NABII MALISA AMSIMAMISHA DADA HUYU KATIKATI YA IBADA NA KUMTABIRIA MAZITO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2024
  • NABII MALISA AMSIMAMISHA DADA HUYU KATIKATI YA IBADA NA KUMTABIRIA MAZITO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 61

  • @user-kt4rn5fe9d
    @user-kt4rn5fe9d 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mulio nje mungu awasamehe hamjui musemalo😢

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 5 หลายเดือนก่อน +5

    Manabii wa uongo wapo wengi ila kuna siku Mungu atawatia mkononi shenz kabisaa

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 5 หลายเดือนก่อน

      We acha tu Mungu anawaangalia tu watubu wabadilike wamfuate Yesu

    • @nanaritho6850
      @nanaritho6850 5 หลายเดือนก่อน

      Mungu akusamehe hujui ulisemalo

    • @prophetgervasebenard7486
      @prophetgervasebenard7486 3 หลายเดือนก่อน

      Umefungwa akili yako haya mambo hayakuhusu ni ya watoto wa Yesu Kristo!😅😅😅

  • @user-lo6rw3ic7v
    @user-lo6rw3ic7v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio mara ya kwanza kukuangalia wkt unaomba nilikuwa nimelala kifudifudi nikisikiliza pitia simu yangu.ghafla mkono wangu wa kushoto ukaanza kutetemeka sana. Naamini Mungu amenitendea jambo kwenye ulimwengu wa roho na litaonekana ktk ulimwengu wa mwili.

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hii filamu hata mm naweza kuigiza

    • @jeremyamos535
      @jeremyamos535 23 วันที่ผ่านมา

      anza maigizo sasa ukauze sinema zetu🤣🤣

  • @user-ym6ib8kg3j
    @user-ym6ib8kg3j 11 วันที่ผ่านมา

    Amina nabii ubarkiwe sana

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 5 หลายเดือนก่อน +2

    MIMI COMMENT YANGU ITAKUWA TOFAUTI SANA!!!
    MIMI NAMUAMINI MTUMISHI WA MUNGU NA WALA SITOMSEMA YEYOTE NITAKAA KUCHAMBUA NENO LA MUNGU NA MUNGU ATANIPONYA!!NENO LA KWELI LIPO KWA YULE ANAEAMINI!!MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU

  • @FelisKapaya-kl5mc
    @FelisKapaya-kl5mc 5 หลายเดือนก่อน +1

    imeandikwa msiwe na mashaka mioyoni mwenu.....Kwan hapo uongo uko wapi ad mseme Ni unabii wa uongo??

  • @merymosha8423
    @merymosha8423 3 หลายเดือนก่อน

    Ameen papaa

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulillah nakushukuru sn Allah kw neema hii ya UISLAMU na neema ya akili yan kuweza kuyaangalia mmb na kuyatathimini haya mengine n maigizo ya wazi tena comedy kabisa😂

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu anasema mwisho wa dunia watatokea manabii wengi wa uongo kwahyo yeyote anaejiita nabii au mtume hao ni waongo kabisa

    • @prophetgervasebenard7486
      @prophetgervasebenard7486 3 หลายเดือนก่อน

      Nabii wa kweli nioneshe!!😅😅 We maneno matupu Sisi tunafanya kazi ya Yesu Kristo!

    • @jeremyamos535
      @jeremyamos535 23 วันที่ผ่านมา

      @@prophetgervasebenard7486 yan kuna mijitu sijui ina akili gan hayasomi maandiko kwan
      waliambiwa watakua wauongo pekeao

  • @martinmuthuri4357
    @martinmuthuri4357 5 หลายเดือนก่อน

    God is good 🙏🙏🙏🙏💪

  • @Boaz22
    @Boaz22 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ameambiwa hakikisha unakaa mbelembele ili nikuone vizuri nikusimamishe usimame😂

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 5 หลายเดือนก่อน

      Hahaha

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 5 หลายเดือนก่อน

      Hahahaaaaa yaan hii dunia jaman mmh mungu bado ni mwema kwetu imagine mtu anafanya hivo tena bila aibu na watu wanamwamin

  • @rehemankya1720
    @rehemankya1720 3 หลายเดือนก่อน

    Ameeen

  • @user-dm7qv3ud9w
    @user-dm7qv3ud9w 5 หลายเดือนก่อน

    Asante yesu kwa uponyaj

  • @user-gw4vv5uh9z
    @user-gw4vv5uh9z 5 หลายเดือนก่อน +1

    Akuna unabii kama uwo utapeli mkubwa jamani jamani jamani ulaaniwe wewe Nabii ni muongo sana akuna Roho wa Mungu ktk unabii kama uwo shetwani mkubwa wewe ulaaniwe wewe Nabii feki

    • @jeremyamos535
      @jeremyamos535 23 วันที่ผ่านมา

      kwenda uko na usipoangalia utapigwa mpk uokoke, nabii feki wakweli alietokea kwenu yuko wapi🤣🤣

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amini amini nawaambieni hii ni biashara na kila atakaeamini ndio mteja wenyewe, Toeni sadaka patri apate Range 😅😅😅

    • @jeremyamos535
      @jeremyamos535 23 วันที่ผ่านมา

      patri au padri mbn atukuelewi

  • @chany9950
    @chany9950 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu awasame jmn

  • @SmilingCaterpillar-yy3jc
    @SmilingCaterpillar-yy3jc 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa Imani yako utapona

  • @GamingLimbe
    @GamingLimbe 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakristoo nawasalimu sanaaa 😂😂

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 5 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 5 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂tunakuitikia ndugu na manabii kazi wanaifanya vyema 😂

  • @merymosha8423
    @merymosha8423 3 หลายเดือนก่อน

    Naamin papaa

  • @RenathaElias
    @RenathaElias 2 หลายเดือนก่อน +2

    Imeandikwa usihukumu usije ukahukimiwa

    • @user-ni7tv8sg3v
      @user-ni7tv8sg3v 8 วันที่ผ่านมา

      Pia imeandikwa,manabii wa uongo watatokea nakufanya maajabu mkubwa

  • @abdullahally5479
    @abdullahally5479 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa watu wachukua sadaka tu hiyo ndio deal yao

    • @prophetgervasebenard7486
      @prophetgervasebenard7486 3 หลายเดือนก่อน

      Sadaka inakuuma?? Hukumu ya adhabu inakuhusu usipotubia uovu wako huo wa kukashfu mambo matukufu ya YESU Kristo.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 5 หลายเดือนก่อน

    makanisa yamekuwa nyumba za WAGANGA wa kienyeji na wapiga ramli!!

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 5 หลายเดือนก่อน

    Enyi watumishi nisikieni chezeni na kila kitu msicheze na Mungu namsiwe mnawaingiza na watu wasiyo na ufaamu juu ya dhamira yenu nikweli ajira hakuna ila usicheze na Mungu

    • @jeremyamos535
      @jeremyamos535 23 วันที่ผ่านมา

      wewe umekaa tu na unamchezea shetani au😆😆

  • @Ba63828
    @Ba63828 5 หลายเดือนก่อน +3

    Serikali piga marufuku hizi dini danganyifu

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wee ndio uliotegesha hiyo uchawi chooni muleba Nini...mtu anapewa msaada unasema dini danganyifu...unachezea uchawi wewe ngoja ukupate ndio utakimbilia ulipopatukana.

    • @Ba63828
      @Ba63828 5 หลายเดือนก่อน

      @@pastorgodwinchengula7848 dawa ya danganyadanya yenu inakaribia kuiva mnaishi kiujanjajanja lazima mshughulikiwe tapeli nyie

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 5 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@pastorgodwinchengula7848😂😂😂 ndugu yangu hata km kusoma hujui ila picha iangalie vzr huu n uchuro ktk kujitafutia hela yan km comedy mana mm apa nacheka tuuu

    • @prophetgervasebenard7486
      @prophetgervasebenard7486 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani wewe Naye Si ni Serikali ??? Zuia tuone!!! Jinai Iko wapi hapo? Au wivu mbaya unatesa Moyo wako! Acha watu watabiriwe na waombewe kwa jina la Yesu Kristo! We endelea na waganga wako Ili muungue vizuri siku ya hukumu! Mda Bado upo OKOKA UPONE!!! 😂

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 5 หลายเดือนก่อน

    Hivi unamchukua mtu unamuuliza maswali unampelekea mkuu wako anamuingia mtoto wa mtu mwenye shida anamuuliza maswali ya kitapeli unajipatia utukufu hii mbingu hii😮

  • @endrumtweve4559
    @endrumtweve4559 5 หลายเดือนก่อน +1

    kinachofanyika apo ni uganga wakienyeji cyo injili ya yesu kristo ila wanatumia mwamvuli wa jina la yesu

    • @prophetgervasebenard7486
      @prophetgervasebenard7486 3 หลายเดือนก่อน

      Hivyo viwango ni vya juu zaidi Kiroho! Umualike mganga unayeendaga kunywa dawa zake uje Naye kanisani hapo,uone kama hutoaibika! "Makristo wa uongo"hawaamini nguvu za Roho mt.bila kubadilika jehanam huiponi!😅😅

    • @prophetgervasebenard7486
      @prophetgervasebenard7486 3 หลายเดือนก่อน

      Hivyo viwango ni vya juu zaidi Kiroho! Umualike mganga unayeendaga kunywa dawa zake uje Naye kanisani hapo,uone kama hutoaibika! "Makristo wa uongo"hawaamini nguvu za Roho mt.bila kubadilika jehanam huiponi!😅😅

  • @amamlen3731
    @amamlen3731 5 หลายเดือนก่อน

    Ole wachungaji mnaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwaaribu......

  • @rassanleezedon6861
    @rassanleezedon6861 5 หลายเดือนก่อน

    ila dada umeshindwa kumpanga vizuri, kuna majira anashindwa kukupa ushirikiano vizuri, anasahau sahau, kiboko mwamposa hapo dada kila likitajwa jina la ndugu yake anajifanya kushangaa kwa kujilusha juu

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 5 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 Dah mtiani wallahi Allah atuongoe

  • @FilbertHabashi-zn1qu
    @FilbertHabashi-zn1qu 5 หลายเดือนก่อน

    Yan psychology say it all. Type amen.

  • @chany9950
    @chany9950 5 หลายเดือนก่อน

    Pyuuuuu🥺

    • @mankakimaro6411
      @mankakimaro6411 5 หลายเดือนก่อน

      Asante DJ😄🤣🤣

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 5 หลายเดือนก่อน

    Unasubiri au unapiga ramli?????

  • @estherlucas7233
    @estherlucas7233 5 หลายเดือนก่อน

    Yesu alisema kwa jina langu mtakemea pepo watatoka wewe unatumia maji ya kuoga kuondoa giza na sio kukemea, hayo mambo mbona hata mitume wale hawakufanya walikemea pepo likatoka, mtume paulo aliamuru tu kwa jina la Yesu simama uende. Watu wengi wanapotoshwa na haya mambo usipokuwa msomaji biblia utapotoshwa sana kama wewe mkristo biblia inaelekeza mengine mnafanya mengine na kama mnatumia maandiko, biblia ilitahadharisha siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uongo wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa wa mwitu. Washirikina watupu, msiwe wajinga Mungu ni wa wote ukitubu dhambi na kuacha mtu yeyote anawezwa sikilizwa na Mungu, Yesu alimpa kila mmoja mamlaka ya kupoza wagonjwa kwa jina lake, Tubuni Dhambi ili izo ishara mzishuhudie muweze kuwaponya wagonjwa kwakumwomba Mungu mtu binafsi na sio kwa kudanganywa na Mafuta hayo ya upako yatawapoteza wengi, Mathayo 24, na pia kitabu cha ufunua kimeelezea manabii wa uongo, jihadharini, msije mkadanganywa badala ya kuponywa mnapotea kinyume chake.

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 4 หลายเดือนก่อน

    Muonekano wako hausadiki acheni uongo

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 5 หลายเดือนก่อน

    Shenzi kabisa😂😂

  • @user-jp5so3qe8m
    @user-jp5so3qe8m 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂 wasafi wana Kanisa

  • @merymosha8423
    @merymosha8423 3 หลายเดือนก่อน

    Ameen Papaa

  • @FelisKapaya-kl5mc
    @FelisKapaya-kl5mc 5 หลายเดือนก่อน

    imeandikwa msiwe na mashaka mioyoni mwenu.....Kwan hapo uongo uko wapi ad mseme Ni unabii wa uongo??