Kumbe ndiye huyu jamaa ATOE MSAADA KWA WATOTO YATIMA SIYO KUJITAPA HAYA NI MAISHA HELP ME TODAY FADHILA NI KWA MUNGU AKITEMBELEA YATIMA NA KUWA SAIDIA ATA TAMANI KU UZA KILAKI2 ILI WANYONGE WAFURAHI NA KUMUOMBEA HUKO BAA HAPANA FADHILA YEYOTE BHALI KUONGEZA ZAMBI PEKEE
@@OnesmoEphrata unajuaje kama hatoi wewe kiazi??masikini bana..hela za watu unaanza kuzipangia matumizi..hao wanatoa wanasaidia masikini kila siku,ukiona mtu ana hela piga kimya katafute zako,ache mentality za kimasikini ukiona mtu ana hela mnaanza ooh akasaidie watu who told you hasaidii watu?
Mzee mungu akupe maisha marefu pia akuepushe na husuda za walimwengu bado tunakuhitaji sana,ikikupendeza ndoto yangu kubwa ni kupata fursa japo ya kukuona lakini hadi sasa ni miaka kumi imefika but sikati tamaa naimani ipo siku nitafanikiwa kukuona panapo majariwa mzee wangu.
Saidi lugumi tupo nae kijiji kimoja wilaya ya magu mwanza... haijalishi mali itakuja ktk njia ipi kikubwa ni kupambana bila kuchoka huwezi jua ipi itakua sabb ya kutoboa😢 kila mt ana siri ya mafanikio yake ambayo kamwe hawezi kuitoa kwa yeyote... kikubwa ni mapambano kama ni bahati au mengineyo yatakuja huko mbele kwa mbele
Huyu lugumi aliwah kua na scendo,juu ya mkataba na jeshi la police kununua fingerprints machine na 2016 aliripotiwa ametoroka nchini baada ya issue kupigiwa kelele sana bungeni,.
Ukiangalia vizur utajifunza kitu wanataka kutumia mamaa kufanya mambo yao ya ujinga kwenye mazungumzo yao wanamtaja bi mkubwa mwisho wasiku inaletaga shida
Nashangaa harmonize anayelinga za range Rover wakati bakhresa Lori likiharibika kipuli kinaaagizwa ulaya ,Bora uyo kamuonyesha Kuna watu wanazo pesa na wapo.kimya Kimya kingi kina mshindo mkuu
Shizo ni chuki zisizo na sababu. Kwa hiy kila mtu akiwa tajiri bac *"kuna siri nzito mno nyuma ya utajiri wake"* furahia mafanikio ya wenzako yakupe challange utafute yako sio unaanza kutafuta kasoroo mbavuu zakoo
Tanzania chini ya ccm ni shamba la Bibi ukipata Chance unajipigia Hela za walipa Kodi,lugumi alipata tenda ya kufunga vifaa vya ukaguzi vituo vyote vya police bilioni 137,akafunga machine nane
Mapambo yw dunia aw sio, unfortunately wote hatutofika 2070 tuishi kwa kiasi. Be proud in touching the lives of many less fortunate.....Bakhresa ana gar kma hizo na hawez fanya show off ju once u understand the wisdom of life, u keep t humble
@@mainaimma1114 kiingereza ni lugha tu jomba kila mtu anamiliki, au ulitaka kuelezea nn mkuu. Kuhusu kuwa pesa Iko hapa hapa dunian Kuna njia nying halali na haramu za kutafuta na wote tunazijua ni suala la maamuz tu, haipaswi kujidharau aw kumdharau au kumtukuza mtu yeyote wote tuko kwa jili ya plan za Mungu
Sio lazima kila mtu na jins alivo,, mjuu wa bakheresa #zayed bakhresa ana show off,,, week ilopita alipost yupo na huyu huyu Lugumi🙏 , in case mwache km ana kosea atamalizana na MUNGU
Huyu sio p.didy wa bongooo jamaniiii vijana wataanza kwenda kwake kuangalia movie yuko bongooo hiii hiii au marekaniiii magariiii yanapigwa A/c tu baridi vijana wanapigwa na jua kali linachomaaa
Watu wenye pesa hawana matumbo makubwa a.k.a vitambi wala hawana minyama nyama, ukiona mtu ananenepeana kisa anavisent ujue akili yake ni ndogo haiwaz makubwa 😅😅😅
HAHA HII DUNIA KUNA MTU ATAJIFANYA KAMA ANAKUONYESHA KITU KIRAFIKI VILE KUMBE ANAKUKEBEI KUWA KIJANA UNAVOPIGA KELELE JUA KWAMBA KUNA WATU TUNAVYO ZAIDI YAKO FATILIA VIDEO HII JINSI LUGUMI ANAVOMUITA NA KUMVUTA DOGO GODY AKAJIONEE MIKEBE ILIVONUNA PARKING😂😂
Kama unaamini sky in the best presenter in East Africa likee ziwe za kutosha
Hana mpinzani 🙌
Mkali sijaona
Heee utaatuuwaa baba ,kwa hayoo magar tusameehe baba tumekosaa 🙌🙌🙌🙌
Lungumi namkumbuka sana nyumba zake zilipigwa mnada ila akamset Doct shika akaalibu mnada yule wa mia tisa itapendeza 😂😂 jamaa nilimkubali
Kumbe ndiye huyu jamaa ATOE MSAADA KWA WATOTO YATIMA SIYO KUJITAPA HAYA NI MAISHA HELP ME TODAY FADHILA NI KWA MUNGU AKITEMBELEA YATIMA NA KUWA SAIDIA ATA TAMANI KU UZA KILAKI2 ILI WANYONGE WAFURAHI NA KUMUOMBEA HUKO BAA HAPANA FADHILA YEYOTE BHALI KUONGEZA ZAMBI PEKEE
@@OnesmoEphrata kutoa ama kusaidia ni moyo na sio utajiri. Not all rich people like to give.
@@OnesmoEphrata unajuaje kama hatoi wewe kiazi??masikini bana..hela za watu unaanza kuzipangia matumizi..hao wanatoa wanasaidia masikini kila siku,ukiona mtu ana hela piga kimya katafute zako,ache mentality za kimasikini ukiona mtu ana hela mnaanza ooh akasaidie watu who told you hasaidii watu?
Kesho..Mwijaku na BabaLevo na viherehere vyao wataanza kumsumbua😂😂
sky Your The Best
Fisadi lugumi kula maisha baba
Mwijaku asimuone huyu😂
😂😂😂😂😂
😅😅
😂😂😂😂😂
Pow hamna noma asee
Kajala asimuone huyu baba😂
Na akimuona amekwisha etii😂😂
Said Lugumi Mungu akuepushe na UTI. Ila Mi naomba niazime million 3 nikanunue boda ntakurudishia kidogo kidogo
Braza saidi hongera huna baya mzee wangu
Mzee mungu akupe maisha marefu pia akuepushe na husuda za walimwengu bado tunakuhitaji sana,ikikupendeza ndoto yangu kubwa ni kupata fursa japo ya kukuona lakini hadi sasa ni miaka kumi imefika but sikati tamaa naimani ipo siku nitafanikiwa kukuona panapo majariwa mzee wangu.
😂😂ach uchawa wa mtandaon hatakuona nenda nyumban kwakwe
Saidia yatima baba siyo kujikosha kwa wenye nazo haya ni maisha kaka
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Saidi lugumi tupo nae kijiji kimoja wilaya ya magu mwanza... haijalishi mali itakuja ktk njia ipi kikubwa ni kupambana bila kuchoka huwezi jua ipi itakua sabb ya kutoboa😢 kila mt ana siri ya mafanikio yake ambayo kamwe hawezi kuitoa kwa yeyote... kikubwa ni mapambano kama ni bahati au mengineyo yatakuja huko mbele kwa mbele
Lugumi 🙌
Huyu lugumi aliwah kua na scendo,juu ya mkataba na jeshi la police kununua fingerprints machine na 2016 aliripotiwa ametoroka nchini baada ya issue kupigiwa kelele sana bungeni,.
Mia tisa itapendeza si ndo huyu nyumba zake zilipigwa mnada😂
Ndio uyu
Ilikuwa mambo ya kuwapambaza watu tu
Daaah atarii vyuma vya hatarii
Ukiangalia vizur utajifunza kitu wanataka kutumia mamaa kufanya mambo yao ya ujinga kwenye mazungumzo yao wanamtaja bi mkubwa mwisho wasiku inaletaga shida
Nashangaa harmonize anayelinga za range Rover wakati bakhresa Lori likiharibika kipuli kinaaagizwa ulaya ,Bora uyo kamuonyesha Kuna watu wanazo pesa na wapo.kimya
Kimya kingi kina mshindo mkuu
Mwanadamu anajisahau Sana,Kuna siku atalala kimya hawezi kuinua hata ukucha,Mungu awasamehe😭
Kwan Mungu anataka watu masikini?
Kwann masikini tunajiliwaza na kifo?😅
Sasa kajisahau nini?kwani kuwa tajiri kuna tatizo?
Acha kujifariji na umasikin
Ukijua maana ya hilo jina lugume.maana yake ni kiburi kwa jamaa ni noma
Alafu Utasikia Diamond anapesa hivi Unamjua LUGUMI vizuri ? Wasanii Wote unao wajua Ww wanamsujudia SAIDI LUGUMI 🙌
Umeiyo scared apo😂😂😂
Huyu alikuwa tu CHAWA wa Ridhiwan Sasa Jiulize Huyo Ridhiwan Yupo Vipi
Wala msibabaike kuna Siri nzito mno nyuma ya utajiri… uyaone tu kwa mcho wala usitamani kuwa kwenye viatu vyao…
Umasikini utakuua we pimbi
@@JeanMalilo aisee
@@JeanMalilosijawahi sikia umasikini umeua mtu…. Ndio kusikia kutoka kwako
@@JeanMalilona kwani hao matajiri hawafi au… au aliye tajiri huwa hafi?
Shizo ni chuki zisizo na sababu. Kwa hiy kila mtu akiwa tajiri bac *"kuna siri nzito mno nyuma ya utajiri wake"* furahia mafanikio ya wenzako yakupe challange utafute yako sio unaanza kutafuta kasoroo mbavuu zakoo
Mzee uyo mfanya biashara ww kalia kulialia
hayondomaisha manzuli chifu tuamashishe vijana🔥
Pesa zahekaheka hizo
😂😂😂😂😂tena hekaheka mpk jasho
Kuga lazima
Picha linaanza jamaa ameita v8 land cruiser taka taka we huogopi
😂😂😂chief kanyooshwa leo
Yani parking ya magari Kuna air condition macho Yako yanaona kama mimi😢😅
Tanzania chini ya ccm ni shamba la Bibi ukipata Chance unajipigia Hela za walipa Kodi,lugumi alipata tenda ya kufunga vifaa vya ukaguzi vituo vyote vya police bilioni 137,akafunga machine nane
Kumbe unakumbua huyo jizi alivyo ipiga
Uyo mzee mfanya biashara
Dah! Ndo nimetoka kutuma 7000 ya boss wangu boda mkataba, anamdomo uyo nisipotuma😂 natamani aione hii video😢
😂😂😂
Sio ana mdomo ni haki yake akicheka na binadamu yatamkuta ya mzee makosa
Ni haki yake ndo 7000 ni kubwa
kweli paka akitoka panya hutawala wakati wa anko magu wote waliufyata mkia saizi ndio hoo mi tajiri pupambavu wizi mtuupu😂
Well said
fanya wizi na ww sasa😁😁
Kama kuiba Rahisi nawe Kaibe Utajirike !!!😂😂
1
Free mazon wenzake
Alienda kufirwa na lugumi mtoto wa kiume unapewa marashi na mwanaume mwenzako 😂😂😂
Fkira za kimasikini 😂😂 taduta hela uwache chuki
Mapambo yw dunia aw sio, unfortunately wote hatutofika 2070 tuishi kwa kiasi. Be proud in touching the lives of many less fortunate.....Bakhresa ana gar kma hizo na hawez fanya show off ju once u understand the wisdom of life, u keep t humble
Kaka we unamiliki kingeleza tu
@@mainaimma1114 mwambie atafute ela aache kijifanya mzungu na kingereza kingi
@@mainaimma1114 kiingereza ni lugha tu jomba kila mtu anamiliki, au ulitaka kuelezea nn mkuu. Kuhusu kuwa pesa Iko hapa hapa dunian Kuna njia nying halali na haramu za kutafuta na wote tunazijua ni suala la maamuz tu, haipaswi kujidharau aw kumdharau au kumtukuza mtu yeyote wote tuko kwa jili ya plan za Mungu
Sio lazima kila mtu na jins alivo,, mjuu wa bakheresa #zayed bakhresa ana show off,,, week ilopita alipost yupo na huyu huyu Lugumi🙏 , in case mwache km ana kosea atamalizana na MUNGU
@@mainaimma1114😂😂😂😂😂😂
Huyu sio p.didy wa bongooo jamaniiii vijana wataanza kwenda kwake kuangalia movie yuko bongooo hiii hiii au marekaniiii magariiii yanapigwa A/c tu baridi vijana wanapigwa na jua kali linachomaaa
😇
UZURI NI KWAMBA WOTE TUTAKIFA😂😂😂😂
Mwisho wa mawazo ya masikini
Masikini hakosi la kusema😂😂
Matajr wanenepi
Kuna day atakupa mafuta pia.
Dogo angalia hao wazee wasije waka ku P didy
Hadi huku inanukia hiyo pafume
Ac ipokwenye pakin ya gali
Watu wanamaisha
Waamke je wakati kuna kashfa za wizara ya mambo ya ndani Kyle?
Watu wenye pesa hawana matumbo makubwa a.k.a vitambi wala hawana minyama nyama, ukiona mtu ananenepeana kisa anavisent ujue akili yake ni ndogo haiwaz makubwa 😅😅😅
Wew ni genius niamini mimi fight bro utafika mbali
Wakwetu magu town tz
Hv YONO si waliziuza zile nyumba za huyu dingilii?
Alafu awa jamaa hawana WAKE.
Chief G .....sijawai hona kuwa na demu
Lugumi......Hana pia
......Why or ndo Unafanikiwa...
matajiri wengi hii aina ya wapiga dili na wajanja wajanja wa town wanakimbia ndoa ili kulinda mali zao, wanaogopa pasu kwa pasu na hofu ya kuuliwa
Hahahha jmaaa wew nimefulai
Lugumi mtoto wa Magu-Mwanza
Lugumi naomba niwe chawa wako
Unga uwooooooo
ni mfanyabiashara wa silaha
HAHA HII DUNIA KUNA MTU ATAJIFANYA KAMA ANAKUONYESHA KITU KIRAFIKI VILE KUMBE ANAKUKEBEI KUWA KIJANA UNAVOPIGA KELELE JUA KWAMBA KUNA WATU TUNAVYO ZAIDI YAKO FATILIA VIDEO HII JINSI LUGUMI ANAVOMUITA NA KUMVUTA DOGO GODY AKAJIONEE MIKEBE ILIVONUNA PARKING😂😂
Lugumi ni mtu ambaye alipata pesa baada ya ufisadi uliofanyika wakat wa JK kwa kupewa tenda ya kufunga kamera ndani ya vituo vya polisi
We uyo mzee humjui kaakimya
Ndio ivo hajakosea labda kama wew ndo humjui@@FrolenceRogath-fv6ku
Kuga lazima