FULL HIGHLIGHTS: SIMBA SC 4 - 2 AZAM FC (NGAO YA JAMII 17/8/2019)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Miamba ya soka nchini Tanzania, Simba SC na Azam FC zimemenyana vikali kwenye mchezo wa kuwania NGAO YA JAMII ikiwwa ni ishara ya ufunguzi wa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania.
Kwenye mchezo huo uliopigwa kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam na kurushwa MBASHARA na #AzamSports2 Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 4-2 huku mabao yake yakifungwa na Shiboub (2) na wengine wakiwa ni Chama na Kahata.
Mabao ya Azam FC yamefungwa na Chilunda na Domayo.
Kwa simba hii hatari sana na we kama wa kwanza kuangalia hii gonga like tujuane
Kwa simba hii mtajioa
Mkn
Next level #Shibobo nihatali kwasimba hii uwanja wataifa teams mnaokutana na simba mjipange jamani msije mkafungwa magoli ya dunia kweli simba sasa inabadilisha mpila wa Tanzania mana tulikuatunaona ulaya sasa bongo tunaona kwateam moja tu jibu nisimbaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏💪💪💪👆
CHUSSE BOY CHARNEL
@@jumamihwela4743 mmmm
Nikweli
CHUSSE BOY WCB wasabato
sjawaiona team ambayo inaishi vzur kama simba wachezaji wanaraha ya kupitiliza mungu ibariki simba
This Is Simbaa🔥🔥🔥🔥
Amiin
Rooben Mwakitalu mamb
Sijalala Saa Sita Hii Nilikuwa Naisubiri Hii Kitu 🔥🔥🔥🔥
aisha hamis Aisha tuko pamoja
Kwel
kaah!
Mnzava Chris xxxxxxxxx
Leonard Mwasomola vp??
Mkij kucheza na mnyama simba mjipange sanaa kwa kweli
Sana
Kwa simba hii hata Real Madrid taifa anakufa
@@nzwilamakonda8053 Aaa sanaa tu
Hii ni htari duhuh mkome kutuchezea fau , Simba haitaki mchezo kbisaaa ,Asante Simba yang kunifurahisha
Wapenzi wa Simba Like zenu 👇 kma Cyo pita tu
Simba nguvu moja
B
Pow one
Wangapi tunacheki muda huu TH-cam hili tukio la Ngao ya Jamii. tujuane hapa kwa like SimbaSc ni #NguvuMoja 🔥🔥 #NextLevel
Simbaaaaaaa
Hamisi Chicha ni msalah 😊😊
alex jeremia mm Leo
alex jeremia
@@sarahnikodem3667 Nguvumoja
Shaibooob🇸🇩🇸🇩🇸🇩🇸🇩
Mashambik wameongeza volume km kwel we mwana CMB na umeskia iyo volume lyke yako APA
Ha2na prexha
mungu ibariki Tanzania mungu ibariki simba sport club
Peter bada awe anaaza jaman
dilunga ni shidaaaaaa!!💪🇹🇿
Isaya Mwidete Mimi nili isubili kwaamu sana ila kwetu umeme ulikata
Napata raha sana kuona timu yangu inafanya vizur mungu ibariki simba
Mnanipa rahaa jmn simbaa 👏🏻👏🏻
❤ I LOVE simba
Nimeskia tetesi manara inasemekana sio msemaji wetu kufaleki hatutaki mtumwingne zaidi ya manara boss mo please usimuondoe manara kwenye hiyo nafasi anashawishi watu kuja uwanjani ,gonga like ya manara kama unamkubali anavyowatengeneza kwasukwasu
Zile Taarifa sio za kweli
kile kichanel ni cha yanga jitoe haraka na kinaitwa cha watu weusi
Jamaa alisema 2020 anataka kujiingiza kwenye siasa siyo kwamba amefukuzwa...hao NI MACHURA CHURA Wameeneza
Tanzania sitanzi
Ndiyo Simbaaaaaaaaaa.
Tumeshinda lakini beki yetu siyo nzuri. Wanafanya makosa sana (hasa Wawa) tukikutana na Fowards wenye bahati tutaadhibiwa sana.
Wawa hana tena kiwango cha Simba bora. Tunahitaji beki bora wa Kiwango cha juu kama Nyoni au zaidi.
Bora kama umeligundua ilo man wengne wanafurahia matokeo tyu
Simba hii ilikuwa ya moto sana
Simba ni noma 🏆⚽
Noma sana
Tunacheza vizuri simba ila beki yetu bado inamapungufu sana paangaliwe hapa aisee
NI kweli kabisa. Wawa amekuwa exposed kwa mara nyingine. Da silva amrithi.. Wawa ni shati kama kawaida. Shabalala naye anaonekana hawezi high pressure game..! Gadiel au yule beki wa Lipuli ambadilishe Shabalala naye ni shati..!
Mambo wa Simba
💕💕💕🦁🦁🦁
naipongeza sana timu yetu kwa mchezo mzuri ila2 beki za kati zifanyiwe kazi bado kuna mapungufu"”"""
Umeongea vizur, simba wanapitika kirahis
Simba simama nishuke maana kunawatu ligi ikianza wataoigwa kumi bila this is next level
Alhmdhulillah
mutu ya sudan
Mudiri wa sudani
simba ni moto
Simba hii yamoto🔥🔥🔥🔥
Simba babaaaa laooo
Simba baba lao
Mnao uliza kuhusu ajibu sikiliza, Ajibu bado anauguza majeraha aliyoyapata kule Kenya kwenye timu ya taifa. Mmesikia au niongeze sauti?
Mtoto WA nyani
Wana simba mko wapi jamani mbona hampo humu ndani tuendelee kutamba sie.
Faraja Luvanda
@@anethpaskar4126 abee niambie wangu
Zimbwe junior on fire
😆😆😆😆Simba raha jamni simba oyeeeee nangalia mpaka raha zinapitiliza asanteni sana marefa sita duh hii kweli kali
Simba raha sana🦁🦁🦁🦁
Jmni Simba ni timu yenye utamu jmni dah ,wachezaji raha mshbiki raha ,walezina viongozi wao rahaaa dah
Nzuri xana
defense ya simba narudia defence ya simba ni ovyoo kabisa...baiwezekani imevuja mara nyingi sana washambuliaji wa azam kama wangekuaa makin mechi ingekuwa vingine.Naona hii ndo inaweza kutukwamisha caf tusipobadilika
Kweli ila wawa tatizo
Wawa hamna kitu
Bora yusufu alejeshe kikosn
Calvin Njau vp
Endeleeni Kudislike sisi tunawanyoosha tuuu, 2020 kama kawa tunabeba Tenaa yan miaka mitano mfululizo hampati ubingwa
Sumba oyeeeee
🦁🦁🦁🦁🦁
fire fireeeeeeeee
Penda xn cmb npn like
Big up zimba
Nipo nachek hii mechi 2024
Saafiiii saaaana
Mtatusamehe azam ilikuw haiwahusu lakn bac wahucka wameon
kweli, wameona, wanatetemeka!!!ngija wafarakane!!
Nothing is can to fint
Saa nne tukutane central moshi tukawatolee dhamana yanga maana walikamatwa wakiiba matikiti ya police,,
Lazaro Joseph Linda haaaaaaaaaaaa yaaan weye
Hapana sio matikiti walikuwa wameiba ndizi huko moshi.
Kwa simba hii mtateseka sana wapinzani
kwa simba hii,wapinzani mjipange
Fire
Dilunga tutamkumbuka sana Simba
Hakuna alieona Mpra umepta wapi ktk ya Mabeki mpira uleee nyavuni
Chama alivyowachenga tuu chilunda akashika kichwa kuashria ndio basi tena
Kwa SIMBA hii Raha sanaa 😂 tunatembea kifua mbele 👊 No stress 🤣
Deepdown Adam nawo wako vizuri tukubali
jamani dilunga mbona no mtamu sana siku hizi
hatareee!!!!dilunga ni shida mze
Yes yesss Kichwa kimoja chenye uzito wa tani moja😂😂uyoo c kashata wala c kashashaa ni fransis kahataa duuh mtangazaji unajua kutukoshaa😂😂😂😂😂🙏
Napenda wanavyoshangiliankwa mpendo Simba jmni wakifunga dah
duuhh huyu dilunga ndo amekua mzuri hivi
Mbona siku hizi simba hatuchezi hivi jamani dah hii simba ilikua naspid sana yani dah wangapi tuna kumbukia leo tarehe 20 /11/20/20
wako wapi waliomfananisha na msanii flan
Sana
Timu yetu ni nzuri, ila kocha afanyie kazi makosa wanayoyafanya mabeki hasa beki za kati
upo sahihi mkuu
Chilunda umerudi tpl nakupenda san
Video
Vp
Simba ni moto wa kuotea mbali
Azam japo 2mepigwa ila2kovizr sanaaaaaaa
Chilunda kawaponza Azam amechomoa betr sa angalia kilichowakuta
Bahati Mashauri wameungua
Mechi ilikuwa tamu sana
Bado natafuta bongo movie
Dad ndio mpira kwa wanachama wa azam
Hii simba ni hatareee aysee
Saw
Vyura tunacomment apa apa?
We chura
Mor Lov zeboy wanatesekaaaa
Dah naangaliya mechi hii tarehe 22/32020 huyu shibubu nimcheza mzuli sana lakini saivi kama hazungumziwi sana bila shaka watamtema dah namkubali sana shibubu naomba uwongozi wa simba msimtema shibubu kwavile tu hapati nafasi lakini shibubu ni bonge lamchezaj
Azam watusamee hatukuwa na jins tulijua ni gongo wazii
Hataki Sana Simba hihihi
Next Level
Kilomoni wapi sasa na domo lako kama upawa mwachie mo. Afanye kazi soma iyoooooooopoooooo!
mpenja ww niki bokoooooo sauti yaradiiiiii
We mtangazaji ni mnaafiq sana kama mabosi zako wote mnamapenzi na simba
Kwhyo at kufungwa kwko jana ye ndo chanzo 😂😂
Itakua vizuri wewe ambae sio mnafki ukifungua yako😀😀😀😀
Kobajuma kwan watesaka jmn alafu sikuelew wew chura
😂😂😂 kwnn uteseke
Povuuuuu
Munyama Atari yani SIMBA mnatupa rahaaaaaaaaa
Tupooooooo Kama woteeeee
simba hii ilikuwaga hatari
ongeni Sana simba ira kocha angaria maana beki zina katika Sana wawa bado makosa yale Yale mbona mlipili yupo na Santos
I love you simba
simba kimataifa
miye nawapenda sn simbasa
huhuhu!!
shiboub ni habari nyingine
Nani kaona mkude amekasirika...kagera alipo chukua ngao
Shibooooob 🗡🗡🗡🗡🤺
Naona tatizo kubwa kwenye beki yetu endapo tutakutana na streka wazuri.
FADHILI BARNABAS KAHWAGE kwel kabisa
Usajili was Simba
hahaha yanga tujipange maana hawa viumbe wa msimbazi mhhhhh nahuyu mtu mweusi sijui msenegar sijui mjaruo sijui msudani mhhh Mungu tusaidie tu
😅😅😅😅😅😅nimecheka
Nindugu yake diatta
😂😂😂😂😂
sawa
Simba ni moto mwingine
Mamae!! Huu mwaka mtaelewa tu.
Asingechomoa betr yote hayo yasngetokea
Bata kwel jaman,👍👍👍👍
twataizya mkwai karesa, sasa nafkr wachezaj wetu maelewano yameanza kua poa, simba amesha unguruma kaen chonjoo msituni
,,huyu kakulanya ni motoooo
Huyo ni warrior .. nimeanza kumuona kama Simba one.. Bwana Tz one akae mguu sawa..! Jamaa Kakolanya ni committed.. kinoma noma..! Thats what we need in GK.. Big UP Deo Kakolanya.. #NguvuMoja..!
Sasa chura anatafuta nini hapo ...?
Yaan sijisikii raha kabisaa nisipoangalia mpira
Narudi Simba dada angu, Yanga naitoroka
@@paulonima6947 Karibu sanaa
Nimechoka kutexeka, yanga nimateso2
Bado tusijisifu sana hadi tuvuke hatuwa za awali