Mwenyekiti wa baraza changa la CPCT kwa niaba ya Kanisa, tunamshukuru sana Mungu kwa hotuba yako nzuri sana uliyoitoa yenye ujumbe mahususi wa kusisitiza haki,na uchaguzi huru kwa serikali,na wajibu wetu wananchi wote tukaboreshe daftari la wapiga kura tukahakiki na kuhuisha ili tukapige kura wote. Mungu akubariki sana katika utumishi wako. Kujiandikisha ndio alama na wajibu wa mpiga kura yeyote ili akafanye maamuzi badala ya kuacha kupiga kura,alafu uanze kulalamika juu ya kiongozi ambaye hukumchagua! Mungu libariki Kanisa, ibariki Tanzania, Ibariki Afrika.
Tunakua Chumvi vipi na ulinzi uko wapi kama watu wanatekwa, wanauawa, wanapotezwa halafu viongozi hamkemei. Waziri amekiri kwamba ushindi haupatikani kwenye Sanduku la kura na viongozi hamjakemea hilo. Tunaelekea wapi?. Mbona mnaleta Siasa kwenye Kanisa?. Hii sio sawa.
Uchaguzi bila katiba mpya tume huru ya uchaguzi, na CCM kuacha kuwa chama Dola,,, mengine yote ni porojo,utalindaje Taifa ,unahubirije Amani bila kuhubiri haki,,,,
Mnajaribu kujenga babeli mnaenda kuongea ujinga ujinga mbele ya waziri mkuu ambaye hata si wa iman yenu kama mna mambo yenu kijinga kijinga si mukaongea wenyewe
Uko vizuri Bishop, nakutakia utumishi mwema , Taifa letu tutalilinda kwa maombi na Dua,
Hongera Sana Baba👏👏👏
Mweshimiwa bila Bwana Yesu asifiwe hiyo haikuenda Sawa ungeanza na Bwana Yesu asifiwe
Mungu awabariki sana
Mkovizuli Sana mungu awatienguvu naumojawenu YESU awepamojananyi achahao wamchanga mafuta vitamba nk
Hotuba njema sana. Mungu awabariki.
Mwenyekiti wa baraza changa la CPCT kwa niaba ya Kanisa, tunamshukuru sana Mungu kwa hotuba yako nzuri sana uliyoitoa yenye ujumbe mahususi wa kusisitiza haki,na uchaguzi huru kwa serikali,na wajibu wetu wananchi wote tukaboreshe daftari la wapiga kura tukahakiki na kuhuisha ili tukapige kura wote. Mungu akubariki sana katika utumishi wako. Kujiandikisha ndio alama na wajibu wa mpiga kura yeyote ili akafanye maamuzi badala ya kuacha kupiga kura,alafu uanze kulalamika juu ya kiongozi ambaye hukumchagua! Mungu libariki Kanisa, ibariki Tanzania, Ibariki Afrika.
Mungu ni mwema!
Selikali Haina Dini isipokuwa inatawaliwa na Mungu , selikali ina Mungu haidi Dini ,naiombea selikali Yetu Ya Tanzania Idumu katika amani
Amina baba zetu
Ameni
Great!
Amina Baba
PALIPO NA UMOJA BWANA HUAMURU BARAKA
Baba mwambie waziri mkuu Mbona selikali ina kataza mikesha usiku bila kuwasha vyombo
Tunakua Chumvi vipi na ulinzi uko wapi kama watu wanatekwa, wanauawa, wanapotezwa halafu viongozi hamkemei. Waziri amekiri kwamba ushindi haupatikani kwenye Sanduku la kura na viongozi hamjakemea hilo. Tunaelekea wapi?. Mbona mnaleta Siasa kwenye Kanisa?. Hii sio sawa.
Good
Nawe umemuogopa huyo wazir na kubwabwanya hakuna uchaguz uliowahi kuwa huru na haki .watu wameuwawa sana .huyo waziri kimoyomoyo anakucheka !
Unajipendekeza nini nyakati za uchaguz unasafiri nje ya nchi nini
❤
Kulizungumza hili jambo mbele ya viongozi wa kisiasa ni uchawi mwingine.
Uchaguzi bila katiba mpya tume huru ya uchaguzi, na CCM kuacha kuwa chama Dola,,, mengine yote ni porojo,utalindaje Taifa ,unahubirije Amani bila kuhubiri haki,,,,
Mnajaribu kujenga babeli mnaenda kuongea ujinga ujinga mbele ya waziri mkuu ambaye hata si wa iman yenu kama mna mambo yenu kijinga kijinga si mukaongea wenyewe
Maadhimisho ya miaka 85 tangu kuanzishwa kwa kanisa la T.A.G hapa nchini Tanzania yalifanyika mwaka upi??
Yalifanyika kitaifa hapa dar es salaam trh 14/7 pale uwanja wa taifa
Ahsante kwa jibu zuri mungu wa mbinguni akubari sana mpendwa.
Mwaka huu
yanahusiana na nini haya ya TAG mna nini nyinyi