MISSO MISONDO WAVUNJA REKODI WAKUTANA NA MAKONDA BAGAMOYO CHEKI KILICHOTOKEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- #Mwanahabari digital Fuatilia Channel ya habari za kijamii,siasa zinazohusu Tanzania
Akaunti zetu za mitandao ya kijamii
Instagram: habari_digital,
Facebook:Mwanahabari digital
Twitter:HabariDigital
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Majizo ongera sana kwa kuwaleta vijana hawa,mungu akubariki sana❤❤❤
Hello
Duh sengenge deda sasa zimekufa
Ninawapenda sana
Misso mashabiki zako tuombe siku moja wazee wa makoti wavaae unyama ili tuwaone vizuri❤❤❤
hiyo ni brand yao kuvaa hivo
Misso mashabiki zako tunakuomba wazee wa makoti wapate na sare zingine tofauti na makoti,kwanza makoti muda mwingine joto.❤❤❤❤❤❤
Mimi hapa ndiyo naamini wakati wa mungu ukifika hakuna anayeweza kuipindisha
kama unamkubali misso nipe like zangu hapa 💪💪💪
Hawa jamaa wamesababisha Makoti pale karume yamepanda bei sana
😂😂😂
😂😂😂😂
Nalo hilo jambo
kinahcho kujaaga kuua bendi nyingi nimaslahi mungu alisaidie hilikundi lidumu
Mda ukifika wa kuinukiwa hakuna wa kupinga ❤❤❤ naamini miso misondo 2024 hata kujakuisahau maishani mwake
Rizik mafung 7 acha kijana apg kaz
Mamb vp
Wamenikumbusha enzi za Extra musica ,,,
Extra Musica ya Roger Roger mbona bado ipo. Hujaiona bokoko!!@??? Bonge la ngoma
Uko Hawa tobiw wee
Hawa jamaa Mngewakatia tiketi waende WAKALIAMSHE AFCON....😂😂
Eee waaaaahhhh kama ulikuwepo vile
@@SafinaIsambula meona eee
Nashangaa wamepelekwa wazee akina shafii dauda na Ally mayai tembele
Ingekuwa bonge la kuhamasisha 👊
Hahahaaaaà, jamaa umejua sana!
Hata mm ningeshauri wapelekwe afcon wakaliamshe dudeee
Mungu akiamua kukupa haki kila kitu kinaenda bila hata kutumia nguvu ni mwaka wenu Mungu azido kuwapambania
Majizzo umefanya jambo la maana sana hawa wajamaa wameweza kuoga na kifua hizo nguo
😂😂😂
Ukari uwooooo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅woyoooooooooooooo
Mchiriku 😅😅😅😅
Waje😂huku kwetu Ulaya
Hii nchi siami
waende Ivory Cost kuhamasisha
like zanu hapa umepigaje apo😅😅😅😅😅
❤
❤❤❤❤uwiiiiiii❤❤❤❤❤aiseee misso piqa pesa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mambo 0:00
Watafika. Mbinguni wamechoka sanaaaaaa😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂w😂😂😂😂😂
Muda ukifika hakuna wa kupinga
Hawa jamaa kweli wanafaa kwa uhamadishaji mpira ni nomaa😂😊
🔥🔥🔥🇹🇿💚💞🕺🕺💃💃
Tumetoka mbaliiiiii🎉tumemfuata makonda safi sana 🎉
Hawa jamaa ni noma sanaaaa 😅😅😅😅
Ila jamaa watapuga sana ela kampeni zamama
Nikweli ndio wanasogezwa taratibu hivyo
Misso misondo umepigaje hapo 🎉🎉❤❤
Za ndaaaaaani tutegemee kuwaona afconi faili iyo niwaibia tu msitangaze
Wamenikumbusha wazee wazman😂😂❤wamependez kwanz
We miso wewe unahar wewe
Kwerikabisa haayapatikani
Afcon ya kwetu hawa watakiwasha Taifa stadium
waende Ivory Cost kuhamasisha
Hawa wanaume kweri nawakubari sana
Makonda wapeleke wazee wa makoti wakalimshe Kule ili waludi na ushindi.
Kundi langu pendwa hili ❤❤❤😀😀😀😀😀
Safii namba 1 tz music
Balaa ❤❤😂
Love more❤❤
AFCON HAKUTAKIWI MAZOMBI
We misomisondo unahitajika AFCON
Aiseee ni hatreee❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Miso misondo Raha bwanaa weee
Nawakubal miaka 100
Hawa jamaa wanajua aisee miso missondo
Nikweli kabisa wangeenda afkon uenda tungeshida tanzania
Bado wapo sana mjin
Watu gani wasioga jamani hiyo si vazi tu
Nawapenda buree
Umepigaje hapo😂😂😂
Nawapenda sana miso misondo
Hawa vijana wanahatali
😅😅😅😅❤❤❤❤
Hawa ni noma
⚽⚽⚽👍👍👍
Washabiki wa tz wapelekwe afcon
Ccm bana tayari na hawa wasanii wamekua wenu
Duh badokidogo wapewe makot ya kijan
Hakunaga tena
😂
Nakweli aisee
Duhhhhhhhhhh😂😂😂😂😂
💯💯💯💯💯🔥🔥🔥
Mmetisha
Which country is this?
Japan
@@kiulajoshua6029 😂😂😂😂
Ka ninavyo jua hizi kazi za serikal ukute alipwi
CCM hao na pia Misso muelewa Sana.
Jamaa wanaitajika wabadili mwonekano. Tushawatambua haina haja ya kuvaa ovyoovyo. Shoneni suti safi
Hiyo ndiyo dress code yao ya kazi
Ushauri wako sio mzuri
Ushauli wako wa hovyo huwatakii mema wewe unataka wapotee mjini wakiva vizuri tu kwisha habari Yao waendelee hivyo hivyo Sababu wakiwa kazini wavae Makoti Yao wakiwa kitaa wavae vizuri bas lakini kupanda jukwaani na suti nzuri hainogi wataharibu Radha
Yaaani vib lahawajamaa niatr❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuuu
Waoooo jamn
Nice👍
Watanzani tuna danganywaga.tusahau shida zetu.
Tusahau shida halafu 25 kituo kizito puuuuuuhhhh,,mitano tena
We Miso Misondo umebondaje hapo