LIVE: Mdahalo Juu ya Utendaji wa Mahakama na Matamko ya Kisiasa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 36

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 หลายเดือนก่อน +5

    Hakuna haki mahakamani na mawakili wamekuwa madalali

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana ndugu madereka kwa kujitowa kwa wengine Allah awe na aipe afya mzuli familia yako ili nawe imara kwa kusimamia khaki

    • @revjoshualugendo8344
      @revjoshualugendo8344 หลายเดือนก่อน

      Mungu akubariki Sana. Nimependa msimamo wako wa kusimama kweli na haki, watu wa Mungu wapate haki bila kuonewa.

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q หลายเดือนก่อน +2

    Kweli wewe ndugu Madeleka ni shujaa na mtetezi wa wanyonge; hongera sana: Mungu akubariki.

  • @MasterPetro-oj1fd
    @MasterPetro-oj1fd หลายเดือนก่อน +2

    Nimependa sana mdahalohuu. Natamani sana kuijua sheria

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 หลายเดือนก่อน

    Madeleka Mwenyenzi Mungu akupe maisha marefu na yenye Baraka uendelee kuwasaidia watanzania. Ninapinga mbinu zote ovu zinazopangwa kumdhuru mtu huyu. Wenye kutengeneza mbinu hizi namwomba Mungu apite nao, wasiendelee kuishi!!!

  • @georgemahenge
    @georgemahenge หลายเดือนก่อน

    Madereka.mungu akurinde.huwa tunaona juhudi zako.kira Kona.

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w หลายเดือนก่อน

    Mawakili wengi wamekuwa machawa ,ndio rais wa mawakili ,asilimia 70 ,utakuta chawa, wa watawala,❤❤❤❤

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 หลายเดือนก่อน +1

    Ni mbaya sana mawakili wengine wamekuwa machawa wa ccm ovyo sana

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mawakili.Ila TLS wanatuangusha.

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 หลายเดือนก่อน

    Madeleka Mungu akupe maisha marefu na akulinde

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน +2

    Wakili msomi Madeleka usikate tamaa wakati mapambazuko yamekaribia pambania haki Mungu hataacha kukulipa juhudi zako,na atakulinda popote kwa mkono wake wenye nguvu kuliko hawa wanaovuta pumzi yake ya bure kutumia nguvu kuwaumiza wengi wala hawajui ni lini BWANA atatwaa uhai wao na kuacha vyote wanavyojikusanyia!

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kweli sasa tunaona juhudi za chama cha mawakili wasomi TLS,tunafarijika sana tunapofuatilia mabaraza yenu haya katika midahalo ya kukosoana wenyewe,na kuifunua mfumo wa utawala unaopindisha sheria kwa kukanyaga katiba katika maamuzi yao ya kudhulumu wananchi kwa faida yao binafsi.

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 หลายเดือนก่อน

    Hio yakuvuliwa nguo nimekutana nayoo mkuu nilitaka kuzimia duu mungu alinisaidia unapiga kichuraa ukiwa mtupuuuu mita70au mia watu wanakutizamaa matesoo matupuu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    ✌️👊👍.

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo ni ulevi tu ,
    ukiwa madarakani unajizima data kwamba hautakuwa madarakani milele, lakini pia siyo ukoo wenu nyoote mpo madarakani
    Mnachokipanda mtavuna tu
    hata kupitia wajukuu zenu ,
    WATAUMIZWA NA WAKANDAMIZAJI WENZENU NA MTAPIGA KELELE

  • @user-vg6dw6li7n
    @user-vg6dw6li7n หลายเดือนก่อน

    Fatuma fatuma punguza kiingereza dada daaaa hatukuelewi

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania kwa ujumla wao kwenye sanduku la kura mwakani ndio watakao ondoa mfumo huu mbovu wa katiba ya 1977 Mungu yupo pamoja na wapenda haki, watanzania lazima watafanikiwa kupata haki zao.

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 หลายเดือนก่อน +1

    Namkubali mno huyu Mwamba Madeleka

  • @nereisyara5056
    @nereisyara5056 หลายเดือนก่อน

    Please msikilize Madeleka vizuri

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi หลายเดือนก่อน +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 หลายเดือนก่อน

    Watu wa mahakama hamta nwona Mungu

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana Mawakili na mawakala wa sheria,
    Kwa sisi wapenda haki na mifumo tunafurahia sana mijadala hii.
    Tunamuunga mkono Wakili Mwabuksi,
    Haki haiombwi, haki inapiganiwa🫡

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli hiyo Mahakama ipo nimeshawahi kwenda kumlipia mtu faini ya uzembe na uzururaji .Kitu ambacho alikutwa barabarani akienda Bilcanas usiku saa nne .Dar kuna mambo ambayo huwezi kuamini yanafanywa kwa uonevu tu .

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 หลายเดือนก่อน +1

    Ndiyo,ni deal ya mfumo wa katiba hii ya 1977 inaendelezwa na aliyeingia sasa! Heko wakili msomi Fatma...

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 หลายเดือนก่อน

    Ufumbuzi wa kimkakati ni KATIBA. Hii iliyopo ndiyo mkoroganyo uliopo!

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 หลายเดือนก่อน

    Ccm inaharibu nchi na watanganyika halafu wanaogopwa ujinga mtupu ccm kitu gani ktk nchi hii?

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ni mfumo

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 หลายเดือนก่อน

    Kwani Kuna Mahakama Tanzania? Mahakama , Binge,. Serikali si ni MTU MMOJA TU? Katina, Katina, Katiba!!

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 หลายเดือนก่อน

    TLS ni tawi la ccm

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 หลายเดือนก่อน

    Tls ni MAJI TAKA IMEJAA MACHAWA TUPU, ISIPOKUWA MADELEKA, FATMA, LISSU NA MWABUKUSI PEKEE!

  • @user-vg6dw6li7n
    @user-vg6dw6li7n หลายเดือนก่อน +1

    Fatima punguza kingereza wengi hatukusoma hatukuelewi mara nyingi inatumia sana kiingereza unaboa

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 หลายเดือนก่อน

    Tatizo la Shangazi huwa anapenda sana kuogea kizungu, sasa si watu wote wanaojua kizungu. Hebu naomba uwasaidie watu hawa manake ni wengi wanaofuatilia midahalo kama hii.

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 หลายเดือนก่อน

    Kwanini kuna edit za kijinga kutokutaka watu wasikie kila kinachochagiwa???

  • @esuthoby7865
    @esuthoby7865 หลายเดือนก่อน

    Hata nyie mawakili mnayomatatizo.mbona maamuzi ya kesi yanatolewa kwa lugha ya kizungu?
    Hamuwatendei haki watanzania.hamtaki kuandika sheria kwa Kiswahili, Kweli mnaruhusu mahakama iwahukumu watanzania kwa lugha wasioielewa,mna jambo lenu ninyi mawakili ambayo sitaji. Hamjali watanzania dhambi inawarudia.Hivyo tesekeni mpaka mwisho.