ALI KAMWE ATANGAZA RASMI AZIZ KI ANAONDOKA/AMEPATA OFA ULAYA/CHAMA ATATUSAIDIA NA BALEKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
  • #alikamwe #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yangatv #azizki #yanga #yangaleo #yangasc

ความคิดเห็น • 100

  • @carolinambalamwezi4216
    @carolinambalamwezi4216 2 หลายเดือนก่อน +5

    Azizi ki bado yupo sana tuliosoma cuba tunajua namna Rais Engineer alivyoweka tesheni kuwavuluga makoloo ni vile Harmonize huwa anafanya

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hauwezi kua uzembe wa vioongozi club ina bajeti ya kufanya usajili kama amepata pesa nyingi ulaya acha aende tu mimi sishangai namwombea

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 2 หลายเดือนก่อน +6

    Azizi K hata mwakani haondoki yupo mpaka 2026

  • @LinnahRaphael
    @LinnahRaphael 2 หลายเดือนก่อน +1

    aziz ki akitaka kuondoka aondoke tu yanga tuache kung'ang'ania mchezaji huenda hatafanya vizuri msimu ujao

  • @DANIELMAYUNGA-bm4mp
    @DANIELMAYUNGA-bm4mp 2 หลายเดือนก่อน

    Haijaisha mpaka iishe mie najua kiii master yupo sanaa jangwani

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nilikua naomba gwede angebaki hata kama azizi akiondoka hakuna shida timu bado ni nzuri yanga bingwa tena

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 หลายเดือนก่อน +1

    TUACHE UDAKU NA TUSUBIRI HABARI ZA KUAMINIKA.❤

  • @herrymsagati3270
    @herrymsagati3270 2 หลายเดือนก่อน +8

    aziz ki bado mchezaji wa yanga acheni woga

    • @selemanmcharazo
      @selemanmcharazo 2 หลายเดือนก่อน

      Hivyo hukumbuki Mayele Ilikuwa hivi hivi,mi naona kama imeisha hiyo.

    • @francisjustus-zc8se
      @francisjustus-zc8se 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio mbaya ndo maana ya soka acha akatafute marisho sehem nyingine

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 2 หลายเดือนก่อน +1

    myie mnafikiri watapataje ela bila kuwafanya mazombi ili waongeze ela

  • @PendoJacob-t3r
    @PendoJacob-t3r 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yanga ni kubwa kuliko Aziz Ki

  • @aishakhamis714
    @aishakhamis714 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi yanga usajili wa baleke kwangu sio mzuri bola geede

    • @yunusimchala6569
      @yunusimchala6569 2 หลายเดือนก่อน

      Hamia Simba hauwezi kumpangia Gamondi nani wa kumsajili kwani ww unatoa hela

    • @BraisonIssack
      @BraisonIssack 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe bora bareke

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga wakiondoka gsm na hersi saidi hapo ndipo yanga tutayumba ila siyo mchezaji nyinyi hangaikeni na wakina debora mpagama wachezaji waliofeli kwenye timu zilizomaliza nafasi ya 13 nahao waliotoka kwenye timu zilizoshuka daraja mwisho wa msimu tukutane tuone nani bingwa nani atamaliza nafasi ya 4 kushuka maana bingwa yanga nafasi ya 2 azam wanaofwatia hapo hatujui

    • @marcobulili4341
      @marcobulili4341 2 หลายเดือนก่อน

      Je wenzetu MO akiondoka itakuaje!? Kolo wameugua ujinga kwa MO

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 หลายเดือนก่อน +2

    Comments zenu mngezitoa kwenye Yanga TV, huyu scope atazipeleka wapi? Kwanza mshamba tu, heading yake na habari yenyewe hata havifanani.

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ukuma wewe kahaba mchovu kuma nini wewe

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 2 หลายเดือนก่อน

    Guede alianza kuingia kwenye mfumo wa Gamond na alianza kuwa mwepesi kiwanjani alichangamka! Kwa vile nmpira basi imekuwa. Ila Baleke ndiyo lkn namuonaga kolo sana yule afu duka

  • @kelvinbinemungu3939
    @kelvinbinemungu3939 2 หลายเดือนก่อน

    Kwan yanga haiwez kucheza bila Aziz ki??

  • @shabbirbharmal7876
    @shabbirbharmal7876 2 หลายเดือนก่อน

    Kama aziz ki kweli anaondoka asiondoke😢

  • @JohnsoniNyaulingo-lj9qc
    @JohnsoniNyaulingo-lj9qc 2 หลายเดือนก่อน

    Unamleta libalek la nin halafu kwanin mnang'ang'ania mchezaji akitoka simb si tunamchukua me spend

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 2 หลายเดือนก่อน

    Gwede abaki jamani please

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie mashabi wenzangu mwacheni aende anakoona panamfaa yanga ni kubwa na bado tu atimu nzuri acheni kulala mika kwasababu hata mkisema mlazimishe hawezi mpira ni biashara achenj nayeye akajaribu kama mayele tumpe mau yake tumwombee akafanye vizuri huko aendako tuache lawama jamani

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi 2 หลายเดือนก่อน

    Azizi k anapenda hela sio yanga vip wewe acha ushamba asiende ulaya abaki kuwa masikin yanga

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 2 หลายเดือนก่อน

    Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Huo ni uzwazwa wa kizamani.

  • @mekushop
    @mekushop 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli Azizi kii anaondoka

    • @IssaTamba-qh1gi
      @IssaTamba-qh1gi 2 หลายเดือนก่อน

      Tunatengeneza content

  • @JosephChalle-y1c
    @JosephChalle-y1c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Viongozi wawe wakwel nasiokujizimisha dat

  • @JohnsoniNyaulingo-lj9qc
    @JohnsoniNyaulingo-lj9qc 2 หลายเดือนก่อน

    Guede imekuwaje mbon jamaaa anafunga saan mechi chache kmzid mpk kibu

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 2 หลายเดือนก่อน

    Wanasimba mashabiki makini na bora ndani ya Bara la Afrika msiingie kwenye Propaganda za Aziz Ki,hz ni propaganda za Utopolo za kujitekenya na kucheka wenyewe.Achaneni kabisa na hy habari hakuna mnaingizwa nyinyi tu ktk vita bandia ya maneno

  • @KindambaMtunje
    @KindambaMtunje 2 หลายเดือนก่อน

    Mtaisoma naomba mwaka huu

  • @IsabelaElasto
    @IsabelaElasto 2 หลายเดือนก่อน

    Wasenge mlichokiandika namlichokisema tofauti

  • @costantinemgalle1910
    @costantinemgalle1910 2 หลายเดือนก่อน

    Wanahabari wavichochoroni! Tena hata aibu hamna! Kichwa cha habari hakihusiani na content iliyopo. Mnafikiri huu ni ujanja lakini, kwanza mnachafua uwanahabari, afu pia yani mnajiharibia kazi. Siku nyingine ukiona Scope Media piga chini tu....mnawafanya hadhira yenu kama vile mambumbu ivi.....

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 2 หลายเดือนก่อน +14

    Mmemtoa Guede jamani KWELI mnamleta Baleke daaah pia kama Azizi akiondoka yanga viongozi mtakuwa mmefanya UZEMBE mkubwa sana ila pia namtabiria shekhan Ibrahim kufanya vizuri msimu ujao apewe tu nafasi

    • @nsajigwamwakalinga3591
      @nsajigwamwakalinga3591 2 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe baleke ni Bora kuliko guede

    • @kijoyee5380
      @kijoyee5380 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wamefanya uzembe gani?? Mpira ni biashara acha propaganda

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 หลายเดือนก่อน +3

      Baleke sio Guede

    • @badimfinanga
      @badimfinanga 2 หลายเดือนก่อน

      Huwezi Fanya biashara na mtu ambaye TAYARI amesha maliza mkataba wake! Walikuwa wapi wasimshawishi akaongeza mkataba mapema!​@@kijoyee5380

    • @francisjustus-zc8se
      @francisjustus-zc8se 2 หลายเดือนก่อน

      Ww nawe n bangi viongoz wana kosa gana hapo akati mchezaji mwenyewe ndo anachagua

  • @MagrethCostantine
    @MagrethCostantine 2 หลายเดือนก่อน

    Utopolo chukueni baleke NY is ndio dampo la Simba okoteni tu

  • @SumiziBalungula
    @SumiziBalungula 2 หลายเดือนก่อน

    Ameondoka we siunaona Aly alivyopoa

  • @GidionAlex-p5w
    @GidionAlex-p5w 2 หลายเดือนก่อน

    Kama Aziz ki ameondoka yanga daaa

  • @PantaleoGululi-n4z
    @PantaleoGululi-n4z 2 หลายเดือนก่อน

    haondoki ni drama tu zinachezeshwa maana hawana habari za kuongelewa tofauti na jambo la chama ambalo limezima, ki aziz kasaini jangwani kwa kandarasi ya miaka miwili, hamna lolote tunadanganywa kama watoto

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 2 หลายเดือนก่อน +1

    GUEDE ILIKUWA TUMVUTIE MUDA NI BONGE LA STRAIKA LAKINI YANGU MACHO

  • @JoshuaMgeni-f2c
    @JoshuaMgeni-f2c 2 หลายเดือนก่อน

    Baada ya Manisha Kuna aisha mengine

  • @ChenjeTz-z7o
    @ChenjeTz-z7o 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie mmezingua kam mmemtoa ki aziz

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 2 หลายเดือนก่อน

    Aliyesema AxizikAondoka ni Enginiaer au wewe???

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 2 หลายเดือนก่อน

    Atawavuluga vyula cmba miaka 30 hatuchukui

  • @adelinapesha6556
    @adelinapesha6556 2 หลายเดือนก่อน

    KAMA KWELI YANGA ITAMUACHIA AZIZ KI, BASI YANGA HAINA MALENGO NA HAINA MPANGO NZURI WA KUCHEZA CLUB BINGWA AFRIKA. KWANI HIYO B. 1.3 YANGA IMESHINDWA KUTOA KUMBAKIZA AZIZ KI? SI BORA KUPUNGUZA WACHEZA UKAMBAKIZA AZIZ KII. KUONDOKA KWA AZIZ KUNAWEZA KUBADILISHA KABISA MFUMO. NI MAONI YANGU TU!!!

  • @dullahtz7129
    @dullahtz7129 2 หลายเดือนก่อน

    Dampo fc 😂😂😂 mnawachukuwa kwa mbwembwe mnawaacha kwa matatizo wakiwa simba ni wazee wakija kwenu wanakuwa vijana hahahaha 😂

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 หลายเดือนก่อน

    Azizi ki amesaini Yanga

  • @selemaniramadhani218
    @selemaniramadhani218 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama huna D mbili huwezi kuelewa hapo

  • @godfreydidas2575
    @godfreydidas2575 2 หลายเดือนก่อน

    Unatafta kiki kptia simba 2mexhakuxanukia wa kuzimia

  • @makingongosha6738
    @makingongosha6738 2 หลายเดือนก่อน

    Boya

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 2 หลายเดือนก่อน

    Mwachen aende simba

  • @daudlubugwa4696
    @daudlubugwa4696 2 หลายเดือนก่อน

    Km azizi k km ameondoka niuzembe wa viongozi hapo

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 2 หลายเดือนก่อน

      Sio uzembe jaman watu walimpenda sna, lkn mda mweingine hawa wachezaji wa kigeni wakiona wamemliza msimu kwa mafanikio wana leta dau kubwa sna ambalo hata kama ww ndio bos lazima uwangalie malambili, nini utaenda kukipata baada yahilo , mtu anataka bilioni 1,ndio asaini na mshahala kila mwezi milion 60,hiyo hela mtu mmoja kweli? Kwani anacheza pekeyake pale uwanjani? Je hawa wengine watajionaje, msilaumu viongozi mda mwingine nawao wanashindwa lakufanya,

  • @OswardMandikilo
    @OswardMandikilo 2 หลายเดือนก่อน

    Mtakoma na bado

  • @leonardAmbokile
    @leonardAmbokile 2 หลายเดือนก่อน

    Siku ukimiliki akili utatusumbua sana

  • @amosrumbeli4081
    @amosrumbeli4081 2 หลายเดือนก่อน

    Ki is red

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga acheni kutuweka loho juu kama Aziz mmeshindwa kumsajilj semen acheni kujing'atang'ata

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg 2 หลายเดือนก่อน

    Joseph guede alikuwa mchezaji mzuri

  • @PantaleoGululi-n4z
    @PantaleoGululi-n4z 2 หลายเดือนก่อน

    mnakusanya hela kijanja

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 2 หลายเดือนก่อน

    Aziz ki nan mwache aende

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 2 หลายเดือนก่อน

    Kwakumtoa gwede kiukweli wamechemsha

  • @francisjustus-zc8se
    @francisjustus-zc8se 2 หลายเดือนก่อน

    Washabiki tunaferi sana kwan utamng,ang,ania mchezaji mmoja mbaka lini hakati mpira ni biashara mwaka jana hakua na msim mzuri na tukatoboa kwahiyo mchezajia hakipata marisho mengine muache aende tu

  • @sadikshausi
    @sadikshausi 2 หลายเดือนก่อน

    namna yakujiunga tuelekeze

  • @ChenjeTz-z7o
    @ChenjeTz-z7o 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie mmezingua kweli kam mmemtoa aziz ki

  • @Dulajuma
    @Dulajuma 2 หลายเดือนก่อน

    Mwamba asiondoke

  • @BensonBenjamin-dl7lb
    @BensonBenjamin-dl7lb 2 หลายเดือนก่อน

    Ally kamwe tunamtaka aziz kiii

  • @MudymazindeMazinde
    @MudymazindeMazinde 2 หลายเดือนก่อน

    Nonsense

  • @GervasKhalfan
    @GervasKhalfan 2 หลายเดือนก่อน +1

    Leo sitaki kukomenti chochote ila ngoja nihesabu 1-1000 nipumzishe kichwa 01,02,03,04,05,06,07,08,09,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35,36,37,38,39,40,41,42,43,44,45,46,47,48,49,50,51,52,53,54,55,56,57,58,59,60,61,62,63,64,65,66,67,68,69,70,71,72,73,74,75,76,77,78,79,80,81,82,83,84,85,86,87,88,89,90,91,92,93,94,95,96,97,98,99,100,101,102,103,104,105,106,107,108,109,110,111,112,113,114,115,116,117,118,119,120,121,122,123,124,125,126,127,128,129,130,131,132,133,134,135,136,137,138,139,140,141,142,143,144,145,146,147,148,149,150,151,152,153,154,155,156,157,158,159,160,161,162,163,164,165,166,167,168,169,170,171,172,173,174,175,176,177,178,179,180,181,182,183,184,185,186,187,188,189,190,191,192,193,194,195,196,197,198,199,200,201,202,203,204,205,206,207,208,209,210,211,212,213,214,215,216,217,218,219,220,221,222,223,224,225,226,227,228,229,230,231,232,233,234,235,236,237,238,239,240,241,242,243,244,245,246,247,248,249,250,251,252,253,254,255,256,257,258,259,260,261,262,263,264,265,266,267,268,269,270,271,272,273,274,275,276,277,278,279,280,281,282,283,284,285,286,287,288,289,290,291,292,293,294,295,296,297,298,299,300,301,302,303,304,305,306,307,308,309,310,311,312,313,134,315,316,317,318,319,320,321,322,323,324,325,326,327,328,329,330,331,332,333,334,335,336,337,338,339,340,341,342,343,344,345,346,347,348,349,350,351,352,353,354,355,356,357,358,359,360,361,362,363,364,365,366,367,368,369,370,371,372,373,374,375,376,377,378,379,380,381,382,383,384,385,386,387,388,389,390,391,392,393,394,395,396,397,398,399,400,401,402,403,404,405,406,407,408,409,410,411,412,413,415,416,417,418,419,420,421,422,423,424,425,426,427,428,429,430,431,432,433,434,435,436,437,438,439,440,441,442,443,444,445,446,447,448,439,450,451,452,453,454,455,456,457,458,459,460,461,462,463,464,465,466,467,468,469,470,471,472,473,474,575,476,477,478,479,480,481,482,483,484,485,486,487,488,489,490,491,492,493,494,495,496,497,498,499,500,501,502,503,504,505,506,507,508,509,510,511,512,513,514,515,516,517,518,519,520,521,522,523,524,525,526,527,528,529,530,531,532,533,534,535,536,537,538,539,540,541,542,543,544,545,546,547,548,549,550,551,552,553,554,555,556,557,558,559,560,561,562,563,564,565,566,567,568,569,570,571,572,573,574,575,576,577,578,579,580,581,582,583,584,585,586,587,588,589,590,591,592,593,594,595,596,597,598,599,600,601,602,603,604,605,607,608,609,610,611,612,613,614,615,616,617,618,619,620,621,622,623,624,625,626,627,628,629,630,631,632,633,634,635,636,637,638,639,640,641,642,643,644,645,646,647,648,649,650,651,652,653,654,655,656,657,658,659,660,661,662,663,664,665,666,667,668,669,670,671,672,673,674,675,676,677,678,679,680,681,682,683,684,685,686,687,688,689,690,691,692,693,694,695,696,697,698,699,700,701,702,703,704,705,706,707,708,709,710,711,712,713,714,715,716,717,718,719,720,721,722,723,724,725,726,727,728,729,730,731,732,733,734,735,736,738,739,740,741,742,743,744,745,746,747,748,749,750,751,752,753,754,755,756,757,758,759,760,761,762,763,764,765,766,767,768,769,780,781,782,783,784,785,788,789,790,791,792,793,794,795,796,797,798,799,800,801,802,803,804,805,806,807,808,809,810,811,812,813,814,815,816,817,818,819,820,821,822,823,824,825,826,827,828,829,830,831,832,833,834,835,836,837,838,839,840,841,842,843,844,845,846,847,848,849,850,851,852,853,854,854,855,856,857,858,859,860,861,862,863,864,865,866,867,868,869,870,871,872,873,874,875,876,877,878,879,880,881,882,883,884,885,886,887,888,889,890,891,892,893,894,895,896,897,898,899,900,901,902,903,904,905,906,907,908,909,910,911,912,913,914,915,916,917,918,919,920,921,922,923,924,925,926,927,928,929,930,931,932,933,934,935,936,937,938,939,940,941,942,943,944,945,946,947,948,949,950,951,952,953,954,955,956,957,958,959,960,961,962,963,964,965,966,967,968,969,970,971,972,973,974,975,976,977,978,979,980,981,982,983,984,985,986,987,988,989,990,991,992,993,994,995,996,997,998,999,1000

    • @BraisonIssack
      @BraisonIssack 2 หลายเดือนก่อน

      Oya umekunywa pombe gani imekufanya uhesabu 1 hadi 1000

  • @LoveVoice-c6t
    @LoveVoice-c6t 2 หลายเดือนก่อน

    Munatuona bwabwa pira nyie Aziz Aziz kaa kaondoka simuseme fatuma nyie

  • @badimfinanga
    @badimfinanga 2 หลายเดือนก่อน

    Azizi Ki akiondoka ni uzembe wa viongozi kwakweli kwani Mwenyewe anaipenda Yanga na muda wote amekuwa akiipambania timu .

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 2 หลายเดือนก่อน

      Kama hawa wezi kulipa hela anayotaka, wafanyeje??
      Cristian Ronaldo aliondoka Man U kwenda Real Madrid, unadhani Man U walitaka!

  • @daudlubugwa4696
    @daudlubugwa4696 2 หลายเดือนก่อน

    Mmebolonga hapo mmeferi hamuna chenu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน +1

      Umelipa card yako ? Umeisaidiaje club yako?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 jifunze kuandika

  • @NoelKiwike-wc8wh
    @NoelKiwike-wc8wh 2 หลายเดือนก่อน

    Ombaomba fc

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 2 หลายเดือนก่อน

    Ahmed Ali Juu!

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko 2 หลายเดือนก่อน

    Haondoki mbona hajaongea kitu kuhusu aziz na nyie acheni uongo

  • @GidionAlex-p5w
    @GidionAlex-p5w 2 หลายเดือนก่อน

    Kama Aziz ki ameondoka yanga daaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani Aziz hakuikuta Yanga!? Hivi watu akili zenu zikoje? MAYELE hakuondoka, Fei hakuondoka? Wachezaji wote huja na kuondoka! Akiondoka ni fursa ya kuja mwingine KUENI KIAKILI!!
      ALIYEKWAMBIA ATAFIA YANGA NANI? AENDE!