Nyie niwaambie ktu, nilikuja kuangalia MISSION IMPOSSIBLE before sijaangalia PROBLEM.. jamani natamani nirudi kwenye problem kwanza,. Huyu CHADO ni balaa hafai.. ANAJUA SANA KUIGIZA CHADO BIG UP BROTHER 💪💪💪🔥🔥
Siwezi nikakupongeza chado pekeako nitakua nakosea maana haupo peke yko bali niipongeze timu nzima maana cku zote ushindi huwa hauletwi na mtu mmoja bali huletwa na timu nzima hongereni sana kwa kazi nzuri ✌️one love ngwengwe
Chando master,....wewe mkali brother,...you talk to +254 ....manzee wee uko Sawa,...nipo marekani nikifika Africa takutafta nadhani uko Tanzania brother... congratulations bro kwa KAZI unayo fanya
jitahidi sana kutengeneza story nzur inaezakaje mtu kakamatwa kibaya zaidi ni mwiz afu aje mtu adai funguo na walio mkamata ety hawaseme chochote iv mnajua kashi kashi ya kuzungukwa na raia ukiwa na kes ya wizi❤❤❤
Nyie niwaambie ktu, nilikuja kuangalia MISSION IMPOSSIBLE before sijaangalia PROBLEM.. jamani natamani nirudi kwenye problem kwanza,. Huyu CHADO ni balaa hafai.. ANAJUA SANA KUIGIZA CHADO BIG UP BROTHER 💪💪💪🔥🔥
Mzee wa misumari ,anapenda kesi kama izo za simu ata wakiwa amsini ataishi nao🤣🤣🤣🤣noma msela
Apo freshe
Ii ngoma kali
Bado huja chelewa nenda kaiangalie ni Atari sana
Haya mambo ya Chado NDIO I LIKE 😅
Oya mwanangu cheusi uchawa unauweza chado master ile bit ya neyoooo vipi inabamba sana ngwengwe jeshiiiiiiiiiii ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ngwengwe mwanangu kipajiiii mikopa kopa ndoiyo kwaajili yako❤❤❤❤❤nakupenda bule
Siwezi nikakupongeza chado pekeako nitakua nakosea maana haupo peke yko bali niipongeze timu nzima maana cku zote ushindi huwa hauletwi na mtu mmoja bali huletwa na timu nzima hongereni sana kwa kazi nzuri ✌️one love ngwengwe
❤
❤❤
Jamani Mimi sija wahi ata kupewa like kumi najiona kama sio mwenzenu
Na waskupe kwan unazilA
Aya binadamu waziba riziki
Wew Rudi Kwa chadoo tuu
Like
Safi sana hii kali ku pita mvi za tanzania yote ku toka Congo nawa penda sana😊😊
Ila me nampenda cheusi yan yuko poa kinoma anaweza kinoma noma 🎉🎉🎉🎉
Ila chado umetisha sana kwenye kumuokoa mwanao cheusi umetisha sana kama marecani mwanangu tisha sana man izo 👉🤜🤛
Rahaaq snaaaa mwanang hiyo kuweka chap chap mie ndy I like🎉😂😂😂😂
Me iyo ndo i like hiyooooo🎉🎉weweeee kaka msela,mume jambaz,wifi shangingi 😅😅😅😅 wee Chado weee watakurogaaaaaa❤❤❤
😂😂😂😂 akika mnajua alafu mnajua tena , dogo ngwengwe kaupiga mwingi 😂😂😂 nimependa sana
Bonge kweli chenga😂😂ana mtumia mtoto hela kwenye simu alojisajili yeye mwenyewe
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kazi nzuri sana❤❤
Leo nimetchelewa ❤❤ ila nawapenda wote wa chado master
Mr:CADODO🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Sema story kari kinoma nimekubari🤗
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chado me Bado nakazia pale pale huyo Dogo ngwengwe nenda nae utafika mbali na huyo Dogo
huyu kaka wa najma nakubali kinomaaaa
Kazi nzur ndugu zang ya iy movie ninzur kbc
Jamani tunao mpenda ngwengwe tujuane kwa ku like kama unampenda
Kaka msela,mume jambaz,dada shangingi,wifi pusha 😂😂😂
Leo namba moja hapa froma zenjy
Nani mwingine kagundua ngwengwe ni mtoto wa chado ila hawajuani❤❤❤
Mimi nahisi ivo
Mimi pia nimeliona ilo coz ajakutana na mama ngwengwe tangu ianze
Km Ivo🤔🤔
Ata mm nahisi ivo
Aa muache umbea jamani mbona mbona mnamwaga mchele kwenye kuku wengii hiyo i don't like it
Wa kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪💯🔥🔥
Chado taratibu na mdogo wetu ngwengwe mbn mnampa sigara Daaaah umezingua bro
Huyu dada s alitubu huyu imekuaje Tena na tatuuu kama naww umemuonea zuuh like hapa
Pengine ilikua kwasababu ya ndoa,na aliikosa...akaona aendelee tu mfumo wa maisha yake
Nice move mzury
wamia140 from tazania naomben liki
Umemuonea bule bonge wangu mzee wa swagga. Chado anamchukua dada ako mpaka geto umemshindwa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Eeh movie yenyewe imeweza sana jamani🥰💕
Kaz nzur
Nakubali sana my brother kazi nzuli ❤❤❤
Mubarikiwe nyote muliyoshiriki mungu azidi kuwasimamiaa muweze kufika mbali zaid kazi mzr sanaaaaa🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Huu ni unyamaa yaani mnajua mpka manajua tena yaani mambo ni motoo🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌
Daah hii movi nimecheka sana alipochomoka cheusi na wahuni waboda boda
Oyaaaa nakubal wajuba kaz nzur wap chado master ❤🎉🎉🎉
Oya Chad pamoja sana nimekubal mambo yangu hayo naomba tukutane tutowe kitu
Nomare from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪much love nawahaminia
Kazii nzurii 🔥🔥🔥,leeo nimewaiii
Hongeren xan jaman
Bwana ngwengwe big up,❤❤
Oyaa kka chado vp hiyo nyimbo yko hujaitoa ama kwa sababu ni unyama kinoma yani big up brother
Good job one love from 🇰🇪🇰🇪❤❤
Wakwanza from zambia 🇿🇲please naombeni like zangu 🙏
kaz nzuri master chado
Leo nimewaii kazi nzur chado❤❤❤
Nikweli kabisa
Chado mwanangu unajuwa sana kuchana na kazi nzuri❤🎉
Nalipenda ilo song chado ❤❤
Pole sana bonge ira chado ww ni noma sama❤❤❤❤❤❤❤
huu mzg wauwach2 mana sio pw kabisa chado umeuwa huu mzg
Wanangu mnaonaje kwenye kava la mission impossible kama itaonekana sura ya mtoto ngwengwe maana mtoto anajua kinoma noma yan
Jaman naomba nipate bwana kama bonge😂😂😂
Kazi nzuri sana Mr. Chado💞💕💞
❤❤❤❤❤ngwengwe ayo makopakopa niyako unaweza na unaweza tena
Mwanangu cheusi umejua kuAct
Kinomaaa du! Aisee du
Chando master,....wewe mkali brother,...you talk to +254 ....manzee wee uko Sawa,...nipo marekani nikifika Africa takutafta nadhani uko Tanzania brother... congratulations bro kwa KAZI unayo fanya
Jaman mbona kama mnamuharibu ngwengwe yupo vizuri ila sasa daah
Mzur xana bomba❤❤🎉
Oyaaaa ili goma wamba wote ni motoo💥🔥🔥
chado nakukumbali sana kabisa ❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Yani kuwapaa makopakopaaa hiyo ndo I like it
Kazi nzuri, hivi like mnazoombaga zinakazi gani 😊
Napenda pia jamaa wa misumari😂😂😂
Napenda huyu wa kusema misumari na kako na hasira 😂😂😂
Wa kwanza kuwatch
Usikute najma na chado kweli wapenz mana wanapendezana😂😂😂😂😂😂 ila yote 10 mashallah chado hongera ❤❤❤❤❤❤❤❤
Anaempenda gwe,ngwe gonga like hapa
Kaxinzur chado honger kwa kipaji🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Jamaa anaweza sana
Jaman na wapenda❤❤
Jaman haka ka najma kazr balaa 🎉🎉
CHEUSI nakukubali 😂😂😂😂😂😂😂 yani unanifurahish san 😅😅😅
Cheusi kama cheusi😂😂😂😂😂cheusi namkubali sana
Ooooh jaman nimekua wakwanza naomben maua yang🎉❤
Yan me nawapenda wote wananifurahisha San ukija kwa mama ngwengwe n mwanae yan nyie mnaweza jamn 😂😂😂😂
Naitaka iyo nyimbooo❤
Léo wakwaza ni Mimi nipeni laiki zangu
Natak kukuambia jambo
Weka likes kwa misumari kama unapenda anavyo cheza
Sema cheus umezinguwa sana😂😂😊
Mbona mmeishia hapa hapa tu
Oyoooh wa kwanz leo wallah!!!
Kaka wa najma mzee wa kugonga misumari😂😂😂
Kaz nzuri ila kidem jau na msauzi waanzishiwe lishe walau wapate nyamanyama wanatia huruma😂😂😂😂
❤❤❤❤❤
Nime ikubali kinoma hii move
😂😂😂. Yaani nacheka sana mpaka mbavu zangu zinauma
Jmn muendelezo wa mission imposible utaendelea lin
uyo demu ametisha cheusi ana zingua
Jamn ngwengwe noma sana
Bonge nakupenda jamn una mistari 😂😂😂😂
Aiseee mnajuaa waselaaaa
Daaah katoto balaa😂😂😂 najma pis ya msela
Uyu bonge Nae anajitafutia kufa hajamjua kitengo
Dada najima❤❤
Uyu ngwengwe Ni mtotowa chado
jitahidi sana kutengeneza story nzur inaezakaje mtu kakamatwa kibaya zaidi ni mwiz afu aje mtu adai funguo na walio mkamata ety hawaseme chochote iv mnajua kashi kashi ya kuzungukwa na raia ukiwa na kes ya wizi❤❤❤
Chado master ongezatuuu impossimil
dady namkubali sana kichaa wa misumali😂💪🙌
Yaan kachado nakupend ❤❤❤ mzenj ap
God🙏 ue chado with ur team ❤ u guys
Sema usikawize jamn mn tunaboweka san