GB64 APAGAWA NA KOCHA MPYA HAPA TUMEPATA KOCHA ILA TUNAROGEWA WACHEZAJI WETU VIONGOZI WAWALINDE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 119

  • @MohamediMtuya
    @MohamediMtuya 4 วันที่ผ่านมา +8

    maumivu ya mawazo kwa mwanadamu ni sehemu ya kujifunza kivyovyote mwalimu gb64 minafikiri nikuongezee uwe gb 68

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 วันที่ผ่านมา +4

    Sawa kabisa yanga wazee wao wachawi sana ndiyo maana wanamtupia majini mayele.

  • @user-id5oc7hm4n
    @user-id5oc7hm4n 4 วันที่ผ่านมา +2

    JAMANI JAMANI VIONGOZI PLZ MUWALINDE WACHEZAJI WETU ,,UTO JAMANI WAZEE WA PINI

  • @NassoroMbaullah
    @NassoroMbaullah 4 วันที่ผ่านมา +1

    Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 4 วันที่ผ่านมา +2

    SIMBA OYEEEEEE❤❤❤❤❤❤SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt 4 วันที่ผ่านมา +2

    Hakuna ukweli kwauyujamaa nikamayule mpiga debe wao ngonjela nyingi ukweli mizito.

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 4 วันที่ผ่านมา +3

    Sana baba tunakuelew baba❤❤

  • @frankurio469
    @frankurio469 3 วันที่ผ่านมา

    Wazee wetu muwasomee duwa wachezaji wetu, muwafanyie dua maalumu wachezaji wetu wabaki salama

  • @user-yw7uu6mc3m
    @user-yw7uu6mc3m 4 วันที่ผ่านมา +1

    Gb64 uko vzr,maombi ya kuharibu ulimwengu wa giza,ili kupangilia hatma mpya ya simba mighty power

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 3 วันที่ผ่านมา

    Gb64 tunza maneno,hao vijana hawana chemistry,skills zao hatujui changanya na uswahili wetu.Chasambi tunamjua,Kibu tunamjua,Lameck tunamjua,hao wengine tusubiri mechi walau 6 za ligi home and away.D2 zinatosha kufahamu.

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 วันที่ผ่านมา

    Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 3 วันที่ผ่านมา

    Simba usajili wake ni .mzuri.unanifurahisha

  • @Masinga-l1n
    @Masinga-l1n 3 วันที่ผ่านมา

    IVI MNALIPWAAA...!AU MNAPIGA MIDOMOTU" YANI ADI MISHIPA YA SHINGO INAKUTOKA ""KHA"

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 วันที่ผ่านมา

    Kweli kaka yanga wanatumia sana uchawi hata funga funga yao. Lakini mimi sipendi sana hawa Makocha wa nje hawa. Maana wanakuja tu kuchukua fedha zentu mwisho wa siku hao. Tunaanza kumwita Mgunda. Tunamsubiri Michezo ianze tuwaone wanakidhi utahitaji wetu.Simba nguvu moja❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @khamisshehe9187
    @khamisshehe9187 2 วันที่ผ่านมา

    Ww tuna namb yako ya sim ili nikutumie salio, leo umesema ukweli mtupu, tofauti na hapi nyuma, nimekuwa nikikufuatikia Sana hoja zako umekuwa ukiwasema Sana vibaya viongozi, lkn Hilo halikuwa kosa la viongozi wLa wachezaji tatizo ni marogo, na Hilo watengenezaji sio viongozi watengenezaji ni wanachama na wapenzi viongozi tayari wametimiza wajibu wao

  • @MohamediMtuya
    @MohamediMtuya 4 วันที่ผ่านมา +1

    gb64nakubaliana usemalo ju ya kumuahidi mtumikia timu pesa tofaut na mshahara ni udhaifu mkubwa sana umenena viongozi wajifunze

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mpo karibu na viongozi muwaambie wawalinde wachezaji

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 4 วันที่ผ่านมา +1

    Tangaza Matawi yote kwamba wachezaji wetu wanalongwa

  • @user-qv8sv6hv7m
    @user-qv8sv6hv7m 3 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi wetu wawalinde wachezaji yanga wana watia pini

  • @user-tc3vb8pm5v
    @user-tc3vb8pm5v 3 วันที่ผ่านมา

    Hapo sio yanga waroga hata wachezaji WENYEWE wanarogana sana wasipo soma harba diri hujuma Zita enderea

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 3 วันที่ผ่านมา +1

    We fala c ulisema Chama aksajiliwa Yanga unahamia AZAM! Sasa- ikawaje bado hujahama?😮😮😮

    • @HildaRugee
      @HildaRugee 3 วันที่ผ่านมา

      Sheria ziliwekwa ili zivunjwe! Seuze maneno ya GB64.

  • @user-ui4vt9vl6h
    @user-ui4vt9vl6h 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ww gb 64 si ndy umesema chama ameogez miak 2 simb sasa iv umekua chiz tuh

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu gb kweli o nyeusi anaonyesha kweli ni mwl felia

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 3 วันที่ผ่านมา

    Kwa lugha nyepesi ni mbwa wala matapishi utopolo

  • @muhidiniharuna3735
    @muhidiniharuna3735 3 วันที่ผ่านมา

    Ktk siku umeongea ukweli Leo umeona mbali ❤❤❤❤

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hifadhi maneno yko mdomo mrefu kama njiwa pori

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 4 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini mangungu aondoke

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 4 วันที่ผ่านมา +1

    Shenzi wabana makalio mechi bado

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s 2 วันที่ผ่านมา

    Leo nimekwelewa sanaa

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 3 วันที่ผ่านมา

    ❤the best

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 3 วันที่ผ่านมา

    We mbona una makunyanzi kama Mzee? Shikamoo visungura😂😂😂

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 4 วันที่ผ่านมา +2

    ngunvu moja kaka tupamba nie mwamba

  • @user-mv2xl7xh6v
    @user-mv2xl7xh6v 3 วันที่ผ่านมา

    Kweli lazima tuungane kuwalinda wachezaji wanarogwa kweli

  • @saidsalum2546
    @saidsalum2546 4 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana

  • @creeper6057
    @creeper6057 3 วันที่ผ่านมา

    GB 64 ni muongo haijawahi kutokea 🤣🤣🤣🤣 yani hayuko professional hata kdg ana ushabiki maandazi sio mtu wa mpira ni mpenda timu sio mpenda mpira

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 วันที่ผ่านมา

    Yanga wanatumia xana uchawi mbona liko wazi hili washirikina xana

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 4 วันที่ผ่านมา +2

    Kiingereza kila siku hichohicho, commitment, responsibility, ability, space, umekariri?.

    • @user-ii6sp2nn1m
      @user-ii6sp2nn1m 3 วันที่ผ่านมา

      Sawa amekalili we kinakuwasha nn sasa

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 4 วันที่ผ่านมา

    Kamawachezaji wanarogwa aoziongozi kuwambalinatim waovipi mpirawetu afrika ushindi njeyauwanja asilimiya kubwa

  • @AdijaSurutan
    @AdijaSurutan 4 วันที่ผ่านมา

    Fanya. Kazi. Kaka. Usiogope

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 3 วันที่ผ่านมา

    Yanga wanatabia za ccm

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mwalimu wa wapi huyu?

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 4 วันที่ผ่านมา

    Kwahyo umekuwa ww ndo msemaji huna kazi ya kutafta kula pga kelele ununuliwe chai mkundu mwekundu

  • @ThomasAssey-uq2ur
    @ThomasAssey-uq2ur 3 วันที่ผ่านมา

    Huyo sio kocha ni msimamizi tuu wa kambi

  • @user-ek6uh7tt7j
    @user-ek6uh7tt7j 4 วันที่ผ่านมา

    Respect familia

  • @WilliamCharles-iq8ym
    @WilliamCharles-iq8ym 4 วันที่ผ่านมา +1

    Bwabwaja tu.tunawasubili Ngao

    • @albamwanja4304
      @albamwanja4304 3 วันที่ผ่านมา

      mnakutana na azam sio simba

  • @OBSGroup-ps9es
    @OBSGroup-ps9es 4 วันที่ผ่านมา

    Daaa mpira wa tz unaavituko sana.

  • @user-dt5wf8rx4k
    @user-dt5wf8rx4k 4 วันที่ผ่านมา

    Vingozi jamani mwasajili damu changa vizuri sana.ila mkiwasahau wazee wote magalasa.marana mchawi sana anawatia wachezaji kwenye chupa anatupa baharini jamani jamani wazee muhimu mi nakumbuka clipu ya yule mzee aliongea sana walikuwa wanakwenda na huyo mzee kisarawe wakati yuko marana aliwaua wachezaji wa yanga vipaji jamani wazee muhimu jamani jamani

  • @NassoroMbaullah
    @NassoroMbaullah 4 วันที่ผ่านมา

    Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji. 3:21

  • @Mansurhamis
    @Mansurhamis 4 วันที่ผ่านมา

    nakukubali sana kak Niko kenya

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 4 วันที่ผ่านมา

    Pmj baba mzee wa kazi

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 3 วันที่ผ่านมา

    Wakina Mzee mpili wachawi😂😂😂

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 4 วันที่ผ่านมา +1

    Wew jamaaa muongo unatupotosha 😅😅

    • @MariamNzowa-k2x
      @MariamNzowa-k2x 4 วันที่ผ่านมา

      Kama anatupotosha je wakina max zengere wakowapi saiv

  • @Mansurhamis
    @Mansurhamis 4 วันที่ผ่านมา +1

    watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 3 วันที่ผ่านมา

      Waaa mbie wote Kuma la mama zao wachawi

  • @user-cp2do9pd5k
    @user-cp2do9pd5k 3 วันที่ผ่านมา

    Ila dua isomweeeeee mashetani wengiiii

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ahadi zako za uwongo bhana ulisema utahamia azam chama akienda yanga,,, wew kajamaaa kaongo sawa😂😂 sijawahi kukuamin,,,, ata hao vijana wako mbona wanavipara 24 gan yenye vipara😂😂😂

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 4 วันที่ผ่านมา

      Endelea kukaa bush huko. Shabikia Tukuyu Stars. Ya mjini waachie wa mjini vya mjini vina wenyewe.

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา +2

    Ndio maana Magufuli alikutumbua ufahi kabisa frassh imejaa vilus vya kutosha

  • @hassanomarhassan7774
    @hassanomarhassan7774 3 วันที่ผ่านมา

    Niko Kenya nguvu moja gb64

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 3 วันที่ผ่านมา

    Ebuniambie kapombe yeyé anabaki

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 4 วันที่ผ่านมา

    Naomba watangazie Matawi yote wajue

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 3 วันที่ผ่านมา

    Yani izo maik zitakuwa zimelowa mate mbaba unaongea ww kha kma umekunywa maji ya chooni loh unalipwaaaaaa? Mh😏

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 4 วันที่ผ่านมา

    Wewe ndiye mchawi wa Simba njaa mbaya unasifu kweli ligi ikianza hutaonekana wanaoipigani timu akina kisugu TU wewe ni embe dodo TU kwenye michongo

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 4 วันที่ผ่านมา

    Waluguru tunaita kolo wa mwari

  • @WaziriSimwe-zn8lb
    @WaziriSimwe-zn8lb 3 วันที่ผ่านมา

    Usiongee sana kisajili kitu kimoja lakini tukutane kwa mkapa mwanaume atajulikana mpumbavu wewe

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 4 วันที่ผ่านมา

    VIONGOZI WA SIMBA WACHEZAJI WOTE MUWAPE TAARIFA ZA USHIRIKINA WA HAPA KWETU WAJE KAMILI

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา

    Baleke alikuwaa makolo kwa mkopo usindanganye

  • @user-cp2do9pd5k
    @user-cp2do9pd5k 3 วันที่ผ่านมา

    Wanalogwaaaaaaa

  • @EliasSimkonda
    @EliasSimkonda 4 วันที่ผ่านมา

    Mm ni simba lialia lakini naomba wenzangu tuwashauri viongozi kuwa ile kamati muhimu ya wazee mbona haihusishwi na chochote na haina budget na yoyoyte. ?

  • @user-nm1tq5bx5o
    @user-nm1tq5bx5o 4 วันที่ผ่านมา

    Gb pamoja baba

  • @DeogratusiMlaly
    @DeogratusiMlaly 3 วันที่ผ่านมา

    Ukopoa

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 4 วันที่ผ่านมา

    Waambie sasa viongozi wasilale

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 4 วันที่ผ่านมา

    Yaan mwamb unajua sana😅😅😅😅😂😂😂 zoazoa

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 4 วันที่ผ่านมา

    👏👏👏👏👏👏🇫🇯🇫🇯

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 3 วันที่ผ่านมา

    Usinene ukamara 😂

  • @binqalid9801
    @binqalid9801 3 วันที่ผ่านมา

    GB 64 mtu sana

  • @bashirjama8225
    @bashirjama8225 4 วันที่ผ่านมา

    Sawasawa gb64 upended wapili wataipata

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา

    Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.

    • @smithwasonka8464
      @smithwasonka8464 4 วันที่ผ่านมา

      Wewe muongo Makolo ni wazazi kwa kizambia kama pv muulizeni chama ata ajibu

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 4 วันที่ผ่านมา

    Gb528

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr 4 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢haibu naona mm.

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา

    Oswade nayooooo

  • @KenesiKomba
    @KenesiKomba 4 วันที่ผ่านมา

    Wamby hawo

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 4 วันที่ผ่านมา

    Tawile baba

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 4 วันที่ผ่านมา

    Kick tupu ili upate uchawa

  • @ArseneMohamed
    @ArseneMohamed 4 วันที่ผ่านมา

    Ukalili maneno yako ikosiku utakuponza wewe

  • @majimototv5670
    @majimototv5670 4 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา +1

    Ulisema Chama akienda Young Africans utahama sasa nimekubali wewe chawa kweli .

  • @user-hf1wo3zd2m
    @user-hf1wo3zd2m 4 วันที่ผ่านมา

    Nipe namba ya gb

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา

    Ndio maana unaongwa cm Dubai amnaga Mpira labda majengo malefu tu

  • @ThomasAssey-uq2ur
    @ThomasAssey-uq2ur 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwenzangu ni shabiki na anaongeaga kishabiki bila uhalisia hata wakati wa jobe alishangilia sana Leo jobe ni garasa tupu

  • @yustodonald9772
    @yustodonald9772 3 วันที่ผ่านมา

    Uyu bwana gb 64 by professional ni nani

  • @KasukuluMwenbungu
    @KasukuluMwenbungu 4 วันที่ผ่านมา

    Unalolote wwe namacho yako

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio 3 วันที่ผ่านมา

    Modric,messi,Ronaldo na Ramos si vijana acha ujinga kwanza hama simba kama ulivyo ahidi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 4 วันที่ผ่านมา +1

    Unaongea sana kama kungwi wa kitanga lkn mpira uwanjani hifadhi upumbavu huo usemao ngoja muda ufke meno mengi mdomoni sio uwezo wa kutafuna bwrge wewe

  • @NassoroMbaullah
    @NassoroMbaullah 4 วันที่ผ่านมา +1

    Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 วันที่ผ่านมา

    Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s 2 วันที่ผ่านมา

    Hatumtaki mangungu ni shetani katika timu yetu aondoke

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 วันที่ผ่านมา

    HUYU KWSS NI BONGE LA BWEGE.. ALIKUWA ANAAPIA MIUNGU ETI CHAMA AWEZI KWENDA YANGA LEO KIKO WAPI ?

  • @Mansurhamis
    @Mansurhamis 4 วันที่ผ่านมา

    watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 4 วันที่ผ่านมา +2

    Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.

  • @elirahammwiri6519
    @elirahammwiri6519 4 วันที่ผ่านมา +1

    Anaamini ushirikina anapoteza mvuto sasa!!

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 4 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mshabiki hewa wa simba .