MKUU WA ANGA By Pastor Myamba
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- #HOUSEOFVICTORYCHURCH #PASTORMYAMBA #LIVEHVCSERVICE
This is the Official TH-cam Channel for Pastor Emmanuel Myamba. Is a Pastor of the HOUSE OF VICTORY CHURCH , This church is Headquartered in Kigamboni-Mbutu (Dar es salaam) Tanzania
-----------------------
For Offerings / Tithe and Seeds please send through Western Union / Money Gram / RIA and M-PESA: NETWORK: Vodacom, NUMBER: +255 744 982 517, NAME: Emmanuel Myamba, COUNTRY: Tanzania
-----------------------
Follow Us:
Instagram: / pastormyamba
Facebook: / pastor-myamba-12973112...
TH-cam: / pastormyamba
Call: +255 744 982 517,+255 713 842 123,+255 686 953 030
Ubarikiwe jitahidi kuwaleta wasanii kwa Yesu
Amina Mchungaji nabarikiwa sana. Mungu azidi kukutumia.
amina sana pastor miyamba
Ubarikiwe sana pastor!
Amen 🙏
amen mtumishi barikiwa sana
Amen somo tamu na Kali Sana pastor
Amina
Amen Amen
Amina baba
Ameen
Aminaa baba
Amen Mungu akulinde usiku hata mchana pambana
Mkuu wangu
Naitaji msahada wenu ndugu zangu katika roho ya kikristo . Nina kitu ndani yangu na sikifahamu . Naitaji nije Tanzânia. Kwajili ya uduma sana.
Kwani watu ambao wana dislike mambo ya mungu shida yao n nn kusema kweli
Kweli ulistahiki kuitwa Pastor
Aaaaamina saaana.uko sawa kabiisa na unaeleweka saaaana.Mungu wa mbinguni na azidi kukutunza.
Amen ubarikiwe mtumishi kuna kitu umenifungua sasa mkuu wa anga atanitambua kwa jina la Mungu alie hai
Ubarikiwe sana,kwani hata kwenye maigizo ulikuwa ukionyesha uhalisi
Nakupenda sans pastar Kwa SoMo rako Suri sans nime barikiwa sans
Daah! Haya mahubiri yamenigusa sana, hata Mimi huwa napanga kuamka ucku kuomba lkn siwezi ,kuanzia sahizi ntaweza kwa jina la yesu kristo.
Asante Sana pasteur kwa kwakutufundisha Nini maana ya mkuu wa anga MUNGU akubariki Sana
barikiwa sana mtumishi na mungu akuzidishie karama na vipawa zaid ili neno lisonge mbele
napend sana kupata mwalimu wa neno
Amen Glory be to God
barikiwa baba mungu azidi kuku tunza na kuku bariki.
Hongera sana pastor mafundisho yako mazur sana
Ubarikiwe mtumish mungu azidi kukupaka mafuta
songa mbele pastor..unaokoa roho nyingi..I'm your big fan
Pastor myamba Nina shida na maombi yako nimeokoka nampenda yesu kristo naitwa George salutary matilya shida yang ni kwa Sasa na wiki tatu nipo nyumban sijapata mafanikio pia Nina mchumba Wang amenichana kwa sababu Sina uchumi Wang ipo vibaya
Amen Pastor
Nimekuelewa san mtumishi ubarikiwe baba .
Thanks a lot!
Barikiwa sana Mtumishi
Nimejazwa na mafunzo yako barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Amina mtumishi wa mungu
Amen warching in saudia Arabia
That's awesome.
This is very powerful and timely
ASANTE mtumishi mungu akubariki kwa mafundisho
Ameen. Hii ndiyo INJILI YA YESU.
Pastor Mungu akubariki sana uwa unanibariki sana na mafundisho yako mimi ni mchungaji pia kutoka Kenya na ningependa kufanya kazi ya Mungu pamoja na wewe
Safi Sana Mtumishi
Somo muhimu sana, barikiwa sana pastor kwa fundisho zuri .
amina mtumishi WA mungu nilikua nasubiri nimuone you tube
Wow Goooood
nimefurahi saana na nimebarikiwa saana
Amen Ubarikiwe mchungaji
Amina mtumishi wa Mungu kanisa yako Iko kipande ngani ukiwa ndarisalam?
mimi ushauri wangu ungetoka huko kwenye maigizo uifanye kazi ya Mungu
mtumishi mungu akubariki sana endelea kutufundisha tuzidi kuelewa zaidi
Daaaahh nakukubali sana we bro!! Mungu akujaalie
Barikiwa sana man of God nimepata kitu muhimu sana ktk mwendo wa maombi
Amen Mungu akubariki kwa somo la mkuu wa anga Mungu atutete bila yy hatuwez
ameen Mchungaji
Nakuelewa sana pastor ,hongera kwa ujumbe mzuri
Barikiwa saaana
nice
Pasta miamba ubalikiwe mtumishi
ooooo niombee na mm
Amena
Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu
amen. ubarikiwe. praise Lord
asante mtumishi wa Mungu
I like you pastor just pray 4 me haki
Muamini yesu kristo ndiyo jibu kwako
MUNGU akubariki sana pia mie nafatilia saana kaz zako MUNGU azidi kukuongoza
Mungu akubariki sana pasteur nilikuwa nakuona naminasemaka unastahili kuwa pst kumbe uko pst minafurahii sana kbs
Aimen mtumishi wa MUNGU
Amina kubwa mtumishi
Amen pastor be blessed to this good news
Amen...thanks pastor kwamafundisho ya kiroho.May God bls you.
duuuuuh nimechelewa sana kama leo kujua kama wewe ni pasta nilikuwa najua nimaigizo to na nikwa mda mrefu kufahamu upasta wako kupitia muvic lakini leo ndiyo nimejua kuwa kumbe umpa kwa mafuta wa bwana ubarikiwe sana mtumishi nimejifunza sana kwenye hi somo
Polee
Amen!!!!
Mungu akutiye nguvu
safiiii sana EMANUEL mama ako angelikuepo duniani angefurahi sana ulikua mtoto wa kiume peke
Amina watumishi wa Mungu
Pastor Myamba
Pastor Myamba ubarikiwe
Pastor Myamba ubarikiwe
Amin pastar ubarikiwe
Pastor Myamba mungu akubaliki sana
Pastor. Am from Kenya. Napenda sanaa mafundisho yako hua nasikiza kwa makini ndiposa niweze kua mtu mwema machoni pa Mungu Baba..lakini nmeshindwa kabisa. Watu huniona mtu mwema saaanaa. Lakini hakuna wema ndani yangu...Vitendo vyangu vya giza na vya kisirisiri havifuanani na Mimi kabisa .Am 24yrs how I wish ningemjua Mungu kwa kweli. Wakati huu. ..Mara nyingi hua natenda vitu ambavyo nishajinenea sitazitenda....Kwa upendo wa Mungu Mwenyezi niombe saaana Ubarikiwe zaidi mchungaji.. zidi kufundisha.. Mimi ni mtenda Dhabi mkubwa zaidi machoni pa Mungu aliye hai. hata kwa wanadamu.. Am waiting for any reply
Mungu ni mwema atakubadilisha tu,endelea kufuatilia neno la Mungu mahali hapa utapata nguvu za kubadilika kwa jina la Yesu
I would love to talk to you ,call me 0723427 941
Barikiwa
Nilikuwa nikikuona ktk movie za kanumba lkini sikujua kma we we NI Mchungaji ubarkiwe sana Pastor myamba
ameen
ubarikiwe sana
amina ubalikiwe sana kwani nimepata ufuno hapo
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu.
ameen
Amen, barikiwa sana mtumishi
Ubalikiwe saana Mtumishi,ila ningependa nipate namba zako
whatsup 0713842123
Hakika mjngu ni mwema sana
amina mtumishi nikutie moyo ktk maandiko yoshua 1:5-8 ila ombilangu kwako nikwamba uwe unaweka mahubiri marefu takriban dakika50 SAA moja
sawa nimeshaanza kurusha mafundisho marefu
Sadick Tanaeli amiba mtumishi wamunguu
Nipo kenya
Barikiwa na mungu
ameen
ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
ameen
Kweli kabisa
Nakuamin na nakueshim san
amen mwana wa mungu
ameen
samahani pastor kati ya imani na mkuu wa anga ipi bora bac nihivi pamoja na ivyo sipingi chochote watu wakikua kiroho uyo wa anga alizidi neno" imeameandikwa mtafungua duniani na mbinguni yatafunguliwa IMANI KATIKA KIRSTO NI MAJIBU VIWANGO VYA KIROHO VINATOFAUTI LAKIN TWATAMANI TUSIWE WATOTO WA CHANGA"
Kwann una mwita shetani mkuu Wa ang wakati Mungu anasema yy ndiye mkuu mbinguni na dunian??
Ukisoma Bible vizur utaelewa
amina
Hata Yesu alisema shetani ni mungu wa dunia hii
Biblia inataja habari za mkuu was anga cyo mchungaji anasema
leo ndo nimejuwa sasa kumbe ww nimchungaji waukweli
pasita kamahutojali naombanambayako unitumueyakwangu hip 0654981679
amen mtumishi barikiwa sana
Ubarikiwe jitahidi kuwaleta wasanii kwa Yesu
Japo umewatangaia wazinzi soko lao lilipo
Japo umewatangazia wazinzi soko lao lilipo
Amina
Amen baba
Ameen🙏
Amen pastor
Barikiwa mtumishi nilishaona kitu cha ziada ndani yako tangu zamani na leo Nina furaha yametimia Mungu akutunze