Billnas kaka yng una aibu sana jmn Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu Anachezea cm si dharau ni aibu huyo
Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,
Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana
Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore
Nandy anampenda sana bill😍😍
Saaaanaa
Nandy unampenda sana bill😘😘😘true love
Mpaka huluma
Sana inaonesha
Daaah! Sana
Katoto laini ona kanavyo mwangalia najicho la mahaba Nenga ana faidi nyie
Hahaha
Nandy ndio anaependa sana nenga hamna kitu
Mnao juwa kumsoma mtu macho NANDY aisee inaonesha anavyo Mapenzi makubwa kwa BILLNASS.
Hahaaaa kwa luge alifta nini..😂...kama bado anapenda?
Umeona eee!nawapenda sn sn jmn waoane 2 jmn.
Yan uyu bilnas ata ayuko romantic kwa mwenzie Yan Nandy kanajitahidi kumregezea jicho ye amekazaa
😂😂😂
MashaAllah!! Nafurai kuwaona hivi. Fanyeni muowane sasa. ❤❤
Nand anampenda sana mpaka namuonea uluma
YAANI HUYU NANDI ANAMPENDA MTU MPAKA ANARINGA
Cha ajabu jamaa Hana hata habari nae dahh ..haya mambo painfull sana
😂😂😂🙌
❤😂😂nimecheka
Nawapenda Sana napenda niwaone mkiwa hivyo mnapendeza Sana mungu awabariki mfike mbali
Hakuna mapenzi hapo
I really apreaciate dis couple❤❤❤❤💯💯
Mapenzi ya upande mmoja magumu sana. Ngoja kwanza Nandy apate experience
😀😀😀lakini ww
Billnass anamapoz ya kishamba
Nandy anampenda billnass sana...
hii story isijekuw kama jux na vee😂😂
Wamekamilisha
Mmejua kunifurahisha sana Nandy na mangi Mungua awatangulie mfunge ndoa.
Nandi uyo bwana anadharau achana nae acha kubebelea mizigo ya ovyo kiukweli uyo bwana hakupendi acha kujibembeleza mh!
Yaani kuonekana pamoja tuh ni biashara.... hearth is hard
OMB. 3:22 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.
Billnas kaka yng una aibu sana jmn
Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu
Anachezea cm si dharau ni aibu huyo
Hawo hawana cha maojiano ni umbea tu. Na billnenga ndie anaewaweza. Media za bongo wanasubiri uteleze tu ndio utakiona🤣🤣🤣
Bilinasi hana mapenzi yaukweli wanawake hua twamizwa kilasiku
Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,
Ndio washaoana na mtoto tayari
Nandy loves this guy truly sio yakufake hataaa
Nandy anampenda Sana huku Kaka hata kwa macho anaonekana Ila huyu Kaka sasa
Wanawake wanajua sana kupretend
Yani wasani wa tz ndo maana awatofika popote sasa wewe unaojiwa unajifanya uko busy na simu kweli, hizo nikuonyesha zarau kwa waandishi wa abari
Sio dharau ana asili ya aibu kwa hiyo hapo anazuga kucheki camera hataki😂😂
Wewe waona mna mwaswali ya maana hapo isipokuwa Umbea. Waandishi na media za Bongo watakahivyo coz wanasubiri uteleze tu wapate ya kuongezea.
@@tunuyaomar5017 kabisaaaa na apendi maswali ya kimbea.🤣🤣🤣
Si bora wasaniiiiiiii huwa nasikia kuwachapa viboko wana siasa wa chama fulani yaani hata kwenye mikutano ya maana wako busy na simu NONSENSE
Sasa kama maswali yenyewe ndo haya ataachaje kuwa bize na mambo yake
Neenga!!!! mwanang sanaaa🔥🔥🔥
Baada yandoa Niko hapa nawakubali sana Nenga n Bill
Ila Nandy anampenda saana billnass yaani anavomuangalia tu unaona mtoto kafa kaoza Mungu aendelee kuwasimamia
Mwanaume yuko busy na nacm utafkiri wakala mxiiiiiiiiu
huyu nae cm utasema kajua cm leo loooh
Dah penzi lenu linsnikosha sanaaaa Nandy Big up💪❣️
Nawapenda sana hawa jamaa coz wanapendana sana mpaka najiskia raha sana nawaombea kwa mungu awape upendo wa dhat na baraka tele Inshaallah.
Nandy ni taperi wa kwaza tazania jamani uyo dada ni taperi sana
Kiufupi nand na neng Ni Kam mapacha iv wamefanan fulan iv mung awalinde jamn
Tatizo waandishi wa habar mnapoa sana,tabia ya kung'ang'ania kitu uliza maswali ya msingi yanayohusu mada iliyoletwa
Nafurahi sana kuwaona tena❤️
Bilnas hana comfidance kabisa.
Why are you guys blaming billnas being on phone...maybe he has interview phobia...nit everyoneikes interviews!!
Nenga ila next usishike simu unapokua unahojiwa sio poa..bora ukatae interview next time if ur busy
Media za bongo zinataka mtu kama billnenga. Hapo amna mwaswali ya maana zaidi ya Umbea.
Nadhani yuko shy ☺️ sana
Nandy nakuona vile tu unaiangalia sema you guys are inlove😁😂
Yaaniie huwa nawashangaa sana watu wa kwetu 7naulizwa maswali lkn hujibu inavotakiwa sababu ni nini lkn muda wote huo munapotezewa watu bando tuu
Mapenzi Adimu. From MuseziTv 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
I love both of them 🥰🥰
Being in an interview and you're busy on phone is total disrespect
For real… very very stupid
Unprofessional kabisa
Pia Mimi sipendi simu qwani inahama akimuacha atawahi pata Kama Nandy
I second you broo
True definition of he fell first but she fell harder😆
Nandy unapenda hakuna ati unaitwa huyu dada vua viatu
ila nandy na nenga pumbaaaaaafu saaaana ,,,
yan mnang'ang'amuana afu mnajdai mmeachana
Wananyanduana na condom au ?
Jamn me naipenda hii couple more than love all
nenga unakaa kinyongee sana
Sidhani kama hapa kuna mahusiano
Jmaa anakilk sana broo nakukubal ata kujibu kwako nakukubal sana nandy anakufaaa msela
The lady loves the man more than the man does
Yes but i think her parents are too negative towards their relationship, which is very discouraging for a man.
@@alicekisanga8004 yeah that's
So what!!!
Yes true nandy amependa sana
Nandys parents are negative towards bilnass kisa na maana kipato cha Nandy kipo juu
Nenga hua ana akiri sana
Waandishi mnaharibu muziki, mnakamia mahusiano akati kilichowaleta ni muziki🙌🙌
Mnaendana sana🔥
Billnas, unajina kubwa sana.. una jina la Nyota.. yaan mida hii ulitakiwa uwe juu sanaaa
Natamani siku moja kuona mmefunga ndoa.
Wamefunga ndoa
wanakumbushia 😂😂😂
Let's not ignore Billnass rudeness???
Wote wamekutana mmoja ana mtoto mwingine ana Popo mwenye makampuni yake bongo
The guy yuko busy na cm ad anaboa😏
Wabongo wanapenda sana umbea na wengine kuharibikiwa, aina ya maswali ya so called waandishi wsnauliza
What a love 💕
WANAKAA VZURI SANA👏👏👏👏👏
Nenga ana aibu jmn
Nawapenda jamn
Mpenzi ayafichiki hongera nandi
Oya aiseee the africa prince
there is a disconnect btwn nenga n nandy
Upo sahihi, though people can't see that.
Hayo ni mawazo yako aise. Wapo poa tena sana
@@phinaswai4718 Upo sahihi na wewe pia. Some see that way.
Yess hata mm naona hapa kila mtu ana hamsini zake ..Ni kama yale ya vee na jux kuambiana wasiexpose mambo nje ila mwisho wa siku
Nenga kama nenga jaza mimba mtoto huyo isje ikawa kama yule ... Wa vanesa..baadae unatoa nyimbo watu washakula
Nandy i love you
Nice🙏🙏🙏✍️✍️
Billnass umekuja kwa interview but haupo serious upo busy na simu acha uboya hapo umebebwa tu na NANDY.acha upuuzi aisee bill
Mfuyyeee wewe vipiii
Nandy shoga yangu apo huna bwanaaa apok
Nawapenda muwe wote jmn acheni hizi breck up😠😠😠
This lady eeeish maringo!!!! Ppppthoooo
Nenga amejibu nje ya swali
Ila wapare jmn wanajua kupenda hawajui kuacha wakishapenda na wivu juuu kwa sanaa
Wakwendreeeee huko.
Saaanaaaa
Nenga unampenda nandy kwel? Mbona haupo comfortable kuwa karbu nae
Sasa hiyo cm ya Nini?
Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana
Hawa wakimaliza interview wanaenda kugombana....kicheko Cha kinafki...
We unajuaje jomba? Au ww ni house girl wao
@Rich worlwidew1 we jamaa wewe😂
Nimecheka kizembe
@@tausifautini407 mm mwenywe nimecheka
Nandy unapenda over limit mwanaume hana mdaa yani ukitazama tu unajua hakupendi
Kamuoa mtu asiempenda???
💓💓💓😘
best couple in town
❤you biiin
Hivi mnao andika kingereza mna Nini lakin hamjuh kiswahili au nawependa nyote
Ukiringa Alafu Hauna kitu Unaonekana Kama Lijinga😅
Interview ya kipuuzi kweli
Billi anapiga tu apa ana mda na uyo malaya anajipendekeza tu nandy
Wewwwww nandy
Nenga umejibu swali kisiasa sana adi nandy kapoaa
Nani alisema nenga hawezi
hawa wanachanaka nakurudiana kilasiku daah 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Wameshaoana tayari
busy na simu kwani huwezi kwanza kuacha
Nandy deserves a man who respects her..billnass doesn't seem to respect her
I think we are on the same page. Will end up separating like venessa and jux.
Ata amemwita Huyu alikua South Africa
Nyie watu mnajaji watu sana!!!MNAWAJUA???
unafki mbaya daah wanapendna wte sna snaa
Haya wamefunga na ndoa kabisa, nyie mnao wajua sanaaaa imekuaje??
Huyu bill as anajifanya, nandy atafute mwanaume wa hadhi yake
Bill Nas anaaibu sanàa
Nandy anatuaibisha wapare😂 Emb Afate njia ya dada V😍
Nandy kampenda sana Billnass kwo hawezi kumuacha hata iweje 😂😂😂
Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore
Hawa jamaa wanaendana xna na mapenzi yao yakisekondary hahaaaa
Nawakubali Sana ficheni Mambo yenu
Uhum