ONA BWANA HARUSI AMWAGA CHOZI MBELE YA WAGENI WAALIKWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • ONA BWANA HARUSI AMWAGA CHOZI MBELE YA WAGENI WAALIKWA WAKATI AKIWA ANAPEWA ZAWADI NA BI HARUSI MTARAJIWA ALISHINDWA KUZUIA HISIA ZAKE NAKUTOA MACHOZI

ความคิดเห็น • 277

  • @jonaselias7729
    @jonaselias7729 6 ปีที่แล้ว +11

    Mungu nisaidie sintapenda mtoto Wangu wakiume aongee kama huyu mtangazaji....Amen...!!!Hear my prayers dear Lord...

  • @biaysha8553
    @biaysha8553 4 ปีที่แล้ว +8

    Kama umesikia biharusi akisema yeye ni mweupe sana lkn watu walikuja kwenye harusi ni weusi tujuane hapa😂

  • @josephinemecky9278
    @josephinemecky9278 4 ปีที่แล้ว +24

    Tunaoanza na kusoma comment b4 watching tujuane

  • @hurumavictoria6326
    @hurumavictoria6326 5 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana dada zawadi nzuri mno afu mmenoga kweli Mungu awe nanyi

  • @juliethswai9716
    @juliethswai9716 4 ปีที่แล้ว

    Ninachoona hapa wamependeza sana,na huwa watu wanapokuwa na matukio kama haya kila mmoja ana hisia zake wapendwa,mwingine akifurahi sana anazungumza hata bila kutulia,tuwaombee wapo safi sana,maisha yao hayo wayaanze na Mungu.

  • @bettiejoy-mtotowamama
    @bettiejoy-mtotowamama 6 ปีที่แล้ว +73

    Kama umekuja ku watch hiyo part ya machozi skip adi 3:54🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @QueenmotherofRoyalty
    @QueenmotherofRoyalty 6 ปีที่แล้ว +2

    Naipenda nguo ya bibi Harusi,jameni naweza nikaipataje??

  • @minmianzi
    @minmianzi 4 ปีที่แล้ว +7

    Hahahahhaa huyu bwana harusi atakuwa ni last born 😂😂😂😂maana watoto wa mwisho kulia lia ndo zao

  • @abelbaraka263
    @abelbaraka263 6 ปีที่แล้ว +7

    Mimi ni mweupe sana na wanao nizunguka ni weusi Haaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂dada yangu kama umejariwa ni Bahati yako sio ujigambe

    • @annamachota2661
      @annamachota2661 5 ปีที่แล้ว +1

      Abel Baraka kwakweli kaniboa kwel chefuuuu

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 6 ปีที่แล้ว +15

    Biharusi mcharuko ,bwana ametulia hadi raha punguza kucharuka maana biharusi hapendezi kucharuka kama hivyo.

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 3 ปีที่แล้ว

    Masha'allah kapendeza Sana bii harusi Allah awadumishe

  • @annamashiri3921
    @annamashiri3921 3 ปีที่แล้ว +1

    mama mzazi wa biharusi kwakweli hakika unahofu yamungu maana unaongea kwabusara sana. mungu aibariki ndoa yabinti yako. mependeza sana.

  • @nasmahhussein7452
    @nasmahhussein7452 4 ปีที่แล้ว +2

    Eti watu wanaomzunguka ni weusi khaaaa we dada kwa weupe gani labda lol😂😂😂

  • @adelasaid6172
    @adelasaid6172 6 ปีที่แล้ว +6

    Mama wa bibi harus uko poa sana nimekupenda bureeeee

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 6 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mama anaongea kwa hekima Sana.. Mungu awatangulie mkigombana mkumbuke zawadi ya bibilia

  • @moodrahdule4435
    @moodrahdule4435 6 ปีที่แล้ว +31

    Huyu demu mjanjA kuliko jamaa atakuwa anachepuka afu jamaA analia tu

  • @josephmligo291
    @josephmligo291 6 ปีที่แล้ว

    Hongera bi harusi mtarajiwa hakika umependezaaah

  • @queengee988
    @queengee988 6 ปีที่แล้ว +16

    Duuuhhh bibi harus mcharo balaa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว

      H Alajmi mcharo kawa mtamu

    • @queengee988
      @queengee988 6 ปีที่แล้ว

      @@jescajulius8023 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaliyopo yanafurahish

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว

      H Alajmi ,hahahaaha sana t

    • @utaani1
      @utaani1 5 ปีที่แล้ว

      queen gee nini maana ya mcharo

    • @queengee988
      @queengee988 5 ปีที่แล้ว

      @@utaani1 ni mtu mapepe mapepe yaan hajatulia

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe Sana mungu azidi kuwabariki 😍😘 😘

  • @zainabuomari9067
    @zainabuomari9067 6 ปีที่แล้ว +7

    Uyu analia hivi jaman nimeowa mrembo nitaibiwa tyuuu hahahaha

  • @lucychande3963
    @lucychande3963 6 ปีที่แล้ว +94

    Sipendi Interview ya kuchanganya kizungu mie... ivi mnafikili kuwa wote wenye Mb ni wazungu???

  • @moyanse
    @moyanse 6 ปีที่แล้ว +8

    Bibie mzuri aisee wacha tu atoe chozi

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahahaha mwanaume wa dar huyo kaz kulialia

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 6 ปีที่แล้ว +15

    hahahaaaaaaaa amemkumbuka dem wke wa zaman

  • @marthagabriel7404
    @marthagabriel7404 6 ปีที่แล้ว +18

    Naona kama mwanamke mkubwa kuliko Mume ndo maana Mume analia

  • @husnabbygal5213
    @husnabbygal5213 6 ปีที่แล้ว +1

    makeup ya bb arusi iko smart pk nimetamn😍

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 6 ปีที่แล้ว

    Hongeren sana mungu akaitunze ndoa yenu kwa mikono yake

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 ปีที่แล้ว +12

    Cjapenda kuxema wengne weusi akat wapo wamekuzid weupe

  • @reybony3960
    @reybony3960 6 ปีที่แล้ว +12

    mama anamacho ya kurembua cjui enzi za ubinti wake

  • @hidayaissainnocent3546
    @hidayaissainnocent3546 ปีที่แล้ว

    umependeza

  • @lucymcharo175
    @lucymcharo175 6 ปีที่แล้ว +27

    Mmmhhh umeteleza kidogo kusema wewe mweupe sijui wengine weusi mmfyuuu kwani wew mwarabu au mhindi chaàaa ngachoka

  • @jacobkeleman8001
    @jacobkeleman8001 6 ปีที่แล้ว +7

    Mwanaume wa Dar analia machozi😂😂😂
    Vichipsi vinawasumbua vichwani

  • @marymamntine1909
    @marymamntine1909 4 ปีที่แล้ว +3

    Mnh ety watu wanaonizunguka weus kwahy mm nivae nguo ya rangi ili waonekane... fyuuuuu mnanimalizia MB

  • @rahimatanzani6509
    @rahimatanzani6509 5 ปีที่แล้ว +8

    Biharusi anaejiita mweupe hata mm pia ni mweupe huyo aoni ndani sura yenyewe mbovu amenikera kujiita mweupe nyoko

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 4 ปีที่แล้ว

    Mama uko vizuri pamoja na mtoto wako

  • @sumamwaipopo8598
    @sumamwaipopo8598 6 ปีที่แล้ว +1

    Bi haruc mzuri sana

  • @upendombwambo6366
    @upendombwambo6366 6 ปีที่แล้ว +3

    Nyie wenye matus, acheni kwan ukikaa kimya utapungua nn

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 ปีที่แล้ว +5

    Kumbe vya watu kulia bado vipo? Mmependeza sana

  • @janethbarongo149
    @janethbarongo149 6 ปีที่แล้ว +1

    Wahaya tuko vzr

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว +7

    mama uko mwaaaaah ongera

  • @neemaclemenc7219
    @neemaclemenc7219 6 ปีที่แล้ว +1

    jmn yawezakuwa anaria kwafurahhaa eee jmnsimchezoo kufikiaaatuahii jmn

  • @grasianatesha2718
    @grasianatesha2718 6 ปีที่แล้ว +3

    hahahaaaa jamaa analiaaa vidume vingine naweza vichapa makofi ujue

  • @husnabeiby9365
    @husnabeiby9365 6 ปีที่แล้ว +2

    Mom she is very cute like her daughter it's nice day real ntaman kuolwa

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว

      Husna Beiby hahahaah walio kweny ndoa wataman kutoka ata leo mamy

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว

      kuolewa ni shida sn mamii furaha iyo ni ya muda mfupi tu

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 6 ปีที่แล้ว +2

      Husna ndoa heshima wala usitishwe kama watokaji mbona zama za magu hawatoki tena wanakamatia kwa wazee wa miba , utaolewa insha Allah, MTU chake bwana

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว +1

      Husna John ndy kuolewa ni heshima lkn kuna shida zake mmmmh

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 6 ปีที่แล้ว +1

      usipokubali kumsujudia mwanaume unaachika asubuh t lkn ukikubal kusujudia utadum

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 2 ปีที่แล้ว

    Eti watu walionizunguka ni weusi😂😂😂😂🤭🤭

  • @ZainabuATuli
    @ZainabuATuli 5 ปีที่แล้ว +2

    Wanaume wa dar shkamon, baba mmoja mama mmoja 🤭😂😂😂🤣🤣🤣

  • @aminakassim8272
    @aminakassim8272 6 ปีที่แล้ว +15

    mama mzuri mno

  • @minaside6717
    @minaside6717 6 ปีที่แล้ว +9

    Bibi harus mcharuko unaikata miuno hatar.

    • @tecnoy292
      @tecnoy292 6 ปีที่แล้ว +2

      bi HARUC heshima haipo tu hana hata haya

    • @naomipeter8632
      @naomipeter8632 5 ปีที่แล้ว

      Hujj

  • @جميلةجميلة-ع5ن1ق
    @جميلةجميلة-ع5ن1ق 6 ปีที่แล้ว +2

    Mama biharus mkarim sana

  • @charitymnyazi2633
    @charitymnyazi2633 6 ปีที่แล้ว +4

    Sasa nkuulizeje wewe bwana harusi.....kinacho kuliza sasa hapo ni kitu gani? Hebu tuondoshee umama plz

  • @marydaud8090
    @marydaud8090 ปีที่แล้ว

    Pendeza sana

  • @aishamussa7246
    @aishamussa7246 4 ปีที่แล้ว

    Mwanaume haliag bana!!

  • @mwizaluchiba6264
    @mwizaluchiba6264 6 ปีที่แล้ว +28

    Hivi hawa wanaume wadar mnanini laki..? Hapo kinachokuliza nn

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 6 ปีที่แล้ว +7

    Bi harusi mcharuko hatari

  • @briehjojo1515
    @briehjojo1515 6 ปีที่แล้ว +3

    jaman wahaya tupo vzur....

  • @juliethswai9716
    @juliethswai9716 4 ปีที่แล้ว

    Pendeza sana binti.

  • @dianajoseph8187
    @dianajoseph8187 5 ปีที่แล้ว +2

    Unalia tena

  • @epifaniamponda5676
    @epifaniamponda5676 6 ปีที่แล้ว +8

    nasoma comments tu 😂😂😂😂😂 nafurahi sanaaaa

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 6 ปีที่แล้ว +14

    Una weupe gani?kwani wewe no mzungu yani unachekesha mbona wewe ni wakaida

    • @asha121almabsli4
      @asha121almabsli4 6 ปีที่แล้ว

      Hovyo

    • @sahera1125
      @sahera1125 6 ปีที่แล้ว

      😁😁😁😁

    • @josealute323
      @josealute323 6 ปีที่แล้ว +1

      Kwani weupe sio wakawaida????....Dada angu acha wivu bhana

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 6 ปีที่แล้ว

      Zahal Jamal ni mweupe jamani sasa ukimuangalia unaonaje??

    • @marymichael4704
      @marymichael4704 6 ปีที่แล้ว

      Zahal Jamal ahhaa

  • @beatricekiponda4856
    @beatricekiponda4856 6 ปีที่แล้ว +1

    Kwa weupe gan ulionao dyadya

  • @ednatadey8293
    @ednatadey8293 4 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @fatmabhinda2717
    @fatmabhinda2717 6 ปีที่แล้ว +7

    Yaaani ww kaka kama silaha ya ndoa yako kama kichwa cha familia itakuwa ni machozi basi utapata tabu saaaan

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 6 ปีที่แล้ว +2

    Wamependezana

  • @anethkimbe7086
    @anethkimbe7086 6 ปีที่แล้ว +3

    yaan wanawake wa sikuiz, unajikuta tu umeoa kumbe hukua hata nawazo

  • @nicklilianmaxwel6199
    @nicklilianmaxwel6199 6 ปีที่แล้ว +1

    kweli wanaume wa dar

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 6 ปีที่แล้ว +16

    Sema kusema we mweupe wengine weusi unakosea you're not Arabs wala mungu, labda ingekuwa albino ndio ungetakiwa kusema hivyo ila hapo wapi weupe tena hata make up hawajapaka wala mkorogo, usijisifu sana

    • @marymichael4704
      @marymichael4704 6 ปีที่แล้ว +1

      Husna John haswaaaaa

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 6 ปีที่แล้ว

      Mary Michael wakishapaka mkorogo wa Dubai basi

    • @elizabethmalekela7849
      @elizabethmalekela7849 6 ปีที่แล้ว +1

      Hapo hata mm nmeshangaa kidogo

    • @utaani1
      @utaani1 5 ปีที่แล้ว

      Yeye mwenyewe mweusi hasa

    • @bahathmuro5714
      @bahathmuro5714 5 ปีที่แล้ว

      angejua nataman kuwa mweus bas tu rangi za dukan hizi cna jinsi

  • @marylema8937
    @marylema8937 4 ปีที่แล้ว

    Sasa kalia nini yaani mi sijaeleeeeee

  • @suzymunisi1894
    @suzymunisi1894 5 ปีที่แล้ว

    Anafanana na Lulu

  • @robinazebanga4698
    @robinazebanga4698 4 ปีที่แล้ว

    Mwakasenge mahubili

  • @olgacaleb6822
    @olgacaleb6822 3 ปีที่แล้ว

    Ukimkumbuka pilipili alivyolia siku yake na filomena gonga like twende pamoja

  • @vulfridakessy7148
    @vulfridakessy7148 3 ปีที่แล้ว

    Hizi bible huwaga tunazingua xn sidhan km tunazisomaga...hahaaaa

  • @chobaroko3913
    @chobaroko3913 2 ปีที่แล้ว

    Unajililisha ,ngoja mziki unakuja ndani ,atapoanza kupigwa mashine inje ndio utalia vizuri

  • @joharjohn5095
    @joharjohn5095 5 ปีที่แล้ว +1

    Lia baba

  • @ashurathabiti1046
    @ashurathabiti1046 6 ปีที่แล้ว +1

    Aka kadada kanaonkna kajanja kwel 😂😂😂

  • @tinamchira6187
    @tinamchira6187 6 ปีที่แล้ว

    Safi sana..pendeza mnoo

  • @KaguttaEdson
    @KaguttaEdson 6 ปีที่แล้ว +2

    Habari, gusa Picha yangu upande Wa kushoto Kisha bofya Subscribe.
    Asante

  • @emanuelsitta8015
    @emanuelsitta8015 5 ปีที่แล้ว

    Mmh mama mkwe nae ni mrembooo

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 6 ปีที่แล้ว

    Aaa, ni mshenzi tu

  • @BethiBethi-yp7uf
    @BethiBethi-yp7uf ปีที่แล้ว

    Ongets
    😅

  • @rashidiomary1324
    @rashidiomary1324 6 ปีที่แล้ว +1

    si anaiga kulia hata pasipo lilika

  • @josephinajoseph234
    @josephinajoseph234 6 ปีที่แล้ว +3

    Mi comment zimeniua jaman

  • @fellygal5414
    @fellygal5414 5 ปีที่แล้ว

    Waooooh

  • @agapemapembe2483
    @agapemapembe2483 6 ปีที่แล้ว

    daaah huu kweli ni umama

  • @marthagabriel7404
    @marthagabriel7404 6 ปีที่แล้ว

    Zuu Said humoni huyo Dada kama anambruza mwanaume

  • @rehemarajabu1956
    @rehemarajabu1956 6 ปีที่แล้ว +1

    Umedashi

  • @winnysiogon31
    @winnysiogon31 5 ปีที่แล้ว

    Mtoto wakiume kulia ivo jmn c umama uo

  • @fatmabhinda2717
    @fatmabhinda2717 6 ปีที่แล้ว +2

    Heeeh we dada sio kwa kujiachia uko chefuu ukumbi mzm unauliza ww umeboa na ww sio mweupe wa sifa kiasi icho apo umetereza

  • @irenemrema74
    @irenemrema74 6 ปีที่แล้ว

    Wanaume wa dar mna nn jmn?

  • @mariachares6315
    @mariachares6315 4 ปีที่แล้ว

    Pendeza mdada

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 5 ปีที่แล้ว

    Congratulations

  • @rosekiwale8302
    @rosekiwale8302 4 ปีที่แล้ว

    Bwana harusi usikie bwana

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 ปีที่แล้ว

    Mashallah, kapendeza 😜😍😍

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 6 ปีที่แล้ว

    Vice versa

  • @reginaemmanuel8233
    @reginaemmanuel8233 5 ปีที่แล้ว

    bwana Harus mshamba .

  • @leinaamos
    @leinaamos 4 ปีที่แล้ว

    Huyo dada mzur kwakweli

  • @rehemand0mwa657
    @rehemand0mwa657 4 ปีที่แล้ว

    Msenge kweli unaweupe gani 🙄🙄

  • @therezadeogratias6616
    @therezadeogratias6616 6 ปีที่แล้ว +1

    Mambo ya wahaya

  • @belinafinias9611
    @belinafinias9611 6 ปีที่แล้ว +2

    Kulia kwake ndo furaha yake.

  • @dayanadayana6519
    @dayanadayana6519 4 ปีที่แล้ว

    Dayana Moses

  • @paulmushi6530
    @paulmushi6530 6 ปีที่แล้ว

    Mwanaume huyu duuh

  • @jenjoseph7270
    @jenjoseph7270 6 ปีที่แล้ว +5

    mmmmhhhhhh biharus kachangamka huyokm katiwa ndimu mmmmmmmmmm