Allah akupe umri mrefu wenye manufaa na wenye kusimamisha dini ya Allah na mwisho mwema shekhe wngu kishki wallahi Allah amekupa kipaji azidi kukupa afya nje amin
Assalamu alaykum waislam wenzangu wa Tanzania mnapenda Sana sna media kutoka waimbaji Hadi masheikh wameacha Mila za mtu kukaa chini mkaelezana imekua kutusiana tuu hadharani hata hya hamna nyie Kwa mitandao hamtaelewana hata siku moja Bali mnazidi kugawana watu mngekaa pmbeni hatungejua kamwe Sisi mngefanya suluhu nyie wenyewe bt kila mtu ataka vews na comments ni biashara mungu awasamehe masheikh wetu na awaunganishe wawe kitu kimoja
Acha uzushi hakuna aliyeomba msamaha kwa Kuapa kwa jina la Yesu, na wala haitotokezea mana huo ni ushirikina wa wazi. Wametakana radhi mana penye kurekebisha waliambizana maneno ambayo muisilam/mwanaadamu huezi kumwambia muisilam/mwanaadamu mwenzio.
Si kweli kwanza Ulaya na Marekani watu hawaangalii mwezi wanafata miezi ya nje. Wapo wanaofuata makwao Pakistan, wapo wanaofuata Saudia na kwengineko. Changanyika na watu ujue km Mara nyingi sna inatokea watu kufunga na Kufungua siku tofauti (hutofautiana).
الاخ محمد عيد السلام عليك ورحمة الله وبركاته. ليش لزاما عليك ان تقف ضد كل شخص فأختلاف العلماء رحمة من الله فلا تكن محاربا لكل الاتجاهات قل خيرا او أصمت ........اتمنى قد تكون تعرف العربية
HAYA MAMBO YOTE NI YENU NYINYI HUKO BONGO MUNALETA MAMBO YA SINTOFAHAMIYANA HII INSONISHA WAZI WAZI KUWA ZANZNZIBARI NDIOUFUNGUO WOTE WA MAMBO HAYA YA DINI KAMAILIVYOKUWA MWANZO KIHISTORIA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN ALIPAJAALIA KUWA HAPO NDIPO BAADA YA MISRI ZANZNZIBARI SASA MKIINGIYA SIASANI NDIO MNAKIUKA MAADILI YA DINI NDIOMAANA INAKUWA KASEMA NILISEMA NIMESIKA SIJAWAHI ALIWAHI SIJUWI NYOTE MLIKUWA MUNAFATA ZANZNZIBARI HAKUNA BAKWATA WALA KADATA SASA MNADATISHANA KIBONGO BONGO ZANZNZIBARI NI NCHI YA KIISILAMU REJEENI KAULI YA ZNZIBARI KAMAILIVYOKUWA HAKUNA KITUKIITWACHO TANGANYIKA VILE 👹🇮🇱😇🇹🇿👹👹😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿 NA MUULIZENI RAISI WENU SAMIA SULUHU MARANGI YA MIDOMO NA MAGUWO YA KUPENDEZA MTAELEWWANA MUISILAMU NA NAONGOZA MAMILIONI YA WANAUME CHINI YAKE
th-cam.com/video/ZmHhtPrRjDE/w-d-xo.html *Tukiwa tunaingia katikaa mwaka mwengine wa miladiyya 2022* *basi sikiliza kwa makini khutba hii ya ijumaa* *Mzungumzaji ABUU NUSWAYB NASSIBU NASSIBU* *ISIKILIZE NA UIENEZE ALLAHA ATAKUKIPA KWA JUHUD YAKO*
Yaani hapa hata huyu mo'md idd amejidhalilisha nahuyo anae jifanya kumtetea kwa sababu utetezi wa kushki upo wazi hauna mashaka kabisa ila Sh.waalid anaonekana haki ameijua ila sasa maslahi ya tumbo nakua chini ya akina askofu alhadi musa saalum wa dar es salaam inamfanya awe kama kiwembe.!!
Mashekhe wasIv wote wanafiki mbona wanashindwa kuwatetea Muamsho ? Nyote mpo kwa Masilahi tunakujuweni na nyinyi ndo mnouvuruga Uislamu kwa kutumiliwa .ila hamtoweza kwa Uwezo wa Allah
Hawa ni mashekhe wa ubabaishaji!!! Video imeeditiwa OK tukubali, je hiyo program yakuedit saut yamtu akiwaanaongea na kuonekana inaitwaje, waniedit Mimi nasom Quran na ninaswalisha, Haki wanaijua lakin wanafuata maslah ya nafsi huu ni zaid yua upuuz, Ukitaka kupata fatwa mzuri ya jambo. Ktk uislam kwanza angalia uhisiano wa shekhe na wenye. Mamlaka, ukigundua wenye mamlaka ndio wanaendesha maosha ya shekhe hapo kasome tens uelewe
Anacho zungumza sheikh kishik yuko sawa Arafa dunian ni moja ila waislamu tumezoe kufuata mila na silka za waze waliokuwa hawakusoma kwaio bado tuubishi wa mambo hayo ila akitokea sheikh mwenye msimamo atapigwa vita tusomeni ili tujue dini na maudhui yk
hawa ni maulamaa wetu yafaa heshma,,hata Ali ra alitofautiana na mam aisha na wote ni wa peponi. haimaanishi waspo ongea kimoja tusiwape heshima shek wangu
Ipo hitilafu ya ufahamu ni KWELI Arafa ni MOJA lakini kwenye Uislam hakuna kitu kushirikiana katika Ibada kama huhusiki na kuifanya huna namna ya kuingia. Hivyo kama wewe sio Hujaj huna namna ya kushiriki Arafa. Kilichopo ni kuwa ndani ya Siku 10 za Dhulhija (Mfunguo tatu) Nabii Ibrahim AS aliota ndoto na ilipothibitika kuwa ni Amri ya Mungu ndio watu huwa tunafunga kwa tukio hilo na wala hatufungi kwa sababu ya Arafa ila ni siku zilizofungamana kwa hivyo kila mmoja afunge kwa mwezi muandamo wa eneo lake. Teknolojia imeongezeka hivi sasa unaweza kujuwa yanayoendelea Bara jingine ilikuwaje kabla ya hapo na itakuwaje ikitokea ibada ya Hija haikufanyika?
Masheikh kupigana vijembe hadharani (mitandaoni) ni ishara/dalili za Kiama (kutaka umaarufu na riha/sifa) sees na Viongozi wa nchi/vyama vya Siasa nk hutaka madaraka pasi na sifa, baadhi hufanya mbinu na hope chafu ikiwemo kuwachafuwa wenzao ili wawe Madarkani! Tumuogope Allah dunia ni mapito na starehe za muda tu!
Safi waga nasema siku zote Yesu kristo anajitosheleza hahitaji mtu amteteee hata ukitukana hakuna atakaekujibu maana anajitosheleza.....mtukane yule mwingine uone watetezi hapo ndio utajuwa uwezo wake.
Ila mashekhe wetu mnatuchanganya sana sisi mamuma
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa na wenye kusimamisha dini ya Allah na mwisho mwema shekhe wngu kishki wallahi Allah amekupa kipaji azidi kukupa afya nje amin
Nice
Haki ni haqi tuuuu, songa mbele kishkii, na Allah awaongoze mashekh walio ktk shubha
Assalamu alaykum waislam wenzangu wa Tanzania mnapenda Sana sna media kutoka waimbaji Hadi masheikh wameacha Mila za mtu kukaa chini mkaelezana imekua kutusiana tuu hadharani hata hya hamna nyie Kwa mitandao hamtaelewana hata siku moja Bali mnazidi kugawana watu mngekaa pmbeni hatungejua kamwe Sisi mngefanya suluhu nyie wenyewe bt kila mtu ataka vews na comments ni biashara mungu awasamehe masheikh wetu na awaunganishe wawe kitu kimoja
Kitaeleweka tu mwingine aliapa kwa jina la Yesu kristo huko dsm walimtukana mwisho wameomba msamaha mwacheni Yesu atawale mioyoni mwetu amina
AWAJITAMBUI wanaendekeza njaa
Hayawahusu poteeni2 nyau nyie
Yesu katumwa. Hana nafasi
Kaa kimya humu ni wanaume 2 wanaruhudiwa kujibizana na kuelewana huoni aibu
Acha uzushi hakuna aliyeomba msamaha kwa Kuapa kwa jina la Yesu, na wala haitotokezea mana huo ni ushirikina wa wazi.
Wametakana radhi mana penye kurekebisha waliambizana maneno ambayo muisilam/mwanaadamu huezi kumwambia muisilam/mwanaadamu mwenzio.
Arafa ni 1 sheikh kishik hata mm nakuunga mkono tuko pamoja
Mashakhe wengi skuiz ila tukumbukeni kuwa mungu ni mmoja na lengo la uislamu ni moja
Huyo Kishk mwenyewe msanii tu
MASUFI MNA MATATZO SANA
Sana Hawa sijuiwapoje
Masufi ni watu wakupindua pindua siku zote. Wanapenda kupongezana na kuogopana wenyewe kwa wenyewe kwa ajili ya maslahi ya kidunia. Allaah Awaongoe
Watu wa maulidi huwa wana tabu sana hao nadhan ni wale wa maulidi Sunni kishki thé Hero
Subhaallah mwenyez Mungu ndye ajuaye
HAKUNA kuangalia kisimamo ili ufunge jmn huo ni uzushi tena haukubaliani na geography ya dunia nzima network zisituchanganye
Shekh Iddi baada kufuga ndevu unafuga masharubu 😂😂😂🚶♂️
Ndo ao ao
SUFI HILO MMAJUSI
Hahaha
Haya mambo mie naonna yapo bongo tu huku bara la ulaya na amerika arafa moja tu
Si kweli kwanza Ulaya na Marekani watu hawaangalii mwezi wanafata miezi ya nje. Wapo wanaofuata makwao Pakistan, wapo wanaofuata Saudia na kwengineko.
Changanyika na watu ujue km Mara nyingi sna inatokea watu kufunga na Kufungua siku tofauti (hutofautiana).
Kishiki hapo nimekukubali
Kwann ivo wa islam ,M nashindwa kukaa chini muelimishan mnashambuliyani mtandaoni 😢😢
الاخ محمد عيد السلام عليك ورحمة الله وبركاته. ليش لزاما عليك ان تقف ضد كل شخص فأختلاف العلماء رحمة من الله فلا تكن محاربا لكل الاتجاهات قل خيرا او أصمت
........اتمنى قد تكون تعرف العربية
Unaafiq tu hakuna cha kueditiwa chochote bali nyinyi ni vibaraka.!!
Jamani mashehe muogopeni Allah
AARAFAA NI MOJA TUU ONLY 1 AARAFA
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Kwa iyo mnawafundisha nn upande wa pili?
Mashekh bana hii vita ya arafa haijaishaga tu
HAYA MAMBO YOTE NI YENU NYINYI HUKO BONGO MUNALETA MAMBO YA SINTOFAHAMIYANA HII INSONISHA WAZI WAZI KUWA ZANZNZIBARI NDIOUFUNGUO WOTE WA MAMBO HAYA YA DINI KAMAILIVYOKUWA MWANZO KIHISTORIA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN ALIPAJAALIA KUWA HAPO NDIPO BAADA YA MISRI ZANZNZIBARI SASA MKIINGIYA SIASANI NDIO MNAKIUKA MAADILI YA DINI NDIOMAANA INAKUWA KASEMA NILISEMA NIMESIKA SIJAWAHI ALIWAHI SIJUWI NYOTE MLIKUWA MUNAFATA ZANZNZIBARI HAKUNA BAKWATA WALA KADATA SASA MNADATISHANA KIBONGO BONGO ZANZNZIBARI NI NCHI YA KIISILAMU REJEENI KAULI YA ZNZIBARI KAMAILIVYOKUWA HAKUNA KITUKIITWACHO TANGANYIKA VILE 👹🇮🇱😇🇹🇿👹👹😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿 NA MUULIZENI RAISI WENU SAMIA SULUHU MARANGI YA MIDOMO NA MAGUWO YA KUPENDEZA MTAELEWWANA MUISILAMU NA NAONGOZA MAMILIONI YA WANAUME CHINI YAKE
Allahu yaalam sisi tupigizane keleletu
Muongo ww
Wasomi ni wengi , kila mmoja anavyosema
th-cam.com/video/ZmHhtPrRjDE/w-d-xo.html
*Tukiwa tunaingia katikaa mwaka mwengine wa miladiyya 2022*
*basi sikiliza kwa makini khutba hii ya ijumaa*
*Mzungumzaji ABUU NUSWAYB NASSIBU NASSIBU*
*ISIKILIZE NA UIENEZE ALLAHA ATAKUKIPA KWA JUHUD YAKO*
Yaan huyu Muhammad iddi ni mpuuzi tu
Shekh Idd assalam aleykum...Shekh mbona unakhalifu maneno ya mtume wetu?? Yeye kasema tufuge ndevu na tupunguze masharubu katika hadithi maarufu kabisa!!!! Kwanini unafanya kinyume shekh wetu???
Huyu ni shaikh ccm
@@bjzee1981 🤣🤣🤣
Mwandikieni kwa kihaya hajui kiswahili
ayo masuala yana khitilafu kaka
ARAFA NI MOJA SASA MASUFI MNASEMAJE
Kishki tatizo anakumbatia sana watu wa Bid'aah. Ndo mana anadharirika sometimes.
Tunapo ona tatizo kama waislamu tumuite muhusika mwenyewe pole pole ili tumuulize kabla kuingia kwenye mitandao ya kijamii
Arafa nimoja haibadiliki
Kishk acha ungese
Niliambiwa nababu yangu dalili yakiama mashekhe wakweli watapungua(watafariki)tutakaobakinao ni wachache ila hawakosi mapungufu. Ilikua 1988.nasasa nayaona. Lkn alhamdulillah anachofanya shekhe iddi mwiba ulipoingilia ndipo anapoutolea😂.ila shekhe wakichangani mh kinyonga na kishki yupo ktk msimamo anachokosea alivyo funzwa yy kameza tu haki iuchambua ili yakimjia maswali asishindwe kuelewesha watu iloyy hajali anakwambia kafundishwa😂subhana llah. Nasisi maamuma tusomeni mashekhe mnawasikia visingizio edit.
Mohammed ayub mbona wanyowa ndevu Na waeka masharubu Ndio mtume alivyo kuwa akifanya
Yaani hapa hata huyu mo'md idd amejidhalilisha nahuyo anae jifanya kumtetea kwa sababu utetezi wa kushki upo wazi hauna mashaka kabisa ila Sh.waalid anaonekana haki ameijua ila sasa maslahi ya tumbo nakua chini ya akina askofu alhadi musa saalum wa dar es salaam inamfanya awe kama kiwembe.!!
مامن يوم اكثر من انعتق من انار من يوم عرفة
duuuu mtihan
Khaaa waislam mmenishinda tabia mbn mapadri wetu au maaskofu hawapo mtandaoni jmn 🙄🤔jirekebishen bwqna
@Aziz Abdallah iben-Saaduun kwakwel
WW BAKI NA UKAFIRI WAKO UISLAMU AUKUUSU MPAGANI WW
Usitufananishe na makafiri wenu tuacheni Allah ndo mjuzi cn
Mashekhe wasIv wote wanafiki mbona wanashindwa kuwatetea Muamsho ? Nyote mpo kwa Masilahi tunakujuweni na nyinyi ndo mnouvuruga Uislamu kwa kutumiliwa .ila hamtoweza kwa Uwezo wa Allah
Ma sheikh hamna tena hekma, mnasemana kwenye ma tv, mafunzo gani mnawapa mamuma?
Ifafanue ninini maana ya hekma
Mwezi
Mwezi
Akili za Nani?
Wacha wafu wazikane,watajuana wenyewe ipo siku watatoana meno
Hivi kwann msiitane mkaa na kujadiliana kuliko kuwa mnatuchanganya maamuma
Sasa hili lina umuhimu gani kwa uislam. Waislam mnagombana wenyewe kwa wenyewe. Hili halina tija.
Kila mtu abaki na itikadi yake. Hatutaki unafiqi,
Hawa ni mashekhe wa ubabaishaji!!! Video imeeditiwa OK tukubali, je hiyo program yakuedit saut yamtu akiwaanaongea na kuonekana inaitwaje, waniedit Mimi nasom Quran na ninaswalisha,
Haki wanaijua lakin wanafuata maslah ya nafsi huu ni zaid yua upuuz,
Ukitaka kupata fatwa mzuri ya jambo. Ktk uislam kwanza angalia uhisiano wa shekhe na wenye. Mamlaka, ukigundua wenye mamlaka ndio wanaendesha maosha ya shekhe hapo kasome tens uelewe
Anacho zungumza sheikh kishik yuko sawa Arafa dunian ni moja ila waislamu tumezoe kufuata mila na silka za waze waliokuwa hawakusoma kwaio bado tuubishi wa mambo hayo ila akitokea sheikh mwenye msimamo atapigwa vita tusomeni ili tujue dini na maudhui yk
Mashehena hawa, mijitu mizima inakua na mambo ya ajabu kma hvi.
hawa ni maulamaa wetu yafaa heshma,,hata Ali ra alitofautiana na mam aisha na wote ni wa peponi. haimaanishi waspo ongea kimoja tusiwape heshima shek wangu
@@alhabibismail3031kaka unaish tz ama nje ya tz mana tofaut zpo, ila kaen pamoja muwekane sawa, hawa kutwa katika media huon kma ni tatizo hlo?
media zmejaa uchfu.kwaio tukiona mashekh zetu wanafanya bidii kwa media tunafurai dn inasonga mbele
@@alhabibismail3031 sawa sheikh wngu.
ila kubwa tunaomba Allah awajalie hekma ma sheikh wetu
Huyu ni sheigh au ni askari
Abuu IDD anaonekana ana ushindani wa kijinga!!!!
Acha kutukana wasomi
@@abuufauzan9775 asingetukanwa na alhad!!!
Sana
@@abuufauzan9775 . Ana usomi gani huyu ndevu zake zenyewe hana elimu nazo. Kanyoa zote ka acha za juu ambazo ndio zinge katwa
Abuu idd allaah akuweke na utaxhinda hata wakuxeme vp
Ipo hitilafu ya ufahamu ni KWELI Arafa ni MOJA lakini kwenye Uislam hakuna kitu kushirikiana katika Ibada kama huhusiki na kuifanya huna namna ya kuingia. Hivyo kama wewe sio Hujaj huna namna ya kushiriki Arafa. Kilichopo ni kuwa ndani ya Siku 10 za Dhulhija (Mfunguo tatu) Nabii Ibrahim AS aliota ndoto na ilipothibitika kuwa ni Amri ya Mungu ndio watu huwa tunafunga kwa tukio hilo na wala hatufungi kwa sababu ya Arafa ila ni siku zilizofungamana kwa hivyo kila mmoja afunge kwa mwezi muandamo wa eneo lake. Teknolojia imeongezeka hivi sasa unaweza kujuwa yanayoendelea Bara jingine ilikuwaje kabla ya hapo na itakuwaje ikitokea ibada ya Hija haikufanyika?
Unaelim ya kutosha kuzungumzia mas'ala mazito ya dini kama haya??
Masheikh kupigana vijembe hadharani (mitandaoni) ni ishara/dalili za Kiama (kutaka umaarufu na riha/sifa) sees na Viongozi wa nchi/vyama vya Siasa nk hutaka madaraka pasi na sifa, baadhi hufanya mbinu na hope chafu ikiwemo kuwachafuwa wenzao ili wawe Madarkani! Tumuogope Allah dunia ni mapito na starehe za muda tu!
Huyu shekh nae siku hizi mnafiki mnafiki sana
Safi waga nasema siku zote Yesu kristo anajitosheleza hahitaji mtu amteteee hata ukitukana hakuna atakaekujibu maana anajitosheleza.....mtukane yule mwingine uone watetezi hapo ndio utajuwa uwezo wake.
Jinyonge upunguze uchungu
Huyo shekhe anaewakosoa wenzake hivyo huo siutaratibu kwanza anafanya ria kujionesha kwamba yeye anajua nahuo no ujinga
Nawewe acha ujinga utamwabudu je binadam mwenzio ivi mungu anaweza kuuliwa nabinadam wake ?8:40yohana
WW KAFIRI HUNA AKILI SAWA NA CHAMA CHA FREEMASON UTAMUABUDUJE BINADAMU MWENZIO UKAFIRI UMEKUKALIA KICHWANI