ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Ongereeni sana,mmenitia moyo,wengi wananyanyapaliwa na Waume zao na kuachwa solemba,MUNGU Amụmbūle hiyo mwanamme wako,
Hongera zawadi upo vizuri utafika mbali
Daah jamaa nampongeza Sana nijasili Good ameonyesha upendo wa kweli.
Hivi unaweza kupata vvu wakati wa kunyoa nywele saluni
Ndio
Yaani wewe kaka na wewe dada mungu azidi kuwalinda.... Huo ndio upendo wa kweli.
Ongera sana kaka Hamisi kwa upendo wako kwa bi Zawadi.Big up
Naomba namb ya doctor pia Kaka khamix umenifunza kitu hongera Sana nisaidien namb ya doctor plz
Pole sana dada
Hamis Allah akuzidishieni umri waziada
Acha ujinga wewe kwani kilamtu apa nduniani nimkamilifu kama haujapata ni mungutu ndie anakulinda
Mina mnyanyapaa kama kapata kwa njia ya uzinzi kama kapata kwa njia ya kupitia kwa wazazi wakati wa kuzaliwa sito mnyanyapaa
Wewe ujawahi kutembea na mtu zaidi ya mmoja au kwa bahati tu Mungu amekuepusha upaswi kumnyanyasa hata Kama amepata kwa njia ya kujichanganya.
Ukimwi ni biashara
Truee wengi hawajui
Nimeipenda
@@zachariabin5400 kiaje?
Katika mahojiano nilisubiri swali la kuwa aliupata wapi au kwa nani lakini sikupata jibu
Hata mimi nilisubiri lakini sikupata jibu kuwa aliupata wapi
😂
Mwandishi naomba number ya doktal
Sasa huyo zawadi kwa nini alilala nae bila kinga wakati alijua ana maambukizi je angemuambukiza na ndiyo maana huyo zawadi aliambukizwa ukimwi sababu ya kulala na watu bila kujikinga
Kinga ya ukimwi kuacha zinaa.Kondomu hazikingi kwani huweza kupasuka
Ongereeni sana,mmenitia moyo,wengi wananyanyapaliwa na Waume zao na kuachwa solemba,MUNGU Amụmbūle hiyo mwanamme wako,
Hongera zawadi upo vizuri utafika mbali
Daah jamaa nampongeza Sana nijasili Good ameonyesha upendo wa kweli.
Hivi unaweza kupata vvu wakati wa kunyoa nywele saluni
Ndio
Yaani wewe kaka na wewe dada mungu azidi kuwalinda.... Huo ndio upendo wa kweli.
Ongera sana kaka Hamisi kwa upendo wako kwa bi Zawadi.Big up
Naomba namb ya doctor pia Kaka khamix umenifunza kitu hongera Sana nisaidien namb ya doctor plz
Pole sana dada
Hamis Allah akuzidishieni umri waziada
Acha ujinga wewe kwani kilamtu apa nduniani nimkamilifu kama haujapata ni mungutu ndie anakulinda
Mina mnyanyapaa kama kapata kwa njia ya uzinzi kama kapata kwa njia ya kupitia kwa wazazi wakati wa kuzaliwa sito mnyanyapaa
Wewe ujawahi kutembea na mtu zaidi ya mmoja au kwa bahati tu Mungu amekuepusha upaswi kumnyanyasa hata Kama amepata kwa njia ya kujichanganya.
Ukimwi ni biashara
Truee wengi hawajui
Nimeipenda
@@zachariabin5400 kiaje?
Katika mahojiano nilisubiri swali la kuwa aliupata wapi au kwa nani lakini sikupata jibu
Hata mimi nilisubiri lakini sikupata jibu kuwa aliupata wapi
😂
Mwandishi naomba number ya doktal
Sasa huyo zawadi kwa nini alilala nae bila kinga wakati alijua ana maambukizi je angemuambukiza na ndiyo maana huyo zawadi aliambukizwa ukimwi sababu ya kulala na watu bila kujikinga
Kinga ya ukimwi kuacha zinaa.Kondomu hazikingi kwani huweza kupasuka