UST MBOGO AMUBANANISHA MWL DANIEL MWANKEMWA; MADA YA MTUME AMEKUBALI KIFO CHA YESU, QURAN INAPINGA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 95

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mitume wengi walpigwa na watu wake ikiwepo Mtume Muhammad na Ibrahim na wote walkomba N ungu awasamehe kwa ville Hawajui watendalo.

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 10 วันที่ผ่านมา +1

    wallah kukuwa mukristo nimutihani mkubwa 🤔🤔🤔🤔🤔 sheikh mbogo muweke Daniel sawa uringaniye haki ❤❤

    • @alerts9917
      @alerts9917 10 วันที่ผ่านมา

      Kama kuamini kristu ni ngumu na kuamini haya za kimashetani wakiwadanganya kwenye quran

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 9 วันที่ผ่านมา +1

      Huyu jamaa haelewek tena pasua kichwa mara anasemaYesu Ni Mungu mkuu mara asaiv tena anasema Yesu ni Mtume

    • @innocentndikumana8928
      @innocentndikumana8928 9 วันที่ผ่านมา

      @@alerts9917awuna akiri timamu

    • @alerts9917
      @alerts9917 9 วันที่ผ่านมา

      @chikuiddy9946 waislamu mko na masikio ngumu iyo bibilia wanachambua ndo inasema ama ni maneno ya ndacha kama ingekua ni kurani mnachukulia vile inasema mbona kwa bibilia hauchukulii vile inasema si andiko moja linasema karibu vitu zote za manabii waliongea hata yesu mwenye akisema ndiye. Nyinyi ni yale majini mnashiriki nayo msikitini ndo yamewapofusha kabisa ndo msijue ukweli

    • @innocentndikumana8928
      @innocentndikumana8928 9 วันที่ผ่านมา

      @ uyu jama nifara njogisi munafundishwa nawa cungaji wenu ukristo siyo dini nijina mumeyitwa naba pagani uko atokya kabra nabi issa bin mariyam kuondoka

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi45 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hii kesho in sha Allah

  • @Educatedmind-k9r
    @Educatedmind-k9r 10 วันที่ผ่านมา +8

    Ndugu Daniel kiukweli wakati mwingine unajishushia hadhi. Yaani mtu akikusikiliza utagundua wewe ni complicator ila si understanding. Leo unatumia majini kama evidence kutetea hoja yako ambayo hata huelewi😅

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 9 วันที่ผ่านมา

      Afu eti Daniel ndo awe Mwalimu wa Kuwaongoza Wakristo Waende Peponi Kwa Hoja sizizo na Mashiko!!!🙌

    • @protusmuliro2796
      @protusmuliro2796 6 วันที่ผ่านมา

      @@Educatedmind-k9r sheikh othman mazinge alisema ni heri abujahal wakati wa mtume Muhammad kuliko daniel ni abujali wa zama hizi

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 10 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe Daniel ni muongo sana juzi tu wewe ulisema Yesu ndiye Mungu mkuu leo wabadilisha tena Yesu ni mtume wa Mungu tuamini lipi hacha kuchanganya wakristo wenzio

    • @PendoKalama-rn8pf
      @PendoKalama-rn8pf 8 วันที่ผ่านมา

      @@aliabdallah8456 ni Danieli au niandiko

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ustaadh MBOGO tupe e-mail yako nikutumie copy ya vitabu unavyovitaka!

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 10 วันที่ผ่านมา +4

    Hakuna popote ambapo mtume Muhammad amesema Yesu/Issa alikufa msalabani.Period

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 9 วันที่ผ่านมา

      Atawadanganya Wakristo wenziwe/Wavivu wa Kusoma.
      Laakin hataweza Kuwadanganya Waislamu wenye Elimu ya UISLAMU 🙌

  • @Milanova460
    @Milanova460 10 วันที่ผ่านมา +1

    ..
    Tunajua allah ni sanamu moja kubwa kuliko zingine zote....

    • @qarimohdmakamemossi4676
      @qarimohdmakamemossi4676 10 วันที่ผ่านมา

      Wewe chuki zimekutawala, soma vitabu

    • @hashim.22kamal27
      @hashim.22kamal27 10 วันที่ผ่านมา

      Andiko.na.jina.gani.yesu.kamita.naomba.soma.matayo.27.45

    • @MwalimJecha
      @MwalimJecha 10 วันที่ผ่านมา +1

      Laanatullaahi alayka ewe kafiri mkubwa kuliko shetani

    • @samxx411
      @samxx411 10 วันที่ผ่านมา

      Ipo siku inshallah atakuonesha uwezo wake

    • @SamsiaKassaKangeta
      @SamsiaKassaKangeta 10 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo wewe kujua Allah ni sanamu ina maana unapingana na sheikh wako Danieli anayekiri Allah ni Mwenyezi Mungu..?

  • @MwalimJecha
    @MwalimJecha 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ina mana mungu wa Daniel kafa innalillahi

  • @jakuabdull34
    @jakuabdull34 9 วันที่ผ่านมา +1

    Uwezo wa ufahamu wa Daniel na ufafanuzi wa Daniel ni mdogo sana mpaka tunashindwa kumfahamu

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hicho ni kifo kiibaya sana ambacho Mungu hawezi kuruhusu kifo hicho cha lana

    • @PendoKalama-rn8pf
      @PendoKalama-rn8pf 9 วันที่ผ่านมา

      Mungu unamjua vizuri haezi fanya hivo..au unaongea too

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 8 วันที่ผ่านมา

      Hawa Wakristo wameingizwa Chaka Kwa Kufuata; Paulo, Wapagani wa Antokia na Waandishi wa Biblia Kwa Kukosa Maarifa 🙌
      📌Luka amewaambia kwamba ameamuwa Kujiandikia tu yakuokoteza Mitaani na Wala hakupewa Ufunuo/Wahyi kutoka Kwa MwenyeziMungu wa Kuambiwa aandike Habari za Yesu/Mungu wa Wakristo 🙌
      📌Rejea Biblia;
      ✍️Luka 1: 1
      📌Hivyo Wakristo wanapotezwa Kwa Kukebehi na Kuwadharirisha Mitume na Manabii na MwenyeziMungu;
      👉Eti Kuna Mtume ameambiwa atembee Uchi na akatembea Uchi,
      👉Eti Kuna Mtume aloambiwa aoe Kahaba na akao Kahana na
      👉Eti Yesu/Mungu Kauliwa Msalabani na Viumbe wake!!!🙌🤫🙆
      👉Wanamfanya Yesu/Mungu Wao ni Kinyago/Sanamu akiwa Uchi Msalabani eti Kwa Kimboleo la Dhambi zao!!🙌
      👉Wanabatizwa (eti Kufuta Dhambi ya Asili/Dhambi ya Adam na Hawa) Wakti Adam na Hawa walishasamehewa tangia Mbinguni/Peponi Kwa Sharti/Adhab ya Mwanaume/Adam Kutafuta Rizki Kwa Jasho na Mwanamke/Hawa Kuzaa Kwa Uchungu.
      Je, Wakibatizwa (Wakristo) Wanaume hawatafuti Rizki Kwa Jasho na Wanawake hawazai Kwa Uchungu?!

  • @ManaseNgelijoro
    @ManaseNgelijoro 9 วันที่ผ่านมา +1

    Nimetamani kusikia hoja ya waislam

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 9 วันที่ผ่านมา

    Sasa Kama Yesu ni Mungu iweje esu akabidhi Roho yake Kwa Baba/MwenyeziMungu?!
    Yesu hakusulubiwa na hawakumuuwa Bali Wadhani wanamsulubu na Kumuuwa Yesu walibadilishiwa Mtu mwengine Wala hakuwa Yesu (Miujiza ya MwenyeziMungu)
    📌Rejea Qura'an;
    ✍️ Surraht An'-Nisaa 4 : 157
    Wakristo wacheni Kujidanya, mnajiangamiza na mtaangamizwa Siku ya Hukmu/Siku ya Kiyama Kwa Kukosa Maarifa.!!!
    Sasa Daniel unalazimisha Yesu akufe Ili utende Dhambi Kwa Kutegemea Kufa Kwa Yesu !!!

  • @salisali3738
    @salisali3738 9 วันที่ผ่านมา

    Daniel hoiiiiii masikini wee

  • @TheAlman
    @TheAlman 10 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu Daniel kilaza kweli 😂😂😂😂😂😂😂

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 10 วันที่ผ่านมา

    KWANZA NIMKUMBUSHE HIVI SHEIKH DANIELI KWAMBA HAYA STEFANO MLIYEMUUA KWA MAWE NAYE ALISEMA MANENO HAYO HAYO YA KUWAOMBEA MSAMAHA HAO WATESI WAKE AKINA PAULO..!
    Matendo ya Mitume 7:59.,60.
    59. Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu. 60. Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona vema kwa kuuawa kwake.
    JE, HADITHI HIYO HIYO HAIWEZI KUWA ILIMLENGA HUYU STEFANO,MAANA HAKUSULUBIWA??
    NA HILI NAONA USTADHI BOGO ALIPITIWA KUKUKUMBUSHA..!

  • @OmarKhamis-c4x
    @OmarKhamis-c4x 9 วันที่ผ่านมา

    Ama kweli mfa maji haachi kutapa sasa majini yanakusaidiaje kuhusiana na hiyo mada

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu gani asiye na uruma amuuwe Yesu kwa ajili ya dhambi za watu wengine huo ni uongo Mungu hawezi kufanya hivyo abadani kila siku mnafanya zinaa mnakula nguruwe kila siku alafu dhambi habebe Yesu msipende urahisi wa kijinga

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 10 วันที่ผ่านมา

      Mona hata hata waislam wameruhusiwa kula nguruwe 😂 au una aya iliyokataza kula nguruwe katika quran?

    • @PeterJames-p1h
      @PeterJames-p1h 10 วันที่ผ่านมา

      Huna akili ww kwa waislam mlivoambiwa kweny korani yenu kua ukiwa na njaa kabisa kula nguruwe ila usishibe hua huoni iyo aya ama ukila usishibe inakua sio nguruwe ila ukishiba ndio nguruwe? Watu wengine mbona vilaza kiasi hiki,

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wakristo wacheni ushabiki ...sikiza hoja hizi kwa uzuri...makinii wacha uvivu

  • @SamsiaKassaKangeta
    @SamsiaKassaKangeta 10 วันที่ผ่านมา

    Kupitia Stefano ni wazi sasa Sheikh Danieli unatakiwa uje uifute kauli yako uliosema kwamba ",maneno hayo yalisemwa na Yesu pekee yake!"..!
    Hapa umeshaona kumbe hata Stefano naye aliyasema..!

  • @IddMpinga
    @IddMpinga 10 วันที่ผ่านมา

    HUKO TAIF(ni nchi) AMBAKO MTUME MOHAMMAD S.A.W ALIPELEKA UJUMBE, WATU WA TAIF WAKAMWITIA VIJANA WAKITAA BASI AKAPIGWA MAWE HADI MWILI WAKE MZIMA KUTAPAKAA DAMU, ulipokuja msaada kutoka mbinguni ndo hapo akasema wasamehe watu hawa kwani niwatu wasojua

  • @bobbsalumnyalu1114
    @bobbsalumnyalu1114 7 วันที่ผ่านมา

    Danieli kiladha sana afadhali ndacha

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 10 วันที่ผ่านมา +1

    Eeee Allah!msameh mja wako Daniel kwani hajui ata anachokitetea

  • @issasaid8394
    @issasaid8394 10 วันที่ผ่านมา

    Ustadh mbogo huyo kashapigwa muhuri moyoni mwake hawezi kukuelewa

  • @emmanuel-o2x
    @emmanuel-o2x 10 วันที่ผ่านมา

    Miujiza ya Muhamad ni maneno ya washabiki.kwa kumutetea,ili awe mutume.Quran haitambui hata moja.

    • @kalamamuller-qe1yd
      @kalamamuller-qe1yd 10 วันที่ผ่านมา

      Kwan Muhammad ali fika mwezini kwa maana ni kwel mwezi unaufa wa kupasuka vipande viwili. So how did Muhammad know about the broken of moon into 2 pieces. This question must ask ur self

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 10 วันที่ผ่านมา

    Kwenye Quran unapofunua sura ya majini ni majini yameandikaa au mwenye kuelewaa anieleweshee na kuna sura ya shetanii???

    • @ZayyanaBamuni
      @ZayyanaBamuni 10 วันที่ผ่านมา

      Kafunue mwenyewe ukasome hlf uje utwambie

  • @OmarKhamis-c4x
    @OmarKhamis-c4x 9 วันที่ผ่านมา

    Wacha kumchomekea Yesu kwenye maneno ya mtume

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 10 วันที่ผ่านมา

    Hii mijadalaa haitokujaa kuishaa hata siku moja kwamaana MUNGU wa kwenye Biblia na MUNGU wa kwenye Quran ni wawili Tofauti. Issa wa kwenye Quran na YESU wa kwenye Biblia ni wawili Tofauti

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 9 วันที่ผ่านมา

    SIMLIZI TV NI CHAWA WA WAISLAMU KILA KICHWA CHA HABARI ANACHOWEKA NI CHAKUWASIFIA WAISLAMU KWAMBA NI WASHINDI MFANO KICHWA CHA LEO KINASEMA... "UST MBOGO AMBANANISHA MCHUNGAJI DANIEL MWANKEMWA"🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Janvier-u4u
    @Janvier-u4u 9 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi mukatae muitike ila yesu kafa kwahajili yetu njo mana tunamufata ata vitabu vinaeleza vyema kama yesu kafa

  • @Rashid-w2l
    @Rashid-w2l 9 วันที่ผ่านมา

    Kama quran ndio kitabu cha mwisho ,mbona Allah hakueka wazi tu kuwa yesu hakufa juu yuko mbinguni. Kwa nn alete maelezo yasiyooka kwa quran...

  • @Bistwishs
    @Bistwishs 10 วันที่ผ่านมา

    Jamani huyu daniel mpelekeni hospitali ya vichaa akatibiwe

  • @protusmuliro2796
    @protusmuliro2796 6 วันที่ผ่านมา

    Daniel mbma sasa macho yake yana shida sababu ya ukafiri wake

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 10 วันที่ผ่านมา

    Huh, people actually believe the moon split? Eishhhh 🤦‍♂️

    • @samxx411
      @samxx411 10 วันที่ผ่านมา

      What about you believe man as a God. 😅😅😅

    • @abangaabanga4677
      @abangaabanga4677 9 วันที่ผ่านมา

      @@samxx411 well he is God in fresh my friend, understand the trinity

    • @TheAlman
      @TheAlman 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@abangaabanga4677crazy 🤪 comment

  • @hamisikeneth2332
    @hamisikeneth2332 10 วันที่ผ่านมา

    Bibilia inayo somwa ni moja kwanini Quran inasomwa kwenye vitabu vingi inamaana mfaafu hautoshezi maneno mwenyezi mungu?

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 7 วันที่ผ่านมา

      Kasome tena Ni kitabu gani chenye version kati ya Biblia na Quran ?

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 7 วันที่ผ่านมา

      Kasome tena Ni kitabu gani chenye version kati ya Biblia na Quran ?

  • @alerts9917
    @alerts9917 10 วันที่ผ่านมา

    Quran haina mahali Mohammed amefanya mujiza. Sasa mmeanza kuleta vitabu tofauti na quran juu watu wanadai mohamed hakufanya mujiza ili kufumba watu na hadithi za uongo juu uislamu upenda taqiya 😅

  • @MwasabuniSuleiman
    @MwasabuniSuleiman 10 วันที่ผ่านมา

    Injili ya Luka ilikua wapi wakati bwana yesu alipowatuma wanafunzi wake wakaiubiri injili ulimwenguni, Paulo alikua akiwauwa wanafunzi wa bwana yesu akiwa Luka daktari wake.

    • @noahwamalwa4385
      @noahwamalwa4385 10 วันที่ผ่านมา

      injili ni maneno ya yesu aliyowafundisha wanafunzi wake. Yesu aliwatuma wanafunzi waihubiri yale mafundisho ya Yesu. Wakati Yesu anawatuma wanafunzi wakiwa na ufahamu wa yale mafunzo lakini yalikuwa bado hayajaandikwa

  • @husseinothman1257
    @husseinothman1257 10 วันที่ผ่านมา

    Daniel mbona unajichanganya ni wewe uwa unasema yesu ni mungu leo unasema yesu ni mtume mbona hauweleweki

  • @isaacmligo9187
    @isaacmligo9187 9 วันที่ผ่านมา

    Kwani Mbogo Hana nguo nyingine

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 9 วันที่ผ่านมา

    ww daniel mwankemwa ni mdg sn kimaandiko kwa shekh mbogo, kashindwa ndacha utamuweza ww

  • @alerts9917
    @alerts9917 10 วันที่ผ่านมา

    Sasa uyo mtume quran inaongea juu yake aliyepigwa na watu wake ni nani juu umekataa si yesu inaonekana unamjua si utumbie alikua nani ama hauna jibu 😅

  • @AllyNjagila
    @AllyNjagila 10 วันที่ผ่านมา

    Danieli hee hiyo hadithi unaijua kweli!?

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 9 วันที่ผ่านมา

    Kwa iyo danieli hapo huna zambi😂😂😂yani wewe uwe wa thamani saaana kuliko yesu yani wewe ule bata ustarehe ila yesu apigwe misumari ateseke haaa 😂😂😂 ili wewe ule rahaa sasa mbona kila siku unaomba kanisanj usamehewe zambi ni zipi hizo unazoomba zisamehewe tena mpaka kufika kumuomba mariya awaombee kwa mwanawe😂akili mbovu

  • @SabihaibrahimRajabu
    @SabihaibrahimRajabu 10 วันที่ผ่านมา

    Daniel umeviona vitabu vyengine vya bibilia kutoka Ethiopia alokuja navo nabii wenu mkuu vitabu 88 sasa kwanza kavichambuweni ili mueke dini yenu sawa bado inayumba

  • @TheAlman
    @TheAlman 10 วันที่ผ่านมา +1

    Daniel akalia kuti kavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hashim.22kamal27
    @hashim.22kamal27 10 วันที่ผ่านมา

    Ina.mana.daniel.ana.pinga.biblia.andik.iko.wazi.3.13.galatiya.ame.laniwa.mtu.yoyote.atundika.musalabani.ina.mana.yesu.ame.laniwa.?

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 9 วันที่ผ่านมา

    DANIEL MUNGU WAKE NI MAREHEMU👀👀🤣🤣🤣

  • @saidsuleiman9018
    @saidsuleiman9018 9 วันที่ผ่านมา

    Sikuliza daniel waislam sio punguwani km wewe unavo jichanganya kupindisha maneno ya Allah na Allah alikuoneni kitambo mtawqpotowa hao wakiristo wezenu

  • @yusuphhassan9619
    @yusuphhassan9619 9 วันที่ผ่านมา

    Taif/Twaif ndo Daniel anasema ni taifa...msiba huo

  • @Laysonmwakajila
    @Laysonmwakajila 10 วันที่ผ่านมา

    Naona Shehe Mbogo umeamua kupambana Sasa😅😅

    • @Laysonmwakajila
      @Laysonmwakajila 10 วันที่ผ่านมา

      Bora ww Shere Mbogo kuliko wenzio wanao ongerea ndan

    • @hashim.22kamal27
      @hashim.22kamal27 10 วันที่ผ่านมา

      Mbogo.kiboko.ww.na.hukuna.aya.inasemayesu.ame.beba.zambi.ya.mtu.yoyote.8.21.yohana

  • @uwesusaid5334
    @uwesusaid5334 9 วันที่ผ่านมา

    Daniel amepoteana 🤣🤣🤣

  • @alerts9917
    @alerts9917 10 วันที่ผ่านมา

    Waislamu na kiarabu 😂

  • @ikhavi
    @ikhavi 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi Yesu ndiye issa kweli???

    • @alerts9917
      @alerts9917 10 วันที่ผ่านมา

      Isa wa islam ni tofauti na wabibilia hata kama waislamu wanatumia bibilia kulaghai wakristo wao wenye hawafuati chenye isa anasema nikutumia taqiya kuwinda wakristo

    • @chikuiddy9946
      @chikuiddy9946 10 วันที่ผ่านมา

      Ndio manake

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 10 วันที่ผ่านมา

      Sio kabisaa YESU KRISTO ni Tofauti na issa kuanzia sehem waliozaliwaa nchi Tofauti mazingira tofauti maisha yao Tofauti

    • @samxx411
      @samxx411 10 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani Maryam alikuwa mswahili akamwita mwanawe yesu, alikuwa mzungu akamwita Jesus?? yaani nyie kiboko 😅😅😅

    • @saidsuleiman9018
      @saidsuleiman9018 9 วันที่ผ่านมา

      Mulize diniel

  • @mudrikramadhani32
    @mudrikramadhani32 6 วันที่ผ่านมา

    huyo daniel anaelimu ndogo sana aiseee