Naipenda sana hii nyimbo hasa ninapokerwa nikiusikiliza hasira huniisha na kuendelea na maisha, naweza kustahimili ndiyo maana nanyamaza hahahahah good life LANGU JICHO
Kuna kero za ajabu zinapotokea nasikiliza wimbo huu mashairi yake jamani naweza kustaimili ndo maana nanyamaza langu jicho(Asante Hadija Yusufu)Heshima yangu na hutu sitaki kuipoteza.
Bi khadija napenda sanaaa nyimbo zako
Kama ndo imetoka leo vilè, khadija yusuph pongezi kwako dada unajua ety
2020 nikiwa Oman muscat napata raha za ki home home yaani cjutii kbs kupoteza mb zangu 💃💃💃💃💃💃💃💃
Nyimbo inatia faraja sn unapo kwazika ...asante bi khadija
Langu jicho nyimbo yangu hii,naipenda hatar
Wapo baadhi ya watu wameumbwa na muweza nyoyo imejaa kiu.. Ya kugomnana na watu... Duh... Langu jicho tyuuuuu.. Pambeeeeeee...
Nimeipenda hii taarb ni Khadija mashallah mng akuweke maneno yamenifundisha meng
Yangu macho,.mkono na shavu langu taarabu za kale zina mafunzo Sana,.old is gold!
Hongera nyie Waja wake Mola!!!!Mko juuu tuuu sanaaa
I like the song very much....yataniepuka mengi nikiufunga mdomo...
Sivunji heshima yang kwamambo yasonamana wakapata lakusema ....sant zanzibar ntawakumbuka daimaa
Rahaa saanaaa muimbajiii upoojuuu yoteehayo nikweliiii maana binadam kwakudatiliyana nishidaa
Langu jicho langu jicho langu jicho, sinyanyui mdomo wangu, nanyamaza nanyamaza nanyamaza Masha a Allah.
Hii nyimbo naipenda sana Wala haichuji
Sigombani na wenzangu mi muungwana sana..safi sana bi khadija yusufu mm penda ww
Sisi watu wa Pwani hizi ndio nyimbo zetu,zinaburudisha,zinafunza ...
Yanini shidawenzangu wakati raha nyingisana katuletea karima
naipenda sana hi nyimbo sijui kujielezea hira naipenda
Hi taaraabu kiukweli ukiisikiliza lazima ujifunze kitu to
Ninapigana na tumbo langu, nataka kuona hatima yangu, ipi inaendelea ipi inaendeleaaaa
Hhhhhh teyna vipi naendelea
Heshima yangu na utu sitaki kuuupoteza waja wakanidharau hatari sana haka kanyimbo
Langu jicho mkono na shavu langu yaniepuke mengi
We adijaaaa weweee umenikosha sanaaaa nikazikuishi nawatunatabiazaooo kuziwezaa
Jaman wimbo unanikumbusha mbali sana big up
Kweli Hujakosea bi khadija sauti ya chiriku wakuacheee
jamaniiii raha sana song pambe Sana niwimbo wasikunyingi lakini haujachuja mpaka Leo jamani langu hicho mieeeeeee
Mashaallah yaani burudani
Yani tamu sana hiiii nyimbo
Safi
😊😊😊😊😊
huuwimbo pambeeee atariii
Naweza kustahamili, ndio maana nanyamaza 2021 bado iko juu
Okjamani
penda sn huu wimbo 2019 wp jmn like zenu
Kwer
Alijtahdi maneno yke mazuri Kwan sio mda wakujibizana
nikushkuru mungu2 kwasasa hekimana busara zikowap kamazaman hakika dunia yenda nawatuwake chakuomba nimwishomwema2 by meja kichenje
Mwenzenu nna damu mbaya natambua kipi nilofanya baya na kuchukiwa
Pambe sana
Hekima na busara ❤❤
Hakuna kama jahazi tenaaaaa
masha Allah wimbo umejaa ujembe kuntu
Majaliwa ya rabhana
Naipenda sana hii nyimbo hasa ninapokerwa nikiusikiliza hasira huniisha na kuendelea na maisha, naweza kustahimili ndiyo maana nanyamaza hahahahah good life LANGU JICHO
maashaallah
Nafarijika Sana nikiickia hii taarabu naipenda Sana kwakweli
wallah taarab hiz zikipigwa unatuLia tuLiiiiiii unaskiLiza ujumbe8-) z
Enzi hairudi mashallah
Siwezi kunsahu ❤
pambe Tyuuuuuuuuu.hupo msemo wa zamani Mdomo hulimponza Kichwa.
Naipenda sana hii nyimbo nimejifunza mengi wallah,,khadija mungu hakuweke wallhah
Wimbo huu nakumbuka mbali 2000 nipo dar miaka hairud nyuma miss saana dar
Wakati nyimbo imetoka 2007
hapo sawa 😙
Haswaaa,maneno kuntu,Wala hayaishi ladha
Taaaamu 2023 watu wa kikoneni,shika adabu,fingirika,mvindeni,majoreni , bounty nyumba sita,munje pwani na watu wa magaoni wote nawapenda buuree
Sijui niseme nn ila kama bado kama mm miaka kama yotee kuisikilizaa laik zenu kwa sanaaa sauti maneno na vitendo vyangu inagusaa haswaaa
safi sana
Langu jicho ya walimwengu Mengi
Sauti hiyo inanigusa.
Nyimbo zurisana
nami namkumbuka marehu mama arikuwa anapenda tarabu Sana asa zamani
Nikisikiliza hii taarab namkumbuka rafiki yangu aliefariki kwa ajali tulikuwa wadogo enzi hizo
Asante
Pole
Asante
Kwani hawa wasnii maneno walikuwa wanayatoa wapi?na awe mdgo kwangu hat akinitukana tuli nitizamaaa
Yani maneno yenye thaman mno
Naweza kustahamil ndomana nanyamaza
Yaani nasikia kulia kila nikisikiliza huu wimbo hakika alijuwa kutoa funzo
uko na ndamu mbaya kama mm😭😭😭😭
Mwwnzenu nadamu mbaya natambua👌👌👌👌🇺🇬
Wale wa 2020 mko wapi
2019 dah najilowazaga tu mwenyew
sana tu mamyyyyyyy
Manshallah ulijua kuimba humu na mafunzo pia yaan naupenda sana
Nikiwa Stockholm nasikiza hii ngoma Yenye miaka dahar bado hipo na ujumbe wake
Iko poa sana
Kuna kero za ajabu zinapotokea nasikiliza wimbo huu mashairi yake jamani naweza kustaimili ndo maana nanyamaza langu jicho(Asante Hadija Yusufu)Heshima yangu na hutu sitaki kuipoteza.
Mashallah wimbo una maana kubwa sana
Kweli kabisa yaani huu wimbo acha tu!
Nyimbo nzuri sana mwanan
Nikiiskiliza machozi yana nitoka
😭😭😭🙏🙏
Iko safi dana
Naangalia maisha yangu hilo ndo jambo la maana
Kweli heshima itapotea
Asante dd wa ukweee
Pambe sanaa
Daaah sauti kama ya bint mdogo umejaliwa saut
😭😭😭Tunskumbuk mbali wengine
Naweza kustamil 2020
Jamani hii nyimbo nikisikiliza machozi yananitoka ina nikumbusha mbali sana yani nakumbuka miaka ya 2000
Gg Jghh nimejifunzamengikwenyehiinyimbo
sitagombana na mtu kurushiana maneno heshima likapotea
Kweli kimya ni majibu
2020nipo Hapa nanyamaza mkono na meshavu langu
Raha kweli!
Nyimbo tamu mnò hii, inakupa raha haswa yhaan jmn
Nyimbo hii nikiisikia nakumbuka mbali sana
haswa heshima kwa kila mtu upoo sahihi.
Dunia Kaongo wapi??
Nyimbo ya taarabu iliyopata tuzo ,Dada huyu anajua kighani si masikhara pongezi kea mzee Yusuf
Namkumbuka marehemu mama yangu!mungu akupe pepo nzuri!
Naipenda sana hii nyimbo maneno yake kuntu
Amina Juma hiinyimboinanikumbushakwe2tanga jumbezakenimezielewasana
naipenda sanaa
Nice song
Sophia Charles Aswa maneno kuntuuu
Asha
So mpz wa tarabu lakini huu mmmmh nakpenda mpaka nalia kwakweli
Heshima yangu na utu sitaki kuipoteza
mwenzenu nna Damu mbaya natambua kipi nlofanya kibaya na kuchukiwa .Ni kazi kuishi na watu na tabia zao kuziweza .
2019 tuonane
Tuliopenda huu wimbo 17/4/2020tujuaje huku covid 19 tukiiwaza
😂😂😂😂😂😂😂🙂🙂
daa jmn hii nyimbo atl
Mama hakuna anaekuweza
Like zangu 2020
maneno ya kweli maisha yako ndo muhimu
pambe tu kukaa kimya nijibu LA mjinga
iwafikie visokorokwinyo wote
naipendaga sn
naipenda atar
nataman nikuone bi hadija
Izi sasa ndo taarab..
Maneno ya busara taha chizi atarevuka😂😂😂😂
Wambie vijuso wasiojielewa❤❤😅
Nakumbuka mbali sana nikisikia nyimbo hii
Nami pia LANGU DJITHO!
Wimbo una ujumbe wenye Mafunzo, pia unafariji na kutia moyo
Naupend xn huu wimbo
Pendaaa Sanaaa hii Nyimbo😍😍
unanikumbusha mbali xna...
Masha Allah bi hadija
Naipenda
penda sna huu wimbo😍😍
Khadija Mbuta
Yani anipenda xana hii nyimbo
hii ndio kudra yangu majaliwa yarabana......
2020 oyoooooooo
Nikiifunga mdomo tuliii nikiingalia
Kazi kuishi na watu na tabia kuziweza
Inatoa stress Ii nyimbo
Kweli bihadija napiga matumbo langu upo juu bibie
Ata akinichokoza...nitamzarau
Hongera