Nafurah sana wasanii kuwa kweny interview wakifurah pamoja na sio kupondana na young killer kukubal kuwa janjaro amekuwa inspire kwake kutoka katika umr wake japo mdgo ,,,, saf sana dogo janja LA young killer keep it up
Hii Interview nimeipenda sana iysehhh, ushindani wa furaha ndo huu bana kwanza Unafanya muwe na views nyingi... Mwshabiki wenu ndo tunapenda hivyo Dogo janja, young killer, Dah big up mfanikiwe sana nko chuga nmewakubali kinoooooma iysehhh
I like those two musicians.Diamond and Harmonize and other musicians who hate each for nothing, should emulate such positive togetherness and oneness.💯🙏💪
*Kama unamkubali young killer msodoki gonga like*
Killer anajua
Simkubali matako yake😂😂
Dubu mnyama mkali 😘😘
Namkubali sana YOUNG KILLER Big Up Sana Young killer
Young killer unatisha bro aiseeeeee!!!!!
Big up,huo ndio mziki sio kuchukiana, love from Kenya
Hakuna mwana hip hop mwenye chuki kwa mwenzie broo wabana pua ndio tabu
Killer Moto 🔥🔥 janja humuwez Young killer
Nafurah sana wasanii kuwa kweny interview wakifurah pamoja na sio kupondana na young killer kukubal kuwa janjaro amekuwa inspire kwake kutoka katika umr wake japo mdgo ,,,, saf sana dogo janja LA young killer keep it up
Paul Sylvester pli
2fanye kazii acheni maneno mafogoo
Killer noumaaaaaa aisee janjaro kakubalii show ya killer big up mwamba
Dogo janja we bado sana huwezi fika kwa killer hata kidogo mzee baba killer yupo juu sana
Young killer noma
Oe.bro wacha ushamba unajua mziki ama unaongea tu.killer kitu gani.
Hii Interview nimeipenda sana iysehhh, ushindani wa furaha ndo huu bana kwanza Unafanya muwe na views nyingi... Mwshabiki wenu ndo tunapenda hivyo
Dogo janja, young killer, Dah big up mfanikiwe sana nko chuga nmewakubali kinoooooma iysehhh
kilerrr moma
Yess
Acheni utani , Dogo Djadja Noma sana.
woyoooooo killer ni shida japo wote wametisha big up sana
jamaa wamekomaa sana wameonyesha upendo...one love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Young Keller noma
Aisee killer big up xanaaa
YOUNG KILLER BEST ONE
En vérité Young killer c'est un grand rappeur
Keller ninoma 🔥
Dogojanja on fire
Young killer anazngua janja unachana vxuri blood... clean verse and swaggy dope
Young killer noma
Kabisaaaa
Young killer always killing it
Killer beat imemshinda janjaro kachana
I like those two musicians.Diamond and Harmonize and other musicians who hate each for nothing, should emulate such positive togetherness and oneness.💯🙏💪
🎯
Young killer umetisha mbayaaaaa
Young killer comes top.... 254 behind you
Madogo mko vizur sana nawapenda Kino nomaaaa
Kwangu for sure i like the called so dogo janja onelove from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Young killer n nyokaaaaa
Young killer noma mzee
Dogo achaaa zako
Janjaro
dogo janja noma
Bonge la interview aiseeh #madogo_wame_relax kinoma ebwana eeeh huu ndio mziki tunataka mazeeee
Dogo janja Ni number kbsa kwakucana aca uyo dogo,ndo kwamana uwoya kadata kbsa
Punch line!!!!!
Nimegundua hakuna mpira wala mziki
Ngono ndio ina mashabiki wengi!!!!!!
Mwanza Mwanza
😂
😂😂😂😂
Who's still watching🎧 right now😎🎶
Young killer ni hatarii
Wameanza pamoja kwenye game wanajuana mdogo wako vizur Sana ngoma zao ziko poa Sana.
Dogo huwez bishana na young killer huyo ni nomaaa sana
janjaro anazingua eety ata beat ya mzee yusuph haaha haaa haaa haaa anazingua
Dooogoooo janjaaroooo BG up cn nakkbaliiiii%1000
Young killer killed it
Killer anamshindani kwakweli tumpe mauwa yake .by dogo j from mozambique
Janjaro katisha bana gonga like kama tuko pamoja
Dogo yuko vizuri
Kijana kapagawisha noma
safi sana
armany safe sana tuu
Young killer 🔥🔥🔥
young killer ni best level
janjaro namukubali nomaaaaaaaaaaaaaaa!
Hii ndo Sasa show, Wasaani hawana bifu
Ukopoa
Nawapenda wote nyie wadogo zangu
Kila is fckn amazing maan
My Favorite Inter-view of all time.. ✊🙌
Ilo beat aloimba dogo janja ni wimbo gan
dong janja nimukal lakin wot nawakubal,xan
Killer ameuaaaaaaaa👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑2020
Janja nakukubali xana ila young atabak kuwa killer t, nakwelewa killer
Killer young yupo juuu sana
Congratulations more..watu wangu bgup all
Killer ni fireee forever yaaan
Waandishi wachonganishaji saana mnakuza maneno madogo saana
Mwanza Mwanza, Young killa noma.
Janjarooo Uko guda aaaaa
Young killer🙌🔥🔥🔥
Young killer mkaleeee
Ausio
The young killer killed the beat
Wote wakali kinomanom changamoto zao tu
Mbona awa wakishindanishwa akuna bifu lakini kiba analalamika kushindanishwa
killer ana hatari #genius
Young killer Noma 💥💥
Young killer namkumbali sana
Young Killers🔥🔥🔥
killer uko juuu mzeee baba🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
FRANK N dogo Janj mkali
@@filibetimrosso6925 awezi kumfikia killer
Koko ooc
Nimeipenda hii sio yule young dee alishindwaa kuchana akaanza matusi tunaomba uwaite wote watatu sam
Naifat Hassan
Kkk
Hahhaaa
killer is hip hop
Mimi ni elibariki gasper from chuga nawa elewa sana awa madogo pigeni kazi wanangu
Killer 🔥🔥🔥🔥🔥
Killer🔥🔥
Hii interview huwa nairudia🙌🏽..sema apa killer alikaa dogo alibahatisha lakn😅
Dogo janja napenda huyu bwana saaana#mkenya
Janjaaaaa🔥🔥🔥🔥
young killer na janjaaa ni shidaaaaaa
Killer nomaaaa
Killer noma sio
Killer🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Toto ya CHUGA nakukubali toka utoto wangu
Wote wako vzr Sam siku moja Waite wote watatu
Naomba jinaa la wimboo ambao young killer alitumiya kumdis Young dee
dogo janja yuko poaa bwana
Punch line!!!
Kati ya pesa na mzaramo yupi anaongea sana😁😁😁😁😁😁 yani tumejua hapo nani mkali
Dogo janja is 🔥🔥🔥🔥🔥
Konk janjaro nomaaaaaaa
Aoo Nyokaaa Nawakubalii Sanaa
killer ni dogo mmoja mstaarabu sana
Killer is the beast
noma saaaaaana.....i like the interview
Kama unaicheki hii ngoma
2021 gonga like twende sawa
Mazee hip hop for life woooooooooo
Nimezaliwa kutazama kuona nacho sikia👁️ ل͜
Young killer noma sana dogo janja. Kajipange huoo moto wa niwambali
Hawa machalii hatari sana,nawakubali sana.
Young Killer hatari sana
jamani ee young killer level za kina stamina
#yan young killer kashindikana
madogo wapo poa sana Mungu awajalie
Inafaa hao wawili watoe collabo
Nyie wote nawakubali sanaaa
Dogo janja huwezi kummud Young killer
Neipenda interview bureeeeeeeeeeee. Nawakubali woteeeeee jamaniiiiii. Safii
dogo janja mkali sana uyu bwana
Nimewaelewa vizuri madogo pigeni kazi
Nanjaro mkali huyo mwamba ,,Ila nawakubali wote wanafanya kazi nzuri
Dogo janja hatari
i appreciate young killer
Ehe huu ndo uwanaume sasa sio ukishindwa kuchan uanze ku2kan bwn
Msee wa matusi kama young dee