Daah ii mov ni uhalixia wa maisha ya watu katika jamii inayo tuzunguka eeh MOLA wangu nijalie maisha malefu niweze kuwalea wanangu pia ata nikifa wabaki kwenye misingi mizuri 🤲🙏
Masikini hawa Watoto tunaowaita yatima kumbe wengine ni sisi wanawake tumewasababishia uyatima,wanawake tuwe na mioyo ya huruma jamani,masikini jiji limekuharibu kiasi hicho kama kweli vile 😭🙏
Mafundisho mazuri sanaa baba yetu muhumba na mwokozi wetu yesu akumbariki wote wenye kutazama sinema hii amina Tanzania yesu alisema jihathari na mwanandam mana aduwe wa mtu ni yule🎉wa 😢 karibu hata zahindi nyumbani mwako biya kuna song ya rumba inaimbaga 😊 duniya hi ina mambo lukumba lukumba mwendo wa ngamiyah chunga mwenziyo atakudaganya kwa yote apendavyo tena yesu akasema _YOHANa10:1_ _ shetani ni mwaribifu tena muhuwaji tena muhogo .😢 thanks for a good❤ movie
Hongera sana kwa mafundis ho haya yamenibarika sana hadi kunitowa machozi , kiukweli hiindiyo dunia tunayo ishi , ila tunganganie kumuomb a Mwenyezi Mungu aliye msinji Wandoa aziimarishe na kutufundisha upendo na ustahili katika safari ya maisha hapa duniani . Mungu akubariki
Natembeyah mimi ni marehemu !!!! Maisha ya mwanandamu ni kama mauuwa mimi na nyumba yangu ni tamwambundu bwana . Kwakuwa wewe umenikataa mimi namii nitakukataa mimi asemaa bwana wa majeshi good song by Jennife i see nikiwaa kwetu kenya western ingo luhya amina ukweli yesu alisemaa ambandacho mtu ndicho atavunaa
Wanawake tujifuze kufumilia Kwa doa na tuwaja ushauri zawatu wengine mwanamke ujega nyumba yake Kwa mikono miwilii na umbomoha mwenyewe Kwa mikono miwilii Jennifer God bless you 🙏🙏🙏🙏 umenifuza Jambo kumbwa Sana barikiwe Sana
Tamaa ni mbaya na kuna wimbo umeimba etii tamaa mbele mauti nyuma ona sasa tamaa imekuponza umemuua mumeo kisa ana utajiri sasa umefadika nini kumuua mumeo 😢😢😢😢😢😢😢
Acheni hizo tabia mbovu wanake wengine kama mnatabia hiyo acheni hayo mambo kupenda kushawishika ovo kwa mambo ya kishwetani turieni rizeni na ndoa zenu kama mrivokubana mpaka mkaowana kwani pesa mapito tu ndoa imefika mpaka ahera
Hiindiyo duniya Sasa movie tamu jameni eeeeeeeee dada yangu kweli wewenimsanii mkali kaabisaa nakukubali
😭😭😭😭 Mungu naomba unipe maisha marefu niwalee wanangu
Mafunzo mazuri,,,akili za kuambiwa changanya na zako,,,,,,,hongera sana wahusika wote
Daah ii mov ni uhalixia wa maisha ya watu katika jamii inayo tuzunguka eeh MOLA wangu nijalie maisha malefu niweze kuwalea wanangu pia ata nikifa wabaki kwenye misingi mizuri 🤲🙏
Masikini hawa Watoto tunaowaita yatima kumbe wengine ni sisi wanawake tumewasababishia uyatima,wanawake tuwe na mioyo ya huruma jamani,masikini jiji limekuharibu kiasi hicho kama kweli vile 😭🙏
Mafundisho mazuri sanaa baba yetu muhumba na mwokozi wetu yesu akumbariki wote wenye kutazama sinema hii amina Tanzania yesu alisema jihathari na mwanandam mana aduwe wa mtu ni yule🎉wa 😢 karibu hata zahindi nyumbani mwako biya kuna song ya rumba inaimbaga 😊 duniya hi ina mambo lukumba lukumba mwendo wa ngamiyah chunga mwenziyo atakudaganya kwa yote apendavyo tena yesu akasema _YOHANa10:1_ _ shetani ni mwaribifu tena muhuwaji tena muhogo .😢 thanks for a good❤ movie
Mung.naomba.uniokoe.na.shida.ninayo.ya.pitia.niwalee.wanangu.baba
Filamu hii ina2fundixh mambo mengi xan tunatakiwa 2jiekew tunapo ambiw ki2 2natakiw tukfikiriy kwa umakini mkubwa xan
@@ElizabethMatiko1:03
Dd Jennifer unajua natena na tena .❤unatufundisha maisha halisi😢
Hongera sana kwa mafundis
ho haya yamenibarika sana hadi kunitowa machozi , kiukweli hiindiyo dunia tunayo ishi , ila tunganganie kumuomb
a Mwenyezi Mungu aliye msinji
Wandoa aziimarishe na kutufundisha upendo na ustahili katika safari ya maisha
hapa duniani . Mungu akubariki
Jennifer.tungupendakwel
Ukuburundi.mungu aenderey
Kukubalki na fammiliaako!!
Natembeyah mimi ni marehemu !!!! Maisha ya mwanandamu ni kama mauuwa mimi na nyumba yangu ni tamwambundu bwana
. Kwakuwa wewe umenikataa mimi namii nitakukataa mimi asemaa bwana wa majeshi good song by Jennife i see nikiwaa kwetu kenya western ingo luhya amina ukweli yesu alisemaa ambandacho mtu ndicho atavunaa
Waah, nmehurumia hao watoi, nmeona ka ni really life aki. Be bless Jennifer
HUYU SHOGA YAKE JENIFFER ANA MAWAIDHA YA KUPOTOSHA KWELI URAFIKI HUU NI WA NDUMA KUWILI ULE WA KULANA KIVULI
Filamu hii imeniguza sana, duniani ata rafiki moja haiko
Dada jenifer unajua sana jaman mungu azidi kukuinua
Eeeh! MUNGU Naomba maisha marefu nilee watoto wangu mimi 🙏🏼
Kabsa Dear
Maman samahani utupatatiye titre ya mwimbo huyu ya mwisho ni muzuzuri sana
Mov zake nazipenda sana zinafundisha sanaa kaz nzur
Ongera mussa banzi kwakushirikishwa na jenif mgendiii 👏👏💪
Daah hii ina mafunzo saana wanawake tuchagueni marafiki,masikini hao watoto
Mafunzo mazuri sana dada mungu azidi kukupa neema.watching from U.S.A.
Si mungu anipatiye mme kaa huyu haki , jasm ni mjinga tu sana
Wanawake tujifuze kufumilia Kwa doa na tuwaja ushauri zawatu wengine mwanamke ujega nyumba yake Kwa mikono miwilii na umbomoha mwenyewe Kwa mikono miwilii Jennifer God bless you 🙏🙏🙏🙏 umenifuza Jambo kumbwa Sana barikiwe Sana
Mapenzi si pesa jamani wanawake tulizike na waume wetu
@@tantinendayishimiye579 thanks 💓💓
Duuuu! Kama kuna mtu kama Jasmine then hii kazi.
.....
Ila ujumbe mzuri
Mr fimbo mpole mwengine angemfukuza muda tuu
Movie hizi zinaerimisha kwa kweli ❤
Jen nakubal injili yako mungu akubariki ni mm ima
Na omba wimbo ya shela
Mama Jennifer,niko Zambia nakupenda sana....
Kazi nzuri Jennifer hii ndio funzo ya watu wasio tosheka na boma zao😂😂😂😂
Aki nasikia uchungu anavyo wapiga hadi ananitia wasawasa na wanangu sijuwi huko waliko wapo vipi aki MUNGU aturehemu sisi wana wake aki🙏🙏
Tupa tupa kweli ni wengi 😂😂😊
Mungu akuzidishie zaidi ya mahitaji yako dada unamafunzo mazuri saana nahiisi unaniinua
Kwel kama kupenda pesa sio hvo Dada umetisha mungu akuponye Jenifer huyo mweny pesa anakudanganya atakutimua tyu
Kazi nzuri sana nimejifunza kitu kikubwa kwenye maisha yangu
Aksanti kwa mafundisho.
Yes ni kazi nzur sana
Hiii nayo kaliii dada Jenifa....
Tamaa ni mbaya na kuna wimbo umeimba etii tamaa mbele mauti nyuma ona sasa tamaa imekuponza umemuua mumeo kisa ana utajiri sasa umefadika nini kumuua mumeo 😢😢😢😢😢😢😢
Nashukuru sana wanawake wabadirike mana wanaerekezwa hawasikii
Kazi nzuri ❤❤❤❤
Unakifua we baba mungu wangu
Huyo dada nichiz au maaan mambo anayo mwambia mwenzake mh mungu anakuon na huyo mjomb agop mke wa mtu jenifa na huyo tajili wako machiz wote
Safi sana Jen uko vizuri
Hi nayo kali yamwaka wenyekudanganywa namarafiki hongera sana jenfer mghendi wasubiri move ya tamaa mbele mauti yetu
Daaaaah!!! Umetisha sana jenifa mungu akubarik sana na akutie nguvu
Ubarikiw sana jen uku b
Burundi
Ujumbe Umefika Nakukubari Saana Dada Angu Kipenzi Mov Zao Zinanibariki Saana Haujawahi Kuniangusha
Mungu akupe miaka mingi na yenye baraka🙌
Movie nzuri Jennifer
Kwaya ninayoimba nikiwa Dar hapa Tabata Kimanga (kisukuru) ni NEW SONG SINGERS nimefurahi kwenye movie mmeitaja NEW SONG
I like it so much
Move hii nimeipenda sana
Pole kila. Meanzo Ni mgumu mvumilivu hula mbivu
Jennifer ubalilie sana ninapenda mafundisho yako
Asante
Mimi ni mukenya lakini napenda film Sako
Mubarikiwe sanaaa ❤❤❤❤
Unajuwa sana
Mavunzo mazuri Sana dada.Barikiwa🙏🏻
Kila lahele my sister
Asante sana 🙏🏻🙏🏻
ulisababisha wtoto wawe yatima!Mungu weee😢
Be blessed dear
Du hii video nzuri sana
Nmekupend dada Jennifer umejua kuect onger xna ina mafunzo meng xna
Eee shoga mwenyewe miguu mieus, khaa eti sm kmkipande cha miogo daaah tamaa Mungu tuepushe na vizazi vyetu
🙏🙏🙏🙏
Gali ya 10 million eti million 100 natari sana
Axante kwa ujumbe Dada Jennifer
Online saree shopping
Mafundisho mazuri sana
Hii kweli chai ya moto dada jeniva umemaliza mwenye masikio naaskie na macho mboni kwenye kioo dada kazana ili uokoe ndoa za wengi ni mahubili safi
Ubalikiwe Dada kwa kazi yako njema
Mapanga nayo, mwanamkee wee, mungu akutagulue, mbao kwanza
naangalia 2023 jmnii 😢😢😢jeniph mgend
Wow!
Mafunzo mazuri sana
Ujumbe mzuri sana
Usikubali utekwe na dunia Yes yupo malangoni toba ni muhimu
Ujumbe nzuri sana tena imenipendeza sana*100%
Wpi
Jennifer umerikurupukia jiji la dar es salaam na litakufunza adabu pole xna
Lov u Jeni
Good job you teach me a lesson
Mashoga wa mjini. Yan mpka huruma hao watoto.
Wanawake mungu awasaidie
Movie zenye mafundisho
Dada jenifa mungu akubalik
Barikiwa sana da2 napend xn huduma yako
Mambo✌️✌️✌️✌️
Inafundisha sana iyi filamu
Acheni hizo tabia mbovu wanake wengine kama mnatabia hiyo acheni hayo mambo kupenda kushawishika ovo kwa mambo ya kishwetani turieni rizeni na ndoa zenu kama mrivokubana mpaka mkaowana kwani pesa mapito tu ndoa imefika mpaka ahera
Haaaaah. Wanaume nao wanachamba uwiii nafamie kweli tamaa mbaya
Mafundisho malmu 🎉❤
Yaani nmeliaaa ad macho kuuma
Usijidanganye kutoka kwa masikini et umepata tajir utajiloga
Eti hasa we bonge nimecheka kwa sauti
Nice 👍
Upo
Vzr
Dada
Ubarikiwe
Amina
Good
Movie tam balaaa
Kazi nzuri
Fundisho zuri sana .
Anyone here from TikTok? ❤
Me😂
😂😂wengne tumeingia usikuu usku wamanane
Tamu sana