Mc alkishakuwa na maneno mengi lazima.aharibu ladha ya shughuli. Eti wakristo wengi, waislam.hatutoagi zawadi, tushasahau, sasa hilo neno hapo.limeingia kwa mantiki gani? Au ulijisikia tu kumuharibia snura mwenye shughuli yake pambeee. Kajifunze lugha uache kusema majilani wewe
MC kichefu chefuuu sanaaa dooookooo majilaniiii hiyo kwioooooo👌👌👌 hongera sana dd snura
Majilan🤣🤣🤣wazaramoo oyeee
Kwan hata snura c aliimba salali😂
MC Majilanii zetu🤣🤣🤣🤣🤣 hehehe! Kiswahili kimekwenda Ukraine"🙈🤣🤣🤣🤣
Hahahaha nimecheka kwa sauti 🤩🤩🤩🤩
Kwani sindivo.mnavosema.watu wabara L mwasema.R na R.mwasema.S
Hahahaha sio kwa majilani hao haha jitahidi kutamka maneno kiufasaha kwenye R Isimame kwenye L isimame sema majirani sio majilani khaaaaa
Kitu cha ajabu kuna maadui wa Snura watakua wanaumia ndani kwa ndani mfano wa Shilole
Mc unachefua unafuja kiswahili lazima kwenye R ueke R na sio L Eti majilani chefuuuuuuu
Weeee karibu nijishangae.... Majilani
Majilani, mpoo!!!
Kwakweli majilani 😂😂😂😂kiswahili kigumu
Mc tamka vzr majiran sio majilan khaaa
Halafu utakuta jitu linamdharau mwenziwe kisa hajui kizungu wkt ww lugha yko ya kiswahili hukijui Majilani Ndio nn
Mume was sunura
Tabia mbaya mtangazaji zawadi ni zawadi hakuna ukristo wala uislam hapo
Mc_hajielewi_kabisa_harusi_ya_snura_hovyo_mek_up_mbaya_mc_hovyo_eti_Waislam_hawajui_kubeba_Zawad__hovyo
Wawapi majilaniii
Harahara majilani 🤔🤔🤔🤔
Hivi hakukuwa na WA kumshtua jmn majilani hiyo kwani vp.wallah nimecheka kwasauti.mpk jilani kanigongea mlango
KWANI SANURA ANA KAA CHANIKA
Hicho kiwanja maneno bila karatasi🤣🤣🤣
HARA HARA MAJIRANI ndio patakalika hapo ?
😍😍😍
Majilani oyeee
Majilan_kiswahili_noma
@@habibakhalfan1065 noma sana
hahahaa mtangazaji mc umenichekesha hujui kiswahili kwani lazima utangaze
Mc nyoko udini wa nn sasa apo
💞💞💞💃💃💃
Uongo_mtupu_zawadi_ya_kiwanja_achen_Usanii
Majilan!
Hivi ni majirani au majilani
Mamaharusi inabidi upunguwe umenenepasana
Mfyele jmn😂
Mtangazaji chapwa
Kama supu ya magozi
Hara hara jilani 😆
😃😃😃😃😃
Majilani flom chanika mpooooo
Unatukera hatari majilani majilani
😁😁😁siniwa tz hao R kwao L
@@husnahabityhabity9517 wa lushoto na lukoz🤣🤣🤣
Mc alkishakuwa na maneno mengi lazima.aharibu ladha ya shughuli. Eti wakristo wengi, waislam.hatutoagi zawadi, tushasahau, sasa hilo neno hapo.limeingia kwa mantiki gani? Au ulijisikia tu kumuharibia snura mwenye shughuli yake pambeee. Kajifunze lugha uache kusema majilani wewe
Mc kiswahili gan hicho
Kwhy waislam hawatoagi zawadi
Ni watoaji Sana
Majilani
Jamani majirani duh
Mc please kajifundishe lugha ya kiswahili. Yaani umeharibu shughuli kbs. Kitonga kina madhara yk.