Salama Na Romy Jons Ep 14 | PLUG Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
Romeo boy handsome toka Kinondoni mpaka Tandale na sasa duniani kote. Ni kijana wa town, mcheshi, mtanashati, mwenye madevu na mcha Mungu, Ila pia ni Kaka yake mwanamuziki superstar toka Tanzania ambaye ni Diamond Platnumz.
Mimi na Romy tunafahamiana miaka mingi, na kama ulivyodhani nilianza kumjua yeye kabla sijafahamiana na Nasib, story yetu inaenda toka enzi za ‘ujana’ wetu, rafiki zake ndo rafiki zangu na tulikua tukikutana karibia kila wiki.
Toka Platnumz awe al maaruf Romy amekua nyuma yake siku zote, toka video ya kwanza ambayo umemtuambulisha kwetu super star huyu Romy alikuwemo pia kwenye video hiyo kama mume mtarajiwa wa msichana ambaye Platnumz alikua ndo mpenzi wake. Toka siku hiyo tumekua tukiwaona pamoja kila sehemu kama kope kwenye jicho.
Miaka ya hivi karibuni sikuacha kugundua kwamba rafiki yangu huyu kabadili tabia, siye yule nlokua namfahamu wa miaka mitano iliyopita, kuanzia muonekano, kazi, jinsi anavyojibeba na hata maongezi yake. Pia nimekua nikimuona akifanya kazi ambazo si za bora liende na badala yake ni kazi ambazo zinasimama haswa na kujieleza zenyewe. Kwa mbali nilikua naangalia na nikasema kwanini haswa nisimtafute rafiki yangu huyu ili atuambie mimi na wewe siri haswa ya mafanikio yake? Pia kuhusu maisha yake binafsi maana ameoa miaka ya hivi karibuni, kuhusu Mama yake mzazi, mahusiono yake na Mama yake Naseeb, kazi yake kama actor na Dj, kulea mtoto wa mkewe na fame kwa ujumla. Tulikutana na tukazungumza hayo na zaidi.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Namkubali sana salama gonga like na salama
yap....usiku wa manane milango ya mbinguni hufungukaa
kama unamkubl RJ dj dondosha like apoo
Usimjuge mtu kwakumuon mtandaon mashaAllah romy umeongea point saan mung akuwekee wepes kweny maisha yak
this is one honest and sincere interview ,i love this show ,from kenya
SALAMA IS VERY PROFESSIONAL...THE WAY SHE ASK QUESTIONS AND GIVE HER GUESTS TIMES TO EXPRESS THEMSELVES AND ALSO VERY COMPOSED👍
kweli hawa walionza juzi hawajui kuuliza maswali anauliza swali hili halijajibiwa anarukia jingine
kweli hawa walionza juzi hawajui kuuliza maswali anauliza swali hili halijajibiwa anarukia jingine
@@frankassey5971 true...unajuwa salama kanzaa kitambo toka mkasa...kipindi hicho...do you remember?mim sio mtz lakini nafatiliya sana entertainment industry ya tz
Love Salama, missed u dear. Hope u keepn well. Eid Mubarak sweetheart. Nice interview ayouni. Keep on keeping on doing the good work. Love u hun 😘😍😘
Naomba this week awe riyama ally dr salama
Romy wewe unajielewa,,msaidie nduguyo nae pia ajielewe.
Yan salama Jabir mbunifu sana😍
Better than Jimmy Fallon especially leaving the interviewee to speak
Tafadhari click link hapo chini Ku subscribe TH-cam channel hii kwa habari na matukio mbali mbali.th-cam.com/video/n1SmHa4_PNE/w-d-xo.html
Salama l can't wait for King Kong...🤔🤔 @chidbeenz
awooteee huyu jamaa namkuli na chibu
Miayo maeleni tu hayo jamani kujigeuza wanawake sipendi
Ta bien parlé mon amie fatasique parole 🇷🇺🇹🇿
His nice guy with pure heart ❤️ nice interview salamaa tupe part2😊😊😊😊😊💯
Rommy ur voice 🔥
Big mistake has done because of Coronavirus 😅😅😅Why part 2 is playing & part 1 was being held, this is how Coronavirus push people on a crazy intention.
Hahaha umetisha
😂😂😂😂yani ma tress kibao
😂😂😂😂😂😂
Interview imekuwa poah sanaa
Good interview rommy kaongea vizur
Rommy he knows how to handle interviews I was waiting for it soooo looooooong
Tafadhari click link hapo chini Ku subscribe TH-cam channel hii kwa habari na matukio mbali mbali.th-cam.com/video/n1SmHa4_PNE/w-d-xo.html
Alhamdulilah na kwa nia zenu nzuri mngu atawa hidiya yote both of you who are we to judge
Mungu ukupe maisha mazuri
Salama jabir i love you am your fan
What's his real name
Satisa ucku ndio.mda wa huruma ya MUNGU huo ndio ucku wa manane
Awooote
Kumbe Salama nawe umegonga bangi eeh??
Salama na rommy nipe like zangu wadau wa hii pindi hataree town
Salaam ni dada wa taifa au tuseme dhahabu ambayo iko mchangani anajua sana Her appreciate is genius
Tafadhari click link hapo chini Ku subscribe TH-cam channel hii kwa habari na matukio mbali mbali.th-cam.com/video/n1SmHa4_PNE/w-d-xo.html
RJ THE DJ
Leonel rich wa kibongo
Salama mlete Zuchuu plz
💞💞💞💞💞💞💞
Sio wasafi festival ilikuwa wasafi beach party jangwani mondi alimaindi kamtukana rj mwisho akashuka akaondoka
Yani romy mungu eti mkubwa wa dai kwa mwaka na picha zinaonesha amempita kama miaka mi3 coz hata dai ni mrefu
Yeye na Nasib Ndugu vipi? Mama mmoja au mama zao Ndugu?
Mama zao ndugu tu
Suhaila Ali mama mkubwa Na mdogo
Mama zao n ndugu
mama mkubwa na mama mdogo ila Romy na Diamond wamelelewa pamoja na wamekulia pamoja na alowalea bi Sandra mama diamond ndo mana diamond anampenda sana Rommy kama wamezaliwa pamoja mana haijalishi mama zao ndugu lkn misukosuko yote wamepitia pamoja
Daaaa
Salama Naomba Uni Unblock Instagram @eliasakitasa
Tuletee na diamond tumsikie
Napenda sana ichikipindi
Mrete King kiba
vyakula vya Samak Samak ñâ vinywaj ñ hela ya kiwanja
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣
Nmeenjoy story zenu..
Nawakubali
Salama hii umependeza
Wasanii bwana wanachoongea na wanavyoonekana ni tofauti kabisa, unazungumza kuhusu Allah na ibada huku masikioni una heleni
dont judge people by the way they look
licha ya mapungufu yetu kibinadam haitufanyi tuache kumtaja Mungu watu.bora yy katoboa masikio yake lakin anajua Mungu yupo. hata ww hapo hujakamilika unamapungufu yako
Two years later
SALAMA TULETEE NA SIMBA
🤣 🤣 Jamaan tumekutana tena hapa
@@africanqueen2506 😂😂😂😂 nilitaka nishangae interview kubwa kama hii usiwepo😂😂😂
@@almasially6509 mie tena 🤣🤣🤣👌Lkn na ww unazurura TH-cam
@@africanqueen2506 naona sikuzidi wewe😂😂😂 afu itabidi ueke profile pcha ila niwe nakujua kwa haraka😂
@@almasially6509 ntajaribu 🙂😁
Nice we are watching it today, Keep it up S.J. & the whole time of Yahstone
Kaka una akili mnusuru ndugu yangu
Wazazi wenu nimandugu na nyote mlilelewa na mama mmoja how comes kakako ana akili tofaut and he is not copyng from you
Tetete si kila mtu anazaliwa na akili yake jaman
Umeongea vizur ila acha kuvaa hereni!!!
Kweli
wow, jama ameanza show guns blazing, plans ni muhimu,
Looking like John Legend man!! ☺️
Tunaomba mtuletee Nikki mbishi please
naomba jina la ngoma inayolia kwa background
Tu the DJ awooote
BigUp rommy jones ✔️
We romi acha uongo unarudi saa 2 wapi wakat nakusikia msizwa saa 6 usiku
Where mkasi ended salama
Where this started
Vizuri sana umekuja na hiki kipindi maana kule kwenye mkasi mubah na joni walikua wakiniboa sana ...hawajui kuuliza maswali kwanza muba anazunguka sana badili awasilishe point za msingi
Eti ni kwel uliwah kudate mkaliwenu original Salama?
😂😂😂😂😂😂😂 tumuulize
Awoooote!!
Kizazi Sana Aiseee
kwenda kwa mganga sio uchawi
Rj the dj🔥🔥 cool man!!!
Good job salama
Hizo ads mweeh 🙄😬....why part 2 then part 1 ???
wew hujawah Kukosea kwenye maisha yako?
Yeye na Nasib Ndugu vipi? Mama mmoja au mama zao Ndugu?
Hapan mama ake na diamond na mama ake rommy wamezaliwa mama mmoja baba mmoja mama ake rommy ndo wakwanza
Mtoto wa mamaake mkubwa
Romy na Esma ni baba mmoja, so walikuwa karibu wazazi na wameishi kama familia since then.
@@dusilaabuock8060 acha uongo kama hujuii uliza mama ake rommy na mama ake esma wamezaliwa tumbo moja
@@islandgirl4578 😂😂😂😂😂😂😂😂
Duuh ilianza Part 2 sasa hii
Mbona nothing
Nimegundua kitu, salama anakunywa vinywaji na vyakula vya gharama kuliko wageni wake
Hhahahah Jaman😁😁😁😁
Hizo swala na hereni sijawahi kuona, all in all i don't judge....
Hi
Queen September exactly sema ww
Kwani hapo wanaongelea dini ao wapo muskitini,ww unaejifanya kumujua allah unafata nini kwenye ichi kipindi?acha ujinga nakujipendekeza
@@safarikikaadrien108 tutolee frustrations zako, kama Corona imekupanda kichwan jipige risasi,
Punguani wahed.
Dah sijaaamin haki rommy ushatumia kokein
I like this guy ❣️
Naelewa
💥💥💥💥
Rom
Cocaine tamu kumbe
Salama mtafute Juma Nature hawa mabishoo hawaeleweki
Ramadhani Abdi yan tumewaza sawa
Sio lazima uangalie wewe
Waislam wote no ndugu mbn unakuwa na chuki czizo na maan mzee
acha wivu
@@kindepi_tz8949 hujawah kuniwekea bando kwahyo ntaangalia na ntaendelea kusema
Saaafi sana 💪
Best channel ever #swahili
Nayiomba salama na Simba💪🏾💪🏾💪🏾
💥💥
🔥🔥
Salama tuletee SIMBA PLATNUMZ
Asalaam aleykum - Dada Salama- lakini mbona una wahoji tu watu maarufu ‘ ? Najua kipindi chako ni kizuri mnoo lakini changanya Na wale wengine wa kawaida kidogo au watu tofauti tofauti pia ‘
Tafadhari click link hapo chini Ku subscribe TH-cam channel hii kwa habari na matukio mbali mbali.th-cam.com/video/n1SmHa4_PNE/w-d-xo.html
🔥🔥🔥🔥🔥
Hii unaswali na herin
Hereni tunatowa kipindi cha swala
Inshallah Allah will keep guiding him anajielwa huyu.Hana Scandal.Lets not charging too much.
Well done,umeacha kilevi, acha na muziki now
We fala
@@napster2558 🤣🤣🤣🤣🤣
Na ww acha kuangalia hii channel kwasababu kilichompa umaarufu salama ni muziki