@@omaar5693 MWANZO 1 26 Mwenyezi Mungu alikua anazungumza na Mwanae Yesu Kristo! Yohana 17:5 "Na sasa Baba, nipe mbele yako ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe hata kabla dunia haijaumbwa."..
@@joramsengi9123 21 25. Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabuduni Mimi tu. MAANA YA NASI
Pia huu ni mtihani hata aya kufasiri haujui ebu isome vzuri hyo aya juu ya Muhammad kutumwa na mungu soma vzuri co kwa kupotosha utaelewa nn kimekusudiwa hapo inasikitisha sana kuona unajitoa umesoma kumbe hauna elimu kabisa ya kiroho
Kama ni msomi hawazi kukaa na kubaka maneno ya Allah na mtume wake kuyakatakata kama unaakili wwe mwezangu unayetizama au unayemsikiliza utajigunza nni kwake kama lipo niulizeni mmi niwaeleweahe
Asalaam alaykum warhamatullah wabarakatuh wenye akili naomba mnielewe hawa walimu wa TH-cam ni wapiga Hela tuu hadi huku kwenye TH-cam kumekua kama kanisani wanataka kuwadanganya kama wanavyodaganya kanisani lengo wapate kula naomba muelewe hilo ila nyinyi ni wenye akili hapo hakna msomi kuna kibaka wa TH-cam na maneno ya mwenyezimungu
Hauna tofauti na WA Israel ambao hawamtambui Yesu mpaka muda huu. Walimkataa ingawaje alitabiriwa na vitabu vya kale kama Muhammad alivyotabiriwa na vitabu vya kale.
Aliyekuwa ni adui wa Jibril ndiyo aliyeiteremsha Quran? Adui wa Jibril ni nani kama siyo shetani? Utume wa Muhammad unatoka kwa shetani na quran inatoka kwa shetani vilevile. Njooni kwa Yesu nyie Waislamu mpate uzima wa milele, huko mliko jiko litawahusu
Unasoma kitabu kwa nia ya kutafta kile unacho kitaka na sio kile kinacho takikana kwenye mstar moja unakubali maneno furan na unakataa mengine huo ni udogo wa elim.
@@trusted777 kama unaelewa qurani jifunze AYA hii ila kuwa kweli 21 25. Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabuduni Mimi tu.
Hauna elimu ya kiroho swala la kurogwa mbna limeelezwa mala nyng kwenu wakristo tukakupeni hadi mfano kwa ayubu pia nawe ilimtokea mitihani kama hyo na ungekuwa kama kweli unaelimu hyo ebu waambie watu why Muhammad alogwe au ayubu na co kusema tu
Ndio mtume Muhammad s.a.w. aliwasomea majin qur an. Kwa sbb alikua anakamilisha agizo la allah. Pale alipo mwambia sikuumba wa2 na majin. Isipokua waniabudu. Soma kwanza acha chuki elim yako ndogo san.
Wakristo mungu wao aligeuka kuwa mwanadamu yesu alafu , binadamu wakaamua mungu yesu , mungu gani mwanadamu Wakristo hawana dini ni uchawi ndio kazi zao na ushoga kwa kanisa umekubalika
@daudimichael7338 mada gani ? Ukristo sio Dini . Ati yesu ni mungu , mbona yesu aliposulubiwa alilia akisema mungu wangu mbona umeniacha , sasa ni mungu gani akimlilia na yeye ndio mungu ? Kweli ukishandana akili punguani utaishia pabaya. 😆 🤣 😂
Mwalimu uko vizuri
Wanaabudu shetani bila kujua. Asante Mwalimu
Mbarikiwe sana.
Tubarikiwe sote
Mwalimu nenda uungane nawalimu wenzako akina ndacha.ubarikiwe
@@GoodluckTumaini-o7p hapana... Shamba la BWANA ni kubwa. Mimi nafanya huku na wao wafanyie kwingine.
Ukristo niupofu kweli yaani Kila kitu Kiko wazi lakn kuelewa ningumu itabidi tuanze kufundisha lugha
mwingi yao 😂😂😂 Nasiiiiiii
Mtoa msda hata akili huna hiyo soma aya za nyuma kwenye hiyo sura huna akili ya kufahsmu maneno ya Allah
Huyoo ni kibaka kama vibaka wengine tuu
Basi ni kikundi Cha mapepo bila shaka
Eti, nasi, yani ni wengi wa mungu (mwingu yangu) 😂😂😂 niatari sana.
wewe hujasoma MWANZO 1 26?
@@omaar5693
MWANZO 1 26 Mwenyezi Mungu alikua anazungumza na Mwanae Yesu Kristo!
Yohana 17:5 "Na sasa Baba, nipe mbele yako ule utukufu niliokuwa nao pamoja na wewe hata kabla dunia haijaumbwa."..
Ukweli mnaujua. Lkn mnasoma maandiko nusunusu bila kumaliza mpaka mwisho na mengine mnayapindisha Ili msikimbiwe na watoa sadaka.
Lete andiko sasa lililokamilika
@@joramsengi9123 21 25. Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabuduni Mimi tu.
MAANA YA NASI
Jambo!, Mpendwa Mwalimu.
Salama mjoli. Barikiwa
Pia huu ni mtihani hata aya kufasiri haujui ebu isome vzuri hyo aya juu ya Muhammad kutumwa na mungu soma vzuri co kwa kupotosha utaelewa nn kimekusudiwa hapo inasikitisha sana kuona unajitoa umesoma kumbe hauna elimu kabisa ya kiroho
Sasa si utafsiri wewe, nasi ni wakina nani na Mungu ni shahidi tu??? Kivipi???
Kama ni msomi hawazi kukaa na kubaka maneno ya Allah na mtume wake kuyakatakata kama unaakili wwe mwezangu unayetizama au unayemsikiliza utajigunza nni kwake kama lipo niulizeni mmi niwaeleweahe
Asalaam alaykum warhamatullah wabarakatuh wenye akili naomba mnielewe hawa walimu wa TH-cam ni wapiga Hela tuu hadi huku kwenye TH-cam kumekua kama kanisani wanataka kuwadanganya kama wanavyodaganya kanisani lengo wapate kula naomba muelewe hilo ila nyinyi ni wenye akili hapo hakna msomi kuna kibaka wa TH-cam na maneno ya mwenyezimungu
Hauna tofauti na WA Israel ambao hawamtambui Yesu mpaka muda huu. Walimkataa ingawaje alitabiriwa na vitabu vya kale kama Muhammad alivyotabiriwa na vitabu vya kale.
Naomba Aya inayoonyesha Muhammad katabiriwa katika vitabu vya kale
Waislamu hawana tofauti na WA Israel ambao hawamtambui Yesu kristo Mwana wa Mungu aliye hai...wanamtambua yesu feki kwa jina issa bin maryam
Uko na ujinga mingi uko na kichwa kubwa lakini imebeba kinyesi wacha kuwadanganya watu kama kweli ukristo dini mbona huna ukweli
Wacha ukora maana kila saaa ni Muhammad Muhammad tafuta kazi kijana
Yusphhasssan96 nakuliza Nazi ninani jivi swali wacha asira
Umfwate Muhammad usimfwate haipunguzi kitu na uislamu utaendelea
@@254trends njia ya upotevuni ni pana nao ni wengi wanaoenda kwa njia hii. Muddy ni nabii wa uwongo.
Abu Jehal, Abu Lahab, wote walimkata na bado uislamu inaendelea
Uislamu utaendelea hadi jehanam......habari ndo hiyo!!
@@chapchap-oz1ou ya Muhammad mpaka mwisho mungu ndie anahukumu si wewe
Aliyekuwa ni adui wa Jibril ndiyo aliyeiteremsha Quran? Adui wa Jibril ni nani kama siyo shetani? Utume wa Muhammad unatoka kwa shetani na quran inatoka kwa shetani vilevile. Njooni kwa Yesu nyie Waislamu mpate uzima wa milele, huko mliko jiko litawahusu
Amen Amen... Yesu Kristo yuko tayari kuwapokea.
Unasoma kitabu kwa nia ya kutafta kile unacho kitaka na sio kile kinacho takikana kwenye mstar moja unakubali maneno furan na unakataa mengine huo ni udogo wa elim.
Anatafuta kiki na Muhammad sadaka imepungua enda ukalime bro ata yesu alikataliwa na wayahudi kabila lake sembuse Muhammad
Muhammad anakataliwa kwa ushetani aliouleta . lakini Yesu alichukiwa kwa kuihubiri kweli
Waislamu ndo wayahudi wa zama hizi...mnamkataa Yesu Halal, mnamkubali yesu haram kwa jina issa bin maryam.
Ninan sasa hao tone majibu
@@MwanjaSulaiman ndio tunasubiri majibu yao sasa
@@trusted777 kama unaelewa qurani jifunze AYA hii ila kuwa kweli 21 25. Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabuduni Mimi tu.
We falaa,yule alyesema tuumbe mtu kwa mfano wetu,walikuwa wangapi
Na malaika
Roho mtakatifu na yesu lkn kwenu mungu Hana mshirika
NAHITAJI MJADALA NAWW ULETE HOJA ZAKO IZO DHAIFU MBELE YA UMMA
@@AlmasiLukamya niko kwa mjadala hapa Kenyatta road nairobi. Shekh Anwar, shekh Ndeda wako hapo
@@AlmasiLukamya njoo hapo rafiki kama ukiwa tayari
Acha uongo Kisina Yesu ni wapi alikua akiingia kanisa, wanaslim ata mbele yakina Ndacha acha wewe
Hauna elimu ya kiroho swala la kurogwa mbna limeelezwa mala nyng kwenu wakristo tukakupeni hadi mfano kwa ayubu pia nawe ilimtokea mitihani kama hyo na ungekuwa kama kweli unaelimu hyo ebu waambie watu why Muhammad alogwe au ayubu na co kusema tu
Ayubu ndiyo Yesu? Kama una ushadidi wa Yesu kurogwa tuambie.
Muhammad ni mtume wa Allah si wa yesu mungu wenu si mnasema Allah ni jiwe jeusi sasa unaongelea mungu mgani?
Allah never exist repent and accept Jesus as your Lord and savior before it's too late please
We nguruwe kwani huna kazi nyengine ya kufanya?
Nguruwe ata nyie waislam mnakula ila mmeambia mle kias
Sasa hasira na matusi ya nini?? Inaonyesha ulivyokarorishwa. Kama una hoja weka mezani.
Wacheni uongo wenu kila kitu ni documented.Munapotosha tafsiri kwani yenu haiendi sawa na Uislamu.Christianity is a pagan religion.
Ndio mtume Muhammad s.a.w. aliwasomea majin qur an. Kwa sbb alikua anakamilisha agizo la allah. Pale alipo mwambia sikuumba wa2 na majin. Isipokua waniabudu. Soma kwanza acha chuki elim yako ndogo san.
NI SAWA NA ILE AYA YA KWENYE BIBILIA INAYOSEMA "NA TUMFANYE BINADAMU KWA MFANO WETU"
@@Skeletonking2116
Mungu alituumba kwa mfano wake...sio kwa mfano wa majini!!
@@Skeletonking2116 tufundishe Hawa nasi ni kina nani ?
@@PhilemonLaizer-wz9wu hili swali hawawezijibu hata iweje
@@Skeletonking2116 si sawa kabisa... Ya quran niya majini
Wakristo mungu wao aligeuka kuwa mwanadamu yesu alafu , binadamu wakaamua mungu yesu , mungu gani mwanadamu Wakristo hawana dini ni uchawi ndio kazi zao na ushoga kwa kanisa umekubalika
Waislam mungu wenu yuko makah kila mkiswari swar zenu znaelekea makah
Kaa kwenye mada, acha porojo
@daudimichael7338 mada gani ? Ukristo sio Dini . Ati yesu ni mungu , mbona yesu aliposulubiwa alilia akisema mungu wangu mbona umeniacha , sasa ni mungu gani akimlilia na yeye ndio mungu ? Kweli ukishandana akili punguani utaishia pabaya. 😆 🤣 😂
Tafuta kazi ya kufanya upate riziki ya halali usilimu uwe mwislam ufe ukiwa umesalimika itakuwa kheri kwako
HAWA NASI NI WINGI WAKUJITUKUZA
Lugha huelewi nini....nani hajui NASi ni zaidi ya mtu mmoja????? kwa hiyo aya waliomtuma ni NASI NA mungu ni shahidi!!