ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Vijana wako vizuri sana,dj majizo nakupongeza sana kwa kutambua vipaji vya hao vijana wetu,Mungu akubariki sana uzidi kuwainua hao
Aisee DJ anavyochanganya huu mziki vibe kama zote Mbwa Misondo
Asant san mung ukulind il ulet mambo mapy kaka yang nakupend. San ❤❤❤❤❤🎉
Huyu miso missondo yaan dogo anabaraaah amenichanganya aina ya nyimbo anavyobadilisha daah mungu akupambanie ufike mbali sana 🔥🔥🔥🔥
Honger sana miso misondo had saiv najuwa stahil za kucheza
Misso missondo mi nimeisha hivi ni kawaida ii❤❤
Ubunifu mpya 2023 _2024 happy new talent miso misondo p
Baba ni bonge la burudani 2023 ,2024 MUNGU aisimamie kazi yenu mtafika mbali sana😁😁😁😁😁♥️🤝
Safi sana mjukuu wangu mungu aendelee kukupandisha juu usaidie wazazi wako na vijana wenzio usibague mtu
Aiseeee misso na mipunqa ikujie kama mvua .upate Mihela❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂 kazi nzuri sana,jamaa wamekuja na makoti yao
Kutoka Kanda maalum wazee mpo vizuri ila Mbona Amna mapanga mbona ivyo
Mwamba mkali Sana nakubali vibe la nguvu naenjoy nikiwa Nairobi Kenya 💥💥
😀😆🤣Napenda sanaa.. style hiyo ya uchezaji aiseee..singeli mmeipoteza kiukweli
Amakweli mungu akiamua kukutoa anakutoa to xa hawa jamaa asaivi wanakula mama nchi et kwa kifupi kaz nzur inabamba sana
I like this song
Nawakubali hawa jamaa balaa hongera zenu
Makini sana miso
Noma
❤❤❤❤wazee wa Makoti mmetisha
Mungu awatie nguvu mfike mbali maswaiba
😂😂😂😂nakubariiii saaanaaa vijana wangu
Good job
Madogo wanaweza na wako vzr
Wap vizur sana vijan wanaweza😂😂
Majizo akili kubwa!hongera sana
Miso mwanangu sana nakubali
Nawapenda sana hawa jamaa wapewe maua yao
Nyie🎉
jamaa wanajuasana ❤❤❤❤
Hatareee sanaaaa
❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nouma Sana mzee❤❤❤❤❤❤❤❤
❤Bonge la burudan
nawapenda Sana missondo
Leo ndiyo nimewaona zamani nilikuwa tu nasikia miso misondo sikujua nia akina nani
Apo alipochanganya regea na singel duuh hatari
Balaaaaaa mjini 🔥🔥🔥🔥🔥
Nomaa😂😂😂
mnajua sanaaa daaa hatariii
Sana mwanetu
Yani huy dj kasha kuwa wamoto had watt washa mjua
Kiukwel dj majizo wanatakiwa kupewa santa kwa kutulete vipaji kama hivi
Sanda??
@@jolinoyohana3904 👍
Mamae miso misonda dah aisee ww dogo unajua sana
Hatima yake nn kupata ajila au unatembea na upepo wao na kuwatelekeza
Jamn miso misondo ulikuwaga wap cku hiz had stahili za kucheza nazijuwa
kuna mmoja atawasaliti wenzie nishamuona
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hamiwezi mushizo ata aamuke upyaaa
❤❤❤😂😂😅
nimecheka jamani
Kiongoz wa hiz kaz alovaa kilemba frn km alkaida na wa mwixho kabisa yy fujo za pekeake huy alovaa suruali nyeupe na kofia lake km bakuli la jela 😂😂😂😂
Wauni sio poa
Miso misondo umepigaje apo
Alafu mjue apo wazee was makoti Kuna mkali wao kiongozi MTU m bad alievaaa suruali brown na flana njano ndani ana kiremba Cha njano kama alkaida 🏃🤾🤣🤝
Ndio bana atamie nimeliona ilo anajua anajua tena
Nnawapa siku 90 tu watakuwa hatuwajui tena. Kuna njiwa wa kufugwa na Tetere wa porini. 😂😂😂
Roho mbaya😢
ACHA rohombaya inaonyesha huwa unafurahia kuona watu wakifeli
acha roho ya kichawiii
Aina hizi za roho mbaya ni hatari sana kwa ukuaji wa jamii ikiwemo na wewe mwenyewe pia.
Hiiii imeeenda umepigaje hapoooooo
Thamini kipaji chako
Kinata MC alipotelea wapi? Mpeni airtym pia...arudi Kwa game...tanatukoshaga
Soon D Voice nae atakuwa historia
Nikolausi
Magizo akil kubwa San hngra
Upepo wa D Voice umeishia baharini😂... kwisha habari yake🎉
dogo.komaa.wengi.wanatoboa.mjinj.
Wewe msondo kuwa DJ tu Mziki achana nao Hao wamakoti Warudi kwako kwani mjini Kuna mengi
Akili hauna wèw unazani watunwependa miso apan hawa jamaa nao wusaidia.kumutanzangaza la unakubaliana na mm weka.like
Mwanaume Huwa hamvunji moyo mwanaume mwenzio inagali sote tunatafta riziki ww mwenyewe huna pambna Kwa ajili ya familia yako akaibe ndo umsifie
Makoti ndo wanaleta Radha ya miso,hao ni madancer wake kama ilivyo wasanii wengine na madancer wao
Kila raheli
❤❤❤❤
Vijana wako vizuri sana,dj majizo nakupongeza sana kwa kutambua vipaji vya hao vijana wetu,Mungu akubariki sana uzidi kuwainua hao
Aisee DJ anavyochanganya huu mziki vibe kama zote Mbwa Misondo
Asant san mung ukulind il ulet mambo mapy kaka yang nakupend. San ❤❤❤❤❤🎉
Huyu miso missondo yaan dogo anabaraaah amenichanganya aina ya nyimbo anavyobadilisha daah mungu akupambanie ufike mbali sana 🔥🔥🔥🔥
Honger sana miso misondo had saiv najuwa stahil za kucheza
Misso missondo mi nimeisha hivi ni kawaida ii❤❤
Ubunifu mpya 2023 _2024 happy new talent miso misondo p
Baba ni bonge la burudani 2023 ,2024 MUNGU aisimamie kazi yenu mtafika mbali sana😁😁😁😁😁♥️🤝
Safi sana mjukuu wangu mungu aendelee kukupandisha juu usaidie wazazi wako na vijana wenzio usibague mtu
Aiseeee misso na mipunqa ikujie kama mvua .upate Mihela❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂 kazi nzuri sana,jamaa wamekuja na makoti yao
Kutoka Kanda maalum wazee mpo vizuri ila Mbona Amna mapanga mbona ivyo
Mwamba mkali Sana nakubali vibe la nguvu naenjoy nikiwa Nairobi Kenya 💥💥
😀😆🤣Napenda sanaa.. style hiyo ya uchezaji aiseee..singeli mmeipoteza kiukweli
Amakweli mungu akiamua kukutoa anakutoa to xa hawa jamaa asaivi wanakula mama nchi et kwa kifupi kaz nzur inabamba sana
I like this song
Nawakubali hawa jamaa balaa hongera zenu
Makini sana miso
Noma
❤❤❤❤wazee wa Makoti mmetisha
Mungu awatie nguvu mfike mbali maswaiba
😂😂😂😂nakubariiii saaanaaa vijana wangu
Good job
Madogo wanaweza na wako vzr
Wap vizur sana vijan wanaweza😂😂
Majizo akili kubwa!hongera sana
Miso mwanangu sana nakubali
Nawapenda sana hawa jamaa wapewe maua yao
Nyie🎉
jamaa wanajuasana ❤❤❤❤
Hatareee sanaaaa
❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nouma Sana mzee❤❤❤❤❤❤❤❤
❤Bonge la burudan
nawapenda Sana missondo
Leo ndiyo nimewaona zamani nilikuwa tu nasikia miso misondo sikujua nia akina nani
Apo alipochanganya regea na singel duuh hatari
Balaaaaaa mjini 🔥🔥🔥🔥🔥
Nomaa😂😂😂
mnajua sanaaa daaa hatariii
Sana mwanetu
Yani huy dj kasha kuwa wamoto had watt washa mjua
Kiukwel dj majizo wanatakiwa kupewa santa kwa kutulete vipaji kama hivi
Sanda??
@@jolinoyohana3904 👍
Mamae miso misonda dah aisee ww dogo unajua sana
Hatima yake nn kupata ajila au unatembea na upepo wao na kuwatelekeza
Jamn miso misondo ulikuwaga wap cku hiz had stahili za kucheza nazijuwa
kuna mmoja atawasaliti wenzie nishamuona
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hamiwezi mushizo ata aamuke upyaaa
❤❤❤😂😂😅
nimecheka jamani
Kiongoz wa hiz kaz alovaa kilemba frn km alkaida na wa mwixho kabisa yy fujo za pekeake huy alovaa suruali nyeupe na kofia lake km bakuli la jela 😂😂😂😂
Wauni sio poa
Miso misondo umepigaje apo
Alafu mjue apo wazee was makoti Kuna mkali wao kiongozi MTU m bad alievaaa suruali brown na flana njano ndani ana kiremba Cha njano kama alkaida 🏃🤾🤣🤝
Ndio bana atamie nimeliona ilo anajua anajua tena
Nnawapa siku 90 tu watakuwa hatuwajui tena. Kuna njiwa wa kufugwa na Tetere wa porini. 😂😂😂
Roho mbaya😢
ACHA rohombaya inaonyesha huwa unafurahia kuona watu wakifeli
acha roho ya kichawiii
Aina hizi za roho mbaya ni hatari sana kwa ukuaji wa jamii ikiwemo na wewe mwenyewe pia.
Hiiii imeeenda umepigaje hapoooooo
Thamini kipaji chako
Kinata MC alipotelea wapi? Mpeni airtym pia...arudi Kwa game...tanatukoshaga
Soon D Voice nae atakuwa historia
Nikolausi
Magizo akil kubwa San hngra
Upepo wa D Voice umeishia baharini😂... kwisha habari yake🎉
dogo.komaa.wengi.wanatoboa.mjinj.
Wewe msondo kuwa DJ tu Mziki achana nao Hao wamakoti Warudi kwako kwani mjini Kuna mengi
Akili hauna wèw unazani watunwependa miso apan hawa jamaa nao wusaidia.kumutanzangaza la unakubaliana na mm weka.like
Mwanaume Huwa hamvunji moyo mwanaume mwenzio inagali sote tunatafta riziki ww mwenyewe huna pambna Kwa ajili ya familia yako akaibe ndo umsifie
Makoti ndo wanaleta Radha ya miso,hao ni madancer wake kama ilivyo wasanii wengine na madancer wao
Kila raheli
Honger sana miso misondo had saiv najuwa stahil za kucheza
❤❤❤❤
❤❤❤😂😂😅