MITIMINGI # 579 UKITAKA UPENDWE NA MKE/MUME FANYA HAYA NDOA YAKO ITAKUWA BORA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Ukiona hupendwi katika ndoa jifunze kubadilisha baadhi ya Mambo utamfanya mwenzi wako akupende Muishi naye vizuri.
KANUNI ZA KUMBADILISHA MWENZI WAKO KUKUFANYA AWE ANAKUFAA KATIKA NDOA
By Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor & Counseling Psychologist #WCC +255 713 18 39 39
Mungu akubariki sana Mwalimu, Nimebarikiwa sana na mafundisho yako.
Balikiwa mtumishi wa mungu mengi tunapambana nayo juu ya ndoa
Nakupenda napenda pia mfundisho yako mungu akulinde
Nampenda sana mafundisho yako Mungu akubarik
Namkubali sana huy mchungaj
Somo zur barikiwa mtumish
Mungu azid kukupa maona ya kutufundisha na kuponya ndoa za wengi.
🙏🙏🙏🙏 mungu amulaze salama mchugaji
Be blessed pst.am so blessed by ua tchings.
Kwa kweli umesema ukweli watu wengi wanakuta tofauti kabisa,ila mtumishi unaweza kubadilika lakini itachukua muda mrefu huku mtu ameshaumia,shetani mbaya mno!Asante,Trophy Nchini Canada
Safiiiii Sana kk
Mahubiri yako yanafundisha Sana nataman kukutana nawewe
Amen man of God
Asante doctor mitimingi kwa kweli unamafunzo mazuri.mungu azidi kukuinua na kukubariki kwa kila jambo.ubarikiwe sana mtumishi
Murenkangala
Barikiwa sana mtumishi tunazidi kufarijika sana
Ameen
Baba baba baba baba baba shkamoo aiseee nazidi kulewa sana mafundisho yako
Asante tunabarikiwa
Evans Katunzi hongera xana
kweli kabisa baba
Nikweli manoneyako we we unafundisha vitu sahihi kabisaa ambavyo ha ta .siye waislaam yatupasa tuyafate nasema shukran
barikiwa mtumishi
Mafundisho mazuri haya
Amina
Nashukuru
ubarikiwe neno zuri sana
Mola akuongezee nguvu this is so nice
usiruhusu maumivu yako kama kiongozi kuonekana safi sana 💪
asante Kwa somo zuri, kuanzia Leo nabadilika
Ubarikiwe sanaaaaa Mungu azidi kukufunulia maandiko
Hakika kazi umeifanya Baba, pumzika Kwa amani
Mungu akubaliki
kyala akutule mungu akubaliki sana
nimejifunza kitu dah cm Na mie ndo wikiness yngu kuanzia Leo sirudii tena asante mchugaji
Nabarikiwa sana na mafundisho yako yaliojawa na hekima Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Pumzika baba safiri salama msalimie Musa,msalimie moses kulola nasi twaja
Hakika we Mch. Mungu amekuumba makusud, nimebadilika kuptia mafundxo yako, ubarikiwe sana
Ameeen.barikiwa mtumishi.
Pengo hili mbona kubwa sanaaa mpaka sielewi rip😭😭😭😭😭
😥😥😥😥😥😥😥😥
Mwalimu mchungaji umegusa moyo wangu sana nikiwa hapa nairobi kenya
nakupenda bure mitimingi
hivi nikweli Jamani au rip baba wa upendo umeumaliza mwendo salama
Mtumishi nashukuru nimekuelewa Barikiwa sana
napenda sana mafundisho yak
kwa kweli nabadilika sasa hv...Asante kwa Somo
Kweli baba mafundisho Yako mazuri
Mungu amrehemu mchungaji amlaze pema peponi, Amin
Amina mtumishi ubalikiwe sana
RIP nimeumiaaaaaaa sanaaaaaaaaaa
Ubarikwe mtumishi kwa neno
Safi xn Dr.Mitimingi.
Kaka mm ni muisilam lakini nimekukubali sana na ninakufuatilia sana
Mambo badirika ikiwa baado inawezekana Islam sio kwetu tulidanganywa ila mmi nimesha toka nimeokoka maisha yakawa maxuri xaidi
Iradukunda kweli akili huna,unamshawishi aingie ukristo kisa mafundisho ya ndoa,hayokote yapo na kingne maisha ya ndoa ni mtu mwenyewe na mapnzi yake kwa mwenzie,kama mapnz hana hata afundishwe mwaka mzima ni 0.
uislam na ukrista tofauti ni kwenye yesu tu uislam unamjua km ni nabii wa mungu na ukristo unamtambua km ni mungu
Ata mimi mume wangu anapenda Sana sim
@@petterelias6976 Yesu amuhitaji ni kama nani?? Kwani Yesu ndie Anaepanga ndoa iwe nzr ndoa ni tabia za mtu
Mungu akusamehe
sema changamoto yangu pesa kwenye mahusiano ndo shida make kila akiomba hela nakuwa sina ila bado ananipenda sana mpaka leo ila hofu kwangu
Duh pole Sana,ata Kama huna pesa onekana kujal
Ubarikiwe mchungaji unatufunza mengi.
Uko vizuri kawa neno baba
is true b4 marriage tunatarajia mambo makubwa na mazur na tunahope kwenye ndoa ndio kwenye kila kitu
Tulivu Temba
God is with you my Pastor. Go ahead.
Baba mm nakuelewaga sanaa,, Mungu akubariki sana kwa kuunena ukweli
asante sana Dr Mitimingi somo nzuri kweli
It will be nice if he could do some videos in English, especially when it comes to relationships and marriages because some of our husband's they don't speak Swahili they only speak English and it will be nice if they hear these things. Thank you man of God 🙏🙏
Amen. Blessed Sarah we will try our best. Thanks for feedback
Teach him that is you're duty to teach him Swahili
Asante sana nakukubali
Hakika unatufunza mengi ubarikiwe sana
Good
good
Umekuwa msaada kwa wengi waofatilia vipindi vyako
Kweli kabisa sister
Hey mamb
Nilikuelewa Sana mafundisho yako pumzika Kwa aman
First comment so like here
Ubarikiwe baba..unatuponya
kipao mbele sana mtumishii👏👏
Barikiwa sana
Umebarkiwa
Niko Oman nimeisikiliza sana yaani umeyagusa mahusiano yangu na.mwenzi wangu. Nimetoka kumchukia sababu ya simu.
amina mtumishi
ahsante sana mchungaji ,ubarikiwe
Amen
Mungu akupe ulefu wa maisha
Rest easy, may your soul rest in peace pastor.
Grand merci
Hata mm yamenisaidia sana na hata sasa nayafanyia kaz
barikiwa sana mtumishi wa mungu kwa mafundisho mazuri
Good, ruhusu kupakua videos..
yaaan nakukubali sana
Baba shikamoo, yaan nakufatilia sana , na hii somo lako la kuishi na mpenz duh limeniingia hatari
nakufurahia kaka Mitimingi
ni kweli
Msiba Wa mitiming
Jaman umetangulia LAkin Bado ,upo Nas kwa kupitia masomo yako
Rest In Peace sorry family of mitimingi peter we miss your preyers.
Ukweli mtumishi ubarikiwe.
Duh pumzika kwa Aman😭😔
Barikiwa mtumishi wa mungu😂😂😂
unanibariki sana baba
Good lesson our dearest pastor.Thank you
Nashukuru sana kwa mengi unayotufunza, mimi nipo hapa Uganda na nafuatilia sana vipindi vyako hivi. Ubarikiwe zaidi sisi Wanauganda twajifunza mengi
Mchungaji nami nafuatia vizuri nikiwa Omani
R.I.P baba sitachoka kusikiliza maono yako
So good
Hahahahah uwii shkamoo peter mitimingi mtumishi wa Jehovah nakukubali sana jmn hiyo ndo hali halisi ilivyo jmn
cjui mapenzi ya kwenye uchumba huwa yanaenda wapi doooooo
Amini
naelewa sasa
Nimejifunza mengi
Eeeeh ndio hivyo sijui chida iko wapi
napenda sana mahubili yako Hakika Unanifunguwa kitu Fulan ktk maisha yangu
Mch Dr Mitimingi mimi ni nashida nyingisana naomba ushauli kwako.
duh kwel kabsa mchungaji hukoseagi
Mavazi
Unanbarik san bab
Tumeipenda pasta
nipo natal kwa Zulu nakupata sana...kupitia TH-cam asante sana
R.I.P
Ongera mt,
Asanteni
Yaani unaeleza mulemule kwa kweli mchungaji...
amen
Ah haya mafundisho God bless you pr
Amen father