Kaka GB64 Maisha marefu mungu azidi kukupa nguvu 💪 Hongera Sana kwa kulitambua hilo uchawi upo bro..ONANA yule kwel siku ya Simba day kafunga mbele ya mama samia bonge la goal..😢😢 Yanga wachawi sana. Ila kwa kuwa hilo mumelitambua jambo lakheriiii sana.. ✍️ Mabetu &Co
Ata miraji Alishaongea kuwa kuna vitu wachezaji wanafanyiwa sasa ongeeni na kiongozi wetu Ajue cha kufanya wasije wakawa kama Aubini kramo kaja huku wamemzimisha
nyinyi wandishi amna kazi mnawaoji mpaka warevi uyo gb 1akiri ya mpira ana anajuwa majungu ana anachokijuwa wachezaji wa mchongo unataka ubingwa wa wapi ndiyo maana wenye akiri timam warikuweka rokap usije kureta maafa uwanjani
Alafu mchome mwangalieni vizuri yule shabiki mandazi ndio mchawi wa wachezaji simba bwege yule mchawi mkubwa sijuhi kwa nini mnaruhusu Avae hile jezi mchawi wa simba wa kwanza mchome
Wazindikwe wachezaji na moo Alena ikazindikwe visomo viwe vingi bro SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤
Kaka GB64 Maisha marefu mungu azidi kukupa nguvu 💪
Hongera Sana kwa kulitambua hilo uchawi upo bro..ONANA yule kwel siku ya Simba day kafunga mbele ya mama samia bonge la goal..😢😢 Yanga wachawi sana. Ila kwa kuwa hilo mumelitambua jambo lakheriiii sana..
✍️ Mabetu &Co
Safi sana gb64 matola atuache
Gb Leo sio uongozi Tena imekuwa misumali Tena mbona ulikuwa unalia na uongozi
Tatizo yanga mnaimandi sana sima
Wanasimba matola naye wanini kama kocha kaja na benchi lote la ufundi tunaomba aondoke,
GB64 naomba tuongee nje ya mtandao umeongea vtu muhimu Nina la kukupa
Ni kweli kabisa G64 uko sahihi
GB nakukubali sana
Kabda ya rigi kuanza wafanyiwe kisomo,,mapema sana,,na watuzwe na wale wanaofua JEZI za wachezaji watolewe nao wanatumika
Anakunja uso kama anavuta bangi utawakataa hawa ligi ikianza
Nakuona bado upo unalia lia tu
Number 9 timu ya taifa uganda 🇺🇬 mukwala GB anaunguluma
MH! KAZI IPO......FIKRA ZA KITUMWA
Waache waendelee kutuita makoro .Ila hawajui .wamuulize Haji manara maanayake Sisi wajombazao ak.a mama zako tunawalea
😊😊NSSF FC
Simba hatuna ushamba kama yanga
Sisitiza sana Hili la dua
Kaka sema,wachezaji wa simba,wanafaniwa ushenz
Kikokotoo FC
Nilikua nakuamini sana lakini leo nimekuona chizi.karoge wewe tuone kama timu itakuwa mzuli
Uto walozi fc,
Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana
😅😅😅😅mtu bad tunakukubali brother
Ata miraji Alishaongea kuwa kuna vitu wachezaji wanafanyiwa sasa ongeeni na kiongozi wetu Ajue cha kufanya wasije wakawa kama Aubini kramo kaja huku wamemzimisha
nyinyi wandishi amna kazi mnawaoji mpaka warevi uyo gb 1akiri ya mpira ana anajuwa majungu ana anachokijuwa wachezaji wa mchongo unataka ubingwa wa wapi ndiyo maana wenye akiri timam warikuweka rokap usije kureta maafa uwanjani
Alafu mchome mwangalieni vizuri yule shabiki mandazi ndio mchawi wa wachezaji simba bwege yule mchawi mkubwa sijuhi kwa nini mnaruhusu Avae hile jezi mchawi wa simba wa kwanza mchome
Wachezaji tunawaacha krabu bingwa na shilikisho ambao tumewaona awa wote ware ware
Mawazo mgando
Gb uxhapewa ela ili uwe chawa
Unasemaje mwenzio mchawi kama wewe siyo mchawi alijaribu kuloga akashindwa ndiyo maana anahangaika sana makolo mtateseka sana
Kwann wanachukua wa chezaji we2 tulio waacha? Kuna ki2 ndan yake
Wewe Gb wewe sasa kama sio wabovu mmeawaacha kwanini, nabunasema mmestuka why usifanye mpango hiyo misumari wanayo pigwa wasipigwe tenaaaa!!
GB muongo uxhapewa sukari ili uchawa viongoz
Wewe tumia muda huu kufurahi, karibu furaha yako itatamatishwa ligi ikianza😂😂😂 We zobo kweli!
Subili Ligi ainze usije kana hiii clip yako. Ogopa Mungu na Technologia
Baleke Kwa mkopo
Ukosawabroo matola shobo
Kwani mchezaji akiwa MVP ni kwamba anaweza kuwa bora kwenye kila falsafa?
Kuropoka kumbe nacho kipaji.
Wewe bwege ujui kitu kweeendraaaa
Asaivi ni wachawi ligi ikianza wananunua mechi
Kamati ya ufundi,iwe makin
😂😂 NSSF. fc
Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana