Jambo TV great Job !!!! You guys are doing great Job!! Mwandishi au Mtangazaji wa jambo TV nakukubali Kabisa!!! You are the Best 💖💖!!! Keep it bro!! Naona shule ipo hapo!! Best Team right there!! Give us more debate like these!! Frequently.. Odemba pamoja sana!! Team yenu hapo imekamilika!!
Hongera sana Mh Raisi Kiukweli umejibu vzr sana kilaswali ila kwa swala la Mpira hapa bongo nihatari yan Watu wakobize sana na mambo yasiyo yamuhimu kuliko Mambo yanayohusu maishayao (siasa) Daaah nibalaa
Hakika jambo tv mnastahili pongezi kubwa sana ya kuwaelimisha watanzania MUNGU awabariki sana hakika uwazi na ukweli umetamalaki hongereni sana Mh Raisi wa Tls anastahili pongezi za kipekee mno Nchi imekosa maono wapishi nafasi
Nifahamuvyo mie. Wasimamizi wa serikali ndiyo wenye mamlaka ya kuwatangazia wakuu wa polisi mikoa, kuwa...IKITOKEA MKOA FULANI MTU KATEKWA AU KUUAWA NA WASIOJULIKA , ATASHITAKIWA NA KUTUMIKIA JELA.
Wamepangana na nani kunajambo la uongo hapo ambaye unaweza kusema siyo kweli Acha ushabiki mm ni mwana ccm lakini tufanye siasa za kiustarabu sisi wote ni watanzania
Mwabukusi kuhusu watanzania kuwa waoga hilo liko wazi ni waoga mno lkn kuleta mfano kuwa tulipigana na Uganda huo ni mfano mfu kama Kuna kitu mtanzania anaogopa ni ku m-face police wa Tanzania hilo hatutoboi tulishajengewa uoga kuhusu polisi, pili mifumo ya haki yote ipo chini ya CCM kwa hiyo hata polisi akikufanya chochote huna kwa kumpeleka. Lkn siku polisi akija kuwa upande wa wananchi ni dk mbili tu kufanya maamuzi wanayoona wanaonewa
Ndo ujue sasa watanzania sio waoga ila mifumo ndo haiko sawa mbona kipindi cha kikwete watz waliandamana tens mpaka taasisi ziliandamana na kutangaza migomo eg.,walimu,madaktari and etc
Wabongo ubishan TU usimba na uyanga taifa linaangamia majitu ya ajabu sn nchi hii mengine yakipewa elf kum kum yanabuluzwa tu mafisad yanaiba TU ila wabogo da
Jambo TV great Job !!!! You guys are doing great Job!! Mwandishi au Mtangazaji wa jambo TV nakukubali Kabisa!!! You are the Best 💖💖!!! Keep it bro!! Naona shule ipo hapo!! Best Team right there!! Give us more debate like these!! Frequently.. Odemba pamoja sana!! Team yenu hapo imekamilika!!
Hongera sana Mh Raisi Kiukweli umejibu vzr sana kilaswali ila kwa swala la Mpira hapa bongo nihatari yan Watu wakobize sana na mambo yasiyo yamuhimu kuliko Mambo yanayohusu maishayao (siasa) Daaah nibalaa
Nishida
Alhamdulilah rabillamin sasa tumepata rais wa TLS hongera sana Mwambukusi mwenyezi mungu akubariki kwa kila hatua unayo pita
Best interview ever
Mwandishi cheusi mwezangu, unafikili hao wsnaosema kuwa watashughulikia haya mambo? Kwa ukimya huo unahisi wanalifanyia kazi?
Mr.President
Mwambukusi kuna wakati mwingine unasema kweli.
Nimemwelewa vizur Rais wangu TLS
Hakika jambo tv mnastahili pongezi kubwa sana ya kuwaelimisha watanzania MUNGU awabariki sana hakika uwazi na ukweli umetamalaki hongereni sana Mh Raisi wa Tls anastahili pongezi za kipekee mno Nchi imekosa maono wapishi nafasi
Kama freeman mbowe miaka yote ni huyohuyo tu.
😂😂 Wanachuo mnackia lakini
MUNGU akuweke kaka yangu, kwakweli watu wana Apa kuilinda na kuitetea Katiba ya Nchi lakini kiuhalisia kila Mtanzania anaona jinsi mambo yalivyo
Mwabukusi madeleka mungu anawatumia
Hivi polisi wanajua nin maana ya katiba?
Nifahamuvyo mie. Wasimamizi wa serikali ndiyo wenye mamlaka ya kuwatangazia wakuu wa polisi mikoa, kuwa...IKITOKEA MKOA FULANI MTU KATEKWA AU KUUAWA NA WASIOJULIKA , ATASHITAKIWA NA KUTUMIKIA JELA.
Wamepangana na nani kunajambo la uongo hapo ambaye unaweza kusema siyo kweli Acha ushabiki mm ni mwana ccm lakini tufanye siasa za kiustarabu sisi wote ni watanzania
Ena Ndaghq Nkamu gwangu, ujobile sya naloli, Kyala tufigwe
Mwabukusi kuhusu watanzania kuwa waoga hilo liko wazi ni waoga mno lkn kuleta mfano kuwa tulipigana na Uganda huo ni mfano mfu kama Kuna kitu mtanzania anaogopa ni ku m-face police wa Tanzania hilo hatutoboi tulishajengewa uoga kuhusu polisi, pili mifumo ya haki yote ipo chini ya CCM kwa hiyo hata polisi akikufanya chochote huna kwa kumpeleka. Lkn siku polisi akija kuwa upande wa wananchi ni dk mbili tu kufanya maamuzi wanayoona wanaonewa
Ndo ujue sasa watanzania sio waoga ila mifumo ndo haiko sawa mbona kipindi cha kikwete watz waliandamana tens mpaka taasisi ziliandamana na kutangaza migomo eg.,walimu,madaktari and etc
Wabongo ubishan TU usimba na uyanga taifa linaangamia majitu ya ajabu sn nchi hii mengine yakipewa elf kum kum yanabuluzwa tu mafisad yanaiba TU ila wabogo da
Upele umekuta mkunaji, Marwa na Odemba naona mnaenjoy anapouliza maswali na mnajibiwa hakuna ile "no coment" wala nn!!!
Nimependa majibu ya wakili Mwambukusi Kwa wadishi wa habari
Jobha gwa ngalamu.
Ninyi wahun tu,mmepangana
Baki hvo hvo hadi siku utakapopata akili au yakukute kwenye familia yko
unasumbuka na kizazi cha chino na akina jaiva hawawezi kukuelewa hao kizazi cha hovyo sana hichi.
unasumbuka na kizazi cha chino na akina jaiva hawawezi kukuelewa hao kizazi cha hovyo sana hichi.
unasumbuka na kizazi cha chino na akina jaiva hawawezi kukuelewa hao kizazi cha hovyo sana hichi.
Huyu mwandishi gani anashawishi nchi iwe kama kenya? Kumbe ana agenda ya kiovu hafai kabisa.
Hujitambui kaa kimya