‘’Changamoto zitakuwepo lakini nitamudu kazi’’

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2022
  • Mkurugenzi wa mawasiliano ikulu nchini Tanzania , Zuhura Yunus amezungumza na BBC na kueleza ni jinsi gani amepokea taarifa ya uteuzi wake.
    Bi Zuhura anachukua nafasi ya bwana Jaffar Haniu ambaye amepangiwa kuchukua majukumu mengine kulingana na Taarifa iliyotiwa Saini na kaimu mkurugenzi wa mawasiliano ya rais.
    #bbcswahili #tanzania #zuhurayunus

ความคิดเห็น • 171

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe2835 2 ปีที่แล้ว +9

    Hongera sana Zuhura Yunus Abdallah utuletee mambo mapya na ya kisasa katika Ikulu yetu. Tunakusubiri kwa hamu kubwa. Karibu sana.

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 ปีที่แล้ว

      Hilo ndo ninaloliwaza Kama atasimama vizuri sana kwa Nia njema ya mstakabali wa nchi yetu,Mwenyezi Mungu amuongoze kufanya vizuri katika eneo lake,

  • @abdunur323
    @abdunur323 2 ปีที่แล้ว +5

    Hongera dada'etu Zuh'ra Yunus bint Abdallah, hizi ni neema zake Allah,amejua why amekunyanyua, kujua na kutojua Mola wako anazo khabari Zaidi, Chaps kazi,uko Diplomate tangu utamudu Insha Allah.tunakutakia Kila la kheri.

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 2 ปีที่แล้ว +1

    Kila jambo hupangwa na m/mungu tu na hakuna binadamu wakuweza kulipangua labda watalichelewesha tu lakini siku ikifika huwa imefika.
    Hongera sana zuhura upo vzr sana ktk kazi zako.

  • @zuwenaalesrizuwenaalesri7461
    @zuwenaalesrizuwenaalesri7461 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Dada yetu mwenyezi mungu Akupe Afya utuwongozee nchi yetu

  • @jefwamtumwiru5830
    @jefwamtumwiru5830 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Bi Zuhura Yunis.Hii kazi ina kutosha kabisaa hasa kwa uzoefu ulionao kwa sekta hii.Wako watangazaji walio teuliwa kwa nafasi na walifanya vizuri. Kwa mfano hapa Kenya yuko msemaji wa ikulu Bi Kanze Dena pia yeye alikuwa Mtangazaji. Yuko Mtangazaji wa zamani wa BBC Swahili huko DRC bwana Lubunga Biaombe pia yeye alikuwa msemaji wa rais mustaafu Joseph Kabila.Hongera sana Madam

  • @drp5225
    @drp5225 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera saana Dada Mungu azidi kukubariki

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah, hongera sana BI ZUHURA

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 2 ปีที่แล้ว +1

    Superb, upo vizuri madam Zuhura

  • @ndingimwananzeki5776
    @ndingimwananzeki5776 2 ปีที่แล้ว +7

    Hongera tunakupenda sana sauti nzuli ,
    Tumebaki na salim kikeke

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      Tizama na hii 👇....
      th-cam.com/video/AwClqx4ruO4/w-d-xo.html

  • @wowlook7321
    @wowlook7321 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Dada Zuhura, nakuomba kama unasoma hizi comments, tunaomba sana ujaribu kutazama taswira ya mawasiliano nchini, bado kuna mapungufu mengi sana hasa kwenye contents zinazozungumziwa ambazo hazina tija kwa maendeleo ya nchi yetu na vizazi vijavo. Mfano mdogo tu ni kuona mahojiano mengi yanayofanyikaga huwa yanalenga sana maisha binafsi ya wasanii wetu kila siku. Watoto wetu hawana cha kujifunza zaidi ya kujua jana Diamond alikuwa na Zari leo yuko na Hamisa Mobeto. Hakuna vipindi kwy TV japo vinavozungumzia viongozi mbali mbali wa nchi yetu, Africa na dunia kwa ujumla. Kuwajuza watoto wetu nani anafanya nini kwa ajili ya maendeleo ya Africa. Watoto hujifunza kwa kuona na kusikia kuliko kusoma kwy vitabu au mitandaoni. Kwa hivo mimi nakuomba kama kuna namna yoyote unayoweza kufanya ili kuweza kuvikumbusha vyombo vya habari kuzingatia sana vipindi vyao kwa ajili ya maendeleo ya nchi/bara na kwa ajili ya kuongeza upeo wa elimu kwa watoto wetu naomba ufanye hivo. Nna imani kwa experience yako, elimu yako na kwa utendaji kazi wako basi hili na mengine mazuri yanawezekana. Nakuombea Mmungu akupe ujasiri na akuongoze katika kuifanya kazi hii kwa nia safi kabisa. Asante

  • @user-pd3jc4ql7e
    @user-pd3jc4ql7e ปีที่แล้ว

    Hogera sana zuhura kazi yako nzuri

  • @mkude
    @mkude 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera zuhura njoo umsaidie mama wa taifa vizuri.

  • @ayubumbembati8658
    @ayubumbembati8658 2 ปีที่แล้ว +6

    Hongera zako Zubura Yunus, always napenda sana vile ulivyo na hakika una- deserve kwa hiyo position! Mungu akutangulie ktk hiyo nafasi mpya! All the best!!

  • @aminakupila3079
    @aminakupila3079 2 ปีที่แล้ว

    Hongera Zuhura Yunusi MUNGU akuzidishie🥰🥰🥰🥂🙏

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mdada kwanza ni MUREEEEEEMBO. Sauti ya KINUBI. Hongera, karibu. TZ.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      Tizama na hii 👇......
      th-cam.com/video/AwClqx4ruO4/w-d-xo.html

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      Ni mrembo kweli... Pia ana angelic voice... Amebarikiwa! 🤗🤗

  • @salimally8496
    @salimally8496 2 ปีที่แล้ว

    Maasha Allah hongera sana Mungu akusimamie

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Bi Zuhra Yunus.

  • @dareva1973
    @dareva1973 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana dada yetu tunakutakia mafanikio

  • @Jonahchemironmutai
    @Jonahchemironmutai 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana

  • @historicalzanzibartv
    @historicalzanzibartv 2 ปีที่แล้ว

    Hongera Bi Zukhra

  • @mohammadalrawahi9573
    @mohammadalrawahi9573 2 ปีที่แล้ว +1

    Bi Zuhura Yunus Nakutakia Kheri na Baraka ktk Kazi yako Mpya Matumaini Utamudu kama Ulivyo kua BBC. Amin ya Rabi Al Alamin.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      Tizama na hii 👇....
      th-cam.com/video/AwClqx4ruO4/w-d-xo.html

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana shangazi Zuhura Yunus kwa kuja nchini kuitumikia nchi yako wanawakeeeeee ndio chachu ya maendeleo 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌🤲🤲🤲🤲🤲🤲.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      Tizama na hii 👇....
      th-cam.com/video/AwClqx4ruO4/w-d-xo.html

  • @isidorimayagilo3806
    @isidorimayagilo3806 2 ปีที่แล้ว

    Juma moja limepita nilikuwa nafuatilia mazungumzo yako na Salama, nilikomenti kuwa unafaa kuwa Waziri, naona Mungu kakupendelea. Kafanye kazi dadangu,

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 2 ปีที่แล้ว

      Tizama na hii 👇....
      th-cam.com/video/AwClqx4ruO4/w-d-xo.html

    • @felixshafes8706
      @felixshafes8706 2 ปีที่แล้ว

      Zuhura Yunusi kupokea kazi aliyopewa na ikulu ni wajibu wake na haki yake kama mzaliwa wa Tanzania . Hii inatokana na Rais mwenyewe kuona Nani atamsaidia katika kipengele anachokiona apate msaada wa usaidizi. Habari kuwa Ana toka wapi haul eti picha nzuri Kwa watanzania wenye kujenga moja Bali matendo ya mchagyliwa kuja i ndiyo tutapima. Hata hivyo inaniumiza sana kusikia Zuhura na washika wake walijua ila sana lumpia vita jpm. Watanzania ni kipenzi cha Magufuli hata uko jaribu kufuata vipi umaarufu na uzalendo wake. Na Helena kusema kama Zuhura alishiriki kumchafua Magufuli Kwa kutokujua au Kwa shinikizo la mabepari basi sasa ni mtihani kwake .long the wisdom of magu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

      @@felixshafes8706, Siwajibu wake na si haki yake mana wengi tu wanauraia wa nje na wamezaliwa Znz na hawawataki wanasema wameukataa uraia wao. Uwe na nyumba ile wakijua unailipia kodi. Sasa yy ni nani hata awe nahaki na wajibu???

  • @ombenishirima6444
    @ombenishirima6444 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana ,Mama Samia amefikiria sana ,,wewe ni mtu sahihi kabisa

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 2 ปีที่แล้ว +1

    Masha allah, alf mabruk zuhura na mungu akuzidishie

  • @kharounngavason8012
    @kharounngavason8012 2 ปีที่แล้ว

    Mashaalaa nilitaman nikuone karib naimekiwa

  • @mangieddie3548
    @mangieddie3548 2 ปีที่แล้ว +6

    Mambo yakienyeji sana,inakuwaje Rais anamteuwa mtu kwenye wadhifa bila kumjulisha KWANZA YEYE MWENYEWE KABLA HAIJATANGAZWA? inakuwaje muhusika asikie mitaani kwanza? Na kama angeikataa Kazi? Kwanza kabisa Ni Muongo sana! Haiwezekani ni lazima Rais akuambie kwanza

    • @KesheMedia
      @KesheMedia ปีที่แล้ว

      yeye hakujua ila lazima alichunguzwa sana

  • @Jonasmemruti
    @Jonasmemruti 2 ปีที่แล้ว

    Karibu ,nyumbani kumenoga.

  • @johnngowi2992
    @johnngowi2992 2 ปีที่แล้ว +2

    Unaweza. Hongeraa

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      Zuhra, tunakupenda 🌹 Ila hapo hujazungumza ukweli!😇 Huwezi kutuambia ilikuwa surprise kwako !🤦‍♂️ Mimi nadhani Rais amekuomba (to beg) "Mwanangu, njoo kanisaidie, nakuhitaji sana sana sana Ikulu"!!! 🙆‍♀️Na ww ukaangua kilio kwanza (you wept with fear and sorrow) 😢😥 maana haukutarajia hili, ilikuwa ngumu kuacha maisha uliyojitengenezea huko London and go back Tanzania! Mwisho wa siku ukamhurumia Mama, basi ukakubali! (for love and patriotism)😘 Karibu Tanzania! 🇹🇿 We 💕U! Na tuna imani na ww! Hakika Ikulu inakwenda kunyanyuka! 🔥👌 Na Mama yetu atapata raha, InshaAllah !🤗🤗

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว +1

      Don't hesitate to review the decoration of Ikulu! Remove all that weird old stuff! 🤣🤣Give a new look à la Présidence !🏡Take care of Mom's look too!🥀 But the most important, you're used to the media, make Mom known on the international scene... She 's a great Woman and Leader, the World must know it! Bonne chance! 🙋‍♂️🦜🦜🦜🦜

  • @bibianajangandu1727
    @bibianajangandu1727 2 ปีที่แล้ว

    Hongera Zuhura karibu Nyumbani

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mama Zuhura Yunus

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 ปีที่แล้ว

    Hongera dd zuhura

  • @J4UPro
    @J4UPro 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mama

  • @gisembaomwenga8989
    @gisembaomwenga8989 2 ปีที่แล้ว

    Hongera Zuhura

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 2 ปีที่แล้ว

    Mie namuunga mkono mama Samia kumteua zuhra yunus, kwasababu zuhra ni mwanamke mwenye nidhamu ya Hali ya juu na ni mtu mwenye ulewa ktk mambo ya Habari,, Sasa hii nafasi ataendana nayo,, na tunamuomba kwa Allah amfanyie wepesi kwa wale maadui na mahasidi wasipate nafasi wakaanza kumuandama,, mungu amlinde akafanye kazi vizuri hadi raisi ampe tunzo

  • @froliandismas2148
    @froliandismas2148 2 ปีที่แล้ว

    Kweli shar up

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 ปีที่แล้ว +2

    Kabili changamoto na matatizo. Kukwepa au kuepuka mizozo sio suluhisho la utandawazi. Uvumilivu na upendo ndio silaha twende kazini

  • @movierecapsswahili1042
    @movierecapsswahili1042 2 ปีที่แล้ว +3

    I love your Swahili accent

  • @kyataonline5262
    @kyataonline5262 2 ปีที่แล้ว +1

    ndio hongera bibie!

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 2 ปีที่แล้ว +3

    Muongo tu alikuwa anajua ndio maana akaacha kazi bbc akadanganya amestaafu

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 2 ปีที่แล้ว +2

    Umepewa zawad kwa kazi YAKO kwa jpm

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 2 ปีที่แล้ว

    Chals Hilary big up🙏
    Zuhura Yunus big up🙏
    Kazi iENDELEE INSHALLAH 💕

  • @el-gibbortv5564
    @el-gibbortv5564 2 ปีที่แล้ว +2

    Hatasema chochote kizuri cha TANZANIA. Hiyo atakuwa mamluki wa uingereza.

  • @MarioMooga
    @MarioMooga 2 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana ndugu yangu zuhura yunus

    • @chrisdouglas8462
      @chrisdouglas8462 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu yako kivipi🤔

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      Ndugu yetu Mtanzania... Watanzania ni ndugu...

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      Hata hivyo, binadamu wote ni ndugu...

  • @evancekessy592
    @evancekessy592 2 ปีที่แล้ว

    tumekua kuskia sauti yake aise😍😍 asiache kutupa ladha ya saut yake tafadhali

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 2 ปีที่แล้ว +1

    Taaluma yko itapunguwa ya uwandishi kwasababu ukiwa bibafs muandishi wa habar kunamazungmz huyaban lakin ukiwa serekalin lazima utapunguza baadh ya hoja hatakama zakwel.ilahngera kwakuchaguliwa

  • @richarddamas1968
    @richarddamas1968 2 ปีที่แล้ว +22

    Acha kuzuga watu, hizo Habari ulikua unazijua Sana tu. Hakuna uteuzi wa level hizo unafanyika bila consultation na muhusika, kwamba uliacha kazi BBC kwa Bahati mbaya?? Zamu yenu hii

    • @kenyfrancis2946
      @kenyfrancis2946 2 ปีที่แล้ว +3

      Kweli..huo ndo ukweli haiwezi kuwa bahati mbaya,alikuwa na dodoso lazima.

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 2 ปีที่แล้ว +1

      Acha chuki Richard ndio kina mama wakati wao

    • @mkude
      @mkude 2 ปีที่แล้ว +4

      Ilipokuwa zamu yenu mbona watz wote walikaa kimya,vumilia tu kaka

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 ปีที่แล้ว

      @@selemankishema5780 Halafu mbona wengi waliopita wamewahi kusema wameshutushwa tu na ngugu na rafiki,mfano joketi na wengineo wengi kwa Nini kwa Sasa inakuwa tatizo?

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 2 ปีที่แล้ว

      Kaka umeongea point iliyoniingia aisee ni kweli kabisa

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว +5

    Umewezaja kuajiliwa kama mtanzania wakati wewe umeisha chukuwa uraia wa Uingereza? Na Kuna Watanzania wengi hawana kazi, Je Rais amekeuka sheria za nchi kuajiri wageni na kuwaacha Watanzania ?

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 2 ปีที่แล้ว

      nalo neno ata kama sio raia lkn hajakaa Tz miaka na miaka

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว

      @@zuleikhakhamis3303 ni kweli,inawapa watu maswali atoke kote huko apewe nafasi kwani hakuna waandishi wenye sifa

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว

      @@aairraahseif5648 unataka nianike paspoort yake?

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว +1

      @@aairraahseif5648 Asante kwa kusema hivyo. Mimi najuwa huyo dada ni British, pengine Rais amukingie kifuwa.

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว

      @@gracegrace6200 ahsante pia,ninakuelewa pia unacho kimaanisha!tuko pamoja

  • @osupatkaren
    @osupatkaren 2 ปีที่แล้ว

    Leo mmekutana mnabonga story wadada

  • @mirajintandu4456
    @mirajintandu4456 2 ปีที่แล้ว

    Alijua bhana Zuhura Yunus unazuga

  • @biubwasalim3460
    @biubwasalim3460 2 ปีที่แล้ว

    Tutakumiss sanna Kukuona bbc hongera ila pole serikalini kugumu

  • @MarioMooga
    @MarioMooga 2 ปีที่แล้ว

    Daaaah usiache BBC jamani

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 ปีที่แล้ว +1

    mwanamke wa kiislam asiyekua na mtoto wala mume safi sana komaa hivyo hivyo kuzaa jau buanaaa🤒🤒🤒🤒

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 2 ปีที่แล้ว

    Ivi Ni lazima uachane na BBC ndo uwe msemaji wa ikulu au hii ikoje?

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว +5

    Wote waliomutukana Hayati Magufuli kwa sasa mmoja mmoja wametunukiwa. Hata raia wa nnje wametunukiwa. Huyu anadanganya, muongo mkubwa anatuzinguwa.

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 ปีที่แล้ว

      Bi dada huyu ni mzanzibari hilo ulijue sio mtu wa nje la pili tuoneshe hiyo clip aliomtukana Magufuli , miongoni mwa kazi za uandishi wa habari ni kufichua maovu Na kusema ukweli ,hilo ndilo linalowaudhi , mbona dada wa watu ni mkweli , Na Magufuli ni binaadamu tu kama Mimi Na wewe so ana maovu yake na mema yake

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว

      @@rastafare878 Najuwa ni muzanzibari, lakini alibadilisha URAIA wake na akachukuwa uraia wa Uingereza. Hiyo sio zambi kujitafutia maisha. Sheria ya Tanzania hairuhusu dual nationality uraia wa nchi mbali. Kuna Watanzania wengi waliochukuwa uraia wa nje, serikali hii hii iliwaambia wazi hawawezi hata kununuwa ardhi Ila wawe wawekezaji kama wageni, Wacha kuajiliwa bila ya kibali (work permit) Je Kuna sheria ya Watanzania wenye uhusiano na Rais na sheria kwa Watanzania ambawo hawana connections Na Ikulu? Nijibu bila ya kigugumizi.

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 ปีที่แล้ว

      @@gracegrace6200 Mimi sina kigugumizi , ulisema jambo kuwa Na ushahidi , tuoneshe uthibitisho wa ubadilishaji wake wa uraia , then nilikuambia tuoneshe hiyo clip aliomtukana Magufuli, hata ukiona kachaguliwa ujue ana haki kama ulivyo wewe , kuishi kwake nje au kufanya kazi isiwe ni sababu ya yeye kukosa haki , ana haki kama wewe

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว

      @@rastafare878 mimi sikuitunga sheria hiyo, ni sheria ya Tanzania kwa Watanzania wote. Kama Kuna Watanzania exceptional sheria hiyo haiwahusu basi waweke wazi. Lakini wasitufanye sisi wajinga. Tanzania ni ya Watanzania wote. Sheria na taratibu ni,kwa Watanzania wote. "

    • @rastafare878
      @rastafare878 2 ปีที่แล้ว

      @@gracegrace6200 mi naona unazunguka tunajua kuna katiba Na Sheria hiyo ni kweli ,Ila Mimi nilitaka kujua uthibitisho wa huyo zuhura yunnus ya kuwa amebadili uraia , kwasababu sisi hatujasikia hilo

  • @pinkertontv5735
    @pinkertontv5735 2 ปีที่แล้ว +1

    suala la uraia pacha ulionao ni kigwazo, hatimae mmetuweza na umamuruki wenu.

  • @rehemajuma2202
    @rehemajuma2202 2 ปีที่แล้ว

    Nakushauri simamia haki,wasaidie watu wenye shida ambao shida zao rais ndo suluhisho lkn hawana uwezo wa kumuona ukipata habari zao mwambie kama anajua chochote khs hill jambo kama hajui afuatie au awatume washauri wake runamatatizo uwanja wa ndege musoma baadhi hatujalipwa tusaidie

  • @mohdabdallah8569
    @mohdabdallah8569 2 ปีที่แล้ว

    💋💋💋💋💋💋

  • @emmanuelherman2432
    @emmanuelherman2432 2 ปีที่แล้ว

    Dada Ake na Rihanna uyu , nani anabisha... Ajifanye anajikuna😎☺️

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo40 2 ปีที่แล้ว

    Bibie hakika wadau wa BBC tutamis sana sauti yako yenye ubashasha wa aina yake

  • @farajisureman9925
    @farajisureman9925 2 ปีที่แล้ว

    Sina wasiwasi na uwezo wako.Bahati nzuri saaaana na kwa upande ule si mlegevu

  • @nassorabdallah7287
    @nassorabdallah7287 2 ปีที่แล้ว

    Huyo ni mzanzibar siyo kamchuguwa

  • @alonsobrazzel3011
    @alonsobrazzel3011 2 ปีที่แล้ว

    👉🇰🇪🇹🇿 - Zuhura Yunus zungumza na Dada yako mwenzako ambaye alichaguliwa na Rais Uhuru Kenyatta kuwa Mkuu wa Mawasiliano IKULU ya "KENYA STATE HOUSE". Anaweza kukuambia Vile anafanya kazi yake ikulu Kenya. Pia yeye alikuwa mwanahabari kabra ya kuchaguliwa na Rais Uhuru Kenyatta. "Wish you ALL the best". GOOD LUCK. 🇨🇦☻🇰🇪

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว +1

      The difference is, she is a Kenyan working for a Kenyan president, and she is British working for Tanzanian President against our laws. Tanzania hairuhusu raia wa kigeni kuajiliwa bila kibali. Shida kubwa zaidi ni for security reason, Huyu ni muingereza, hata siku moja haitatokea Mtanzania kuajiliwa ndani ya offisi ya prime minister wa Uingereza. To make it worse Huyu aliishambulia sana Tanzania awamu ya tano lawama bila ushahidi. Samia betrayed Our late President MAGUFULI.

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 2 ปีที่แล้ว

    Zuhura mwari mtondoo (mpevu) kwa nini hutaki kuolewa?

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel8120 2 ปีที่แล้ว

    Kamuulize TIDO MHANDO

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 2 ปีที่แล้ว

    Mashanllah 🤲🤲

  • @simonmagaigwa5496
    @simonmagaigwa5496 2 ปีที่แล้ว

    sema ukweli.

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 2 ปีที่แล้ว +2

    MNAMPA HOGERA YANINI ZUHURA NI MWANAMKE WA MASLAHI KWAJILI YA NAFASI ALIYO PEWA NA PESA LAKINI SIMTU WA KUWA NA UPENDO NA NCHIYAKE MESAHAU ALIVYOKUWA BBC ALIKUWA ANAIKASHIFU TANZANIA ALIUGANA NA MABEBE WAKIZUGU LEO ZUHURA MZURI

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 ปีที่แล้ว

      Alivyo kuwa bbc utadhani hakuwa mtanzania,kweli yupo kimaslahi zaidi

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว

      Kutunukiwa kwa kumubeza Hayati Maguguli.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

      Si yy tu wa maslah, kila unaemuona kimbelembele awe mwandishi wa habari, yule Fatma Karume sijui, awe chadema, Act, Cuf wote wapo kwenye maslahi. Na ndio unaona wanabweka sana nje huku lkn wakirembelewa fupa tu kimnya wanang'ong'ona. Likimaliza wanabweka tena. Kwahio pole yao wale wanaozubaika na kubweka kwao wakafikia mpaka kuuawa au kupigwa siku za kampeni na uchaguzi au wanaohasimiana na ndugu zao, marafiki, majirani nk kwa kuwaendekeza watu km hawa. Ambao hawana wanalolijali zaidi ya matumbo yao.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 ปีที่แล้ว

    Zuhura mfano wa Kanze Dena wa Kenya alie kua Citizen tv

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว +1

    Aiwezekani uteuliwe Bila kuarifiwa. Ikikataa je? Katumike kwa uaminifu Mungu akubariki dada. Usimwangushe. Hayo mengine achana nayo. Kaitumike Tanzania yako.

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 2 ปีที่แล้ว

      kabisa haingii akili atadanganya watz tuu kwanini kisha aache kazi BBC Kuna benefit kibao kama hakuna malengo upande mwengine

  • @yascomdoe5686
    @yascomdoe5686 2 ปีที่แล้ว

    Uyu mdad nampendaga san asee

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 2 ปีที่แล้ว

    Kumbuka alivyomshambulia kabudi bbc kulani democracy ya Tanzania chini ya mama samia kama makamo wa rais

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว

      Hizo zilikuwa kampeini za pamoja za Uingereza na watu waliokuwa na chuki na Rais Magufuli ya kuitowa Tanzania kwenye umasikini. Anaye kudhulu mala nyingi si mtu wa mbali. Wote waliokuwa wakimutupia mawe Hayati Magufuli kwa sasa wametunukiwa nafasi kubwa,hata na wasiokuwa na elimu hata ujuzi.

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 ปีที่แล้ว +2

    M

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 2 ปีที่แล้ว

    Umeolewa?

  • @olivambala3086
    @olivambala3086 2 ปีที่แล้ว +2

    Hatukutaki utatoa siri za nchi kwa wazungu wewe

    • @JohnDoe19xx
      @JohnDoe19xx 2 ปีที่แล้ว

      Hizo “Siri za nchi “ zenyewe mnazitunza kwenye savers za wazungu

    • @mkude
      @mkude 2 ปีที่แล้ว

      @@JohnDoe19xx hajajajajjhajaja duuh

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      @@JohnDoe19xx 🤣🤣🤣👊🤛👍

  • @anitasita6299
    @anitasita6299 2 ปีที่แล้ว

    UNAJULIKANA WE DADA UNA UDINI NA UZANZIBAR UNAFIKIRIA WATU HAWAKUJUWI? Usidanganye mtu huwez kuteuliwa bila wewe kujuwa acha uongo

  • @abdilahmohamed148
    @abdilahmohamed148 2 ปีที่แล้ว

    As

  • @ShomariMoses
    @ShomariMoses 2 ปีที่แล้ว

    KAMA WAPENDA SEASON ZENYE NGUMI ZA KUFA MTU KAANZE NAYO HII NI MOTOOO GUSA HAPA th-cam.com/video/8iAF4H9uv-M/w-d-xo.html

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว +3

    Rais amecharuka kuajiri ndungu zake, marafiki na jamaa. Huyu mama alimushambulia Hayati Magufuli kwa habari nyingi za uwongo nyuma yake kumbe musaidizi wake alikuwa akumuunga mkono. Binadamu ni wa kuwaangalia kwa macho makavu. Anayekula manofu ni yule munayekula naye pamoja. Dunia ni ya mviringo, tupo tutaona yanayoendelea wacha 9wale bata kwa mafanikio ya Hayati Magufuli mpaka akapoteza maisha yake.

    • @faizaannassir2568
      @faizaannassir2568 2 ปีที่แล้ว +1

      Tulia wewe magu alijaza wasukuma mbona hamkusema

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว +3

      @@faizaannassir2568 nani alikuambia wasukuma siyo Watanzania? Wote aliyowaajiri walikuwa wana elimu ya kutosha na wenye integrity na ni Watanzania. Samia anaondowa watu wenye ujuzi na kujaza mazeze, wahuni na wengine wadokozi. Huyu dada alishaukana utanzania akachukuwa passport ya Uingereza, ameajiliwaje wakati kuna Watanzania wasomi kumushinda yeye hawana kazi. Acheni kutuzinguwa na uwongo wenu.

    • @felixshafes8706
      @felixshafes8706 2 ปีที่แล้ว

      @@gracegrace6200 jamani watanzania acheni uninafsi na si vizuri kuhoji Nani amusjiriri mradi kama Ana uwezo kutupeleka mbele na Ana uzalendo wa kweli . Tu us kama alitumika ku pigs vita Magu basi dhambi hiyo itamtafuna polepole na kama kweli alisaidia kumsemea samia basi sasa ndipo itajulikana maana binadamu husema anayeuliza Kwa upangaaa naye asubuhi malipo ya kazi yake. Mimi Naamini alikuwa pengine anafanya kazi ya uchambuzi wa demokrasi ya Tanzania bila kupata hali halisi ya nia njema ya jpm na Hilo akishalijua Naamini litamuumiza bila watu kujua Lakini Kwa sasa tumaini i kuwa kupokea kazi Kwa moyo mmoja na sio kuingamiza nchi ati anatoa siri. Hilo si kweli alitoa ni samia mwenyewe na nchi ukiangalia ni samia ametungamiza na si mwingine wa kulaumu ni ccm. Ndugu zangu watu tunakuwa na uelewa tofauti Lakini ukweli wa mambo ndio utakaotuunganisha. Zuhura hata kama alitumika ku pigs vita jpm sasa ameingia kwenye jibu anajua mbivu na mno chi na hivyo kama mkwe li tutajua tu. Nijuacho yeye ni mtanzania wa kuzaliwa sio kuomba uraia hivyo ni haki yake kupewa nafasi tatizo kama mtoahi America Kwa kisingizio ya ubinafsi basi hatatusaidia ka watanzania .Atatakiwa kulishughulikia matarajio ya Rais aliyemuajili. Jambo la Pili Zuhura lazima ajifunze na ajue kuwa Magufuli alikuwa kipindi cha watu na asijeakajikuta anatumia kujenga chuki na wanainchi. Magufuli ni kipenzi cha watanzania kweli kweli na asidanganywe na wanasiasa akili ya za kuleta ataona kazi mbaya sana. Mwisho msimamizi wa Magufuli ulikuwa na wakizalendo sana hata samia hafikii hata nusu yake na pia Magufuli nilikuwa mjuaji wa mbinu za wakubwa ndio maana a kawa Ana sham ukiwa BBC ilitumika sana kumdhalilisha Magu ndio maana Hivi sasa . HadiWHO wataalamu wametoa ja BBC kumuomba radhi Magufuli kuhusu Korona . Hii ni Kwa kujihifadhi kuwa hatua alizochukua Magufuli zilikuwa sahihi na zimeokoa maisha ya wengi . Njaa kila kona Lakini Susie tupo vizuri na tuna kisha nchi jirani. Hatuna jinsi Bali kumshukuru magu.

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว

      @@felixshafes8706 Asante sana kwa maelezo yako. Nina elewa unayosema, but I am too emotional for Magufuli. Kitu kinachonishangaza na kuwapa Watanzania uchungu ni kuona watu wakimubeza Hayati Magufuli kwa kazi kubwa alizozifanya, mpaka kupoteza maisha yake. Hayati Magufuli aliipokea Tanzania iliyokuwa imetafunwa na kuwachwa mifupa mitupu. Tanzania iliyokuwa haina nidhamu. Tanzania iliyokuwa na dhuluma kubwa kwa wananchi walio wengi. Kupigana na mafisadi ni kazi kubwa sana, na ya hatari. Magufuli alijitolea maisha yake na kujenga misingi mikubwa na bora ya uongozi, huku akishambuliwa pande
      zote mbili na wezi waliojificha kwenye chama chake na nje ya chama chake. Leo mama anaongoza kwa ulahisi kazi kubwa alifanya Hayati Magufuli. Badala ya kulekebisha machache anayoyaona sio sawa, alianza kuibomowa na kuyaponda yote aliyoyafanya Hayati Magufuli. Mama kaingia kwa Kasi, na kuanza kubomowa yote Hayati Magufuli aliyojenga. Ni mudi tu ya Watanzania ilimufanya ajifikilie. Kauli zake zimewaumiza Watanzania wengi wapenda haki kwa wote.. kawaondowa wote waliokuwa wakimusaidia Hayati Magufuli kwa kuwapaka matope lawama za uwongo mpaka sasa hawajashitakiwa. Watu wote waliokuwa wakimutupia mawe Hayati Magufuli amewatunukia vyeo, watu wasiokuwa na sifa za uongozi zaidi ya ufisadi. Wengine hawana hata elimu wala ujuzi. Ni wale wale wanarudi. Majina yale yale toka vizazi kama hakuna Watanzania wengine wanaostahili kulitumikia taifa lawo . . Hayati Magufuli alipigwa vita ndani na nje ya chama chake. Tugombane, tusikubaliane jamani ikifika kwenye uchumi wetu kwa nini hawakumuunga mkono? Hayati Magufuli alitukanwa kila kona kila mtu kimya. Rais aliyekuwa akitetea mali zetu. Vita iliyopigwa kwa Hayati Magufuli angekuwa dhahifu, asingeweza hata kupigania madini yetu. Leo yeye hatunaye tena, wanao tumia na sifa kumwagiwa hawakufanya chochote, zaidi ya kuwabebesha Watanzania madeni na kuwarudishia mafisadi fedha walizowaibia Watanzania. Leo Mama kutaka kumuondowa Lukuvi Na Kaparamagamba, na kuwateuwa Makamba, Nape na Kikwete na sasa Zuhura Yunusi wa BBC! Watu waliomushambulia Hayati Magufuli tuhuma za uwongo kweli hawa watu Mungu atawahukumu. Mama kawaumiza sana Watanzania walio wengi na kuwafurahisha matajiri na wawekezaji. Hayati MAGUFULI alifanya hata majirani zetu watuheshimu ambawo walikuwa wakituona wajinga. Kwa sasa tumerudi kuwa Kama kondoo walio nyeshewa mauwa. Kuvumilia inakuwa mateso makubwa. Ukimya wetu ndiyo umetufikisha hapa tulipo. Zuhura ni Mtanzania, lakini kwa sasa ni raia wa Uingereza. Je Watanzania waliochukuwa uraia wa nchi nyingine wanaweza kuajiliwa bila kibali? Kwa nini Huyu amepewa special treatment? Na Kuna Watanzania wengi wenye uwezo wa kazi hiyo, kwa nini kuajiri muingereza aliyekuwa na kazi na kuwaacha Watanzania wasiokuwa na kazi. Huu mutindo wa KUKAA KIMYA UMETUFIKISHA PABAYA.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

      @@felixshafes8706, Hakuna mwenye ubinafs lkn ukweli usemwe. Km hatujasema hapa unadhani tukasemee wapi vyooni na mende???

  • @fortunatuskapinga5250
    @fortunatuskapinga5250 2 ปีที่แล้ว

    🤔????!!!!

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 2 ปีที่แล้ว

    Wenye dhambi wana nufaika sasa

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 ปีที่แล้ว

    Zuhura Yunus Waambie Watanzania ukweli, wewe ni raia wa wapi. Tunajuwa kweli wewe ni muzaliwa wa Tanzania lakini. Kwa miaka 14 kufanya kazi BBC bila ya kuwa na passport ya Uingereza isingefika hapo ulipo, kazi yako ingekuwa ngumu sana haswa kwa Safari za nje. Je wewe bado Mtanzania ama ni raia wa Uingereza? Na Kama ni raia wa Uingereza je tuko salaama kwa wewe kufanya kazi Ikulu? Je una work permit ama umeteuliwa kijamaa? Watanzania wana haki ya kujuwa. Usifiche ukweli hautakusaidia, tuambie ukweli. Mimi jibu ninalo, hii ni kwa Watanzania wengine wasiojuwa, wangepeknda kujuwa. Wana haki ya kujuwa.

  • @mbaruokhamza4386
    @mbaruokhamza4386 2 ปีที่แล้ว

    Mitoto yanini, raha unachopata kiwe chako, chako peke yako.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 ปีที่แล้ว

      Ukifikia umr wa kutokuueza mkojo wako unavaa pamper ndio hapo utakapojua thamani ya wtto au mtto. Mana kubadilishwa na watu usiowajua au wambali utajisikia aibu.

  • @sickdazanigodfrey7294
    @sickdazanigodfrey7294 2 ปีที่แล้ว

    Mengi tuombeane

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 2 ปีที่แล้ว

    Muuuu

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 ปีที่แล้ว +1

    Inasikitisha zuhura yunis hakuolewa n hana wtt namuombea kheri asiwe mpwke😞

    • @mkenyamzalendo4130
      @mkenyamzalendo4130 2 ปีที่แล้ว

      Oh kwani hajaolewa ?

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      @@mkenyamzalendo4130 west culture!

    • @mkenyamzalendo4130
      @mkenyamzalendo4130 2 ปีที่แล้ว

      @@j.c.maxima816 nothing like west culture, one marries her type, educated women don’t want to be mistreated just because of religion.

  • @wilfredndalahwa1539
    @wilfredndalahwa1539 2 ปีที่แล้ว

    Huna mpango wewe,ulikuwa unatumika kumponda sana Rais wetu mpendwa hayati magufuri tunazikumbuka sana makala zako.

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 2 ปีที่แล้ว +1

    Not hate lkn you would've just say you knew it, na ndio maana ukaacha kazi BBC, kama ungekua kazin bado ndo ningeamini kwamba hukua unajua..
    Congratulations anyway

  • @drp5225
    @drp5225 2 ปีที่แล้ว

    Hongera saana Dada Mungu azidi kukubariki

  • @ommy_sborn
    @ommy_sborn 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana

  • @ShomariMoses
    @ShomariMoses 2 ปีที่แล้ว

    KAMA WAPENDA SEASON ZENYE NGUMI ZA KUFA MTU KAANZE NAYO HII NI MOTOOO GUSA HAPA th-cam.com/video/8iAF4H9uv-M/w-d-xo.html

  • @irenekimaro5252
    @irenekimaro5252 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @saidisadiki1703
    @saidisadiki1703 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana

  • @zakwani885
    @zakwani885 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana