Hayo ndiyo maneno ya wasaka tonge kwa sura ya Dini. Kwahiyo hao wakisema Labbayka yaa Husayn,hapo wanakuwa wapo kwenye ibada ya Hijjah? Haya,twambiye: Wakiwa huko makkah kwenye ibada ya Hijjah,ni nani aliye wahi wasikia wakisema:Labbayka ya Husayn? Dunia nimapito tu,na nyote mtakusanywa huko Aakhira naitajulikana siku hiyo kati yenu nawao,makafiri ni akina nani.
Uko sawa sana sheikh wangu ALLAH akujaalie pepo
Ipo siku Allah atakuongoza kwenye Haqqi Mziwanda
mziwanda kama yuavuta bhangi hivi huwa simuelewagi?
ila mziwanda mhuni saana...anaandaa mada za hovyo hovyo ili tuu atunzwe vielfu mbilimbili duh mtihabi saana
Hayo ndiyo maneno ya wasaka tonge kwa sura ya Dini.
Kwahiyo hao wakisema Labbayka yaa Husayn,hapo wanakuwa wapo kwenye ibada ya Hijjah?
Haya,twambiye:
Wakiwa huko makkah kwenye ibada ya Hijjah,ni nani aliye wahi wasikia wakisema:Labbayka ya Husayn?
Dunia nimapito tu,na nyote mtakusanywa huko Aakhira naitajulikana siku hiyo kati yenu nawao,makafiri ni akina nani.