RC CHALAMILA AMBANANISHA MKANDARASI, ASHINDWA KUJIELEZEA - ''MASWALI MAGUMU, TUKUTANE OFISINI''....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 65

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 ปีที่แล้ว +1

    Mwalimu Chalamila kazi nzuri.Hata nusu yenu mngelikuwa anaelewa mnachofuatilia kwa kiwango hicho utendaji mbovu unelipungua.

  • @simonrevocatus3919
    @simonrevocatus3919 ปีที่แล้ว

    Very wise question!Safi Sana Chalamila!

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 ปีที่แล้ว +3

    Kama ni mkuu wa mkoa Kagera tumebarikiwa sana.Mabadiriko makubwa tunayaona.Baada ya masawe uyu ndio mkuu wa mkoa wa kagera nimemuelewa.Kizuri zaidi ni kichwa.Ginga like kama unamkubali RAC Chalamila

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 ปีที่แล้ว +6

    Hapo RC chalamila ameshashiba taarifa kutoka kwa wazee wa kazi...mfumo umeshafanya kazi yake. Anauliza kwa mbwembwe sana.. Miradi mingi ya serikali inasuasua kutokana na watu wa system nao kuwekwa mfukoni

  • @anethmrema7809
    @anethmrema7809 8 หลายเดือนก่อน

    Notable figure

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 ปีที่แล้ว

    Mambo mengi sana ya ovyo mkuu. Walaji wako mjini ukiendelea hivo utapigwa chini mkuu. Mungu tu atunusuru

  • @samsongechamet5374
    @samsongechamet5374 ปีที่แล้ว +1

    Mkurugenzi Nyamunda habari na hongera.

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md ปีที่แล้ว

    Chalamila huyu lazima alikua mwanafunzi wa magu, yani yupo ki professional,

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว +4

    Hapo amna kzi hyu jamaa msanii 2

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 ปีที่แล้ว

    Bigup RC

  • @ludovickbenjamin6104
    @ludovickbenjamin6104 ปีที่แล้ว +1

    Chalamila ni magufulii aseee, iyoo mahesabu alooo noumaaa

  • @saidshaban7695
    @saidshaban7695 ปีที่แล้ว

    Magufuli Huyu🎉

  • @Erique-p7r
    @Erique-p7r ปีที่แล้ว

    Mkuu umetisha sana

  • @bongo39
    @bongo39 ปีที่แล้ว

    Safi kaka uko vizuri ila uzudi kufatilia wako wengi wanatubambikia wakishirikiana na wahusika wa serikalini waliopewa hayo majukumu

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 ปีที่แล้ว +2

    Swali la Rc zuri mno

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe ปีที่แล้ว +1

    Keep on doing our work Mr Rc😘

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 ปีที่แล้ว

    Genius RC🥳

  • @bolemboalenge2325
    @bolemboalenge2325 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli Hoye

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 ปีที่แล้ว

    Safi sana mkuu wa mkoa

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 ปีที่แล้ว

    Halafu kuna wakaguzi wa majengo hapo inakuwaje?

  • @jastinkanjost4454
    @jastinkanjost4454 ปีที่แล้ว

    Keep up hon.🔥🔥🔥

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 ปีที่แล้ว

    Kiukweli Chalamila ni Jembe. Mfikishieni taarifa aliyemuondoa Mbeya kwamba alituondolea Jembe letu. Mimi no Amos the Great from mbeya town tz

  • @fidelisnairowa6121
    @fidelisnairowa6121 ปีที่แล้ว

    sinaga wacwac ukiwa site chalamila

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 ปีที่แล้ว +2

    Mkuu wa mkoa chalamila mbane huyo jamaa aseme ukweli

  • @amirnassoro
    @amirnassoro ปีที่แล้ว

    Mambo

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa kala shule, huyu ni Civil engineering. Anachambua vitu kiufundi

  • @peterkabeke362
    @peterkabeke362 ปีที่แล้ว +3

    Magufuli son

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 ปีที่แล้ว

      Kuna jamaa mmoja amevaa kijani kashiba kweli sijui ndo mmoja wa wajumbe ha ha ha ha sijui kama anapataga njaa

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 ปีที่แล้ว

      Chalamila upo vizuri, hizi titles za eng.wanazani ni cheo na sifa wakati akili zao zimejaa tope wanazaririsha fani za watu

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว +1

      Kijana wa Magufuli vijana wa Magufuli wana uwezo mkubwa wa kufikiria na kuchambua mambo

    • @ufugajiwetu7782
      @ufugajiwetu7782 ปีที่แล้ว

      Kumbe ni mwanae ni mtoto wa ngapi

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 ปีที่แล้ว +1

    Hawa nao magu magu ye ye ameshamaliza yke

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mkuregenzi wa wapi!!mbna mzigo anangangania mtu slip we utumbo

  • @musaguga
    @musaguga ปีที่แล้ว +2

    charamila akiongea namuona magufuli kabisa

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว +1

    Ngangania mkuu wa mkoa hyu mkurugenzu kilaza.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 ปีที่แล้ว

    Chalamila.apewe TAMISEMIMNI HAZINA
    YA TAIFA

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 ปีที่แล้ว

    Kaxi endelea kweli simama imsra msema kweli

  • @ufugajiwetu7782
    @ufugajiwetu7782 ปีที่แล้ว

    Yan mtu Mzima Na Shule kaenda anaogopa kujieleza

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว

    Hamna kitu hapo mkuu wa mkoa rushwa imetembea hapo

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 ปีที่แล้ว

    Mbona kuna wakagua majengo au inakuwaje?
    Na je mkuu wa mkoa ana madaraka gani hasa maana wengine wanakuwa beyond the boundary
    Naomba kujua please maana kuna mikoa ambayo tupo na mkuu wa mkoa hayuko kasi kakaa katulia je kwanini wengine wamepoa na wengine wanafuatilia utendaji wa kazi kuna nini?

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mkuregenzi achunguzwe inaonekana ana maslahi apo!!!

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว +1

    Vijana wa JPM wana akili nyingi sana Comrade Chalamila anachambua mambo kisayansi. Samia ameona aibu hadi amemrudisha ukuu wa mkoa na alitakiwa apewe wizara kama Tamisemi . Na Rais Majaliwa na waziri mkuu Chalamila nchi ingesonga sana

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 ปีที่แล้ว

      Alikuwa mwalimu wa University huyooo

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว

      @@faustinluambano2958 najua yuko smart sana na muda wowote anaweza kurudia kazi yake wakimzingua

    • @Bikhafija
      @Bikhafija ปีที่แล้ว

      Euloo nzao.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 ปีที่แล้ว

    mambo ya MKATABA HAYO 😂😅

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 ปีที่แล้ว

    Mradi tuu itokee..kwenye midia tatizo liko wapi..wa chini wote wanaelewa na hata yeye mwenye anajua ukweli

  • @leskaryjoram8832
    @leskaryjoram8832 ปีที่แล้ว

    Chalamila umewapiga shule ma fundi

  • @uhurunyereremusa8592
    @uhurunyereremusa8592 ปีที่แล้ว +2

    naona Chalamila anatafuta kiki utendaji kazi wa kujionyesha kwy TV umepitwa na wkt Magu hayupo tena. evaluator wa majengo ndio anayepaswa umuoji haya maswali kabla ya ujenzi haujaanza

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 ปีที่แล้ว +2

      Acheni wivu kwani alikuambia amewaalika watu wa TV? Watu tunachonga sana, jambo likifanywa kimya kimya mnasema pia duh mbongo bwana shida

    • @emmanuelmkama3000
      @emmanuelmkama3000 ปีที่แล้ว +1

      Acha kiherehere

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว

      Chalamila ana akili kubwa kuliko ukoo wako wote ana hoji mambo ya msingi na mfuatilie huyu Magufuli’s son ana thinking capacity kubwa sana kuliko average Tanzanians

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 ปีที่แล้ว +1

      Kwahiyo mkuu ulitaka afanyeje na anaeka wazi kwa wananchi na ndio wanalipa makodi, tozo ndani ya nchi kuna ubaya gani wananchi wakifahamu hela zao zinavyotumika kiupuuzi..

    • @uhurunyereremusa8592
      @uhurunyereremusa8592 ปีที่แล้ว

      @@mathewtwimanye92 aliyewaita ni Chalamila kwa jili ya Kiki maswali anayomuuliza mkandarasi kuhusu vibali ilibidi yaulizwe kabla ya kupewa hiyo kazi. chalamila inabidi akawaulize waliompa kazi mkandarasi kwani hawakujipa hiyo kazi.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 ปีที่แล้ว

    Haya ndio wanayotaka watanzania wengi huu ndio ukweli utake usitake Kama chalamila anavyofanya ukitaka upendwe shauri lako

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva4937 ปีที่แล้ว

    Huyu mkuregenzi bogasi

    • @shukranitv2971
      @shukranitv2971 ปีที่แล้ว

      Syo mkurugenzi amekaimu tu huyo ni mwamasheria

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson ปีที่แล้ว +1

    Sasa mkuu wa mkoa unaongea nini? Badala ya kufanya ukaguzi kwa vitendo weee unakaaa eti kuonyesha weredi. Umeisha anza Uhaya na wewe. Fanya kazi acha porojoporojo.