Hawa wąwili wamekula vya watanzania na kuwatapikia watanzania. Wameendekezwa sana kwa muda murefu na kuamini Tanzania ni mali ya wazazi wawo. Kuna watanzania wenye akiri za kuzaliwa na wasomi , kwakuwa wazazi wawo hawajulikani hawapati nafasi ya kuteuliwa. Wanawarecycle hawo hawo majangili kwa majina ya wazazi wawo.
Viongozi hao Januari Makamba na Nape Nawei. Wanadhani nila wao CCM HAITAENDELEA WANAJIONA UHAI WA CCM MI WAO RAISI SAMIA AWE MAKINI NA VIONHOZI HAO NI VIGEUGEU NA KAULI ZA NAPE INAIDHALILISHA CCM KUWA USHINDI WA CCM NI WADHULUMA KUPITIA KAULI ZAKE TATA HONGERA RAISI SAMI KUWATUMBUA NA KUWATENGUA VIongozi hao.
Nape anashangaza Sana Kwa nafasi aliyonayo kama waziri wa habari na Kada wa CCM ,anataka watanzania wamuamini kua maneno aliyo sema ni utani alafu anaomba msamaha ni ajabu sana😅😅😅
Nape na Makamba wanaona Tanzania ni Mali yawo. Wana dharau sana. Rais Samia kuwarudisha madarakani ni Kama kuwaunga mkono waliyomufanyia Haysti Magufuli yalikuwa sawa. Watanzania wengi hatukufurahia. Hawa watu tabia yawo ni mbaya. Wote wanatumia majina ya baba zawo na sio ujuzi wala elimu
Hakuna gundu Wala nn, vjana wlijisahau Sana na kudhani be nch hii ni Yao ,ndo mana wamelamba asali mpk kupitiliza, Mheshimiwa Raisi Tunaomba usiwarudishe tena wana kuchafua ww na Serikali yetu
Mbona ulemavu huu upo Sana nchi hii wengi tu WABOVU wanaoogelea kwenye majina ya Baba zao na Wana harinu, usipo wakuta kwenye uwaziri watafute kwenye ubalozi,ukuu WA mikoa au wilaya basi tu ndio utamaduni, sija sikia marekani mtoto wa Gerald Ford, Nixon Wala Jimmy carter niku heshimiana au kuoneana aibu? Mungu atusaidie na Amani yetu idumu
Mama kuwa makini sana sio kila akuchekeae ana kupenda, swali sana omba mungu akuweke mbali na wabaya wako na akuonyeshe uwajuwe inshaallah,
Mwenyezi mungu amejibu maobi ya wananchi Mwenyezi Mungu hajawai kushindwa jina la mwana riinuriwe
Tena amejibu kwa wkati...🤣🤣🤣
Hawafai kabisa kuwa kiongozi niwahuni
Hawa wąwili wamekula vya watanzania na kuwatapikia watanzania. Wameendekezwa sana kwa muda murefu na kuamini Tanzania ni mali ya wazazi wawo. Kuna watanzania wenye akiri za kuzaliwa na wasomi , kwakuwa wazazi wawo hawajulikani hawapati nafasi ya kuteuliwa. Wanawarecycle hawo hawo majangili kwa majina ya wazazi wawo.
Viongozi hao Januari Makamba na Nape Nawei. Wanadhani nila wao CCM HAITAENDELEA WANAJIONA UHAI WA CCM MI WAO RAISI SAMIA AWE MAKINI NA VIONHOZI HAO NI VIGEUGEU NA KAULI ZA NAPE INAIDHALILISHA CCM KUWA USHINDI WA CCM NI WADHULUMA KUPITIA KAULI ZAKE TATA HONGERA RAISI SAMI KUWATUMBUA NA KUWATENGUA VIongozi hao.
sikuzote nitabaki kwenye kauri yangu kuwa, KUSOMA) SIYO KUONGEZA HAKIRI, hayo yanaonkana waz kwa NAPE. 😂😂😅😅
Safi sana wamezidi
Mimi naona rais yupo sawa.
Hawana ukomavu kiutu.
Hawa watoto wa viongozi wastaafu wana ona nchi kama mali za wazazi wao
Kacheze mnapochezaga mmekula sana mmetapika sasa
Wanaogopwa hao sabaya makonda hao wanafaa kuwa kuwa mawazili
Pumbavu, hata Sabaya
Nape anashangaza Sana Kwa nafasi aliyonayo kama waziri wa habari na Kada wa CCM ,anataka watanzania wamuamini kua maneno aliyo sema ni utani alafu anaomba msamaha ni ajabu sana😅😅😅
Nape ni mtoto wa marehemu Moses Nnauye
Mama fedha!!!!
Nape na Makamba wanaona Tanzania ni Mali yawo. Wana dharau sana. Rais Samia kuwarudisha madarakani ni Kama kuwaunga mkono waliyomufanyia Haysti Magufuli yalikuwa sawa. Watanzania wengi hatukufurahia. Hawa watu tabia yawo ni mbaya. Wote wanatumia majina ya baba zawo na sio ujuzi wala elimu
Hawa ni watu muhimu sana usiolijua ni kama usiku wa giza poleni sana mnaosikitika pia poleni mnaofurai ukistaajabu ya Musa yatakukuta ya firauni
Nape anajiskia sana nawamekula sana
Washenzi hawa , yani kuna group hawa ambao hata kikwete kawaogopa
Nape na makamba hao ndio wenye nchi
Immatutity has no cure!
January mwizi qa mitambo ta uchanguzi
Mpango maalumu huu akuna alietumbuliwa hapo
Jimbo lake labumbuli inamtafuna balabala mbovu hadi aibu
Hakuna bahati mbaya kwene siasa wanaandaliwa kwenda kwene kazi yao kubwa ya kuwaweka watawala
Hawana gundu bali ni wezi na wanafiki sana ni ndumia kuwili
Hakuna gundu Wala nn, vjana wlijisahau Sana na kudhani be nch hii ni Yao ,ndo mana wamelamba asali mpk kupitiliza, Mheshimiwa Raisi Tunaomba usiwarudishe tena wana kuchafua ww na Serikali yetu
Mh aya
Hao hawana gundu midomo yao iliponzakichwa na Mama asiwarudishe kabisa na 2025 wakose Ubunge warudi mutaani kama sisi
Wanawatoa wametuibia Sana hawa jamaa,bado mwigulu, bashe na mbawala
Kurudi tena hawa sidhani, wacha tuone.
Haha
Gundi au nuksi ipo
Siasa ni kitu cha hatari ni usinene ukamara.Kesho utawaona hawahawa wamepiga tukio Wamerudi kwa nguvu kushinda mwanzoni
Hawafai kuwa ata mjumbe wa nyumba 10😊
Ndio maana Makufuli alishindwa kufanya nao kazi
Hawa magufuli alishawaacha.
Mlisha waxhindwa hao mtawaludixha tu
Tuone
BADO MWIGULU NA BASHE WATUMBULIWE HARAKA MH.RAIS UNAVYOWAACHA WANAKUHARIBIA CV ZAKO KABISA KWANINI UNAWALEA WEZI ?
Hawawezi kufukunzwa wanatuzugat
Duh
Mskamba rais 2030
Mtu akitaka urais mnawafukuza
Tena wanagundu kwel
Sio gundu kazi hawezi wanataka madaraka
Mdomo uliponza kichwa kikabondwa
Hawana Gundu ila kazi hawawezi kazi unafiki laana lawatembelea ya Magufuli waishie Ubunge tu nyodo zimezidi hao watoto wanageuza Ccm mali yao mfukoni
Samahani naomba kuuliza je Nape naye baba yake alikuwa kiongozi wa nchi hii au wa ccm?
Baba yake aliitwa Moses Mnauye alishika nyadhifa kubwa kubwa ndani ya SISIEMU akawa naibu Katibu mkuu na Katibu Mwenezi.
Mbona ulemavu huu upo Sana nchi hii wengi tu WABOVU wanaoogelea kwenye majina ya Baba zao na Wana harinu, usipo wakuta kwenye uwaziri watafute kwenye ubalozi,ukuu WA mikoa au wilaya basi tu ndio utamaduni, sija sikia marekani mtoto wa Gerald Ford, Nixon Wala Jimmy carter niku heshimiana au kuoneana aibu? Mungu atusaidie na Amani yetu idumu
YAANI MAMA SAMIA SIJUI UNAFELI WAPI JPM KAWATUMBUA WEWE UNAWARUDISHA KUNANINI NYUMA YA PAZIA?
Jeuri ubabe wanafikiri walizaliwa Toka matumbo matakatifu ; Wazuri hawafi, wanaokufa ni wabaya tu??????????