nimewai pole sana Naila uyo shangazi yk ni shetani pongezi ziende kwa Lucas lumba simurizi ni tamu sana ❤❤❤ ninavyoo ona sada atakuwa ni changamoto kwny doa ya naila
Chenye sifa kipewe sifa jamani mwandishi alie andika hii simulizi mwenyezi mungu akubariki sana simulizi ni nzuri kweli kweli tokea sehemu ya kwanza mpaka hii yapili ninzuri sana chukua mauwa yako ❤❤❤❤❤❤❤
Mungu aingilie kati, Naila asije akakoswa furaha tena mana amepitia mateso mengi, ila naamini mwenye haki hajawahi kuachwa na Mungu , ngoja tuone mwishoni
Wazazi tuwe makini na vitu tunavyopandikiza watoto vinaishi kwenye mioyo yao milele. Alafu baadae unajaribu kusawazisha too late. Sasa ona shangazi maafa alioleta🙏🏾🙏🏾
Sada mbona namshutukia jaman ivi Naila ataishi kwa amani kwenye ndoa yake? au ndo mambo yanazidi kuwa makubwa lakini ngoja tuone mwisho wa awa watatu maana naona kumeanza kuchangamka.
Asante san kak lucas kwa mwendelezo
❤❤ Asante kaka lucasi kwa mwemdelezo, nimwahi No2 lika zenu plz, wadau Naila niliisubli kwa ham❤🎉🎉🎉😢
❤❤❤🎉🎉
Pongezi sana
hatimae part2 imewasili love you lucas😍
Baby lucas usicheleweshe bc sehem ya tatu ❤❤😢
nimewai pole sana Naila uyo shangazi yk ni shetani pongezi ziende kwa Lucas lumba simurizi ni tamu sana ❤❤❤ ninavyoo ona sada atakuwa ni changamoto kwny doa ya naila
Atavuna alchokpanda huyo mwanamke ukute atakuja kusaidiwa na nails huyo mwanae atakuja kumpga 2kio.
Wa kumi na saba🎉
Chenye sifa kipewe sifa jamani mwandishi alie andika hii simulizi mwenyezi mungu akubariki sana simulizi ni nzuri kweli kweli tokea sehemu ya kwanza mpaka hii yapili ninzuri sana chukua mauwa yako ❤❤❤❤❤❤❤
@@wertqwe8326 😅😅lete hayo maua nimpe
Waooo asante sana ❤❤
Mda wa kucheka umefika Aki nilisubiri kwa hamu mno japo kuna sehemu ni huzuni tupu Shangazi anamfanyia Naila wetu sio poa😔
Yule wa kugawa like mdogo mdogo nimefika sapoti kwenu wadau
Asante sana Kwa mwendelezo 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Ahsante sana kaka Lucas kwa simulizi nzuri ya binti Naila nakupenda sana kwa kuwa unatupa uhondo kwa wakati
Shukran kaka Lucas ila huyo shangazi akumbuke malipo hapa duniani Allah atamlipa kwa yote❤❤❤
Wakwanza jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Hatimae 😊
😂😂😂👍
Sikuwezi my💜👏
🥰🥰🥰🌺🌺
Yaani jamani hili lishangazi nilishenzi lishenzi kabisa jamani loooh hana hata haya 😮😮😮😮😮
Asante sana kaka lucas
Aya ss wapendwa katik mbwan nijambo lakumxhurul mung kwakukutana Tena kwamal nyingn Kam wezangu wapo bs nijambo laheri thank you God🙏🙏🙏🙏🙏
Amina🙏🙏
Wa 47 jmn naombani like zenu jmn wana simulizi wezangu tujuane jmn ❤❤❤❤😍😍🌹🎊
Tumefika😅
❤❤❤🎉🎉
Hood hood jaman wadau nimefika na omben like zenu ❤❤❤❤❤
Mshangazi juli 😂😂😂😂
🤣🤣🤣😝😝
Cjachelewa sana jamani nmejarbu ❤❤❤❤ maua yako Lucas 🎉🎉
Good job lumbasi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mm naye nipo hapa jamani SI Leo tu mnipee likes
Asante kaka mana toka asubui nipo yutubu
Nilikua nasubir kwaham ❤❤😂
Mungu aingilie kati, Naila asije akakoswa furaha tena mana amepitia mateso mengi, ila naamini mwenye haki hajawahi kuachwa na Mungu , ngoja tuone mwishoni
Naila ataolewa nani jmn au almasi
Lazim shani atamuumiza tena Naila
Watu mnawahi 😂
Sema kimeumana😂😂😂
Mashangazi Aina Ya Shangazi Yakee Naila Ndo Wanatufanya Mashangazi Tusemekane Ni Wachawi 😢😢
Umesema kwel😢
Ila mara nyng ubaban MUNGU a2saidie.
Hakika😢😢sababu matendo ya shangazi ya Naila ni yakichawi,kwani uchawi ni uovu mkubwa kama hivyo😢
@avelinabaluhya2804 pakubwa
Hawa mashangazi mbona wanakuwaga na roho mbaya hiv jaman 😢😢
Mimi nimeishi miaka mingi sana na ndugu za mume wangu lakini sikubahatika kuwa na shangazi mchawi kama huyu😢😢
Hatimae
❤❤❤🎉🎉😂
Jaman tam San ❤❤❤
Naila chautundu ❤
JULY 😅😅 unachekesha jamn
Mbona nahisi huyu sada ataanza kumtaka kimapenzi shem wake huo ujio waho hapo sio mzuri
Mshangazi JULY kautaka😅😅Almas
Linatia aibu😂😂
@RehemasiryaKabahasha 😅😅 kabisa
Wawooo mashallah
Waooooo❤️❤️❤️❤️ it
Mungu atamusaidia naila
Watu wa mbaya hawana huruma asente Sana Lucas lumbasi
Juli hana adabu kabisa mtu amepa heshima kkpanafasi kubwa sasa anaibuka na roho ya kichawi tamaa mbaya sam
Asante sana Kaka Lukas
waooo ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ila naila😂😂😂😂😂
Asante kaka lu
Naomba hawa wasi create matatizo kwenye hii ndoa. Mungu anisamehe ela nisingewapokea mimi
Mm huyu shangazi mchawi ndoa imeingia matatizoni
Kwa mateso mliyomfanyia hata Mimi nisingekuwa na hiruma nao
WAtatu jaman like❤🎉
Naila ukicheza vibaya huyo shangazi na mwanae watakuharibia ndoa huyoo hafai kabisaa kuka hapo
Asant kaka Lucas
Mhm,timbwili limeshaingia ktk familia ya Naila jamani huyu shangazi ni mchawi sana 😭😭
Tena mchawi alie kubuhu haswaaa mtu amesaidiwa lakini bado anakiburi ,ingekuwa mimi ningewatimuwa kabisaa
Wivu wakichaw Naila mwmbie mmeo awafukuze hao ni nukus watakuhalbia ndoa wakibak hapo
Sunaona jinsi Mme wake jinsi anavyo jifanya mwenye huruma,hawajuwi jinsi warivyo ndiomana Naila amechukizwa na ujio wao😂😂😂😂😂
Niatari 🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
daah
🎉🎉🎉🎉🎉
Huyo msomi uchwara atakuibia mume
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
😮♥️♥️♥️🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀 thanks 🙏
16❤❤❤🎉😂😢😢🎉🎉
Wazazi tuwe makini na vitu tunavyopandikiza watoto vinaishi kwenye mioyo yao milele. Alafu baadae unajaribu kusawazisha too late. Sasa ona shangazi maafa alioleta🙏🏾🙏🏾
Me uyo shangaz ningemfukuza asbh kweupe mna hna shkran wla fadhila wla habebeki naila ushakarbisha mashetan ndan kwko pole
❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉🎉 💋💋💋
Naombeni like jamani
Punguza ads please 🙏🤲
Sada mbona namshutukia jaman ivi Naila ataishi kwa amani kwenye ndoa yake?
au ndo mambo yanazidi kuwa makubwa lakini ngoja tuone mwisho wa awa watatu maana naona kumeanza kuchangamka.
❤❤❤❤😂😂😂
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤
❤️❤️❤️
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤