GB 64 AFURAHIA Usajili wa DEBORA FERNANDEZ / KWA HASIRA AFUNGUKA UCHAWI UPO YANGA wanaloga WACHEZAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 44

  • @ReylaSele
    @ReylaSele 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wazindikwe wachezaji na moo Alena ikazindikwe visomo viwe vingi bro SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤

  • @BellaTuyi-hd7tw
    @BellaTuyi-hd7tw 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka GB64 Maisha marefu mungu azidi kukupa nguvu 💪
    Hongera Sana kwa kulitambua hilo uchawi upo bro..ONANA yule kwel siku ya Simba day kafunga mbele ya mama samia bonge la goal..😢😢 Yanga wachawi sana. Ila kwa kuwa hilo mumelitambua jambo lakheriiii sana..
    ✍️ Mabetu &Co

  • @NsubiRaphael
    @NsubiRaphael 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana gb64 matola atuache

  • @BenjaminiBnyetanyau
    @BenjaminiBnyetanyau 3 หลายเดือนก่อน

    Gb Leo sio uongozi Tena imekuwa misumali Tena mbona ulikuwa unalia na uongozi

  • @OmarJoho
    @OmarJoho 2 หลายเดือนก่อน

    Tatizo yanga mnaimandi sana sima

  • @JudicateShuma
    @JudicateShuma 3 หลายเดือนก่อน

    Wanasimba matola naye wanini kama kocha kaja na benchi lote la ufundi tunaomba aondoke,

  • @arthurmwakalukwa9471
    @arthurmwakalukwa9471 2 หลายเดือนก่อน

    GB64 naomba tuongee nje ya mtandao umeongea vtu muhimu Nina la kukupa

  • @mwinjilistielibarikismarar1480
    @mwinjilistielibarikismarar1480 3 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa G64 uko sahihi

  • @MADINAKITEMO
    @MADINAKITEMO 3 หลายเดือนก่อน

    GB nakukubali sana

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 3 หลายเดือนก่อน

    Kabda ya rigi kuanza wafanyiwe kisomo,,mapema sana,,na watuzwe na wale wanaofua JEZI za wachezaji watolewe nao wanatumika

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm 3 หลายเดือนก่อน

    Anakunja uso kama anavuta bangi utawakataa hawa ligi ikianza

  • @IddiHassan-mr3sb
    @IddiHassan-mr3sb 3 หลายเดือนก่อน

    Nakuona bado upo unalia lia tu

  • @RashidiAlly-et1sg
    @RashidiAlly-et1sg 3 หลายเดือนก่อน

    Number 9 timu ya taifa uganda 🇺🇬 mukwala GB anaunguluma

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 หลายเดือนก่อน

    MH! KAZI IPO......FIKRA ZA KITUMWA

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 2 หลายเดือนก่อน

    Waache waendelee kutuita makoro .Ila hawajui .wamuulize Haji manara maanayake Sisi wajombazao ak.a mama zako tunawalea

  • @ReylaSele
    @ReylaSele 3 หลายเดือนก่อน

    😊😊NSSF FC

  • @OmarJoho
    @OmarJoho 2 หลายเดือนก่อน

    Simba hatuna ushamba kama yanga

  • @FumaoFumao-d8w
    @FumaoFumao-d8w 3 หลายเดือนก่อน

    Sisitiza sana Hili la dua

  • @barakajamalis776
    @barakajamalis776 3 หลายเดือนก่อน

    Kaka sema,wachezaji wa simba,wanafaniwa ushenz

  • @andrewcharles2038
    @andrewcharles2038 3 หลายเดือนก่อน

    Kikokotoo FC

  • @SaidSeleman-h5n
    @SaidSeleman-h5n 3 หลายเดือนก่อน

    Nilikua nakuamini sana lakini leo nimekuona chizi.karoge wewe tuone kama timu itakuwa mzuli

  • @JudicateShuma
    @JudicateShuma 3 หลายเดือนก่อน

    Uto walozi fc,

  • @HamzaMduda
    @HamzaMduda 3 หลายเดือนก่อน

    Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana

  • @KatongeOmari
    @KatongeOmari 3 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅mtu bad tunakukubali brother

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 3 หลายเดือนก่อน

    Ata miraji Alishaongea kuwa kuna vitu wachezaji wanafanyiwa sasa ongeeni na kiongozi wetu Ajue cha kufanya wasije wakawa kama Aubini kramo kaja huku wamemzimisha

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 3 หลายเดือนก่อน

    nyinyi wandishi amna kazi mnawaoji mpaka warevi uyo gb 1akiri ya mpira ana anajuwa majungu ana anachokijuwa wachezaji wa mchongo unataka ubingwa wa wapi ndiyo maana wenye akiri timam warikuweka rokap usije kureta maafa uwanjani

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 3 หลายเดือนก่อน

    Alafu mchome mwangalieni vizuri yule shabiki mandazi ndio mchawi wa wachezaji simba bwege yule mchawi mkubwa sijuhi kwa nini mnaruhusu Avae hile jezi mchawi wa simba wa kwanza mchome

  • @HamzaMduda
    @HamzaMduda 3 หลายเดือนก่อน

    Wachezaji tunawaacha krabu bingwa na shilikisho ambao tumewaona awa wote ware ware

  • @JafariKanju
    @JafariKanju 3 หลายเดือนก่อน

    Mawazo mgando

  • @AndreaAliseni
    @AndreaAliseni 3 หลายเดือนก่อน

    Gb uxhapewa ela ili uwe chawa

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 3 หลายเดือนก่อน

    Unasemaje mwenzio mchawi kama wewe siyo mchawi alijaribu kuloga akashindwa ndiyo maana anahangaika sana makolo mtateseka sana

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi 3 หลายเดือนก่อน

    Kwann wanachukua wa chezaji we2 tulio waacha? Kuna ki2 ndan yake

  • @iddally1021
    @iddally1021 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe Gb wewe sasa kama sio wabovu mmeawaacha kwanini, nabunasema mmestuka why usifanye mpango hiyo misumari wanayo pigwa wasipigwe tenaaaa!!

  • @AndreaAliseni
    @AndreaAliseni 3 หลายเดือนก่อน

    GB muongo uxhapewa sukari ili uchawa viongoz

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe tumia muda huu kufurahi, karibu furaha yako itatamatishwa ligi ikianza😂😂😂 We zobo kweli!

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 3 หลายเดือนก่อน

    Subili Ligi ainze usije kana hiii clip yako. Ogopa Mungu na Technologia

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 หลายเดือนก่อน

    Baleke Kwa mkopo

  • @RashidSaid-v8n
    @RashidSaid-v8n 3 หลายเดือนก่อน

    Ukosawabroo matola shobo

  • @eugeniuslugangira7899
    @eugeniuslugangira7899 3 หลายเดือนก่อน

    Kwani mchezaji akiwa MVP ni kwamba anaweza kuwa bora kwenye kila falsafa?
    Kuropoka kumbe nacho kipaji.

    • @ReylaSele
      @ReylaSele 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe bwege ujui kitu kweeendraaaa

    • @RashidKaoneka-bj8mm
      @RashidKaoneka-bj8mm 3 หลายเดือนก่อน

      Asaivi ni wachawi ligi ikianza wananunua mechi

  • @barakajamalis776
    @barakajamalis776 3 หลายเดือนก่อน

    Kamati ya ufundi,iwe makin

  • @OmaryAllykumba
    @OmaryAllykumba 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂 NSSF. fc

  • @HamzaMduda
    @HamzaMduda 3 หลายเดือนก่อน

    Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana