Gb64 tunza maneno,hao vijana hawana chemistry,skills zao hatujui changanya na uswahili wetu.Chasambi tunamjua,Kibu tunamjua,Lameck tunamjua,hao wengine tusubiri mechi walau 6 za ligi home and away.D2 zinatosha kufahamu.
Kweli kaka yanga wanatumia sana uchawi hata funga funga yao. Lakini mimi sipendi sana hawa Makocha wa nje hawa. Maana wanakuja tu kuchukua fedha zentu mwisho wa siku hao. Tunaanza kumwita Mgunda. Tunamsubiri Michezo ianze tuwaone wanakidhi utahitaji wetu.Simba nguvu moja❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ww tuna namb yako ya sim ili nikutumie salio, leo umesema ukweli mtupu, tofauti na hapi nyuma, nimekuwa nikikufuatikia Sana hoja zako umekuwa ukiwasema Sana vibaya viongozi, lkn Hilo halikuwa kosa la viongozi wLa wachezaji tatizo ni marogo, na Hilo watengenezaji sio viongozi watengenezaji ni wanachama na wapenzi viongozi tayari wametimiza wajibu wao
Vingozi jamani mwasajili damu changa vizuri sana.ila mkiwasahau wazee wote magalasa.marana mchawi sana anawatia wachezaji kwenye chupa anatupa baharini jamani jamani wazee muhimu mi nakumbuka clipu ya yule mzee aliongea sana walikuwa wanakwenda na huyo mzee kisarawe wakati yuko marana aliwaua wachezaji wa yanga vipaji jamani wazee muhimu jamani jamani
Mm ni simba lialia lakini naomba wenzangu tuwashauri viongozi kuwa ile kamati muhimu ya wazee mbona haihusishwi na chochote na haina budget na yoyoyte. ?
Unaongea sana kama kungwi wa kitanga lkn mpira uwanjani hifadhi upumbavu huo usemao ngoja muda ufke meno mengi mdomoni sio uwezo wa kutafuna bwrge wewe
maumivu ya mawazo kwa mwanadamu ni sehemu ya kujifunza kivyovyote mwalimu gb64 minafikiri nikuongezee uwe gb 68
Sawa kabisa yanga wazee wao wachawi sana ndiyo maana wanamtupia majini mayele.
JAMANI JAMANI VIONGOZI PLZ MUWALINDE WACHEZAJI WETU ,,UTO JAMANI WAZEE WA PINI
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.
SIMBA OYEEEEEE❤❤❤❤❤❤SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hakuna ukweli kwauyujamaa nikamayule mpiga debe wao ngonjela nyingi ukweli mizito.
Sana baba tunakuelew baba❤❤
Wazee wetu muwasomee duwa wachezaji wetu, muwafanyie dua maalumu wachezaji wetu wabaki salama
Gb64 uko vzr,maombi ya kuharibu ulimwengu wa giza,ili kupangilia hatma mpya ya simba mighty power
Gb64 tunza maneno,hao vijana hawana chemistry,skills zao hatujui changanya na uswahili wetu.Chasambi tunamjua,Kibu tunamjua,Lameck tunamjua,hao wengine tusubiri mechi walau 6 za ligi home and away.D2 zinatosha kufahamu.
Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu
Simba usajili wake ni .mzuri.unanifurahisha
IVI MNALIPWAAA...!AU MNAPIGA MIDOMOTU" YANI ADI MISHIPA YA SHINGO INAKUTOKA ""KHA"
Kweli kaka yanga wanatumia sana uchawi hata funga funga yao. Lakini mimi sipendi sana hawa Makocha wa nje hawa. Maana wanakuja tu kuchukua fedha zentu mwisho wa siku hao. Tunaanza kumwita Mgunda. Tunamsubiri Michezo ianze tuwaone wanakidhi utahitaji wetu.Simba nguvu moja❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ww tuna namb yako ya sim ili nikutumie salio, leo umesema ukweli mtupu, tofauti na hapi nyuma, nimekuwa nikikufuatikia Sana hoja zako umekuwa ukiwasema Sana vibaya viongozi, lkn Hilo halikuwa kosa la viongozi wLa wachezaji tatizo ni marogo, na Hilo watengenezaji sio viongozi watengenezaji ni wanachama na wapenzi viongozi tayari wametimiza wajibu wao
gb64nakubaliana usemalo ju ya kumuahidi mtumikia timu pesa tofaut na mshahara ni udhaifu mkubwa sana umenena viongozi wajifunze
Mpo karibu na viongozi muwaambie wawalinde wachezaji
Tangaza Matawi yote kwamba wachezaji wetu wanalongwa
Viongozi wetu wawalinde wachezaji yanga wana watia pini
Hapo sio yanga waroga hata wachezaji WENYEWE wanarogana sana wasipo soma harba diri hujuma Zita enderea
We fala c ulisema Chama aksajiliwa Yanga unahamia AZAM! Sasa- ikawaje bado hujahama?😮😮😮
Sheria ziliwekwa ili zivunjwe! Seuze maneno ya GB64.
Ww gb 64 si ndy umesema chama ameogez miak 2 simb sasa iv umekua chiz tuh
Uyu gb kweli o nyeusi anaonyesha kweli ni mwl felia
Kwa lugha nyepesi ni mbwa wala matapishi utopolo
Ktk siku umeongea ukweli Leo umeona mbali ❤❤❤❤
Hifadhi maneno yko mdomo mrefu kama njiwa pori
😂😂😂😂
Lakini mangungu aondoke
Shenzi wabana makalio mechi bado
Leo nimekwelewa sanaa
❤the best
We mbona una makunyanzi kama Mzee? Shikamoo visungura😂😂😂
ngunvu moja kaka tupamba nie mwamba
Kweli lazima tuungane kuwalinda wachezaji wanarogwa kweli
Safi sana
GB 64 ni muongo haijawahi kutokea 🤣🤣🤣🤣 yani hayuko professional hata kdg ana ushabiki maandazi sio mtu wa mpira ni mpenda timu sio mpenda mpira
Yanga wanatumia xana uchawi mbona liko wazi hili washirikina xana
Kiingereza kila siku hichohicho, commitment, responsibility, ability, space, umekariri?.
Sawa amekalili we kinakuwasha nn sasa
😂😂😂😂
Kamawachezaji wanarogwa aoziongozi kuwambalinatim waovipi mpirawetu afrika ushindi njeyauwanja asilimiya kubwa
Fanya. Kazi. Kaka. Usiogope
Yanga wanatabia za ccm
Mwalimu wa wapi huyu?
Kwahyo umekuwa ww ndo msemaji huna kazi ya kutafta kula pga kelele ununuliwe chai mkundu mwekundu
Huyo sio kocha ni msimamizi tuu wa kambi
Respect familia
Bwabwaja tu.tunawasubili Ngao
mnakutana na azam sio simba
Daaa mpira wa tz unaavituko sana.
Vingozi jamani mwasajili damu changa vizuri sana.ila mkiwasahau wazee wote magalasa.marana mchawi sana anawatia wachezaji kwenye chupa anatupa baharini jamani jamani wazee muhimu mi nakumbuka clipu ya yule mzee aliongea sana walikuwa wanakwenda na huyo mzee kisarawe wakati yuko marana aliwaua wachezaji wa yanga vipaji jamani wazee muhimu jamani jamani
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji. 3:21
nakukubali sana kak Niko kenya
Pmj baba mzee wa kazi
Wakina Mzee mpili wachawi😂😂😂
Wew jamaaa muongo unatupotosha 😅😅
Kama anatupotosha je wakina max zengere wakowapi saiv
watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba
Waaa mbie wote Kuma la mama zao wachawi
Ila dua isomweeeeee mashetani wengiiii
Ahadi zako za uwongo bhana ulisema utahamia azam chama akienda yanga,,, wew kajamaaa kaongo sawa😂😂 sijawahi kukuamin,,,, ata hao vijana wako mbona wanavipara 24 gan yenye vipara😂😂😂
Endelea kukaa bush huko. Shabikia Tukuyu Stars. Ya mjini waachie wa mjini vya mjini vina wenyewe.
Ndio maana Magufuli alikutumbua ufahi kabisa frassh imejaa vilus vya kutosha
Niko Kenya nguvu moja gb64
Ebuniambie kapombe yeyé anabaki
Naomba watangazie Matawi yote wajue
Yani izo maik zitakuwa zimelowa mate mbaba unaongea ww kha kma umekunywa maji ya chooni loh unalipwaaaaaa? Mh😏
Wewe ndiye mchawi wa Simba njaa mbaya unasifu kweli ligi ikianza hutaonekana wanaoipigani timu akina kisugu TU wewe ni embe dodo TU kwenye michongo
Waluguru tunaita kolo wa mwari
Usiongee sana kisajili kitu kimoja lakini tukutane kwa mkapa mwanaume atajulikana mpumbavu wewe
VIONGOZI WA SIMBA WACHEZAJI WOTE MUWAPE TAARIFA ZA USHIRIKINA WA HAPA KWETU WAJE KAMILI
Baleke alikuwaa makolo kwa mkopo usindanganye
Wanalogwaaaaaaa
Mm ni simba lialia lakini naomba wenzangu tuwashauri viongozi kuwa ile kamati muhimu ya wazee mbona haihusishwi na chochote na haina budget na yoyoyte. ?
Gb pamoja baba
Ukopoa
Waambie sasa viongozi wasilale
Yaan mwamb unajua sana😅😅😅😅😂😂😂 zoazoa
👏👏👏👏👏👏🇫🇯🇫🇯
Usinene ukamara 😂
GB 64 mtu sana
Sawasawa gb64 upended wapili wataipata
Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.
Wewe muongo Makolo ni wazazi kwa kizambia kama pv muulizeni chama ata ajibu
Gb528
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢haibu naona mm.
Oswade nayooooo
Wamby hawo
Tawile baba
Kick tupu ili upate uchawa
Ukalili maneno yako ikosiku utakuponza wewe
😂😂😂😂
Ulisema Chama akienda Young Africans utahama sasa nimekubali wewe chawa kweli .
Nipe namba ya gb
Ndio maana unaongwa cm Dubai amnaga Mpira labda majengo malefu tu
Huyu mwenzangu ni shabiki na anaongeaga kishabiki bila uhalisia hata wakati wa jobe alishangilia sana Leo jobe ni garasa tupu
Uyu bwana gb 64 by professional ni nani
Huyu ni mwalimu by professional
Unalolote wwe namacho yako
Modric,messi,Ronaldo na Ramos si vijana acha ujinga kwanza hama simba kama ulivyo ahidi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Unaongea sana kama kungwi wa kitanga lkn mpira uwanjani hifadhi upumbavu huo usemao ngoja muda ufke meno mengi mdomoni sio uwezo wa kutafuna bwrge wewe
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.
Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu
Hatumtaki mangungu ni shetani katika timu yetu aondoke
HUYU KWSS NI BONGE LA BWEGE.. ALIKUWA ANAAPIA MIUNGU ETI CHAMA AWEZI KWENDA YANGA LEO KIKO WAPI ?
watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba
Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.
Tulia shindano iingieee
Anaamini ushirikina anapoteza mvuto sasa!!
Huyo mshabiki hewa wa simba .