniliu 😢
Watz mmh mtu ana maisha duniiii lkn pesa yake anaenda kulipia app,huu ni ujinga usiomithilika dah..poleni mnao mueka mjini mange,na huku maisha yenu ya dhiki mtaamka lini wabongo??mkiacha kulipia hio app mange ataugua nawambia😂
MANGE WALA HAWEZ KUDHALILIKA,,,WATU TUNAONA NYUCHI TENA SAFI,,SEMBUSE HUYO GANDA LA NDIZI.
Kuna mungu jamani
Ao wanaofanya hawajui kama kuna Mungu mpaka kujirikodi uchi wako bc ushajitathmini ww ni m2 wa aina gani
@@KassimAlly-xp4dzuliza tena na tena hao wanajirekordi hawajui kuna Mungu au??!
Ningekuwa kiongezi wa aina yoyote ile mangekimambi angeozea jela😢
Siku snap, lakini thanks😂❤❤❤Asanteni
Kuna wajinga hata mlo kwao shida lakini wapo bize kufatilia habari kama hizi zisizo na msingi na kuwatajirisha wengine bila sababu😂 akili muhimu sana!
Hhhh ila bado umeweka na ww😂😂
@@samirmswahili hii ni SnS 😂 Mimi nimewaongelea wale wanalipia Hela kupata habari za mange kimavi
Wabongo kwa kupenda ujinga nyie dah yani mtu analalamika maisha magumu ila bado anaenda lipia app ya mange 😂😂😂🙌🏻
Huyu sio wakugombana nae 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂chukua maua yako mange🎉🎉🎉
Huyu gigi ajielewi kila siku huyo bwana yake wanatoa video 😢😢😢😢😢
Sahv ukitaka upige hela wekeza kwenye mambo ya ujingujinga
Mange is verry evil ... But nampenda , wapi likes kutoka 254...
They both need Jesus❤
Hiyo hela kwa siku halafu mnasema anakaa store? It doesn't make sense.
Si kweli kaka radio station nyingi zinaingiza zaidi ya pesa hiyo kwa siku
Yupo kwenye hiyo industry brother😂
@@techpoty😂😂 kasahau
Ila mange ipo cku atajutia anachokifanya maana sio wote wanafurahia na sio kama wanashindwa kumpata aliko
I dont believe that. You just said to make you happy that's a lie
Kakuweza mshenzi mashuzi hata ukiweka hizo picha gig hajali kwani wewe hufanyi wewe si mjanja wewe weka zaid ya hiyo pia wewe kimambi akamatwe kwanini anatima picha za utupu kama hizi
Me nilichoelewa Hapa NI kwamba Hawa wameelewana na Hio video wameposti Kwa makubaliano Gigy hawazi kitu zaidi NI Hela Tu Hana chakuloteza na Hata hao Basata wanapaswa kua Makini watu wanafanya ujinga Alafu wanatengeneza Tension Makusudi kabisa ili wapate Hela .. Kwa akili Tu ya kawaida Unazani Gigy kazalirika kitugani ..? Zaidi kaongezewa umaarufu Tu Labda Kwa Mtoto wake ndo atakua anataniwa Shuleni ... Ila Gigy Daaah
Tukumbuke Hapa Duniani tunaita Tu.... Tuzisafishe Njia zetu. Wakati Tupo hai ...
Mange kimambi she’s sick true ZARI she’s say❤
Zari mwenye ni mgonjwa vilevile utatokaje na vitoto vidogo na kuvivulia nguo kama yeye si mgonjwa😂😂😂😂 uyo zari wenu yeye ni kubwa jingaaaa tena jinga kweli kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Siwezi bishana na wewe sorry
Kaka sky umefanya nimecheka,et na ameshukuru kwa hiki ambacho amemfanyia😂😂😂😂😂😂😂
Ndio ukitaka kujua jinsi gani watanzania walivyo wajinga kichwani . Ndio maana watu hawana maendeleo. Hizo video ukiangalia zinakusaidia nini? Zaidi ya kuchafua Nafsi yako yenye thamani. Nonsense 🙄🙄
Hamna mtazamo wowote wabongo upuuzi ndio tumekumbatiya. Hadi mtu anajigamba kwa uhalifu
unafaidika machozi yawenzako, nakuwazaririsha powa dunia hi
😂😂😂😂🤣 Tanzania no sense mange she is so smart $
Mange anadhalilisha watu na analijua hilo,ata malaya sugu katika bibilia alisamehewa na akafanywa kiumbe kipya,,that is being' evil kuanika uchi wa mwenzie jamani,its bad i iseee
🚶🚶ogopa sana hawa march people hata ma serial killer ni hapa pisces born in march 🚶🚶gigi atulie tuu kwakweli
Emu usituchafue bhana.😂😂😂#team_pisces
Hii inaonyesha wazi nikiasi gani wabongo ni wachafu. Its shame for d whole community kuwa wanapenda udhalilishaji wa watu
Watanzania tunaongoza kwa umbea wallah😂😂😂😂😂😂dah
Building blocks za Defamation Case poa kabisa... Tena amekiri mwenyewe kupata Financial Gain... Ifike mahali uyu Dem ashtakiwe bwana😅😅😅
Hebu msaidie basi ushauri na kupata wanasheria achukuliwe hatua
Kuna kufo mange,
Gigy hana akili
Wanataka wenyew hao wacha kiwalambe kujidhalilisha waona raha
Mange ni mistress plan maana yeye kila neno kwake ni content and connection maana kwake ugomvi ni pesa
Kichaa mangunge😂😂😂😂😂
Nyinyi hamna kazi ya kufanya sasa,,yani hata mtu akishuta mnarepoti?
mbona gigy anaenda kupiga hela sasa? tafuta mwana sheria asie kuwa na tamaa na mweye uwezo kwenye haya mambo
Kwaiy hii ni bieshala gig amka anaku2mia kw akil sn
mange hayuko sawa kiakili anahitaji matibabu ya akili
You have just promoted uzalilishaji mana views wako ambao hawana hii taarifa wataend kufuatilia, drop this vdeo if u care
Yaani ni vile sisi wengine hatujuwi ata namna ya kulipia kwenye App 😂😅 Maana wengine tungekosa hadi nafasi 🙊😅😊
Alafu mnasema Mungu kawasahau na MAISHA ni magumu
Mbna euro ni 100 au macho yangu
Uwongo mtupu hakuna hiyo
Trust me dirty money will always come back to haunt you, kwa njia moja ama nyengine huyu dada atakuja dhalilika sana na mwisho wake hautakua mwema sababu KARMA is real! Ni suala la muda tu. Mwache afurahie kabla ya masaibu kumkuta na kummaliza vibaya.
Nani alidhani mtu kama Puff daddy atajaguswa?Mwisho wa siku atafilisika na kuishia korokoroni.You are right karma is real,what you put out there is exactly what you will receive in return.
Juu ni mange anawatuma kujirecordi mavideo Yao ya ngono???… mbona wasifanye mambo Yao kimya…. Mtu anavua Nguo anaweka camera kujirecordi si ujinga huo🤔🤔mange hana makosa anatengeneza hela kupitia ujinga wa watu!!!
@@universalenergy8060and what will be the karma of gigy and that man for recording their dirty videos??!
❤❤❤❤❤😂
Ana uza picha za tupu 😢😢
Kaka iyo inaukweli M 100 sikumoja mmh siamini icho kwa mwezi sawa ila one day
Inawezekana kqbisa kumbuka kujiunga na app ya mange 2000 na Bado unanunua bando kuangalia
Mungu atusamehe ila tumeangalia mpaka wee
Uliangalia Hahaha aki wewe
@athmanshauri7871 sana actually nimeshanga
Mange anacheza na akili za watu kwny kufanya biashara yake😂😂😂...giggy nae mpumbavu tu yaan alikua anaset kbs pc ajirecord kbs
😂😂😂😂hatary pesa zote hizo mange tugawane
Mi mwenyewe nimejiunga jana😅😅
@winfridapeter9455 nielekeze na mimi😅😅
@@user-qt3qg7ey8e dawnlod kwanza appy yengewe kwenye google
Kama amjui mangi anatengeneza alot of money mpaka mje mshtuke mtu ana majumba uko USA
Hawezi nunua House kwa pesa za Tanzania za ujinga 😀😀😀
Yaan bongo hbana😂😂😂
Gigi tafuta lawyers wa maana umtoe pesa na yeye kwa kukudhalilisha.
Tatizo mange yupo njee ata akipigwa faini Ili amlipe Dola kwa ela ya tz nikama kununua pipi tu
@@ruu6592 Chochote ni bora kuliko kunyamaza. Mange anapenda pesa na ndo chanzo cha income alichonacho. Atadhalilisha watu hadi lini? Is it fair ?
😅😅😅😅mdanganye mwenzio aingie loss mpak axhangae labda mumchangie
Watanzania wana penda umbea
Na bado atakufa ty akiwa mkonde
Karma is a bitch
Anatakiwa amlipe gigi
Mangi kimavi ni shetani mkubwa. Malipo nipas apa
Lol
Wajinga ndio waliwao , unamlipa Mange kuangalia ujinga wake seriously
Mjinga ni gg, mangi anajuwa kucheza na akili za watu...😅
Wajinga ndo waliwao ndo maan lulu huwa hampi airtime mangee
Kichaa mangunge😂😂😂😂😂