Aslkm Wana comnments.huyu Dada nikivyomfahamu mie kuwa anashtua wenziwe wasiingie kwenye mtego aloingia wewe mitihani aloyomkutta sasa kwanini mna comments mambo sio mazuri kwake dada mzuri tuuuu ana heshima zake kachukuwa hatua hiiii ili kuwanusuru wenziwe wasiinende huko ikiwa Kwa maudhuo hayo anatowa tahadhari waxiiiii na anajitolea Kwa kweliiiii ili kukuoneni onyo yaliyopooo huko .yaani wenziwe wawe na hadhari .Kwa kwelii haifai ..tumuogope Alllah.wewe sio wa huku .Alllah ndio hakimu.wachenonhaya mambo kutusi watu kitu hamkijui.dada mwanaharusi Yuko sawa sana.shukran sana mwanaharusi Kwa taarifa Alllah atakuhifadhi sana Kwa kweli unetusaidia sana sanaaa Allah atatufanyia wepesi Amin muhimu uko salama umerud nyumbani Salama .❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyo anatoa onyo baada ya tangazo lilitolewa la kutafuta wasanii Oman ndy huyo katuma bonge la voice kuelezea km huyo Jokha hafai msikubali kwenda lkn wa Bongo tulivyowabishi tunamuonea muongo wakati jambo la kweli kabisa
Mimi nipo Oman huu mwaka wa 14 sijaona kukatiliwa hawa watu wanakuja kujiuza vipi atembee na kaptula na singlendi hapa sio nchi ya kudanga watakulia temingi cku moja utaingia tu kwenye 18 zao🎉
Unashangaa watu wazima na familia zetu Nikufanya Ibada sasa Hampendezi hayo mnayo yafanya hamuogopi hata Mungu Mnaitia aibu Tanzania Mnaleta chuki Tz na omn Kuweni wastarabu Ikiwa wewe mama upo ivyo mtt atakuwaje Allhau Akbar
Hata mie nilikuw nataka nisem nchi zakiarabu waje waimbe kweli wapuuz san wallah wasituhatibie huku oman hakun shida tunapata kujenga kuzur tuy na wallaniw kabsa
Watangazaji mnaboa. Kichwa cha habari ni tofauti na mazungumzo. Mnapenda kuchafua watu. Yani km vile huyo mdada alipata mateso. Kumbe sio kweli. Na kwa umri wake huyu mdada sio wa kwenda kuimba mwezi wa ramadhani kuacha kufunga. Na kuacha kutulia kwake akampikia mumewe na wanawe ftari. Anaenda kuhangaika na ya dunia.
Mbona stori ndefu mengine hata hayana maana inachosha. Mtangazaji huna sifa mpe muongozo aelezee point. Hiyo alifu leila U leila yote hayana maana fanya ufupisho eleze points. Eti nilijaza form ya ppt, nikasubiri nikaenda kuichukua yooote yanini. Nyie wa habari hamjitambui na hao mnaowahoji hawana moja Awewa na Ali Omari.
Ndiyo muache laana hizo mtulie. Eti vunjajungu. Wenzenu tunafanyakaziza ndani za halali mambo yanaenda nyiemmezoe kukata mauno amunaaibu mpokama wanyama pesaza haram mnakula. Mmpate uwoukimwimtatulia mkome
❤uko sawa sana sanaaa unetusaidia Sana ❤Allah atakusitiri..ni funzo kubwaaa sana.
Aslkm Wana comnments.huyu Dada nikivyomfahamu mie kuwa anashtua wenziwe wasiingie kwenye mtego aloingia wewe mitihani aloyomkutta sasa kwanini mna comments mambo sio mazuri kwake dada mzuri tuuuu ana heshima zake kachukuwa hatua hiiii ili kuwanusuru wenziwe wasiinende huko ikiwa Kwa maudhuo hayo anatowa tahadhari waxiiiii na anajitolea Kwa kweliiiii ili kukuoneni onyo yaliyopooo huko .yaani wenziwe wawe na hadhari .Kwa kwelii haifai ..tumuogope Alllah.wewe sio wa huku .Alllah ndio hakimu.wachenonhaya mambo kutusi watu kitu hamkijui.dada mwanaharusi Yuko sawa sana.shukran sana mwanaharusi Kwa taarifa Alllah atakuhifadhi sana Kwa kweli unetusaidia sana sanaaa Allah atatufanyia wepesi Amin muhimu uko salama umerud nyumbani Salama .❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyo anatoa onyo baada ya tangazo lilitolewa la kutafuta wasanii Oman ndy huyo katuma bonge la voice kuelezea km huyo Jokha hafai msikubali kwenda lkn wa Bongo tulivyowabishi tunamuonea muongo wakati jambo la kweli kabisa
Hao wanaocomment ujinga hawajasikiliza hata video inahusu nini
Mimi nipo Oman huu mwaka wa 14 sijaona kukatiliwa hawa watu wanakuja kujiuza vipi atembee na kaptula na singlendi hapa sio nchi ya kudanga watakulia temingi cku moja utaingia tu kwenye 18 zao🎉
Umeonaee wapumbavu kwanza oman kuna sheria zake
Kama wewe hayajakukuta usijaribu kuita wenzako waongo sio siri hata watu wengi wananyanyasika sana kwenye hizo nchi za waarabu
Unashangaa watu wazima na familia zetu
Nikufanya Ibada sasa
Hampendezi hayo mnayo yafanya hamuogopi hata Mungu
Mnaitia aibu Tanzania
Mnaleta chuki Tz na omn
Kuweni wastarabu
Ikiwa wewe mama upo ivyo mtt atakuwaje
Allhau Akbar
Ckiza vzr ndo utoe hukumu maana hakuja kwa nia unayosema ww
Rudi nyumbani pesa haina mwisho ,miaka yote hiyo au wamakuloga na miguu ishakufa ganzi😂
Hyu alienda kujiuza wakikamtwa wanajifanya wananyanyaswa😅
Msiseme watu vibaya...watu wanaojiuza wapo lkn sio Huyo na huy Joha kweli n mshenzi jaman
Yes ndio hivyo halafu wakishashikwa wanaanza kujitetea
Sasa hapo kuna ukatili gani jamani? Amejikatili mwenye, kwenda kufanya ya dunia mwezi wa ramadhini.
Laana Tullah Nyie Washenzi wakubwa mutapata laana hapa hapa Duniani Inshallah
Hata mie nilikuw nataka nisem nchi zakiarabu waje waimbe kweli wapuuz san wallah wasituhatibie huku oman hakun shida tunapata kujenga kuzur tuy na wallaniw kabsa
@@omanoman2044jaman tangu enz za melody walikuwa wanaenda oman kuimba ht band pia zilikuwa zinaenda oman kupiga muziki
Wewe mama mtu mzima sema kweli tu mziki gani unawapeleka huko
Bi kidude alikua kijana au bi khadija kopa ni kijana wewe vipi?
Ebu akwende uko mie nipo oman mwaka wa 7 hakuna vitendo vyvyte vya kikatili km alikuja kwa yk 😅
🎉nifanyie bc mpango nije nifany kaz huko dear Hali ngumu
Halafu mnaposema mnanyanyasika kwenye nchi za watu mseme ukweli usichafue nchi za watu
Watangazaji mnaboa. Kichwa cha habari ni tofauti na mazungumzo. Mnapenda kuchafua watu. Yani km vile huyo mdada alipata mateso. Kumbe sio kweli. Na kwa umri wake huyu mdada sio wa kwenda kuimba mwezi wa ramadhani kuacha kufunga. Na kuacha kutulia kwake akampikia mumewe na wanawe ftari. Anaenda kuhangaika na ya dunia.
Hatari
Sikiliza hadi mwisho part 1 na part 2 usikurupuke kucomment
Tulia ww alikwambia kafanya show Ramadhan au alienda huo mwezi ? Mtu kawekwa jela unasema hajapata shida ulitaka arudi kilema ndy ujue katapa shida😂😂
@@OfficialA83640 shangaa na wewe
@@OfficialA83640walimweka jela bila sababu?
Hizo nikab mnazivunjia hishma zake. Hazivaliwi na waimbaji
Kujiuza tu kufanya kazi aaahaaa😂😂😂😂😂😂😊
Pole sana mami yule mama nijambazi sana anajulikana uko oman
Mbona stori ndefu mengine hata hayana maana inachosha. Mtangazaji huna sifa mpe muongozo aelezee point. Hiyo alifu leila U leila yote hayana maana fanya ufupisho eleze points. Eti nilijaza form ya ppt, nikasubiri nikaenda kuichukua yooote yanini. Nyie wa habari hamjitambui na hao mnaowahoji hawana moja Awewa na Ali Omari.
Kwanza wakome kuchafuwa nchi za watu amyjaitwa uku
Hizi kelele ndio maana nchi zinafungiwa
Yani wanamuziki maisha yao yamezungukwa naushetani
Huo ni mtihani kwa ajili ya ramadhani Allah hajapenda pigo hilo
Weee muislam kwaiyo ilikua hufungi myihan huu jaman
Hatali sana lakini salama
Allha atakulipia jasho lako shoga angu najua jinsi gani umeteseka
Kumbe we ndio MWANAHARUSI habari zako nnazo umekuwa MTU mzima sasa ila nilikuwa nakubali Sana KAZI zako
Aya acha nikae kitako nimsikilize huyu mama
Kuuliza tu oman iko pande zipi,ulaya ama arabuni?
Arabuni
@@najmaabdalla5530 ok thanks
Vunja jungu mwezi wa Ramadhani karibu na Eid, Oman 😮😮uhuni na kuambukizana ukimwi aaahhh. Mtihani mkubwa na ushungi huo mbona haijapendeza jamani ?
Vunja junguna waislam wapi nawapi achane ushetani
Mziki sio kazi acheni ulanifu
Joha akuwahi kuwachukua bali yeye alikuwa anatoa viza za watu
Yaani waislam ni watumwa wa fikra kwa waarabu yaani yaani hamtaki mwarabu akosolewe hata kama anafanya uovu
Huyu muongo tu malaya tu
Oman nimekaa ila nikirudi kutoka dubai nitakutafuta mtangazaji
Nchi yakislam oman ila vitendo vya kifarauni kuigiza wananuziki
Huyu sio binti ni mama mtu mzima nyie Gen Z
Km kuna mtu alisiliza mapita mzee sele alisema kuna watzania wanatafutwa warud kwao kwa tabia zao miogoni mwao ni hawa
Oman kunaufirauni wachini chini
Tena huku kuna ushenzi ht shetani anausubili.
Meisha mjua ni utapeli mnafata wa nn
Kumbe wanamuziki mnapewa kipao mbele mashetani kwa mashetani
Aache uzushi huyo kakutana na wahuni kwenye ma club na muache njaa zenu kujipeleka kuuza ngozi
Kumbe mnaenda oman kudanga
Utuambie.juha nani .. usi0otaja unawaalibia watu majinayao kunamajoha wengi huku oman
Hata ivo saf san na limekab lako yan unafungua swaum inaend kufungua na laaan bado mpak maji muite may
Upande wa pili Huyu dada kajichanganya
Kujifunika ninja kumbe mnaficha uhuni
MANGE ALISEMA NJAA MBAYA HIYO YOTE NJAAA
We hujui Kama njaa Inavunja sheria
Kumbe mnapangwa mpaka kujibu looh rushwa tupu
Nyinyi siwakula niwakufa tu kwaulanifu wenu
Eti vunja jungu😂😂😂😂😂
We dada nje kuzuri nishaishi mia nane ila kazi utayoifanya je halali kwa government na dini yako pia?hicho tu ndo kinatufelisha.
🥺🥺😏😏😏
Njaa iliwaponza mkome
Nyooo malaya wamoja nyie
Mashetani kwa mashetani mlikutana
Muache ushetani waislam jokha acha ufirauni wakuuza watu nakuigiza wanamuziki
Ndiyo muache laana hizo mtulie. Eti vunjajungu. Wenzenu tunafanyakaziza ndani za halali mambo yanaenda nyiemmezoe kukata mauno amunaaibu mpokama wanyama pesaza haram mnakula. Mmpate uwoukimwimtatulia mkome
Band zote naenda sijawaona wakiwepo
Kwa hiyo?
Story yote ulanifu mtupu
Uso mbaya chungu
Dada umetumwa? naona umeshupaa kutukana watu humu
@@barbiepixie92 wewe je umetumwa naona umejibu dozi imekuigia.utajiju hilooo
@@barbiepixie92 ukiona umejibu ujuwe limekuchoma nyooo
Acheni ulanifu mkumbuke kifo tu
jokha yupi wa maabela au jokha yupi
Ata mm najifikiria sana
nitumie namba yako
Sio bi Jokha wa Mabellah huyo firaun mwingine muhuni tu
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nmecheka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwanini wanaita watu ikiwa hawwjajipanga?😮
😂😂😂😂😂😂
Joha akuwahi kuwachukua bali yeye alikuwa anatoa viza za watu
Machizi mpo wengi Wallah unamjua vizuri huyo Jokha au maana msiseme Bi Jokha ajent wa Ubalozini sio huyo wa Mabella 😂
Nchi yakislam oman ila vitendo vya kifarauni kuigiza wananuziki
Kujifunika ninja kumbe mnaficha uhuni