Tanzania yeyote anaweza kuwa rais, hakuna kazi kuongoza wafu,kama alivyosema mh Jomo Kenyatta kuwa wtz ni wafu,na mh JKM akasema wakenya wapo usingizini. Nchi hii hata yeyote anaongoza
Hakika we we ni very intelligent. Yaweke wazi maana kuna watu in mbumbumbu wa kushabikia maneno ya viongozi badala ya kushabikia matokeo ya uongozi wao .maana matokeo ya siasa bora in maendeleo kwa kila mwananchi.tuonane 2020
Haukuwa na sifa nzuri hapo mwanzo. Lakini sasa naona integrity, intelligence, compassion, within you UNAFAHAMU NINI UNACHO KIHAMAKI. Nimeshiaka neno moja kwako MTU MWENYE UHAI NDIYE ATAKAYE SHIKA NCHI ILI IWE NA UHAI
DA! MEMBE UKO VIZURI SANA SANA!! TENA NAKUKUBALI SANA!! SIJA WAHI KUKU SIKIA UKIONGEA KAMA LEO! PIA WEWE BONGE LA MSOMI KULIKO JAMAA MMOJA HAPA AMBAE SIKU HIZI ANASIFA ZA KWENYE MAGAZETI NA TV HASA TBC. 2020 UKIGOMBEA KURA YANGU MUHIMU SANA KWAKO!! BIG UP MEMBE KWA HERUFI KUBWA!!! WALO KUCHAKUCHUWA 2015!! MUNGU AWAONE!!
Nakushauri mwenye hii channel ili kupata watazamaji wengi zaidi ni bora utuonyeshe habari zenye manufaa zaidi ya hizi. Mfano za ufugaji, kilimo, ufundi na sekta mbali mbali pamoja na siasa zenye faida na mashiko na faida kwa watazamaji wako hapo utapata watazamaji wengi bila shaka.
Wabongo ni wavivu wa kufikiri.Angalia history ya dunia na uangalie significance ya peoples power;mfano Napoleon wa Ufaransa,Mugabe wa Zimbabwe n.k utapata jibu.Wacha kufikiri ndani ya box!
chelsea Tanzania angalia mpaka mwisho siyo kukosoa bila uhakika ! 2015 nani alihama chadema kwenda CCM ? Hiyo video mpya, bora unyamaze kama hujui kitu
Umesahau kwamba uwoga wenu ndo unaowafanya mzuie vyama vya upinzani kuwa na nguvu!?.Jiwe aruhusu mikutano na Uhuru wa kila mtu kueleza fikra zake aone cha moto!.Anaweka makatazo ya mambo ambayo yapo kikatiba na hajui kwamba iko siku samaki ataliwa upande wa pili?.⌚⌚💪
hiv huyu jamaa... We ;bwege tuu fisadi ambaye aliandaa... milion 700 za kuonga wajumbe na bado... alitemwa... ccm alei watu kama nyinyi... ccm hii sio ile uliyo izoea ya kupiga piga ..jpm anawanyoosha mafisadi wote ndio maana umefel
Kila mtanzania ana Uhuru wakutoa rai zake mtandaoni nakusema chochote Ila wale ambao wanatoa lugha za matusi ifikie mahali wachukuliwe hatua Kali za kinidham ili iwefundisho kwawengine hatupendi kusoma matusi anayotokanwa mtu mkubwa kama Membe mtandaoni inamaana huyu anaetoa matusi anaweza mtukana hata babaake na mamaake
BERN, NAKUSHAURI UKAE KIMYA ILI MZEE WETU DR. JPM AIENDESHE NCHI YETU SALAMA. ULIPEWA FURSA KUTUTUMIKIA WATANZANIA NA HUKUONYESHA UWEZO WOWOTE. NI USHAURI WANGU NINAOKUPA.
Mwacheni raisi.wetu mzalendo.namba moja jpm alijenge taifa yeye ni executive president. Siyo political president.yeye ni resident president na siyo transient president.siasa za majukwaani zimepitwa na wakati na hatuzitaki tena asilani nchini Tanzania.
Hivi jamani kufuata taratibu ni nhumu? Km mtu huzingatii utaratibu unahemka unataka nini? Mbio za riadha Zina taratibu katika kuanza, kupitia Hadi kumaliza. Itashangaza utakapoanza kukimbia kabla kuruhusiwa na kupita nje ya njia husika halafu unamaliza mwishoni unashangilia .... Tutakuonaje wewe! Tulia Mambo bado!
Huyu membe atakumbukwa kwa jitihada zake za kuiunganisha Tanzania na jumuia ya kiislamu OAC na mahakama ya Kadhi,kwa urais wa tz hatumtaki pia alitaka kuhonga wajumbe wa Nec hafai kuwa rais atauza nchi
hujui unenalo,hata Marekani na mataifa mengine yaliyoendelea yalifika pale kwa msaada wa viongozi Madictator,mfano George Washington wa USA,Adolf Hitler wa Ujerumani na Benito Musolin wa Italia,sasa nyinyi mnapigia kelele demokrasia ya nn kwa kipindi hiki cha kufanya kazi kwa maendeleo yetu ya nchi?,Achani blaa blaa fanyeni kazi!!!!
Membe nyarandu ni watu waliyofilisi nchi enzi zakikwete wanasujudia matajiri mwisho wake hawalipi kodi ,nyarandu wizara ya utalii na Mali asili aliihujumu mpaka kichefuchefu
Hivi mtu kama huyu Mzee ni nini Watanzania wanaweza kujivunia kwamba alifanya ktk uongozi wake! Ninacho kumbuka Hakuna wakati CCM ilikuwa ya majungu rushwa na fitina kama kipindi cha kina huyu jamaa
Hivi hamuwezi kutoa comments bila kutoa lugha chafu za matusi? Acheni hizo kuweni na ustaarabu mnapotoa comments, huu ukurasa unasomwa na watu wa kila aina.
Now I know why mzee you have been so quite and against. It's all about the process was used to pick and recruit the party representative and chairman. All is about the process used. Good luck to your mission. Indeed it's null and void. Maana hakukufuata taratibu zilizo ndani ya .katiba yenu.
Mze mimi nilikua nakuona kama unamtazamo wa kumbe na ww niwalewale wakuona jilanijilani tu chadema kunampasuko waainagani? Sema hivi wabunge wachadema na madiwani wa chadema wamenunuliwa na ccm siokinampasuko make wapiga kura hawajahama bado wako na chadema na bado wanaimani na chadema. Ukitaka kuamini ivyo chaguzi zote ndogo chadema ilikua inapambana na police kwenye kampeni mpaka kwenye chaguzi alakini uwanja ukiwa sawa ccm hawana chochote
kashapangwa huyo ili asionekane kuwa hampendi mchizi, hajatjka hadharani kpndi choote hicho aje kuhjiwa ss na kutoa maneno haya mieh binafsi naamini ameambiwa aongee hivyo kumridhisha mtukufu ajisikie malkia-mfalme!
Mzee wewe ni mtu muhimu Sana na mwenyekuheshimiwa Sana. Nakunawatu wanakuheshimu Sana. Embu hachana na mambo haya yanakushushia heshima yako. Unadhani unajijenga lakini sio. Washauri wanakudanganya hawakuambii ukweli
Next coming leader be blessed our father, our priority, our hope , our lives, etc, you well come to lead our nation, our country, etc
Watanzania wanaesema bernadi kivuluge na mchu wa Uraisi gonga like ya nguvuuu 💪
Ndugu watanzania wenzangu anae muona membe awezi na hafai kua rais wa jamhuri ya mungano wa tanzania na ana uchu wa madaraka agonge like apa.
george eric uyo ni fisadi
Tanzania yeyote anaweza kuwa rais, hakuna kazi kuongoza wafu,kama alivyosema mh Jomo Kenyatta kuwa wtz ni wafu,na mh JKM akasema wakenya wapo usingizini.
Nchi hii hata yeyote anaongoza
george eric si kila mtu akifafanua kitu flan anafaakuwa rais, umefkir kidogo
@@israelyohana1250 we unajua ayo anao ongea lkn ufuatilii historical back ground yake!!elimu yako ndogo.
Katangaza nia ya kugombea au domo kama lastik ya bikini? Kulopoka tu
Membe tuna kukubali, wana CCM na wasio CCM, BIG UP MEMBE.
Tunakukubali sana Kiobgozi wetu, mwenye Hekima, unaye shaurika, munyenyekevu. 2020 tupo nawewe Hata kwa chama Kipya, Tunakupenda sana Mh. Membe.
Lakini Mungu yupo, akisema Ndio hakuna wa kusema hapana, Mungu Ibariki Tanzania Na Viongozi wote, Amen.
Exactly mh Membe kiongozi anayetufaa ni yule anayeshika uhai wa nchi na uhai wa nchi ni dhana pana
Hakika we we ni very intelligent. Yaweke wazi maana kuna watu in mbumbumbu wa kushabikia maneno ya viongozi badala ya kushabikia matokeo ya uongozi wao .maana matokeo ya siasa bora in maendeleo kwa kila mwananchi.tuonane 2020
Dr Bernard membe mungu akituwezesha kufika 2020 tupo pamoja mzee,
Ccm imechoka naimechokwa rais ajaye mh tundu lissu kubali ukatae huo ndio ukweli
Upo sahihi bwana mukubwa👍👍👍
Members oyeee
Membe uko vizuri sana,wataisoma namba wanaokubeza,ni ma mbwa
groun green Mbona mbwa ni wewe! Hatutaki Fisadi hapa
Pole
MEMBE OYEEEE, CCM TUMPE KURA ZA NDIOOOOOOOOOOO
Olivia Seth mpe wewe na mkeo
Umesema kweli uhai wa watu ni bora kuliko vyote.
Haukuwa na sifa nzuri hapo mwanzo. Lakini sasa naona integrity, intelligence, compassion, within you UNAFAHAMU NINI UNACHO KIHAMAKI. Nimeshiaka neno moja kwako MTU MWENYE UHAI NDIYE ATAKAYE SHIKA NCHI ILI IWE NA UHAI
MEMBE ng'oa jiwe kutoka ikulu!!!!!!!
karibu 2020 mr prezdaaa
DA! MEMBE UKO VIZURI SANA SANA!! TENA NAKUKUBALI SANA!! SIJA WAHI KUKU SIKIA UKIONGEA KAMA LEO! PIA WEWE BONGE LA MSOMI KULIKO JAMAA MMOJA HAPA AMBAE SIKU HIZI ANASIFA ZA KWENYE MAGAZETI NA TV HASA TBC. 2020 UKIGOMBEA KURA YANGU MUHIMU SANA KWAKO!! BIG UP MEMBE KWA HERUFI KUBWA!!! WALO KUCHAKUCHUWA 2015!! MUNGU AWAONE!!
Episode
Lkn mi sikupendi hata kidogo, mi nampenda sana Magufuli
Au sio..
Atabaki Dr magu mwazo mwisho
Hapana wew kwenye urais wa nchi haitowezekana ila urais mwingine sawa
Wajibu kwanza watanzania wanao hiji furushi la hela liko wapi?
Nimemuelewa Sana mmakonde
Hufai kuwa kiongozi unagawanya wananchi na unakula rushwa sana utashindana lakini hutashinda
Nice
Mr Benad
Nakushauri mwenye hii channel ili kupata watazamaji wengi zaidi ni bora utuonyeshe habari zenye manufaa zaidi ya hizi. Mfano za ufugaji, kilimo, ufundi na sekta mbali mbali pamoja na siasa zenye faida na mashiko na faida kwa watazamaji wako hapo utapata watazamaji wengi bila shaka.
Ukitaka kujua hayo tembelea kalakana,,mashamba na mbuga za wanyama,,lkn anayoyasema huwezi yapata kwingine broo
Tueleze Kwanza mkia umeota?
Wabongo ni wavivu wa kufikiri.Angalia history ya dunia na uangalie significance ya peoples power;mfano Napoleon wa Ufaransa,Mugabe wa Zimbabwe n.k utapata jibu.Wacha kufikiri ndani ya box!
Hufai
Nyie mloweka hii video ni wahuni
Hii video ni ya zaman sana tena mwaka 2015
Leo mnatuhadaa nayo
chelsea Tanzania angalia mpaka mwisho siyo kukosoa bila uhakika ! 2015 nani alihama chadema kwenda CCM ? Hiyo video mpya, bora unyamaze kama hujui kitu
Umesahau kwamba uwoga wenu ndo unaowafanya mzuie vyama vya upinzani kuwa na nguvu!?.Jiwe aruhusu mikutano na Uhuru wa kila mtu kueleza fikra zake aone cha moto!.Anaweka makatazo ya mambo ambayo yapo kikatiba na hajui kwamba iko siku samaki ataliwa upande wa pili?.⌚⌚💪
Tanzania hatutafuti papa .tayari God ameshaweka driver panda Twende dogo Membe wewe ni abiria tuuuuu!!!!!!
@@abubakarothman2521 umesahau hta uchaguzi ulikua mwaka gani yani
Abubakar Othman ivi ww jamaa unafikiria vizur kweli, huoni hapo anaonhelea issue za twaweza, anaongela tafiti za twaweza za 2015 wewe
Uhondo TV- kichwa cha habari wala hakiakisi/hakifanani na maelezo ya Membe. Mwandishi umekuwa sehemu ya habari badala ya habari kujitegemea!!!!
WAJINGA WANAO MKOSOA MEMBE, NA KUMTUSI, OLE WENU NYAMBAFU NYIE.
Olivia Seth we unajichosha kunadi ng'ombe asie na mkia
hiv huyu jamaa... We ;bwege tuu fisadi ambaye aliandaa... milion 700 za kuonga wajumbe na bado... alitemwa... ccm alei watu kama nyinyi... ccm hii sio ile uliyo izoea ya kupiga piga
..jpm anawanyoosha mafisadi wote ndio maana umefel
Membe gombea CCM wakileta ujinga tuzichape mbona nchi zingine wamepigana. Hatuwezi buruzwa tena na CCM tumechokaaaaaaaa.
KAMA VILE ULIKUWEPO NAWEWE NDIE ULIEWAKAMATA! HAHAHA!
Kila mtanzania ana Uhuru wakutoa rai zake mtandaoni nakusema chochote Ila wale ambao wanatoa lugha za matusi ifikie mahali wachukuliwe hatua Kali za kinidham ili iwefundisho kwawengine hatupendi kusoma matusi anayotokanwa mtu mkubwa kama Membe mtandaoni inamaana huyu anaetoa matusi anaweza mtukana hata babaake na mamaake
Hata wanaotukana wanauhuru wa kutoa maoni yao pia
Yes nakuunga mkono
@@paulosamson2 yaani MATUSI nayo umeona ni UHURU WA MAONI .... Ama hakika HIKI NI KIZAZI CHA NYOKA na MUNGU ATAWAHUKUMU KWA USHETANI WENU
@@dachjunior4766 kwan ww ni wa kizazi gan???
@@sanyamwita1853 mimi ni kizazi cha WANAOJITAMBUA watu wenye HOFU YA MUNGU ..... Hakika MATUSI ni LAANA na kamwe HAYATAKUWA SEHEMU YA MAISHA YANGU
Nakuuliza je chadema walifanya hivyo kwa lowasa???je ndani ya chama chao democracy ipo kweli au uchifu
Huwz linganisha vyama vyenye katiba tofauti,huo ni umama
.
Katiba ya chadema no tofauti na ccm upo. Na chadema haijapasuka kama alivyoasema huyu msaka ugali wak
poleni mnaotukana hiiii video 2015 muwe Na kumbukumbu kwenye mabichwa yenu
Hiyo ni sawa kwa mgobeaji aliyemalizia muhula wake wa pili. Alie kipindi cha kwanza huwa anapewa kipaumbele .Hii ni ilani ya CCM
Membe ulipokuwa waziri wa mambo ya nje ulikuwa Unaenda ulaya kuangalia mahoteli yako tu
Wilhard Vawunge na wewe nenda kijijini kwenu kaangalie makaburi
Kweli baba
Yapo yenye msingi kwa msikilizaji lkn kwa mshabiki huwezi kumuelewa membe huo ndio mtazamowangu
zile pesa ulizotaka kuhonga wajumbe Wa halmashaur kuu wakupitishe zikakamatwa Dodoma ulizitoa wapi?hao waliokukopa ulitaka uiibie serikar ndo urudishe UMEFERI 2025 LITAINGIA JEMBE LINGINE LENYE MAKALI KOTEKOTE
Hii ni zamani sana
hma km jpm daima aongoze nchi
Usitukane humu kila mmoja ana uhuru wakuingeaaaaaa lower your pressure
Mh kwani lile fuko la mahela bado unalo?
Good Membe
Unaweza Kupata Mgombea Ambaye Ni Criminal.
KAZI NA BATA 2020
Mi naona mitandao ni chonganishi. Mnamwekea Membe maneno mdomoni.
Vzr
membe ndo habari ya 2020
MEMBE NI MJINGA WA SIASA CHADEMA IMEPASUKA NENDA KAVAE MAGWANDA YAO MULITAFUNA NCHI YETU WAKATI WENU
Wamechukuliwa hatua gani?
Uhondo TV ninawaleft kuanzia sasa,,,,Mnaanza kutuwekea vitu ambavyo siyo relevant ....hii ni ya 2015
BERN, NAKUSHAURI UKAE KIMYA ILI MZEE WETU DR. JPM AIENDESHE NCHI YETU SALAMA. ULIPEWA FURSA KUTUTUMIKIA WATANZANIA NA HUKUONYESHA UWEZO WOWOTE. NI USHAURI WANGU NINAOKUPA.
Jot comed
Mwacheni raisi.wetu mzalendo.namba moja jpm alijenge taifa yeye ni executive president. Siyo political president.yeye ni resident president na siyo transient president.siasa za majukwaani zimepitwa na wakati na hatuzitaki tena asilani nchini Tanzania.
Uko vzr
siku ukimuelewa vizuri ni mtu wa aina gani sidhani kama utaongea tena kitu kama hiki fatilia vizuri na sio maneno ya jukwaani
@@rashidijumaaorwaka6699 mwacheni rais wetu afanye kazi
Jembe la 2020
Siyo kweli!
huna jipya RAIS anafanya mambo mazuri hata uoneshi ushirikiano wowote mwache jpm aongoze NCHI! hata theluthi anayofanya jpm usingefikia wewe nikibarka ungetuangamiza
Hosea Mafuru ww kama ww umeonesha ushirikiano na rais
Yaan huyu jamaa hata akiongea tu unamuona hewa,hana uwezo hata wa kujibu hoja,pia hana mvuto hata kidogo,kwa Magu bado sijaona mbadala wake,Viva JPM
Hawahawa ndiyo wakina nyarandu hawafai hata kidongo wataturudisha nyuma kilometa 6000000
🤣🤣🤣🤣🙏🙏
Ww ni mshenz hakuna wa kukusikiliza hufai
Mzee tunashida na lile fuko bado lipo?
tena ww huwezi kuongeza nchi sikupendi
Ccm haijadili mambo yake kwenye mitandao ya kihuni kama hii.
Hivi jamani kufuata taratibu ni nhumu? Km mtu huzingatii utaratibu unahemka unataka nini? Mbio za riadha Zina taratibu katika kuanza, kupitia Hadi kumaliza. Itashangaza utakapoanza kukimbia kabla kuruhusiwa na kupita nje ya njia husika halafu unamaliza mwishoni unashangilia .... Tutakuonaje wewe! Tulia Mambo bado!
membe ni msomi anaongea point lakini kwa wasiojua hawawezi kumwelewa.
Kweli hizo formula tunaziona pia kwenye hizi chaguzi za marudio asee mungu anaona lkn,kwasasa mengi tutayashuhudia twendeni tutafika tunapotaka kwenda
kazi na bata au
Hahahaaa
Huyu membe atakumbukwa kwa jitihada zake za kuiunganisha Tanzania na jumuia ya kiislamu OAC na mahakama ya Kadhi,kwa urais wa tz hatumtaki pia alitaka kuhonga wajumbe wa Nec hafai kuwa rais atauza nchi
Huyu ndiyo Membe?
Bernard membe ccm haijaleta ukombozi
Na haijaleta uhuru nk
Complain halafu unashat la ccm
Hutapata kumbuka kwa zx ww sio kampeni ww jinadi utaongellea bje ya list
Ya siku nyingi
....naomba kuuliza eti wewe na kikwete ni nduguu....?? Maana kipindi cha kikwete walikuandama sna uhusianoo wako na kikwete...??
huyu mwizi kafikaje hapa????baba hatuna mimba mzee maembe sepa
Unabusara sana, Mh. Membe, kuliko hata hili Dictator La sasa
aisee tena kwer kabisa
hujui unenalo,hata Marekani na mataifa mengine yaliyoendelea yalifika pale kwa msaada wa viongozi Madictator,mfano George Washington wa USA,Adolf Hitler wa Ujerumani na Benito Musolin wa Italia,sasa nyinyi mnapigia kelele demokrasia ya nn kwa kipindi hiki cha kufanya kazi kwa maendeleo yetu ya nchi?,Achani blaa blaa fanyeni kazi!!!!
Orchestra Shija shika
Membe nyarandu ni watu waliyofilisi nchi enzi zakikwete wanasujudia matajiri mwisho wake hawalipi kodi ,nyarandu wizara ya utalii na Mali asili aliihujumu mpaka kichefuchefu
Wewe ukiteuliwa kugombea.... I better not vote
Ukipata urais mi utanipa cheo au??like zangu zipo kwa kidole gumba.jee,hospital gharamazita pungua au Utageuza ni vyanzo vya mapato kama the african
@@zubedasaidi9507.maana hospital zishakuwa vyanzo vya income
Hivi mtu kama huyu Mzee ni nini Watanzania wanaweza kujivunia kwamba alifanya ktk uongozi wake! Ninacho kumbuka Hakuna wakati CCM ilikuwa ya majungu rushwa na fitina kama kipindi cha kina huyu jamaa
Wanasema Nzi hufia Kidondani!! Akifukuzwa anaongeza Ujasiri was Kurudi tena! Afu Anauliwa!;
JPM oyeeeeeeeeeeee
Huuwezi moto wa JPM ww mzee kajipange kwamara nyingine
Mtoa post mbona heading yako haiendani na matamshi ya Membe.
ZILIPIENDWA
Hahahaa kazi na bata
Hivi hamuwezi kutoa comments bila kutoa lugha chafu za matusi? Acheni hizo kuweni na ustaarabu mnapotoa comments, huu ukurasa unasomwa na watu wa kila aina.
Kama hii ndo ya zamani nakusamehe.
unaonekana wewe unaweza kutumbua vijipu uchungu ila majipu matambaza anaweza mzee pombe daktar majibu mzee wa vijipu uchungu vichunus ndo vyako mzee.
membe si utulie tu utaratibu wa chama si unafahaamika
Mfa maji
Now I know why mzee you have been so quite and against. It's all about the process was used to pick and recruit the party representative and chairman. All is about the process used. Good luck to your mission. Indeed it's null and void. Maana hakukufuata taratibu zilizo ndani ya .katiba yenu.
Henry Kifwambele Are you still waving to a person who was caught for bribery?
He absolutely a fraud monger and he don't deserve for presidency!
The relationship between facial appearance vs the voice indicates being out control. Things gating out of hand
Mnamkosoa membe saiv
Lakn akbahatika kua
Rais mnaanza kumpongeza
Wajinga Sana nyie yaan sjui mnantaka nan awaongoze
GEORGE SAMWEL CHACHA nani mjinga axe, yaan sisi ni wajinga? Oky
Kusini tumekukubali sana wanaokuponda awajaona umuimu wako Kwa sisi chingaa wezakoo tunakukubali kwavile maendeleo kwetu tumeyaona
Mzee umesema kweli uhai wa watu ni bola kuliko vyote hata kama ungefanya mengi sana lakini cha kwanza kulinda amani na uhai wa binadam
Mimi ni membe kindakindaki membe oyeeeee
Tatizo nchi inaongozwa na zidumu fikra za mtu mmoja kila anaepata urais kwa ccm anatuburuza sio kusikiliza maoni na ushauri
Mze mimi nilikua nakuona kama unamtazamo wa kumbe na ww niwalewale wakuona jilanijilani tu chadema kunampasuko waainagani? Sema hivi wabunge wachadema na madiwani wa chadema wamenunuliwa na ccm siokinampasuko make wapiga kura hawajahama bado wako na chadema na bado wanaimani na chadema. Ukitaka kuamini ivyo chaguzi zote ndogo chadema ilikua inapambana na police kwenye kampeni mpaka kwenye chaguzi alakini uwanja ukiwa sawa ccm hawana chochote
kashapangwa huyo ili asionekane kuwa hampendi mchizi, hajatjka hadharani kpndi choote hicho aje kuhjiwa ss na kutoa maneno haya mieh binafsi naamini ameambiwa aongee hivyo kumridhisha mtukufu ajisikie malkia-mfalme!
Tcra wapo wapi? Hivi visitation Ni kuvitoa kabisa
Akitoka Magu tunaweka Majaliwa wewe una ujasir atukutaki
Ujali gani hana point
hmm
Chano Came kweli kabisa ukitoka magu majariwa anakuwa rais
Good akitoka magu tunaweka majaliwa au bashiru
Chano Came weka akiba ya Maneno, kesho ya MTU ni Mungu tu aijuaye, si mwanadamu
Nn hana uchu wa madaraka?.Km uchu wa madaraka kwa nn unagombea? Unafiki.
Chadema msije mkasema tena ,mngejua!!!! Haya lowasa mwingine huyoo twawapeni!
Mujue kwasasa hatuangarii kwamacho Hebu jalibuni kuitakia jema inch yenu Nas vyama Achen
Mzee wewe ni mtu muhimu Sana na mwenyekuheshimiwa Sana. Nakunawatu wanakuheshimu Sana. Embu hachana na mambo haya yanakushushia heshima yako. Unadhani unajijenga lakini sio. Washauri wanakudanganya hawakuambii ukweli