Huyo alietoa hiyo video alitaka tu kumharibia huyu dada kwa makusudi na huyo jamaa amefeli sababu huyo demu ni mzuri sana na maisha yake bado yanaendelea vizuri sana na maisha yake yatazidi kuendelea kwa kasi kubwa
Naomba kushauri kitu. Jaman tunaona weng wasaniii na baadhi ya watu maarufu kuona tendo la ndoa ni jambo la kawaida kabla ya ndoa na ukiabika unazan ni kosa la mtoaji tu jaman sometimes muwe na akili na fikra sio kila unachopewa ni kupimwa iman tu bali ni adhabu kutokana na kumkosea Allah bali wanawake punguzeni kufanya zinaa na zinaa sio halali kam hujaolewa tusiseme tu ni makosa ya kawaida bali ni makosa makubwa na ya kipumbavu sana unatijistiri ndio na Allah anakuepushia kuaibika na PIA ni adhabu ya Allah NB: wasanii wa binaadamu wenzang zinaa ni haramu na ni zambi kubwa mno na tusijisifie dhambi ni ujinga kmnuna uwezo ooa sio kufanya zinaa tusisme unapenda kufanya mapnz wakat ni haramu na unajua Ila wao vioo vya jamii ndio wanaoeneza uchafu
Kwa kifupi limetokea ila hujasema wewe kulala na mume wa mtu, unasema umelelewa kwenye dini, then why you slept with a married man? Na tuache kumsingizia Mungu jamani, Mungu hakuambii uende kulala na mume wa mtu na zaidi urekodi then unataka haki pale unaumbuka. Labda Mungu alitaka uumbuke ili ubadilishe tabia ya kutaka kuvunja ndoa za watu. Inaoneka sio mara yako ya kwanza.Hilo ndio jibu la kweli so umekosea, wewe omba msamaha then move on. Hapo ndio jambo la maana
Zama tuletee Chidibez I think we need to know him more nilimkuta mahali juzi kanenepa anawapa wapa watu somo la maisha na anayoendelea kupita hakiyamungu sikumjua zaidi ya sauti ila anaonekana anamachungu mengi na majuto mengi ya umaarufu please mtafute. Nahongera now sauti everything is good. And Menina pole we Love you no matter......yr young and strong bby
So true the person who did this to her it is very evil, let us respect women , the person who removed that video out know that you really tortured this lady, you really killed her, the shame she went through oh my God just help her please, the person who did it you don't deserve to be with any woman in your life. 😭😭😭😭😭😭😭😭
sasa Mungu alikuchagua wewe vipi hapo jaman mbona Mungu mnamshishikiri kwenye kitu ambacho si sahihi???? Mungu muache kwanza we tafuta njia ya kupooza uchungu ila Mungu muache. Kwan ulibakwa???? Maana kwenye video naona unaangalia kabisa camera na utam kuusikilizia jaman. Afu unasema sababu we mwanamke...Wanawake bwana tunapenda kutumia jinsia yetu kutia huruma pindi tunapofanya mambo tofauti...si sawa.
Hi Zamaradi from Kenya bt Niko Qatar kibiashara nimemsikia Menina naomba umtafute plz na umwambiye nahitaji mazungumzo na yy my Number ya WhatsApp hii +254790001605 plz plz anitafute
Dah! pole sana umenifanya nilie na mi dah menina pole wng nakupenda sana hayo yote ni mapito tu pole sana Mungu atakulipia tu kwa wakati wake inshaallah
Pole mama hajna haja ya kulia,maisga yanasonga...kuteleza sio kuanguka,nakusifu ulipata ujasiri wa kunyanyuka na kuendelea na maisha ...wanaume ni mbwa usilie juu yao. Mwijaku ni fala mstari wa mbele,haistahili chozi lako..usimpe nafasi iyo
Kila nikiangalia hii interview huwa nalia du Allah tulindie wanetu.ikisha don't trust anybody.usikubali kuchukuliwa video in any case.pole menina ww ni mrembo na mzuri sana
Thamani umejishusha mwenyewe kwanini ukubali kurikodiwa Kwanini sote tunafanya ila haturikodi tena fanya kila tunacho kiweza ila haturikodi bb na tena usimsingizieee mungu upoo bb ufanye zinaa tena jirikodi utuoneshe halafu umsingiziee mungu weeeee🤔🤔🤔
Tunapofanya dhambi huwa tunamsahau Mungu lakini dhambi ikigeuka tunamkumbuka Mungu, kwasababu ni Mungu Wa Rehema na mwenye kusamehe kwanini umuhukumu huyu dada wewe ujawahi Fanya dhambi? Wewe umekamilika? Acha hizo mambo utakuja pata mtoto na atafanyiwa kama alivyofanyiwa huyu dada chunga ulimi wako
@@شيخةصالحاليعربي kweli tena mana sijaona mtangazaj mpk sasa anaeweza kumuhoj akatoa machozi kama anavowatoa wenzie😂😂😂😂huyu mdada yuko level nyingine jaman😢
Acha ujinga wewe sio kila mtu anajirecord kama upumbavu uliofanya..kubali ulifanya ujinga. Yaishe na liwe fundisho. Mnalia ili muonewe huruma na usimuingize Mungu kwa ujinga wenu ..muacheni Mungu pembeni kwa ujinga unaofanya.
Pole sana dada, lkn usiseme ni kitendo cha kawaida kila mtu anakifanya, au kama mungu alikuchagua ww ili uwe sauti ya wengine, ni kweli watu wanafanya lakini jiulize wanfanya kwa njia gani? especially ww ni Muislamu, zinaa haifai, tena naamini hii zinaa si kma haifai ktk dini ya uislamu tu bali ni ktk dini zote, siku zote Allah humpa mtihan mja wake ambae anamkera ili na yy ajiskie maumivu kwa vile anaenda kinyume na matakwa na ridhaa yake.
Yaani huyu dada kichwa chake bado hakijakaa sawa masikini anajikaza tuu yaani akihojiwa unamuona kabisa anawaza Ile Hali iliyomtokea kabla hajuulizwa pole Sana dadà mungu atazidi kukupa amanii akuna atakae maumivu yako
Loma usimtiye mungu kwenye zina, ww !!!sema Shaitan Ndo kakupitiya hapo na mungu ndo Kwa kkumbuwa, pili hilo liwe fundisho Kwa mwwnmke yy atakaye kubali kurekodiwa hata kama ni mume wako, juwa huweza akawa adui wako siku mmoja 🙏🙏🙏
Kawaida but beautiful.. KARIBUNI KUANGALIA FILAM MPYA INAITWA ASHA CHAUDELE pamoja na TAMTHILIA MPYA INAITWA NANI MKAMILIFU SUBSCRIBE TH-cam ACCOUNT NI 3focus media..
Katika yote,,pole Dada ila MUNGU ni mwema wakati wote nakupenda Tamthilia ya Tand umecheza vizuri sana napenda kuifatilia wewe ukiwa mshawishi mkubwa❤️umependeza
Sio kosa kufanya kile kitendo,kosa kujirekodi menina,kwann ulikubali kujirekodi?kosa lako kubwa ni kukubali kujirekodi.pole Sana na uwe makin na wanaume wengine usikubali tena kujirekodi
UYU MTOTO MENINA KAMA MZURI NAMPENDA KBX KAMA NAWE UNAMPENDA GONGA LIKE HAPAA
Huyo alietoa hiyo video alitaka tu kumharibia huyu dada kwa makusudi na huyo jamaa amefeli sababu huyo demu ni mzuri sana na maisha yake bado yanaendelea vizuri sana na maisha yake yatazidi kuendelea kwa kasi kubwa
4 2
@@happynelson1136 limwijaku hilo cjui nae menina alimpendea nn lile dume khaa😂
@@linahsemindu9575 mimi pia nashangaa kwa nini Meninah alilala na mwijaku yaani nashangaa sana sababu Meninah ni mtoto mrembo sana
@@linahsemindu9575 tatizo Meninah alijekodi mwenyewe
Mrembo,makosa kila mtu hufanya tusipende kuhukumu
Kila mwanamke anatakiwa kujipenda yeye kwanza,kujithamini na kuimarika katika ujasiri ...usikate tamaa juu ya vitu vidogo
Ukishajitambua tu wewe ni Nani .itakutoa sehemu moja kwenda nuingine. .shida wamama wengi hawajitambui...woga na hofu na stereotype za kijinga
This interview was conducted respectful and professionally, alot of lessons learnt. Thank you
Naomba kushauri kitu.
Jaman tunaona weng wasaniii na baadhi ya watu maarufu kuona tendo la ndoa ni jambo la kawaida kabla ya ndoa na ukiabika unazan ni kosa la mtoaji tu jaman sometimes muwe na akili na fikra sio kila unachopewa ni kupimwa iman tu bali ni adhabu kutokana na kumkosea Allah bali wanawake punguzeni kufanya zinaa na zinaa sio halali kam hujaolewa tusiseme tu ni makosa ya kawaida bali ni makosa makubwa na ya kipumbavu sana unatijistiri ndio na Allah anakuepushia kuaibika na PIA ni adhabu ya Allah
NB: wasanii wa binaadamu wenzang zinaa ni haramu na ni zambi kubwa mno na tusijisifie dhambi ni ujinga kmnuna uwezo ooa sio kufanya zinaa tusisme unapenda kufanya mapnz wakat ni haramu na unajua
Ila wao vioo vya jamii ndio wanaoeneza uchafu
Asante kaka nmejifunza
Umesema kweli kaka jamii imehalalisha zinaa inaonekana ni kitu Cha kawaida kabisa, Mungu aturehemu jamani
@@mercydeo4040 true Allah atusamehe makosa yetu
shukran kwa ujumbe wako
@@chocolatebby68 afwan
Nakupenda menina ur so beautiful no matter what
Am glad unasema ni kikombe chako ulitakiwa kukinywa mama...usijali,maisha yanaendelea,naendelea kukusifu kuvuka daraja hilo...
Kabla cjaendelea naomba nikupongeze da Zama umependeza sana
Menina nakupenda sana dah hadi nmetoa mchozii😭😭
Mwijaku sio mtu mzuri hamissa nakupa pole kwa yajayo
😭haki umeniliza Roho inauma Sana mambo mfanye faragha mwezako ayatoe nje yanaumiza sana sema ishatokea songambele
Hapa hyu dada alifanyiwa kitu mbaya Sana
Zama kumbe kichen part cha wananzengo kukueleza kuwa na tissues kimekuingia hongera sn 👏👏
Maisha haya nyie tunatoka mbali Dah aiseeeee pole Minnah
#Zamaradi tunakupenda mama kwa interview zako mzuri
fikisha pole yangu kwa menina
@@mytelecom2019 inshaAllah 😄
Dah! Aiseh umenifanya nimelia Menina. Tumekuelewa mumy...pole Sana mpenzi wangu
Yani watu jamani kwa kukuza ya wenzao utafikiri wao hawafanyagi chochote
Kwa kifupi limetokea ila hujasema wewe kulala na mume wa mtu, unasema umelelewa kwenye dini, then why you slept with a married man? Na tuache kumsingizia Mungu jamani, Mungu hakuambii uende kulala na mume wa mtu na zaidi urekodi then unataka haki pale unaumbuka. Labda Mungu alitaka uumbuke ili ubadilishe tabia ya kutaka kuvunja ndoa za watu. Inaoneka sio mara yako ya kwanza.Hilo ndio jibu la kweli so umekosea, wewe omba msamaha then move on. Hapo ndio jambo la maana
Zama tuletee Chidibez I think we need to know him more nilimkuta mahali juzi kanenepa anawapa wapa watu somo la maisha na anayoendelea kupita hakiyamungu sikumjua zaidi ya sauti ila anaonekana anamachungu mengi na majuto mengi ya umaarufu please mtafute. Nahongera now sauti everything is good. And Menina pole we Love you no matter......yr young and strong bby
fact
Zamaradi jitahi kuongeza sauti unanong'ona sana wakati mwingine.
Both of you girls are looking gorgeous.
Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu
So true the person who did this to her it is very evil, let us respect women , the person who removed that video out know that you really tortured this lady, you really killed her, the shame she went through oh my God just help her please, the person who did it you don't deserve to be with any woman in your life. 😭😭😭😭😭😭😭😭
Unasema sio kweli.....ebu tuambie ww
Ebu tuambie ww ukweli
@@davidone1313 unamanisha nini tafadhali, what do you mean with your comment i don't get you
th-cam.com/video/XkGLz7jr1vw/w-d-xo.html
AFRICAN FASHION||
Diana Obondo hajaelewa ulichoongea na alichoelewa ni vitu viwili tofauti
sasa Mungu alikuchagua wewe vipi hapo jaman mbona Mungu mnamshishikiri kwenye kitu ambacho si sahihi???? Mungu muache kwanza we tafuta njia ya kupooza uchungu ila Mungu muache. Kwan ulibakwa???? Maana kwenye video naona unaangalia kabisa camera na utam kuusikilizia jaman. Afu unasema sababu we mwanamke...Wanawake bwana tunapenda kutumia jinsia yetu kutia huruma pindi tunapofanya mambo tofauti...si sawa.
We naye acha kujifanya mjuaji...usipende kuhukumu...! Unakera
Hahaha na utamu aliusikilizia... ila kiukweli hakuna aliyemuonea ila yeye mwenyewe alifanya upuuzi kwa kukubali kurekodi wakati akifanywa...
Doreen majumbu Wanatetea ujinga ndo kazi zao kipiga picha za uchi zikivuja hooo namwachia Mungu
Mdomo wako nauonea huruma
🥴🥴🥴
Umenifanya nilieeee😭😭..pole babygirl🥰
💣😓😓😓nimelia mpk nimejisikia viby
@@Shayy97 kuna muda maisha yakuzalilishwa tunapitia wengi hata wew yakikufika ndipo utajua uchungu wake
Nimepitia kama hicho menina ,nililia yangu yote kwakweli,so nakufeel na niuchungu mno
Hi Zamaradi from Kenya bt Niko Qatar kibiashara nimemsikia Menina naomba umtafute plz na umwambiye nahitaji mazungumzo na yy my Number ya WhatsApp hii +254790001605 plz plz anitafute
Pole sana,mdogo wangu,wala atukuhukumu dia,nakuelewa sana Menina,pole dia.
Dah! pole sana umenifanya nilie na mi dah menina pole wng nakupenda sana hayo yote ni mapito tu pole sana Mungu atakulipia tu kwa wakati wake inshaallah
Mimi pia nimelia inaumiza Sana
Interview poa sana.Sama you so smart and your Interviews are very interesting. You can't skip you need all the details in your Interviews. Bravo
Nywele yako nimeilewa sana..! Alokutengeneza kakunogesha sana
Jamani watanzania acheni ujinga!mfanye uchafu wenu Kisha mtie mungu ndani, astaghafirullah
Pole mama hajna haja ya kulia,maisga yanasonga...kuteleza sio kuanguka,nakusifu ulipata ujasiri wa kunyanyuka na kuendelea na maisha ...wanaume ni mbwa usilie juu yao.
Mwijaku ni fala mstari wa mbele,haistahili chozi lako..usimpe nafasi iyo
Nashangaa clouds wameamuajiri..pumbafu sana yule
Mungu kakuchagua ww kwenye zinaaa ili uwe mwalim 😂😂 naweza sema pole tu ujifunze tu kua makini na aina ya mwanaume wa kushare nae hayo
hhhhh
😅
Kila nikiangalia hii interview huwa nalia du Allah tulindie wanetu.ikisha don't trust anybody.usikubali kuchukuliwa video in any case.pole menina ww ni mrembo na mzuri sana
Ibilisi wa mtu ni mtu mdogo wangu, life goes on 😋.
Hii aliitengeneza mwenyewe ,Kichefuchefu hata kumsikiliza, anatafuta kiki.
Jaman Pole kwa yote,ki ukwel tumekuwa na tabia ya kuhukumu kana kwamba sie ni wakamilifu
Yaani nyinyi munachekesha san mufanye xxx video mutume than mujidai mumekosea kumbe mumekusudia..aendelee tu tumemis mzigo mpya
@@dr.madevualcantara4775 ila kwel kwanin wajirekodi wanafanya ivo ili nini
Pole daa unaniliza bure move on menina
Zamaradi umependeza, make up on point ❤️
Thamani umejishusha mwenyewe kwanini ukubali kurikodiwa Kwanini sote tunafanya ila haturikodi tena fanya kila tunacho kiweza ila haturikodi bb na tena usimsingizieee mungu upoo bb ufanye zinaa tena jirikodi utuoneshe halafu umsingiziee mungu weeeee🤔🤔🤔
Tunapofanya dhambi huwa tunamsahau Mungu lakini dhambi ikigeuka tunamkumbuka Mungu, kwasababu ni Mungu Wa Rehema na mwenye kusamehe kwanini umuhukumu huyu dada wewe ujawahi Fanya dhambi? Wewe umekamilika? Acha hizo mambo utakuja pata mtoto na atafanyiwa kama alivyofanyiwa huyu dada chunga ulimi wako
Nani mwingine ameona sura ya bahati bukuku kwa menina?gonga like
Hata sie tunapitia mumy sema hatujulikan video zinaishia mtaan kwetu 😢😢😢
Don cry menina we love you 😭😭
Interview iko vizuri na imetulia sana
Wallah nimelia ila aliyefany hivo atakuj kulipwa, sio vzur na ni udharirishaj
Kapole maskini...I love you❤❤❤
Nataminig Zamarad siku ajihoj mwenyew 😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Hapo chacha kunoga hatariii
🤣🤣muone vile nimecheka😂
@@شيخةصالحاليعربي kweli tena mana sijaona mtangazaj mpk sasa anaeweza kumuhoj akatoa machozi kama anavowatoa wenzie😂😂😂😂huyu mdada yuko level nyingine jaman😢
For real you make me cry may God bless you
Kuna watu wanajua kuumiza wenzao jm..! Sasa huyu mwanaume hapo anaona rahaa ...sio vzr mtu kukulilia..
Nikwa nnwasanii wa kwetu wakishaharibu wanamhusisha mungu kwenye upumbavu?
Zamaradi umependeza sana...u look so gorgeous...!👌😍😘
Ulitakiwa uolewe na ufunge ndoa ndo tuone mumeo ametoa hiyo video.Huna maadili yoyote ya dini.
Unaanzaje kufanya tendo la ndowa ukarikodiwa na mwanamme ambae leo nakesho mnagombana
Acha ujinga wewe sio kila mtu anajirecord kama upumbavu uliofanya..kubali ulifanya ujinga. Yaishe na liwe fundisho. Mnalia ili muonewe huruma na usimuingize Mungu kwa ujinga wenu ..muacheni Mungu pembeni kwa ujinga unaofanya.
you talked emosional menina wng😥😥umefany ad nmelia......
Pole sana dada, lkn usiseme ni kitendo cha kawaida kila mtu anakifanya, au kama mungu alikuchagua ww ili uwe sauti ya wengine, ni kweli watu wanafanya lakini jiulize wanfanya kwa njia gani? especially ww ni Muislamu, zinaa haifai, tena naamini hii zinaa si kma haifai ktk dini ya uislamu tu bali ni ktk dini zote, siku zote Allah humpa mtihan mja wake ambae anamkera ili na yy ajiskie maumivu kwa vile anaenda kinyume na matakwa na ridhaa yake.
Kunywa fanta #safia nassoro
Da zama umewaka ❤️❤️❤️
Yaani huyu dada kichwa chake bado hakijakaa sawa masikini anajikaza tuu yaani akihojiwa unamuona kabisa anawaza Ile Hali iliyomtokea kabla hajuulizwa pole Sana dadà mungu atazidi kukupa amanii akuna atakae maumivu yako
Afadhali mara hii Zama umekuwa na tissue Pole menina pole sana mamy
Alisahau
Loma usimtiye mungu kwenye zina, ww !!!sema Shaitan Ndo kakupitiya hapo na mungu ndo Kwa kkumbuwa, pili hilo liwe fundisho Kwa mwwnmke yy atakaye kubali kurekodiwa hata kama ni mume wako, juwa huweza akawa adui wako siku mmoja 🙏🙏🙏
Pole Sana many ila mashaa Allah nywele
Tanzania hata ufanye uchafu Vp bado utaoneekana star shujaaaa
Wakati anarecord hukujua
Mzuri menina MaashaAllah
❤
Kawaida but beautiful.. KARIBUNI KUANGALIA FILAM MPYA INAITWA ASHA CHAUDELE pamoja na TAMTHILIA MPYA INAITWA NANI MKAMILIFU SUBSCRIBE TH-cam ACCOUNT NI 3focus media..
Don't cry darling .....keep moving darling
Hana uzuri wowote ana sura mbaya umbile nzuri but sura wapi kbs mapuwa makubwa sana
Pole Sana menina kuna wanaume wengine hawana akili kabisaaa nilipoonaga niliumia Sana aiseee pole Dada
Maskini pole sana sana ..
Mh ok.... leave God out this please
Menina mzur jamani Mashaalah
MashaALLAH
Katika yote,,pole Dada ila MUNGU ni mwema wakati wote nakupenda Tamthilia ya Tand umecheza vizuri sana napenda kuifatilia wewe ukiwa mshawishi mkubwa❤️umependeza
Sio kosa kufanya kile kitendo,kosa kujirekodi menina,kwann ulikubali kujirekodi?kosa lako kubwa ni kukubali kujirekodi.pole Sana na uwe makin na wanaume wengine usikubali tena kujirekodi
Ila chumbani watu hufanya mengi sana..as long as wote mnatunza faraga huwa yanaishia huko huko
Yani mwijaku namchukia yule baba mxyuu zake
Mungu hakubariki unekana mkarimu sana sauti yako fanya kazi usikate tamaa
Malipo ni hapa hapa duniani. Pole Dada, ila aliyekufanyia hivo na alaaniwe na mbingu na ardhi imeniuma sana aki!
Tatizo nima pombe kisha mtu unaefanya nae ana mapenzi na ww
Menina uzuri wote uwo umeenda tembea na dudu chungu
Nimeria saana jamani 😭😭😭pore sana menina love youuu 😘😘
Hahaa, Abigael hata mm nilianza kukuchukia niiidhani unaringa sana kumbe ilitakiwa iwe hivyo? 😀😀😀 pole now nitakufuatilia bila kuchukia
hata mm yaan nlimchukia sanaa
I have totally changed my attitude toward you this interview has changed everything.... Keep going Menina
Parents is everything hata mm Nina story yangu but bado nataka nitoke kwenye conclusion niwazime mdomo kabisa
Vizuri Sana zama Leo una tishu
Half of her cute is her brain luv u menina
Zama u looking beautifull I like ur makeup with dress mashaallah
Menina umefanana Sana na Reila Rashidi.but watu mnaotoa pole hum ndio mlikuwawakwanza kumtukana Sasa hivi mnajifanya mnahuruama 😁😁
Ila dada Zamaradi i really like interview zako yaan ni za kipekee sana 😘
Kwanini ufanye jambo ambalo Allah kakataza
Kwani wewe hujawai Fanya
yanakuja kwa maumivu, fedhea, vikwazo n.k ili uwe mwalimu kwa wengine,, nimekupendabure dada Menina
Harusi ya muhammed na nabila kisauni mombasa
Umependezaa my loveee Zama +254 Mungu azidi kukupigania 💪❤❤
We love you MENINA...I LOVE YOU......YOU ARE A GOOD GIRL..
Nani anaekuamini si mpumbavu unastara gani
Lakini mwijaku mimi namwona ni yeye ndiye aliyevujisha coz mbona alirecord hiyo movie ya ngono😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
It's ok mamy move on mungu yupo pamoja nawe
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄pole dear,maisha lazima yatokee..life goes on ..usijali
I love you Menina, Zama interview zako lazma mtu alie unajua Sana kuhoji mtu
Lkn tunalizwa nass wangaliaji😥😥😥
Kulia kiafya ni jambo zuri, jitahidi uwe unalia mara kwa mara.
AFRICAN Fashion
th-cam.com/video/XkGLz7jr1vw/w-d-xo.html
@@aichaabdul5844 hahahahahahahahahhaha
Polesan kipenzi Inauma 😔
Usijalie
Wanaume ni wakatili sana,ila tunapoendelea mambo yatakaa sawa tu..watajinyoosha wao wenyewe sababu vita inayoendelea ni kubwa sana🙏🙏🙏🙏🙏
Umeonaee yaan tena watanyooka kweli
Kuna video yake moja hivi ananyanduliwa, anaonekana anajua
Mungu atakuhukumia inshallah menina be strong 😘😘
Pole mamy😭😭
Tujitahid kuepuka zinaa hilo ndo kubwa