KWANINI MAMBO YAKO YANAISHIA NJIANI? HAYAFIKI MWISHO!! {Part 01}
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Mika 7:5
Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mtumishi mungu akubarik nimejifunza kitu mungu aniepushe na hila za adui
Oooh hallelujah ujumbe mzito jmn umeni sisimua mwili
Asanteee MUNGU kwa. Asubuhi hiii Yaleo Naomba unitoe kwenye matatizo na shida zinazo niandama baba niomba no fanyie mambo makubwa Leo bava huu mwaka uwe wa shuhuda kwangu
Mungu atusaidie sana
Nifundishe baba kunyamaza nifundishe baba kunyamaza Tena 🙏🙏
YESU nifunze ukimy
Mungu Roho Mtakatifu nifundishe kukaa kimya na wakati wa kuzungumza. Asante Yesu sifa kwa jina la Yesu
Amen God bless you so much na uendelee na mafundizo saidi
Amen asante sana kwa somo 🙏🙏
Nifundishe kunyamaza bwana 🙏🏼
Eee MUNGU nifundishe kunyamaza baba najua wewe ndy kimbilio langu baba siwez kusema bila ya wewe baba nipe moyo wa subra baba🙏
Eeee mungu nisaidie nifundishe jinsi ya kunyamaza peke yangu siwezi NISAMEHE baba
Asante mungu nazidi kujifunza mengi mnoo
Asante Yesu and Amen 🙏 🙌 👏 ❤️
Roho Mtakatifu Nifundishe Nyamaza Katika Maisha Yangu Ya Roho Na Mwilini Nijue Kutunza Taarifa Zangu
Eeemungu..wangu.nifundishe.kunyamaza..nikanene.yoko.
Asante Yesu
Amen Mungu nahitaji walinzi kwenye kinywa changu
Mungu nifundishe kunyamaaza
Mungu nisamehe kwa kijiungamanisha na maroho ya ajabu najing'oa kwa Jina LA Yesu
Mungu wangu nifundishe kunyamanza . Nilinde na maudhui wangu
Amen mungu nipe nguvu ili niweze kifaham kusudi lako kwangu na hekima zako,pambana nao wote walio kuja kwangu kwa kusudi la kuniangamiza walio nipangia mabaya yote iwarudie
Ameen.mutumishi.wamungu.kwaibada.hii.imenitowa.pahali..nikwali..ubarikiwe..sana
God...🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana
Hakika madhabahu hii imebarikiwa mno tena mno
Yaan mungu hazidi kukubariki innocent. Hakika weye ni among the chosen one.
Asante YESU Kwa majira haya
Barikiwa San mtu mishi wa mungu akulinde sana maubiri wetu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤💐💐💐💐
Ameen Asante sana Baba mungu akujalie maisha marefu❤❤
Amen mungu akubarik sana Mtumishi naam no mungu tu amenikutanisha na madhabahu ya siri za biblia Mafundisho yako yamenijenga kias kikubwa sana namuona mungu kwenye maisha yangu ubarikiwe
Sylvia asante roho mtakatifu
Amen Amen 🙏 nashukulu sana kwa iiii Madhabahu nimejua Mambo mingi sana sana ubalikiwe sana pastor umekuwa BABA wakaribu sana BALIKIWA SANA
Ahsante Kwa ujumbe mziri mungu akubarik.. na mm bwana nifundishe kukaa kimya❤❤❤❤
Eeee Mungu asante kwa neno hiri naomba unifundishe kunyamanza
Nifundishe kunyamazaaaaa Ee Baba yanguu😢
Ooh mungu nifundishe kunyamaza,barikiwa mtumishi kwa somo zurii...
Mungu naomba utufundishe kunyamaza Mimi na familia yangu tubadilishe Mimi pamoja Joseph Mungu mubadilishe Nakuomba
Asante Yesu 🙏, ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa ibada hii
Sylvia amen,ee mungu tusaidie .hii mafundisho Ni ukweli kabsaa.naomba mungu unipe macho YA Rohini Na ufahama pamoja utambuzi🙏
Niwezeshe Mungu kulinda kinywa changu na roho mutakatifu Ani ongoze
Eeeh baba naomba baba niguse mkono wako leo
Mungu nipe macho ys rohoni niweze kuona kusudi lako kwangu
asante yesu nifundishe kukaa kimya kwa mambo yangu bwana
Amen 🙏🙏🙏 Asante yesu Kwa mafundisho haya nimepta kitu mungu akubariki sana mtumishi wa mungu, mungu aendelee kukutumia
Amen Mtumishi Asante sana Mtumishi
Asante mtumishi kwa maarifa maana wengi tumepoteza mungu atusaidie 🙏🏽🙏🏽
Asante sana mungu naomba unisaidie ninyamaze
Mungu wa mbinguni nisaidie na unifushe ee Roho Mtakatifu kunyamazaaa,niliongea sanaa
Asante mtumishi wa mungu
Mungu wangu Nifundishe kunyamaza
Mungu naomba kuwa na matumizi mema ya kinywa changu kwa maneno ninayo nena, nijue pa kunyamaza
Ameen Ameen Asante sana Kwa kutufungua
Asnte yesu kw Kuniunganisha tena Madhabahuni
Mungu anifundishe kungamasa
Asante kwa mafundisho mtumishi shalom.
Asante yesu kwa kunitambulisha kwa madhabahu haya ya siri.
Yesu wangu nirehemu sanaa sanaa sanaa
Barikiwa 🙏🏼
Mungu nisaidie niwe mtu wa kunyamaza kwenye maisha yangu 😢
Am connected in Jesus blood 🙏
Ameeeeeen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻Asante sana 🙏🏻🙏🏻
Asante yesu kwa majira haya
Emeeeen
MUNGU wangu nifundishe kunyamaza
Asante sana kwaushauriwako
I need you lord
Mungu naomba unipe macho ya rohoni kuhusu kinywa changu
Yesu nifundishe kukaa kimya n mambo yangu ee sikujua mm kusema mmbo yangu sai imekua shida😢
Nifunze Ku nyamaza n'a kujuwa Nini naeza kuongeya n'a nini siezi kuongeya nifunze Mwenyezi Mungu
Hakika Mtumishi utuzwe na bwana Yesu
Amen 🙏🏽
Amen
Amen 🙏🙏🙏🙏
Sylvia amen🙏🙏🙏♥️
Yesu wangu nisaidie niwe mtu w kunyamaza
Incredible
Shalom
Ni mimi kabisa mtumishi cwezagi kujizuwia naomba mungu anipe macho ya rohoni🙏😥
Ameeeen and Ameeeen
Ameen
Ameeeeeeeen
Mambo yangu mengi yameharibika sababu ya kuongea kwangu ila sai mungu ananisaidia kwa kunyamaza
Nifundishe kunyamaza baba kunanilichojifunza baba😢
Unifunfshe kunyamaza roho WA bwana
Glory be to God thank you Pastor. God bless you. We follow you and we love you.🙏🙏🙏👍👍👍🌷🌷🌷❤️❤️❤️
Mungu nakuomba kupitia madhabau hii unibari huu mwaka ukawe mwaka wa neema niweze kubeba ujauzito na kujifungua salama maana ni kilio changu nu miaka 8 sas
Mungu atupe hekimaya kuwawa kimia
Amen Asante ❤❤❤
Nena nasi bwana.
Naomba bwana huniwezeshe nakiywa changu
Nifundishe kunyamaza bwana
Mungu nisaidie nisioexpoxe mambo yangu ili nisipigwe locck
Jamni mm ndo wa kwanza nimeanzisha kibiashar kina miez mitatu nimeshapost😢 eeh mungu nisaidie.
Ndio kabisa kafariki jaman binadam wabaya kabisa
MUNGU naomba unipe macho ya rohoni kuhusu kinywa changu
🙏🙏🙏🙏🙏
Baba naomba uni funze kunyamaza niwe na kuelewa wakati wakusema mahali Pana faa wawakati
Naombeni link ya group jamani
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Eeh baba wabinguni nashkuru kwa wakiti huu ume ni fisha
Mmmmmmm 🤔 picha na mshahara
Mungu atusaidie Sana,