RICARDO MOMO afunguka SABABU ZA KUACHANA NA MALAIKA "SIKUSHINDWA KUMTUNZA, MAPENZI YALIISHA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 เม.ย. 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Nakuombea kwa Mungu upate mke mwengine mwema na mwenye heri na wewe Momo.❤
Kwa vile alivyo sasa hivi shukuru Mungu maana sio wakuwa nae mtu kafikia kuvaa uchi vile Astaghafilullah 😢
Jamaa linajua dini ila maisha ya kidunia yanemfanya aingie ktk mambo yaliyo nje ya misingi ya dini ktk masuala ya kubeti na kujiingiza ktk masuala ya miziki na mastarehe, ALLAH amuongoe IN SHAA ALLAH
Fact
Asa hapo linajua kwan yeye ni tembo gurudumu flani?
Me pia namkubali sana ricaldoh
Nj@@JOHNJOHN-pu7wb ametumia ninjia yakusifia kitu , nd maan unawez kitu mfano jamaa linajua hili
Mziki uko juu unaathiri maongezi
Momo Allah akupe ungine mke mwema inshallah
Kaka momo mstaarabu sana
Unajua kuongea momo 👏
Inshaallah allah atajalia mke mwema na mwenye kujistiri pia inshaallah 🤲🤲🤲🤲
Nampendaga tu licado yupo na busara ti brother mm nakuelewa sana na yupo na heshima kwa mwenza x wke wote awajadhalilishana safi sanaMungu awafanyoe wepesi ndoa ni rehema na barasa na ndoa nyingi zina changamoto nyingi hakika umeongea hasaa na sote tuna mapungufu mkamilifu ni Mungu tusinyoosheane vidole❤
Ricardo ana ngozi nyororo. Handsome boy
😂
Shwaaah🌈😂
😂😂Mzee wa kudelee za ndaaaaaaniiiiii kabisaaaaa linapenda kulamba mdomo wake wajuu uyu momo big up to you bro Mimi shabiki Ako Niko hapa
Mashaallah momo mi nakupenda Sana ❤❤❤
❤
Ricardo anafanana na caleb wa malkia karen ❤
Hiii interview nimeipenda sanaa cjui kama itatokea
Ricard unaonekana ni mtu wa dini saana. Namuomba ALLAH akuzidishie na ucbadilike mdogo wng.
Kwa sasa anapiga mixa 😂😂the ushekhe umekua wamchongo
Recardo momo soon i,m coming to bongo taku check apo unyamani from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Me my self from burundi mola akuwekey wepes recardo momo ex wif wako alipo kuwa anahojiwa na sns dada yule amekuw namaneno machach san san yahekima hiyo itoshe kusema nimisingi bora y recardo momo amerithi kwake pesa majumba nivitu vikubwa mnoo
Nimeyipenda san bro uko vizuri san kiyasi cha dini kipo i,m talking as ustadh
Ustadh,samahani saaaana kama nitakukwaza. Nini maana ya USTADH
Kiukweli ukweli ulichoongea ni sahihi masha Allah Allah atuongoze biidhnillah
True that 👌
Kwa kweli mimi namkubali saana Momo. Cmjui sana, ila kwa mtazamo wng namuhic ni kijana mstaarabu saana.
Momo Kwan ni msanii
Malaika amekuwa shapeless
Nikupem tena mauwa yako bro wng from burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 before one year nimekuj usafini umekuwepo hapo injee ila skuweza kukusabayi ila next time i,will come back to you kwa mimi binafsi ex wife wako malikiya misimamo ya uchache wamaneno pia kaathirika n hekma zako n busara zako my bro call me Abdoul ntaku check one day apo usafini bro umenyook san mola akupe faraja badala n Allah atuongezeye malikiya wetu frm burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
onekanwaaa eeeh sawa sawa
Jamaa anajua kujibu kabisa majibu safi sana
yani bro ukiaondokatu katika tasnia ya muziki pepo unaiona. mungu akuongoe zaidi
Nikweli
Studio Pambe Sanaa Maua Yako Mbunifu
Inshallah atapata mwingine❤
KWAKWELI WANAWAKE WENGI HAWAJIELEWI SANA, WAKIPATA BASI WANASAHAU SANA NINI DUNIA. NDIO MAANA WENGI WANAWAKE WATAINGIA MOTONI. MAMBO MWENGINE YANASIKITISHA SANA NA YANAUMIZA NI MTIHANI KWELI
Majibu mazuli momo acha dunia imunyooshe maana sio kwa shape ile eee m/mungu naomba nijalie mwisho mwema vijana tunapotea snaa na ujana wallah😢
Yaani broo momo memo unakubalije kuhojiwa na bachela anajua chang a moto za kuishi na mwanamke
Bro ulifanya sawa kuwachana naye...huo ulikuwa ni Moto..Fitna..urembo likuwa niwewe Tu uone... lakini malaika alitaka kuonesha kila kitu Kwa waume wa inje... ALLAH akusimamie.. Brother Momo
Hallow
Mzee wa kudele nakukubar sana hawa wanawake hawana shukuran kaka tena ata mawasiliano ungekataa mazima tunaumia sana kupenda watu wasiotupenda
17:21 hadi 17:40 Momo Umeongea Madini sana . Superb.NAZINI HADI NAKUFA . SIKU UKIFA UNAMJIBU NINI MOLA WAKO.
Ila momo alimpenda sana malaika , yani inavyoonekana malaiki akimwambia turudi pamoja yupo tayari 😂😂😂🙆🏼♀️🙆🏼♀️🙆🏼♀️
dogo mchaga amemshikilia sana mzee wa kudere humu ndani 😂
Ndo maana mnaambiwa redio ya ndugu
Hahahaaa dah, jamaa amemkamia momo balaaa
Mtaka mbele mpishe bora umempisha kaka utapata mke mwema mke mkeo
Huyu mtangazaji Bado ni mtoto,hajaoa Bado,hajui challenges za ndoa especially ndoa ikiwa na mtoto.Wanawake wakiwa kwenye ndoa baadhi ni mwiba, especially wakiwa au kupata umaarufu.
Mchaga anamaswali ya kukera ningekua Mimi kashakula mikono mingi hapohapo 😂😂
eti mtoto wa kslamu, kwan wakristo ndo wanaruhusu
Mapenzi peke yake hayatoshi kuishikilia ndoa kuna sacrifice uvumilivu nk
Mwanamke alifika hatua hakuwa anamuheshimu tena mumewe, Pole dada hana hofu na chochote yupo busy na urembo
Hii family ya kina diamond ukiwachana nao tu lazima wakuseme vibaya kama wao niwakamilifu ili hali wao ndio Wanaongoza kwa skendo siwapendi
4:59 pumbavu😂😂
Masheheee!!! Huwa wanakwama pabaya…usichezeee misambwanda🤣
😂😂😂 amekukomesha kwa majibu yake Rigal Naam
Jibu sahihi umejibu,ndomana nmemuacha finish😂😂😂
Wadada wa mjini wana mambo yao na wanaume wa mjini wana mambo yao
Watoto wazuri wote ni malaika muulize Ricardo momo😂
Momo ukitaka mke mwengne miye nipo mwaya@Warda wa Momo 😂😂
😅😅😅
@@husnathabiti4114 nipo Hapa Bi Warda wa Momo akee
Li momo dini linajua lkn dogo lake linampoteza Allah atuongoze sote
Maaalim kapatikana leo😅
Umpe ushauri nduguyo ni mzinifu mkubwa na kuzalisha kila aina ya wanawake nje ya ndoa
Huyo malaika sijui shetani surgery ikijakubuma ndia atajua hajui
Hizi ndio kero za kuweka mahusiano Public..
Bora mumeachana mwanamke anathamini makalio kuliko ndoa
Momo njoo unioe mie
Lkn naogopa mkirudiana na Malaika je. Ukiniona Malaika haiingii hata robo😂😂😂😂😂😂cku hiz wanaume Hakuna. Malaika ataka KUDANGA. Sie twataka kustiriwaaa. Ila atakuja kumbuka shuka kumekuchaaaa😂😂😂😂
😊
❤❤🎉🙏
pvbav kwan boss wako anafanye😂😂😂
Mzee wakudele ulikosea Sana huyu Dada heshima isipotee ulitakiwa utie mimba akuzalie mtoto paka Leo angekua anakueshimu hawa ukiwa change hivi hivi wana dhalau sana
mtot gan amezaa nae watot 2 mbon
saivi hata mzae watoto 10 km mtu kashaamua lake anafanya tu mbona mtoto wanae sema huyu dada baad y kupata umaarufu kaona momo wa kazi gani
wakuu huyu dem nampataje
mtangazaji huyo
huyu nae siasa nyingi malaika kakuacha wew ulipambana sanaa kurekebisha ukashindwa
Sasa kwani kuna shida gani.
Si kakubali kushindwa ndio akaamua kumpa talaka ili Aishi Maisha anayoyapenda
😂😂
ATA MWANZO ULIMSHUPALIA TU,,SIJUI TAKO LILE,,,,SIO JAMII YA MWANAMKE UTAKAYEMUWEKA NDANI AKAFATA MISINGI YAKO,,,WE UNA HOFU,,MWENZIO HAJUI HATA HOFU YA MUNGU NI NN,,,
Let’s see what are you going to do with that “one” next to you. Africa is watching.
Hivi hizi tv hazina mambo ya maana kuwahabalisha watanzania huu ni upuuzi , huyo malaika ndio Nani Na huyo momo ndio nani wengine hatumjui na
Sasa unakunya nini
Mchaga alikua ywambamiza MOMO tuu!!!! Momo alimkataa Malaika sababu za ustar
Momo Malaika ni bomu bora mlivyoachan ungekufa umesimama
🤣🤣🤣🤣 ZA NDAAAAANI , NIMESKIA UJANA PLUS HAIFANYI KAZI.
ZA NDANIIII LEO ZIMEHAMIA KWAKE HAHAHAHAHAHAHA
Momo anafanana xana na mama dangote,na RJ hapa kuna kitu chakuchukua
Afanane kwani ni mwanae?
Alafu uyo engel zamani ndyo alikuwa mnzuri syo now,ameenda kujiaribu tyu
Umeonaeeh juzi niliona akihojiwa anaongea km mzee
@@mwanamisiali5712 hilo dom kachemkaa😂
duuh watu wawili wawili kweli..huyu wanaimuinterview anaufanano na Daimond hivi..
Sasa huo mdomo umeufanya nn mzee au unataka ufanane na kaka😅😅
😂anazuia kigugumizi
Anaongea kigugumizi
𝚁𝚒𝚌𝚊𝚛𝚍𝚘😂😂😂😂😂😂😂😂
huyu manzi umaarufu ndo umemponza
jamaa analamba lamba domo ananikera kinomaaa
wewe na malaika mnamtoto mmoja tu yule wa pili ulimkuta kwa malaika sio wako acha uongo
Sio Muongo Dada mdogo.....ila ni Hekima katumia. Huyo mtoto bila Shaka anamchukulia Momo kama BABA yake,na anaishi na kusoma na Mdogo wake. Busara imetumika kutokumkana kwenye Social Media.Ujue hii interview haitofutika iko siku huyo mwanae wa kumzaa anaweza kumwambia BABA.....mbona ulimkana ndugu yangu???? Halafu acha kumwita mwenzio "MUONGO" Unamjua kiundani??
Lkn ukinioa msije pasha viporo na Malaika NTAUA😂😂😂😂NINA WIVU BALAHA. SHEM WANGU WA UKWEEE ATAKUA DAIMOND❤😂NAMI NIWE SUPERSTAR😂😂😂😂😂
Usijitetee ulikosea kuoa wewe ustadh mvaa kanzu kaoe wavaa majuba wenzio sio kuoa shangingi la mji kisha useme status ilifuata ndoa kwa nn msiikemee 😂tatizo hamfuati miongozo ya dini ktk kutafuta mke huo ndo ukweli sheikh isemwe hata kama inauma stahamili sheikh😂
Hivi momo mpaka arambe rambe lips 😅
Huyu jamaa kwa yule manz alicjochola
Tatiz wanawake ,,, kubla ya kuolewa ni wema sana ngoja sasa umuoe
Momooo mbna unauvuta sana huo mdomo shda nn😢😢
Kajilamba midomo mara 112
😂😂😂😂
Cjui analambaje midomo km ndan nae yn liulim lote nje
Wewe mchaga unamlazimisha mwenzio km kashindwa kumtunza. Mbona waliishi mpaka wamezaa wtt wawili?
Leo ndio nimeelewa ndoa sio lelemama😅😅😅
Ni kweli unaeza pata mke balaa na mwanmke ukapata mume kisanga ni kuomba Mungu atusaidie tu
😂😂