BSS 2022 S13EP02 FULL SHOW
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search All Star
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
I think these guys are confined into their own. Kenyans love love good music regardless of the language. We are diverse and yes, it's a win.
Master show ni kubwa sio ya Tanzania tu..Acha kuangalia watu wenye wako kwa show tu.sisi tunafatilia kwa mbali..from 🇰🇪
Asangwile sang so well, I am Kenyan and I enjoyed his performance, the essence of one being a star is to be diverse and captivate all corners. I do not buy Master J's notion of the participants singing only in Tanzanian dialect that is so limiting. Many participants have sung so well, remember this is not just a Tanzanian show, so the judges really need to get out of that cacoon and allow participants explore. Music is music, let us be diverse and embrace all genres!
Yeah.. What she said is true.. You guys should judge her voice that's what these competition are for.. Language has nothing to do with it.. Au basi andikeni mkija mje kuimba kiswahili master J saying kwamba kama kuimba kiswahili in Russia.. It is out of point.. Music is one language that everyone understands... We all sing bloody despacito.. Do we even knw what the freakin he'll that is. But the molody the voices mahn.. So y'all judges com on u can do better.. If u wanna crush something because you simply hater or dislike her.. Be bold to say it.. Don't call these people to come sing and disrespect their opinion or choice of songs. .. Shilole.. What vocal range does she have.. Come on.. She is amazing business wise but music wise and I say this respectively.. Shut the hell up.. Still love u but no.. That was rude
And that's on PERIOD
Nairobi gossip club ndio imenileta hapa!!🤨🤨🤨
Theo is a star. Ata iyo band yake ya yamoto ni moto kabisa. He is a good perfomer, and his voice is unique
SEMA waTZ mpo vizuri sana napenda kila mtu hapa kwenye bss,afanye vizuri ama vibaya me nkpnda❤️❤️❤️coz I know pia mastar wakubwa pia walianzia chini....hakuna mtu aliamka 2 Leo akasema nataka kuwa star mkubwa no lazima upitie mahali wengine walipitia,uki_fail Leo kesho ni siku never give up in this life polepole ndio mwendo hurry hurry as no blessings lv u TZ🥰🥰🔥🔥
Asangwile sang so well... Aliimba nyimbo nzuri sana la Kikenya
It's so sad to see how we Kenya's support this Tz artists yet they can't return the support back
Ingependeza sana kama wanapo jitambulisha waseme social media names zao na watangaze nyimbo ambazo wameimba so far .
BARNABA the Best Judge big Up...!!!
Naipenda bss♥️♥️♥️
This master J WILL FOREVER BE LOCAL
"Lakini nawahakikishieni mnaenda kutoka na mawimbo yenyu mabovu.''😂😂😂Master unamaliza sana, we mkali kweli.
Jaman Bruce black beauty na Dimpoz zake so cute am your Fan umeimba vzr
Hivi beautiful hutumikaga hata kwa wanaume me sijui 😂
@@SADEE._ ndio my
Waaimbaji wa master leo wameimba vibaya sana
Sioni kama shilole anafaa KUWA jaji Hana hekima, maarifa, na kutoa maamuz yatayomtia moyo mtu, bt Barnaba big up
Naku Bali shilole ajuwi ku jaji kabisa 💯💯
Ukweli
Yaan hajapewa chance ya kuongea yeye anakurupuka
Ye mwenyewe kuimba hajui ndo atajua kujaji ao anao wajaji wanaimba kuliko hata yeye
Sijui ata waliangalia vigezo gan wakamuweka shishi
Bongo star search ya saiv imefanyika kimya kimya sana au imeisha m ndio sjui?
Shishi wew mwenyewe hujui kuimba
Hata sijui wamemletea nini ?
Kweli kaimba vibaya
Dada alieimba helo 😅😅 kaona awachane tu... kwamba Bss wako local
Aimba english na shilole ata hajui huon kam ni mateso kwa judge shilole😂😂😂
Alichosema kinamaana kwel na nimempenda
@@robsondalink6206 🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuna kaukwel ndan yake
Uvumilivu ulimshinda 😅
Yaan ukitaka kujua km kitu ni kizur soma comment kwanza you'll not lose your MB
Wanajudge kuhusu uwezo wa kuimba au aina ya nyimbo za kuimba inaonesha wako kwa ajili ya kupromote local songs na sio kuimprove uwezo wao wa kuimba
Tatizo mnakawiya sana ku UpLoad maana kipindi hichi kina siku nyingi
Waambie Waige Hata BGT Na AGT Wanavyo Upload On Time Wanabore😏😏
Habari imewafikiya 👍
Iyo nyimbo ya nani
Mko vizur xn 💪
Majaji wafungue BSS wasiangalie uimbaji unaojikita Tanzania tu, let it be a great forum for talents at global level, mtoe mtu Kwa vigezo vya kipaji
Judging according to language is unfair as long as they want all of africa to watch this
Ila we master jay na wewe msenge msenge sana sana lugha wanyokoooo
Habari yenu mimi ninawafatilia sana kwa nini munakataza wasanii kuimba kingereza na kipindi ninyi munaongea kengreza?
Master Jay ni judge namtambua sana. Lakini kusema nyimbo za Kenya hazifai Bongo star search ni makosa. ni yetu sote haswa sisi tunaojua kiswahili
Brus nakupendaka sana
Bruce elias jitaid uwe una chagua nyimbo nzuri hiyo ulio imba ume zingua kweli mbona una jua afu una chagua nyimbo mbovu badilika kulingana na nyakati
Dah kweli kila mtu na shughuli yake!! mtu anaimba vizuri majaji wanamkataa!!.....
Yani ana comment shilole mm napata aibu mimi
Master J hata Kenya wana hit song don't disregard persons just because they sing Kenyan songs or international we are competing the world ....
Ashura bado jamani
Muwe mnaweka full kama iv na sio vipande vipande
Shishi food buree😆😆😆😆😆😆
right elbow ya koti la masterJ sijaelewa au ndioo style @5:32
Hamjui nyie majudge kujudge,, ebu token hapa asangwile kaimba vzr
😅🤣🤣🤣🤣🤣
Iko sawa
It's high time we need music professional to judge people not just watu maarufu. Sielewi kabisa vitu anavyoongea Shilole.
Nice but majudge wanabid wawe flexible na sio static
Shilole miyeyushooooo
Minaali cjui km ndo unvoitwa ila nmeeleweka nakupenda sana.
Anaitwa MEENA ALLY NAMPENDA SANA
Huyu mama ntilie kafwata nini hapo 😅
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huja wahi kumuelewa au
Sababu ya kumchukua shilole kuwepo hapo kujaji vipaji sion Kama anajua kuusu maswala ya muziki sijapenda kozi sioni talent ya music kwa shilole pia ajui kuimba Wala ajui mwimbaji mzuri yukoje ninacho hona yeye anasikiliza midundo nansio uimbaj
Aseeeee bunzari ni kibokoo
Hivi mwaka hii amma bss
Sangwilo sang very well,what's the issue with these judges.
Shishi anazingua sana😆😆😆
Bruce Elias 🙌🏾
Hivi shilole mwimbaji wakiwa judge au mfanyabiashara?
Ivi ni simu yangu au nn make kuna vipande sauti inakata
Shishi yeye mwenyewe kuimba hajui sasa sijui kawaje jaji sijapenda anavyojaji watu hata kama mtu hana voko mpe moyo tu basi
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yamoto umetisha safiii
Brus anaweza ira nyimbo anazo chagua zinamuangusha
💖💖😗
Eti shilole nae jaj EB achen utan
Yan shishi hata akiwa seriously bado utasema anafanya utani
Jamani Shilole mziki kaujulia wapi kuweni sirius jamani
I think someone who knows sings we hear them in their voice but you watch them in their performances I don't know what you are watching judging them
Niliwamic sanaaa
Bora wangempa ata lady jaydee kuwa judge shirole
Saa uku shishi anaimba wimbo inakaa aje mbn musiite akin dimond mbosso shishi muache akapike be wise bss is a big thing
Guitar iko sawa bro kuja 🇨🇩 uneza pata nafasi
Master j ni mnafiki kwani bss inafuatiliwa na wa Tanzania pekee?
Huyu shilole wangemtoa kuwa judge
Cku nyengine msimuweke shishi hafai
Theophile to the TOP💯✔
Acha niseme ukweli kuimba luggage ya kizungu haimanishi kua yuko juu hii ni mashindano na mashindano haiangalii yaimba luggage gani mtazami nikuangalia kua yuko off keys ama sauti zake pengine hajui kuzirekebisha
Master j umbwaaa tu sasa yeye kama jugde hio ni ki2 anaweza ongelea on camera really?? Thats how chuki inaenea kwa wasanii umbwa master j
Hapo shilole tatizo alafu kakutana na master J Tena duh sijui ila shilole jamaani sijamwelewa kabisaa
Shishi hamna kitu kabisaa hajui lolote kaniboa mnooo
Shilole anabwekaga 2 ajui kuimba
Naombeni sauti zetu viewers zisikike please... Shilole tatizo alafu swala la lugha... Sijaona kama Kuna tatizo mtu akiimba kingerezaa ila Cha msingi judges waangalie kipaji Cha mtu ila shilole hapanaa
Hawa wakenya kwa kulalamika dah😂😂. Mnapenda nyimbo za kibongo, tuambie ni muimbaji gani wa bongo maarufu anaimbaga kiingereza. Hawa majaji wako sahihi, lazima uangalie audience wanaokusikiliza na uimbe wanachokielewa. Na mziki wa bongo unapendwa kwa sababu tunaimba kiswahili. Hatusemi mtu asiimbe kiingereza, ila angalia audience.
Mm kiukweli s shabiki wa mziki ila kitendo Cha Mr jay kuka na shilole eti wakijaji n kumdhalilisha kabisa
Maana Hawa n levo tofauti
Wakwanzaaa
Funny how Tanzania are jealous of us 🇰🇪😂
.nyinyi mnapima uwezo wa kuimba na sauti ama mziki unaoimbwa..hamjudge inavyostahili
Master j stop confusing people wimbo n wimbo ww judge kaa umeshindwa toka apo c n wimbo ama alitowa shairi wimbo zenyu zinge hit bila mchango y kenyan song dont be sily u are a dad and icone wacha wimbo zenyu zinge hit ivyo bila mchango y wakenya kwenda uko
Zanael true vocalist
Hivi ninyi waandaaji mnatsfuta pesa tu au mko serious na swala la vipaji. Kama mko makini mnaletaje mamburura kama majaji, M J hajui mziki kabisaa shilole ndiyo usiseme. Acheni ufala mnaua vipaji mbwa ninyi
Sikia hili senge eti MJ hajui mziki
Asagwile mkali sana
Asagwile kaonewa
Kwanza tutambue MZIKI nini?
Jamani kuwa producer sio eti ndio kufahamu kila kitu kwenye mziki
Kuna baadhi ya mambo hao majaji lazima wafahamu kitu kabisa kwenye mashindano kama hayo auwezi mkataza mtu kuimba kingereza au kumchagulia lugha MZIKI ni fujo bali inategemeana na anaye usikiliza au kupokea anaupokeaje tambueni ilo mtu anaweza kuimba kiswahili lakini mimi ninaye msikiliza nikaona kama mitani tu na mwengine akaimba kingereza lakini nikasikia vizuri acheni mambo kama hayo tunafuatilia mashindano mengi sana ya mataifa tofauti haya sio mashindano sasa
Music definition ni fujo ambayo inapita kwenye masikio ya mtu kama nilivyo sema inategemeana na anaye sikia anapokea vip sio eti hadi kuelewa lugha no huo sio mziki acheni utani
Yani 😂Master J na Salama ndo wanafanya naipenda BSS mpk leo..BSS imeanza kuchangamka sasaa
Shilole anaangalia tabasamu za watu , dimple's,yaana mambo yenye hayana msingi , na kukataa wenye wanaimba nyimbo za Kenya
@40:07 Huyu christian bella wa mchongooo mshkaji kauuuuuuaaaaaa huyu ningempaa ushindiiii wa mojakwamoja
Pia master j kiukweli huyo Bruce elias niwaz una mchukia toka season iliyopita acha chuki binafsi
Bruce me mwenyewe naona anapendwa tu ila kuimba hamna kitu
@@fedrickshiuga6180 WE SI FALA NDO MAANA
Kwa shilole wame bugi mlevi malaya mkosa heshima
Kitu emmy amezungumza ni ukweli bado tuko nyuma sana and we still need judges proffesional mtu kua kwenye game for long haimfanyi awe judge mzuri...i hate the fact mtu anakosolewa ety kisa kaimba kiingereza ni upuuzi tu bss now is booooring😏😏😏
Walitumia vigezo gani kumpa shilole ujaji
Chakula 😂
BBS please when choosing people to help in judging get ones who know but not putting streat feeling coz it kills our talent. Shilole was not good at all, am a fun from Kenya n have been since season 1 till now
Wimbo uliochagua umepooza hauchangamshi jitahidi uimbe nyimbo za kuchangamsha
hapa wakenya tunahitaji apology... mbona master j umetukosea heshima hivyo na sisi pia ni mashabiki wa BSS?? WAKENYA UMETUKOSEA HESHIMA MASTER J... NA TUMEKUCHUKIA...
Mpaka mnanichosha kwenye 'ra' mnaweka 'la', na bado hamjirekebishi
Sasa shishi ww unaweza kufanya kitu gan kwenye mziki? BSS Mtafute majaji wenye kujua mziki bwana sio kutafutiana kick za ajabu. Tunaua game
Shilole hafai kua jaji
Kabisa