Praise God mtumishi wa mungu mimi nilianza kukufuata katika usanni na bado ulikuwa unanibariki hata lile neno ulikuwa unaongea mimi sikubeba kama ni usanii kwa nilikuwa na jua ni ibada
Nakuelewa sana mtumishi hata mimi Mungu aliniambia jambo fulani baada ya hapo watu wakanza kunifanya kama Bwana alivyosema na mimi nipi na watu hao ila najua ni kwa sababu Bwana ndiye ametaka niwe hivyo na nitafanya mpaka Bwana atakaponipa direction nyingine nakuelewa mtumishi Mungu akubariki sana nabarikiwa na mafundisho yako ambayo Mungu amekutuma kwayo ubarikiwe
Ameeen Mungu akutumie ktk nafasi Toka kwenye johari nafurahi kuona tar ya kufungua kanisan ndio siku tar na mwezi aliyozaliwa mwanangu ubarikiwe shetan asipate kibali ktk karama yako
Kiukweli walijazwa nilikuwa mmoja wa waliocheza huwezi amini pale alopotaja jina la Yesu mapepo yalihangaika mpaka ikabidi wale waliookoka wasaidie ilikuwa ka tupo kanisani kabisa utafikiri sio sinema aisee
Huwa nabarikiwa San nikikusikiliza,mchngaji Mim nipo oman, lakin Jan nimeota nafunga ndoa kijijin kwetu kilosa, watu walinisherekea san, lakin nikamuuliza mama mbona harus ya ghafla na hujaniambia kam nitaolewa, mama kaniambia ndio imetokea ghafla wew kubali tu mume kashajitokez na kweny hiyo harus, Mim peke yangu ndio nimekunyw uji ,wote wamekula vyakula,. Na kwenye hiyo harus yangu, amekuja mjomba wangu, ambae ni marehemu, amesema nimekuja mara moja tu, mjomba kwa ajali ya kukuletea zawad kaniletea nguo kisha, kasema naondok mjomba sina muda wa kukaa, sas cha kushangaz nimeamka vizur nimekaaa mpaka jion leo nimepata habar ya msib wa bibi yangu kipenz ambae ndio kanipa malez tangu Nina miak miwili, sas mchungaj hii ndoto imekaaje na Mim ni muislam Ila napenda vile unaongelea Iman kuota had marehem kuja kweny harus yangu
Praise God mtumishi wa mungu mimi nilianza kukufuata katika usanni na bado ulikuwa unanibariki hata lile neno ulikuwa unaongea mimi sikubeba kama ni usanii kwa nilikuwa na jua ni ibada
Nakupenda Sana Mçhungaji Raimond/Myamba Mzee wa Dar to Lagos
Hata kupitia kwa bongo movie, nilishaakukubali mtu Wa mungu. Bwana akutende mema. Niko Nrb Kenya
Mungu akubariki Sana nimefurahi kwa utambulisho huu Asante sana
Nakuelewa sana mtumishi hata mimi Mungu aliniambia jambo fulani baada ya hapo watu wakanza kunifanya kama Bwana alivyosema na mimi nipi na watu hao ila najua ni kwa sababu Bwana ndiye ametaka niwe hivyo na nitafanya mpaka Bwana atakaponipa direction nyingine nakuelewa mtumishi Mungu akubariki sana nabarikiwa na mafundisho yako ambayo Mungu amekutuma kwayo ubarikiwe
Amina Pastor, Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia, mimi ni mmojawapo wa watu waliokuwa wanaguswa sana katika uigizaji wako wa uchungaji.
Ameeeeeen
Mungu azidi kukutumia nakuelewa sana pastor
Ameeen Mungu akutumie ktk nafasi Toka kwenye johari nafurahi kuona tar ya kufungua kanisan ndio siku tar na mwezi aliyozaliwa mwanangu ubarikiwe shetan asipate kibali ktk karama yako
Paster mungu akubarikisana nirikuwa nakuona kwasinema nikawa natamini kukubona ukihubiri pasipokuwa kwasinema nimependa manenoyako namungu akujalie
Ameeen baba nakuelew sana
Paster uko vizuri sana
Barikiwa pastor
Amen..Roho wa Mungu awe nawe milele
umeeleweka mtumishi, tunakuombea viwango vya juu zaidi!
Amina baba tukuelewa sana
Amen pastor barikiwa kwa Jina La yesu Kristo aliye bwana na mwokozi wetu amen
Nzuli pastor
Barikiwa sana sana Pastor Myamba.
Mi Naomba kujua Kwenye Ile God Kingdom Ni kweli watu walijazwa Nguvu Au Walipanga Waigize Kujazwa Roho
Kiukweli walijazwa nilikuwa mmoja wa waliocheza huwezi amini pale alopotaja jina la Yesu mapepo yalihangaika mpaka ikabidi wale waliookoka wasaidie ilikuwa ka tupo kanisani kabisa utafikiri sio sinema aisee
Bwana Mungu ni mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu
Amen pastor nakupata vizuri nikiwa UAE
kwa hayo maelekezo tu nimetambua kwamba kweli umeitwa na Mungu na hukujiita
Thanks pastor myamba
Nakuelewa mtu mishi
Ameeen Pastor
Amen Mtumishi wa Bwana, ubanibariki sanaaa! Mungu aendelee kukutumia!
Mungu Akuze huduma yakoo
Ubarikiwe mtumishi.
Amena
Asante yesu
Nikikuona mutumishi wa BWANA wetu YESU Kristi nafurahisana nirikuwa najuwa nimicezo tangu unaceza nakanumba kumbe una kipaji cautumishi WA MUNGU
Ubarikiwe saaaana
Mungu anajua kila itaji la mtu hakuna mtu kujua mambo yako
Huwa nabarikiwa San nikikusikiliza,mchngaji Mim nipo oman, lakin Jan nimeota nafunga ndoa kijijin kwetu kilosa, watu walinisherekea san, lakin nikamuuliza mama mbona harus ya ghafla na hujaniambia kam nitaolewa, mama kaniambia ndio imetokea ghafla wew kubali tu mume kashajitokez na kweny hiyo harus, Mim peke yangu ndio nimekunyw uji ,wote wamekula vyakula,. Na kwenye hiyo harus yangu, amekuja mjomba wangu, ambae ni marehemu, amesema nimekuja mara moja tu, mjomba kwa ajali ya kukuletea zawad kaniletea nguo kisha, kasema naondok mjomba sina muda wa kukaa, sas cha kushangaz nimeamka vizur nimekaaa mpaka jion leo nimepata habar ya msib wa bibi yangu kipenz ambae ndio kanipa malez tangu Nina miak miwili, sas mchungaj hii ndoto imekaaje na Mim ni muislam Ila napenda vile unaongelea Iman kuota had marehem kuja kweny harus yangu
Mchungaji naomba namba ya watsapp
Ubarikiwe
Binafsi sikujua kama umeokoka, lakini ulipokuwa ktk Sinema,Nilijua kuwa kuna Mungu ndani yako
Ameeeen balikiwa mtumishi mungu azidi kukutumia ktk viwango vya juu zaidi
Ameeeen balikiwa enderea kutumika ktk viwango vya juu zaidi
Amen mtumishi
Hata mi skujuwi mi nakuonaga tu
Wenimuchungaji.au.nimusani
Amen pastor
Ameni pastor nabarikiwa nikiwa malindi kenya
Mungu akupe maisha marefu mtumishi kwa kazi ya Mungu
umenibariki sana mutumishi niko nakufwata vizuri kutoka ichi ya Congo kwa prov ituri Bunia