Kiwanda cha A TO Z chaibeba Tanzania Tuzo za Kimataifa za KAIZEN kwa Bara la Afrika
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2024
- Tanzania kupitia kiwanda cha A TO Z Textile Mills imeibuka mshindi wa kwanza kwa Bara la Afrika katika Tuzo ya Kimataifa ya KAIZEN inayohusisha viwanda bora vinavyofanyakazi kwa ufanisi barani Afrika.
#AzamNews #AzamTVUpdates #AzamUTV
Kumbe inawezekana